IKIWA SHIDA YAKO NI MALI SOMA SURA HIZI 2 TU UTATAJIRIKA, MDENI HATOKUDAI
Вставка
- Опубліковано 29 лют 2024
- #riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
UA-cam: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...
Assalamu alaikum.naitwa fatma kamunuh iddi toka kenya naomba pia nikumbuke kwa dua Allah anifungulie maisha inshaallah.Allah akuhifadhi na akupe mema katika dunia na akhera.amiin
Maashallah jazakallahu khayraa shekhe othman Michael
Assalam alaikum sheikh mm naitwa Fatma mwalimu kutoka Kenya Nina mitihani mizito Sana hata hayaelezeki ya Kila aina maradhi , kuchukiwa na mume ndugu majirani na hata mahalo popote nitakuwa na mm niliugua maradhi ya akili natumai madawa ya hospital lakini nazidi kulemewa UTI wa mgongo ,kichwa,kifua,kiuno mbavu,huzuni nataka kukaa pekeyangu lakini alhamdhulilah ibada zangu nafanya. Naomba unifanyie Dua na mm mambo yangu yafunguke pamoja na watoto wangu lnshallah Allah akujaze kheiri lnshallah
Waalekum salam tafuta namba yake umtumie msg direct ndio utasaidika
Pole sana dadangu ln sha Allah,Allah Atakujalia unafuu hivi karibuni.
Naomba Dua zako Insha Allah
Naitwa aisha today niolewe miaka kumi na nne sina raha ya ndoa nadhalilika niombee Allah anipe alie mwema nikuwe na mawadda
Assalam Alykum sheikh..Naitwa Omari naomba dua nipate wepesi wa maisha inshallah..Mungu akuzidishie kheir
Shukuran jazaka Allah khairan Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera wallahi tunafurhi na kufaa idhika
Sheikh shukran. Naitwa Halima mohammed, kutoka kenya. Nina mitihani mizito hata nikianza kuzieleza sitozimaliza, wanangu bado wadogo na wanapitia mazito kwasababu ya shida zangu. Naomba mnikumbuke kwa dua, maana naskia nimefika mwisho.
Mashaallah allaahu akbar❤❤❤❤❤❤
Mohammed Cheme nifanyiye duay
Mashaallah mola akuzidisheye imani na akuhifathy
mashallah shukran Shekh
niombee dua shekh
Maashaallah nakpenda san kwaajil y Allah
Assalamu alaykum wa rahmatullah wa barakatuh shekh mie niko south Africa nakufwatiliaga Sana kiukweli majibu mengi nilishapata kwa Adhkari na izo quran unatuelekezaga kiukweli uzidi kuwa na afya na Familia yako Allah awajalie pepo ya fildausi inshaAllah
Assallam allaykum waramatullahi wabarakhatu sh naitwa ramadhan toka Congo naku omba nisaidiye n'a duwa Allah ani tatuliye matatizo
Mashaallah jazakaallahu khairah
Mashaallah ustadh nimekufatilia sana Allah akujaze
Nakupenda sana Sheikh kwajili ya Allah
Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh shekh wangu yaani nakuombea Mungu akupe uzima na ajaalie uzidi kutufunza mengi shekh wangu mimi ninamitihani sana na hata nikipambana na familia yangu tuivuke bado inajirudia na kwa upendo wa mume wangu mambo hayaendi kabisa hata akifanya biashara zako kulipwa ni mtihani shekh mpk nachoka naomba dua zako
Asalam alaykom mim nayitwa Amina nayishi burundi naomba icokisomo sijuwi kusoma shekh
Inshaallah shukran
Shukran
A aleikum nataka dua mume wangu na mtoto wangu hawana kazi nakuomba dua
❤❤❤ mashallah
SHUKRAN LAK sheikh ❤❤❤
A salaam aleikum shehe natokea Kenya uniombee dua kwa maisha yangu n watoto wangu tunapitia mazito naitwa fatuma,Aisha,Shaffi,hawa,aaqil,sahil na iqran tupate wepesi kwa maisha inshaalah
Nahitaji dua zako shekh wng napitia miyihani migumu sana kiafya kiuchumi kindoa na kimaisha kwa ukumla.
Naitwa( zainabu idd)
Asalam alaykum sheikh naitwa Aiman haji zubeir shekhe mm nlikuw nahitaj Dua mtu nimpendae aje nyumbn na tufunge ndoa inshallah
Assalaam Aleykum sheikh, shukrani sana Kwa mafundisho hayo illa je katika kuisoma hiyo Suratul Yaseen na pamoja na Waqiah mbali na huo muda wa Magharib na Ishai mtu anaeza soma baadaa ya Ishai kabla ya kulala na bado akanuilia Kwa mitihani hiyo iliyo kusudiwa
Mungu hujibu,kaka likubwa ikhlas
Asalam alykm shekh nimzaliwa kenya mimi viva soloma sijui kusoma Quran naomba hicho kisomo unisomee kwasababu sijui kuisoma suratul Yasin niko na mitihani mingi sana
Assalam alaikum chehe.mimi ni mfuasi wako kutokea Mozambique kwa jina MAHANDO JOAO MBANGUIA.ningependa nifike tz na unisaidiye nisome niwe mwene elim lakini sijuwi na anza vipi.insha Allah ya rab akuzidichiye zaidi kutufikishia maneno ya Allah.
Allah Akubariki shekhe
Asalamu alaikum ustadhi mmi naitwa Hadija Salim naomba unifanyie Dua nnajini mahaba nimtu wa mikosi tu ata ivi nnamchumba wangu ameniacha bila sababu tafadhali ustadhi unifanyie inshallah
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh
Na mie nnakuombea dua .ALLA AKUKUBALIE DUA ZAKO. zidisha kumsalia mtume .(Aswahuma swali alla muhammad wa alihi waswabihi wa salaam.
Marakwamara
Asalam aleykum naitwa Asha jafari Yasini ninashida ya duwa ili niifadhi quran aa
Inshaallah
ASALAM ALAIKUM WARHMATULLAH W SHEIKH NAPENDA SANA MAFUNZO YAKO MIMI NIMEHASIDIW KWAKWEL NAOMBA UNIOMBEY JINA LANGU SUDI KHALID KUTOKA BURUNDI ALLAH ATUWEKEY WEPESI
Mungu akupe kilalaheri dunia I naahela
Assalaam Aleykum sheikh niombee dua ya rizik sababu nimeteseka sana
Sheikh naomba Dua ya rizq maana sinielewi
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, naomba Sheikh,
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh Alhamndulillah
mimi naitwa farashuu mohd abdalla naomba na mimi nisome hii saba mubini mungu anifungulie riski
Ishaallah
Assalamu alaykum,shekh jina langu BACHWA HUSSEIN FERUZI
Aamin
Shehe muombee mwanangu ana itwa idadi yopondan sina uwezo 😂😢😂
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh shekhe Mimi ninamatatizo mengi hayaelezeki
Assalam Aleikum sheh mimi naitwa Cândido Ali, kutoka Mozambique yani na matatizo mengui yani napata feza ikayi ata dowa yani mengui tu. Sijui kuandika ki shahiri vizuri lakini utayelewa tu. Niganyie duwa mufuti
Aa mie naitwa nuru ali natola kenya mie nintihani mkubwa kutofunguka risk madeni yameniso ga koo sheik naomba nami unitilie dua
Kila sifanjema anastahiki Allah mola mlezi wa viumbe wote
Asalam alaikum warhatullah ta'ala wabarakaatuh m omar juma
me naomba namba ya shekh
Asalam Alykum warahmatullahi wabarakaat,naomba ndua mambo yangu yawe wepesi ndoa,kiuchumi na kimaisha
Assalam aylkum kum shekhe mimi nina tatizo madeni shekh mambo magumu pesa dogo naomba dua
Asalam Alekum warahmatulahi wabarakatuh
Je sheikh nikiisoma usiku na sawa ama inasoma magrib peke yake na manisha yasin pamoja na waqia?
Mnataman ata nikuone ila akuna jinsi kama o nguekua jalibo nilibidi nikuone,Ola cheye naomba unisaidie, kama kuna uwezeka o wakunisaidia naomba bass cheye usiku mwema lala salama na familia si wenguine tunashindua mpaka kuisaidia family!
Mimi naitwa mwajabu naomba niombee dua nifunguliwe riziki nanifanyiwe wepesi kwa kila jambo
Anapatikana Dar no za cm hizo zinapita apo.
Huyu shekhe anapatikana wapi.naomba namba yake ya simu
Utajiri wa nafsi ni bora kuliko utajiri wa mali wenye kibri na usio na imani
Aslm alkm wwt ustdh Michael ulisema dawa ya hasad ni gani mm ni daktari natibu watu watu wanapona walakini mm mwenyewe ni mgonjwa yaani uhasidi mingi ainun
Sheikh mm naomb unipigie cm tafadhal nipo zanz
Kisha huyo bellasi mimi nitakujibu hilo,Mtume Mohammad S.A.W mwenyewe alikataa mali ili isimshughulishe na dunia akamsahau Allah pia hakutaka kuwafanya watu wamuone au kumchukulia bora kuliko wanadamu wenziwe yeye angelipenda mali Allah hangekosa kumpa
Ufahamu wako una mushkel!uislam haujakataza mali
Assalamu aleykum shekh na uko wapi wewe?
Naam
Twaibu Sheikh Othman Michael
Naomba uniombee
Nasumbuliwa na maradhi na hospital hayaonekani
Tafadhari
Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich
Msaada please, naomba anaeweza kuniandikia hizi sura nitamshukuru ila Allah amfungulie Insh'Allah
Asalamu alaikum warah matullah wabarakatuh
Suratul yaasini na suratul yaasin
Sheikh Kuna Dada Na kaaa nae Nahisi ana Jini maana anapandisha Jini lakn likipanda anajing'ata ulimi,, anakuwa Mgumu half anapoteza Fahamu hapo hadi Baadae hata akiamkua anasahau alikuwa wapi hivo sheikh Jini huyo wa aina ipi na atumie nn hio hali imuondoke
Sasa kama mtu auwezi kuisoma unaweza kuisikiliza
Assalam alaikum chehe mnafanha kazi na wa indi Nina miaka 4 na fanha kazi illa mpaka sasaivi sina ATA thumbs ATA mpaka sijui yela mnapo malizia mnaitua ABUDO kutoka Mozambique nataka unisaidie cheye safadali mzem Lila kitu mnapo jalibo kufanha aiendi kuamana!
Nilimtoa bibi yangu mkoani aje umsimee dua lakin ulituzungusha mpaka bibi akafariki sina maana kuwa ungeweza kuzuia kifo chake Ila hata yeye mwenyewe alitaman kusomewa na wewe
Pole ndugu iyo ilikuw siku yake ilishafika hata angesomewa km ndo mwsho wake bc hata shekh angemsomea Bado ungemkosa maan tayar ahadi yake ishafika
Sasa monsieur acha uongo wa kijinga Muhammad mwenyewe alikufa masikin au yeye alikuwa hajui soma izo sura au soma wewe maisha yako tunayajua
Km utaki kaa mbali ,
usilete maneno ya ajabu Mtume aliambiwa na Allah aseme chochote anachokitaka apew alikataa kulingana na Imani yake na hata angepew Kila kitu ktkt Dunia kisingemshughulisha cz yy Dunia alikuw ameioa mgongo na hat angetak nin angekuw nacho cz yy ndo kawafundisha maswahaba zake na maswahaba walikuw vizur Kwa Mali n.k , Allah ndo mjuzi zaidi
km hujui ukae kimya sio utoe comment za kukashif
@@ashuraramadhan6467 kweli wewe jinga sasa allah ampe nini Muhammad atoe wapi kwanza n'a why hakumpa n'a akafa masikin n'a uyo allah alimwambia lin n'a wapi yani nyie watu weusi ivi akili ziko wapi mbwa nyie kwanin allah hakuokoa watoto wake wakati wanakufa kama vibudu achen ujinga nyie tumia akiri sio kuamini tu upumbavu wa waarabu
@@bellasi349usitukane huwezi kaakinya
Laa natullah ww kijana Allah atakulaani insha allah
@@bellasi349 kwanza usimshirishe Allah Allah hana mtoto km unavyodhan ww , siwez kubishan na mtu chiz nwendawazim Kaa na ujing wako
Sheikh minaitwa nasibu bin hidaiya naomba namimi unijumuishe kwenye hiyo dua
Asalam alaikum shehe mimi ninaitwa othoman Jackson mambo yangu ni magumu sana kwa kila ninachofanya pia nikaona nibadili dini niwe muslam pia sifanikiwi shehe naomba dua kwako lshaallh
Shukran
Nilisahau jina naitwa Ahmad Rich