WANANCHI WAKAMATWA na POLISI SIMANJIRO BAADA YA MKURUGENZI KUSUSIA MKUTANO wa KIJIJI OKUTU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • WANANCHI WAKAMATWA na POLISI MANYARA BAADA YA MKURUGENZI KUSUSIA MKUTANO wa KIJIJI OKUTU...
    Baada ya kilio Cha muda mrefu Cha wakazi Wa maeneo haya ambao wengiwao ambao ni wakulima wamekuwa wakiwa wanalalamikia Mpango muovu wanaodai umesukwa na watu wenye fedha na baadhi ya wanasiasa wenye lengo la kuwaondoa wao Kisha maeneo haya yageuzwe kuwa Rachi ya ufugaji Wa mifugo ya matajiri wenye mifugo mingi kutoka nje ya Kijiji Chao ...
    Wiki Moja iliyo pita hapa wananchi Wa Kijiji hiki walipewa Taarifa kuwa Mkurugenzi Wa halimashauri Yao ya simanjiro Atakuwa na Mkutano mkuu Wa Kijiji kwaajili ya kutatua changamoto hiyo inayopewa jina la mgogoro kati ya wakulima na wafugaji ili kuwaondoa wakulima...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 24

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @PoliceBrutalityWorldWide-pd8mw

    Hongera mwandishi uko vizuri sana

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Рік тому +1

    Makonda sikia kiliio cha wananchi, hawamtaki mbunge wao Ole Sendeka

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Рік тому +1

    rushwa hapo iko wazi wazi kabsaa. hakuna haki ya wanaich hapo

  • @SimonsalyAkonaay
    @SimonsalyAkonaay Рік тому +1

    Tuache kuwanyanyasa binadamu wenzetu na pia wafugaji wapewe ili ya mazingira siyo kuwakamata please take action quickly

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Рік тому +1

    Sasa mkurugenz akisusia wananchi wanakamatwaje

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Рік тому +1

    Makonda hajafika huko ,tuna viongozi wanaotutumka tu hayawezi hata kumaliza migogoro

  • @nassoribrahim5288
    @nassoribrahim5288 Місяць тому

    Dhulma... wanadhani hawana akili😂

  • @EliahLoserian
    @EliahLoserian Рік тому

    Hapa kinacho endelea ni kwamba wananchi baadhi hawataki kufuata utaratibu katika kutetea haki yao

  • @AmusedCaveWaterfall-xk5fd
    @AmusedCaveWaterfall-xk5fd Рік тому

    Tunaomba mh Rais asikie kilio cha wananchi hawa...

  • @Ernestlaiza
    @Ernestlaiza Рік тому +1

    Kwanini wanachadema sio watanzania mpinzani hana haki ya kusikiliswa kama mtanzania,?

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Рік тому

    Kamanda wa Polisi umeulizwa swali la msingi " Mlalamikaji ni nani"? Hujatoa jibu!

  • @Ernestlaiza
    @Ernestlaiza Рік тому +1

    Viongizi wa ccm wanatumia nguvu sana kiliko kutumia akili

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Рік тому

    Kwanini maeneo hayo yalitengwa wasipewe wafugaji

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Рік тому

    Vumilieni ccm mbele kwa mbele na sisi tunaisoma No

  • @japhetmathayo2499
    @japhetmathayo2499 Рік тому

    mlinzi na mtetezi namba moja wa ardhi ya simanjiro ni OLESENDEKA tafadhali msimchafue mzee wa watu

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 Рік тому +1

    Hivi bila kuwapa mkutano wananchi wa Kijiji utapataje kujua kero zao

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Рік тому +1

    Kumbe nyie Kwa sababu ni wa CCM unaona unasamana said na bado utasoma namba kila siku watu wanambia CCM siyo unangangania na bado

  • @JonasKatundu
    @JonasKatundu Рік тому

    Ma DED kwa sasa wamepoteza imani kwa wanachi majority ma DED ndio wanzilishi wa migogoro ya ardhi.

  • @omarnicesang5507
    @omarnicesang5507 Рік тому

    Mwandishi kuwa balance unakuwa kama mwanaharakati balance story

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 Рік тому

    Sendeka Sii mkulima bali mfugaji na ndio Mtu mbaya sana hafai kabisa

  • @NassirAbdallah-t3r
    @NassirAbdallah-t3r Рік тому

    11:38

  • @NassirAbdallah-t3r
    @NassirAbdallah-t3r Рік тому +1

    Vp