Kuwepo timu ya taifa si kigezo tosha cha kufanya vizuri kwenye club, na vile vile jiulize lenk ya timu zao za taifa wanazo chezea kwa mana ya cuf hadi fifa
Una tangazo unazo wote wako wametoka timu zao za zaidi NATIONAL TEAMS . There is no Girantee kwa vile Yanga wamesajili wakubwa. La msingi Coach Anaanza nao kwa mikakati anayopewa.
Kwa hiyo!? Kila nchi ina wachezaji timu za taifa! Issue sio timu ya taifa , issue ni nchi gani,ina kiwango gani,ina rank gani! Sawa sawa na ligi za Africa! Kila nchi ina ligi,unaweza kuleta mchezaji kufunga magoli mia kwenye ligi yao,ila ni hovyo! Hapo Unaangalia kiwango cha hiyo ligi! Sasa hivi kuna huu ujinga wa MVP! KILA LIGI INAO! Je ni MVP kwenye ligi ipi! Ni MPV LIGI YA SAUSI,GHANA,CONGO,TZ,RWANDA,BURUNDI GAMBIA MISRI ,SUDANI UKEREWE🤣🤣?? !
umesema kweli ngoma ya watoto haikeshi
Kuwepo timu ya taifa si kigezo tosha cha kufanya vizuri kwenye club, na vile vile jiulize lenk ya timu zao za taifa wanazo chezea kwa mana ya cuf hadi fifa
Una tangazo unazo wote wako wametoka timu zao za zaidi NATIONAL TEAMS .
There is no
Girantee kwa vile Yanga wamesajili wakubwa.
La msingi Coach Anaanza nao kwa mikakati anayopewa.
Sasa kama mnabisha tusubiri ligi ianze naona makelele mengi
Tuliosoma cuba tunayajua hayo
Huyu hajijui angeachia siku ziseme wala sio yeye.
Nikweli unacho kiongea kocha hanauzoefu pia wachezaji wanajitafuta
We mchambuzi wa mchongo umetumwa na vyura.
Mkumbusheni kuwa wachezaji wote wa Simba wako timu za TAIFA huyo mchambuzi magonjwa wa akili huyo
Kwa hiyo!? Kila nchi ina wachezaji timu za taifa! Issue sio timu ya taifa , issue ni nchi gani,ina kiwango gani,ina rank gani! Sawa sawa na ligi za Africa! Kila nchi ina ligi,unaweza kuleta mchezaji kufunga magoli mia kwenye ligi yao,ila ni hovyo! Hapo Unaangalia kiwango cha hiyo ligi! Sasa hivi kuna huu ujinga wa MVP! KILA LIGI INAO! Je ni MVP kwenye ligi ipi! Ni MPV LIGI YA SAUSI,GHANA,CONGO,TZ,RWANDA,BURUNDI GAMBIA MISRI ,SUDANI UKEREWE🤣🤣?? !
Wachoma Mahindi
Haaaaaa haaaaaa haaaaa kwan unaumia ukiwa wapi kolobwanji?
kua tim ya taifa sio kigezo cha kuepuka kichapo na watakao fanya vizuri yanga 2napita nao