Hivi kweli yanga wanamwaachi huyu cocha jamani mbona viongozi wa yanga wamekuwa na mauzauza kwa hili la kumwaachia kocha basi hawafiki popote nitimu yangu kweli lakini kwa hili mi nikiwa ni mshabiki sijafurahishwa na kocha huyu kuondoka haipendezi kwa kufukuza makocha
uchepe unaongea sanaaaa toa nafasi kwa wengine na acha kujipa ujiko binafsi
Nakupenda kwasababu unaongeanga point
WACHUNGAMBUZI WA RADIO KROWN NI MAKOLO PAYROLL
Hivi kweli yanga wanamwaachi huyu cocha jamani mbona viongozi wa yanga wamekuwa na mauzauza kwa hili la kumwaachia kocha basi hawafiki popote nitimu yangu kweli lakini kwa hili mi nikiwa ni mshabiki sijafurahishwa na kocha huyu kuondoka haipendezi kwa kufukuza makocha
Kocha hajafukuzwa belouizdad imemtaka ameenda shida iko wapi