Asante sana Dada angu kwa kutufundisha mimi nilikuwa na swali kwenye shingo nimeona wewe umeweka shingo 15 hiyo kumi na tano unaipataje pataje maana watu wanatofautiana ukubwa wa shingo zao na shati Likishonwa kulingana na ukubwa wa shingo ya mtu uwa linapendeza sana kuliko shingo ya shati ikawa kubwa kuliko shingo ya mtu naomba unielekeze hapo
Asante sana Dada angu kwa kutufundisha mimi nilikuwa na swali kwenye shingo nimeona wewe umeweka shingo 15 hiyo kumi na tano unaipataje pataje maana watu wanatofautiana ukubwa wa shingo zao na shati Likishonwa kulingana na ukubwa wa shingo ya mtu uwa linapendeza sana kuliko shingo ya shati ikawa kubwa kuliko shingo ya mtu naomba unielekeze hapo
Oooh shingo ya mtu anaevaa unatakiwa kumpima shingo yake
@@milcastylish Asante sana Dada angu na mwalimu wangu nashukuru sana
Niunge sija elewa
Hakika ninajifunza vizuri sana Asante sana mwalimu wangu
Nafurahi kusikia unajifunza vtu.vingi 💕💕
Naomba unitumie link
Good job but umeenda speed sana walimu
Asant. Sana mwalim wangu
Umenda spidi sana dadangu
Asnte dada uko poa naomb kuelew kwenye kola zaidi
Asante san dadaa mie sijaelewa hapo kutengeneza kola
Ashant mwalm kwa darasa
Asante sana dada angu Mungu aku bariki
Asante dada ila jalibu kufundisha taratibu ili tuelewe
Asanteeeeee dada naomba kujua hiyo shingo ulipataje
Samahani dada sijaelewa sehemu ya vifungo
Mbn kwenye mkono Shem ya mwisho haijalala
Asante dada kwa mafunzo yako me naomba nielekeze Zaid kushona kaba ya shati
Asant sana dada lakini umefanya kwa haraka sana
Unaelekeza haraka sana naomba uwe taratibu
Ahsant mwalim nazid kujifunza kwa njia nzur na rahisi
Kazi ninzur ila nakuomba uwe unakatata pole pole ili kola mtu aelewe
Unastaili kufundisha dada
Wewe ni moto
fundi sjaelewaa apoo kwenye ya nyuma.
Axnt dada nilikia nataman kujua nimefurah mung azid kukupa wepesi
Dada hapo kwenye koro ndo sijaelea
Mimi sijaelew jins ya kumtengenez hiy round
Shing umeipataj dad ang
Jamani m bado sijaelewa vzuri jinsi ya kuchan mkononi,je unapima au unakadilia
Fundi si unifudishe kupima hilo shati sijajua kupima mtu plz
Me nilikuwa naomba unifundishe kukata shingo ya mbele na nyuma
Unaenda spidi kubwa kutusomesha dada
asante naomba link
Nashukulu Sana kwa mafundisho yenu Ila ninaombi moja wapendwa naomba mnisaidie bg la shat na kushusha shing na up shati la Kora
Hapo kwenye ufito umeenda haraka my
Unapatikana wapi fundi?
Punguza kasi kuwa kama Emgo tailoring anafata hatua kwa hatua
Sijaelewa mkaro washingo
Saman dad sikuerewi Maan unaeda Kwa haraka
Asante sana mamy
Niimependa kazi yako lakini jaribu kukata pole pole ili MTU aelewe
Upo fasta sana jaman hata napitwa sehem nying sijaelewaa jaman
Asante sana my dear sister kwa mafunzo mazuri
Dada sijaelewa vizuri
Ivi dada unaweza ukafungua group la WhatsApp uwe unafundishia huko
Nafundishia uko dear
Unakata haraka sana
Kam Kuna group niunge ipi nijifunze dad
Ki ukweli unafumdisha vizuri ila punguza speed ya kuongea Ili mie nielewe vizuri
Fantastick
Punguza kas madam nashndwa kuelewa
Asante dada ilahiyo shingo sijaelewa umeipataje unaweza kufafanua kidogo dada umesema 15sijaelewa hapo
Asnt
Sija kuelewa umekwenda haraka
Naomba unitumie link
Mm bado sijaelewa hiyo shingo je unaweka kipimo kipi?
Nataka nitumie link wasap
Sijaelewa kwenye ufito
Naomba nitumie link
Sjakuelewa jins ya kukata
Utakataje Kaunda yenye mipasuo kwa pembeni?
Dada kama nimtoto una muwekea shingo ngap
Namna ya kukata shati la kola mbili
Au Kuna group la mafund Uniunge
unapatikn wapi mwalimu nimefurahia daras
ataka uniung whatsap kam unagroup
nataka nijue kukata shirt ntindo wowote
Dada Mm Naomb Hy link
Dad upon fast a sana
Nahitj tuwasliane wasp
Naomba unitumie link