Naibu rais Gachagua awataka walio kwenye hatari kuhama

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 кві 2024
  • Haya yakijiri, ujumbe wa serikali ulioongozwa na naibu rais Rigathi Gachagua ulizuru eneo la Mkasa na kutoa msaada wa chakula na sehemu za malazi kwa waathiriwa. Naibu Rais pia akitoa onyo kwa watu wanaoishi maeneo yaliyo kwenye athari ya mafuriko kuhama mara moja,huku mawaziri Kipchumba Murkomen, Kithure Kindiki na Salim Mvurya wakitoa kauli zao..

КОМЕНТАРІ • 31

  • @lydiahmoraa8638
    @lydiahmoraa8638 Місяць тому +8

    Serikali iwapatie zile affordable houses wahamie hapo

  • @BenardOdhiambo-zu3rg
    @BenardOdhiambo-zu3rg Місяць тому +3

    failed in everything, Kenyan gvt

  • @manasseskamau5327
    @manasseskamau5327 Місяць тому +3

    Wahamie wapi na wahame na nini? I can also give the same directive.

  • @FrancisNtabathia-bt8df
    @FrancisNtabathia-bt8df Місяць тому +4

    Wanahama wanaenda wapi? B serious 😢

  • @julianahmunanie1479
    @julianahmunanie1479 Місяць тому +5

    Wahame waendie wapi?

  • @erickithuka6997
    @erickithuka6997 Місяць тому +2

    Serikali buree kbsa

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf Місяць тому +2

    What is always the meaning of telling people to go on high places? Do the government provide those higher places????

    • @Livenation-254Tv
      @Livenation-254Tv Місяць тому

      This is the most confused govt I have ever seen coz they only act without plan😅😅I thought they had affordable houses

    • @charlesouko4253
      @charlesouko4253 Місяць тому

      ​@@Livenation-254Tv
      Presumably Mai Maahiu,is 95% uda shareholders territory.
      Life.

  • @martinmutie3941
    @martinmutie3941 Місяць тому

    Kuhamia wapi???? statehouse??

  • @FeiyoJos
    @FeiyoJos Місяць тому

    Wakenya tuwe waangalifu, tusivuke mito ambayo Iko na maji.

  • @faithi7216
    @faithi7216 Місяць тому

    God have mercy on us and forgive our sins

  • @English-SomaliTranslationHub
    @English-SomaliTranslationHub Місяць тому +2

    Wahamie wapi? Hii serikali ni bure

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Місяць тому

    Haki Government wakati mwingine inasitahili kutumia nguvu. Coz watu wengine wanachukua vitu zingine kama musaha. Ona sasa vile tumepoteza maisha ya watu wengi

  • @WanjaGitonga-bw1mk
    @WanjaGitonga-bw1mk Місяць тому

    Do not blame the government. Blame yourself

  • @Livenation-254Tv
    @Livenation-254Tv Місяць тому

    Waende wapi😮😮

  • @gww-px8vc
    @gww-px8vc Місяць тому

    Lol now he is talking about usalama wa wanainchi while yesterday he' was very adamant that watoto watolewe mapema waende mashuleni.....very contradictory statements

  • @user-br5ei4kd6w
    @user-br5ei4kd6w Місяць тому

    Kama hamtatupilia mbali LGBTQ bado mtajua,hamujui Kenya is the land of revival,bado haya yote ni kionjo tu, iko jikoni yaiva pole pole kwa wakenya woteeeeeeeeeeeh😮

  • @user-rb2pv5mw9x
    @user-rb2pv5mw9x Місяць тому

    Serekali siku kizi zute wame lala wapi ????

  • @diackomwansu660
    @diackomwansu660 Місяць тому

    This is the most useless government with it's ministries 😂

  • @vincentnyabuto5647
    @vincentnyabuto5647 Місяць тому +2

    Hii serikali wote ni mavi tu

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 Місяць тому

    Wahame waende wapi jamani?

  • @charlesouko4253
    @charlesouko4253 Місяць тому +2

    Gachagua very proudly announces at Mai Maahiu, that he has come with 1000 msttresses, 2000 blankets and some food.
    For a community that has lost 50 people and hundreds of houses.
    Now we know why Lies Looto appointed him as deputy.
    Stupidity keeps its own company.
    This uda circus,needs to be driven out of town, urgently.
    Its no longer funny.