KIMENUKA: ZARI NA MUMEWE KUACHANA, CHANZO NI DIAMOND? LOKOLE AFICHUA YOTE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 132

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 20 днів тому +24

    DIDA ANAONGEA POINT 💯

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 20 днів тому +6

    Juma sijui malezi yake kalelewa wap, ungekua wew juma Kuwezaa

  • @niwaelally1579
    @niwaelally1579 20 днів тому +13

    Anajua juma kama ni kosa ila njaa inamfanya awe hana akili

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 20 днів тому +10

    Juma nilijua umeendelea kumbe bado sana.Mzungu yupi uje kwake kienyeji ivyo kama hajakufyatulia risasi.Hakuna b.ness kama hizo.Haijarishi nani anaishi kwa nani.Hapo zali hajafanya Utu kabisa.

  • @AkleyBernard-g9o
    @AkleyBernard-g9o 20 днів тому +3

    Juma lokole iv unajielewa kweli yule mke wamtu lazima ambiwe acha kutetea ujinga kwani diamond Nan

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 20 днів тому +2

    Juma acha za onyoo sasa ndo waimbe iyena inayosema mwenye nyumba kaja ndani? That was very disrespectful to shakib

  • @vickynyakio7346
    @vickynyakio7346 20 днів тому +14

    Zari ni mjinga sana na ataishi upweke sana hata awe tajiri atabakua pekee yake na huzuni....ajifunze kuheshimu watu😊

  • @zm4006
    @zm4006 20 днів тому +3

    Juma apana

  • @KassimMohammed-h2n
    @KassimMohammed-h2n 20 днів тому +7

    Yote Tisa. kumi huyu dida anaongea pwent. Ila hili jamaa marasta halijui Sheria za mume na mke. Shezi kabisa

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 20 днів тому +2

    Hajielewi juma mwenyewe ni mke mwenzetu

  • @davidsibejo4916
    @davidsibejo4916 20 днів тому +7

    Mke wa mtu kama unajua unaugeni lazima utoe talifa

  • @Ramadhansuleiman-wz9jg
    @Ramadhansuleiman-wz9jg 20 днів тому +2

    Wewe juma unaishi kimasilai simama kwenye ukweli kama wenzio

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 20 днів тому +1

    Kifupi mume lazima aambiwe,pili anaweza kataa kama mazingira siyo safi.Huyo Juma hajelewi

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 20 днів тому +14

    Ukiishi kwa mwanamke mwenye pesa zake heshima hakuna. 😢😢

  • @hashilalkharusi4680
    @hashilalkharusi4680 17 днів тому +1

    Heshima kutu cha bure lazima apeleke habari ile ni nyumba ya mke na mume

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko6403 17 днів тому +1

    Huyo lokole amesoma au Nasibu anamuweka hapo kama shoga wake akili za huyo lokole hazina akili mwehu kabsaaaaa

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 18 днів тому +1

    Dida apewe mauwa yake kaongea point🌹🌹🌹🌹

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 20 днів тому +7

    Msibishane na KAKA MKUBWA
    AU MTOTO SIO RIDHIKI

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 20 днів тому +8

    Kama Ulaya tunatoa taharifa ije kuwa south.?Ndio kama angekataa kakataa kafanyie hotelini je?hpo kakosea bhana hata kama uyo kaka hana kitu alimpenda ivyo ivyo sio muhujiza.Zari kakosea tena sana.

  • @missmannydxb
    @missmannydxb 14 днів тому

    Juma mshenzi! Mumu wa mtu ni kichwa cha nyumba awe nani au nani!

  • @amirinestory
    @amirinestory 20 днів тому +5

    Hilo ndo tatizo la kuoa mtu mwenye mtoto...unakua umeoa mke wa mtu aliyaganyaga shakib...
    atakufa na presha akimuona diamond tu anajua kaja kumshenyenta Zari😂😂😂😂

    • @jumasaid6073
      @jumasaid6073 20 днів тому +3

      Sijapenda utaratibu wenu wa mazungumzo, mnapayuka, hampeani nafasi ya kuongea, kila mtu anataka kuongea yeye kwanza, kitu ambacho kinasababisha makelele !! Hiyo ni media kubwa, jaribuni kuwa na utaratibu mzuri wa kujadili mambo kwenye vipindi vyenu ili kukuza brand !!

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 20 днів тому +2

    Sasa angelimwambia wakati Zari yeye hakujua kama Diamond atakuja pale kwa Zari

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 16 днів тому

    Mna kelele tu ni lzm mwanamke awe chini ya mwanaume kuomba ruksa ni lzm kwa mwanamke kumjuza mwenzake ima anataka toka au kuja mgeni

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 20 днів тому +3

    Mpambe wa boss mishipa inatoka

  • @12345678938129
    @12345678938129 20 днів тому +3

    Watu musiskilize Juma Lokole kwa lolote kwanza mwenyewe hana ndoa na ajawahi kua na ndoa official . Sikilizeni Idris na Dida. Thamani ya mwanaume sio kua na nyumba tu ao pesa ndani ya masha ya mwanamke. Zari hana chochote cha kumdharau aliyekuwa mumewe kwasababu she makes bad decisions going for young men and then she end up justifying like she is always right , that is avoid accountability. She will continue failing in relationships because she avoids accountability for her poor and wrong decisions . She loves men she can control and manipulate 😢😢😢. Shakib stands on your ground , let her go

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko6403 17 днів тому

    Huyo juma lokole mjinga sana akili zake hazina akili

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 12 днів тому

    Shakib alijuwa BD Yaa T lazma. Big D aweee ......ndio akawa hayupo

  • @user-kl1cp8me2o
    @user-kl1cp8me2o 16 днів тому

    Mum's ni lazima aishimiwe. Wakati akiolewa na shakinb alikuwa najua ni maskini

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 13 днів тому

    Hilo nalo Dume jinga Mnoo, Sari anamoenda Diomond anajifanya tu ,zari hawezi kuishi na mtu yyte ,

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 19 днів тому +1

    Diamond ilikuwa surprised kufika kwa Zari.kama hafike mutamulaumu Diamond

  • @ZuhooraSalim
    @ZuhooraSalim 14 днів тому

    Kweri

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 13 днів тому

    Hili choko Sijui Kwa Nini halipigwi matukio liko kwa ajili ya unafki tu ,pesa nini bwana,Shakib nae aondoke tu atateseka utadhani sii dume

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 20 днів тому +1

    Yeye mume ana hadhi yake. Wewe juma unajua usenge tuu adabu za ndoa huzijui. Heshima hata Diamond angempigia shaking akamwambia nakwenda kufanya surprise. Ni heshima tuu

  • @user-kl1cp8me2o
    @user-kl1cp8me2o 16 днів тому

    An zari got married to shakib. She knew that shakib. Alikuwa anajua shakib ni.maskini. hapo hakuna cha Lakini. Mwanamke hata kwa na pesa inafaa kumueshimu mumewako. Hapo duni ndio hakuna

  • @RukhaiyaNassir
    @RukhaiyaNassir 16 днів тому

    Juma hujielewi kabakwe mbele ya safari tunaangalia ela tu msenge

  • @ShabaniBizimana-f7v
    @ShabaniBizimana-f7v 20 днів тому

    Aaahhh😅shida kukakwamwanamke anakuzidipesa l'arma utapigwa zakichwa

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 20 днів тому

    Uyoo Lokole Ndonga zishamzuruga ktk Utumbo hanafikilia 2 kugingwa

  • @user-kl1cp8me2o
    @user-kl1cp8me2o 16 днів тому

    Dida nomber yenu ni gani. Nataka niambie kitu

  • @iam_sami
    @iam_sami 16 днів тому

    Chawa kazin unaupga mwing jumaa njoo nkufokoe

  • @user-lc8bf1mk4v
    @user-lc8bf1mk4v 20 днів тому +2

    Mario anapashwa kuzaririka shakib mario

  • @violetcarroll4930
    @violetcarroll4930 20 днів тому +1

    Dada umenichekeshaaaaa, wapeleke kwengineee😂

  • @ZaiMwarab
    @ZaiMwarab 20 днів тому

    Hiy n kwel kw nn asimuambiee mumewk sio vizur

  • @officiallnobystar
    @officiallnobystar 20 днів тому

    Juma Kweri Chokara Kwaiyo Unaona Yupo Sahihi Zari?

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 18 днів тому

    Mwambino anaadabu yule nimume anapoenda awe na adabu na zali nae ajierewi

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 17 днів тому

    Huenda Zari anatamani sana kurudiana na Mond, lkn Zuch smart sana kichwani

  • @user-rk6sx2bw3e
    @user-rk6sx2bw3e 18 днів тому

    Ili lijuma jinga kabisa.....akili zake ziko mkunduni

  • @diana.j.clement
    @diana.j.clement 20 днів тому +2

    Juma ananitia hasira uyu

  • @MILK52899
    @MILK52899 19 днів тому

    Juma sema ukweli huwezi kukubali uzarauliwe juma wewe kibaraka wa boss na Diamond alifanya makosa angemwambia mume mwenzako siyo zarau ile ukiona kichwa chamwenzio kina nyolewa cha kwako tiamaji na yeye boss wenu atafanyiwa asicheze ana watu wa Uganda

  • @teammovietmdurbacinema8284
    @teammovietmdurbacinema8284 20 днів тому

    Suggar Mum Zari , kuna mwanawake na bi bibi, watu kama ZARI ni bi bibi tu, hakuna muke apo, washaa zoeya maisha ya Mitando na hana muda wakufikiria mwenzake kinacho mu fanya ni aonekane pita mitandaoni, awa ni kulà. tu Ila usi mu wekeya moyoni kwani utaumiya bure

  • @WahidaHaji-e9t
    @WahidaHaji-e9t 20 днів тому

    Lokole njaa inamsumbua

  • @MartinBarunga-jb2ri
    @MartinBarunga-jb2ri 20 днів тому +1

    Sema nilijuwa juma amesha kuwa mume ila bado shong😢😢😢😢😢

  • @AffectionateCap-fk8tx
    @AffectionateCap-fk8tx 17 днів тому

    Shamte atulie anajitetea yasimkute ya Shakib

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 20 днів тому

    Xaxa mnabishana na huyu wa kuleft mnapoteza mda hapo hakuna mwanaume ndo maana anamtetea mwanamke mwenzie

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 17 днів тому

    Ukioa mwanamke arie zaa ujuwe umeoa mke wa mtu

  • @vincej9275
    @vincej9275 17 днів тому

    Juma Lokole anajua sio sawa lakini njaa !

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 20 днів тому

    We bwege Una mke au uchawa umekujaa

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 20 днів тому

    Huyu shoga ni mnafiki sana anapayuka tu zari amekosea sana alijua hana anachoweka mezani ilikuaje akaolewa nae 😂😂

  • @hakiiki1767
    @hakiiki1767 17 днів тому

    Nyumba ya mondi ne zari shakibu nmgenyi

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 15 днів тому

    Dida swadakta

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 20 днів тому

    Zari amekosea , mwanaume kukata Kwa Mwanamke ni kawaida Ila pawe tu heshima ,Dida umeongea ukweli

  • @purityhoeger655
    @purityhoeger655 18 днів тому

    surprise ni surprise hamna anajua

  • @omanmct135
    @omanmct135 20 днів тому +1

    Juma hanakili

  • @user-yx3ic8zy9e
    @user-yx3ic8zy9e 20 днів тому

    Hata wewe juma kwa huyo basha wako lazima uage msenge wee hii kufirwa inakufanya mpaka akili huna

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 19 днів тому

    Leo Juma anamusemea Zari 😁❤️🙏

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 20 днів тому

    Hiyo ndomanaake

  • @karimmakweta3530
    @karimmakweta3530 20 днів тому

    Juma yupo Sahihi Nyumba ya Nani inakuwaje utoe Taarifa Kuja kwako

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho 20 днів тому

      Kutowa taarifa ni si kumshauri mtu akubali au si akuabali.. Mtu kama mume au mke wako lazima umwambie. Si kuomba ushauri ni kumpa mtu taarifa hio ni heshima

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 20 днів тому

      That's was disrespectful sasa wacheze iyena inayosema mwenye nyumba kaja ndani hata ww ukifanyiwa ivo hutapenda acha uongo

  • @salimsaleh6587
    @salimsaleh6587 20 днів тому

    Wale wanashngaa na maongezi ya juma lokole,ni shoga haezi kuelewa uchungu wa Shakib na pia anamtetea boss wake akitetea kibarua chake

  • @doricedeluxe9486
    @doricedeluxe9486 18 днів тому

    Mwaga makopa kopa hapa kama unamkunari shackib kwanza handsome pili mpole mm namkubari xana shackib.harafu penye miti hapana wajenzi shackb nimwanaume wa shoka utamkumbuka.

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 20 днів тому

    Ukiow mwanamke aliezaaa namwanaume mwengne hivo ndoinavo kuwa ssa

  • @user-sp2fm4qd2h
    @user-sp2fm4qd2h 20 днів тому

    zari alikusudia tu yatokee yaliyotokea . huenda kamchoka shakibu

  • @janethsamwel8457
    @janethsamwel8457 20 днів тому

    Kwani alio olewa ni nani shakibu Hana chake ndio maana kazalilishwa mwanaume msipende kuolewa ukiolewa lazima usikilize matakwa ya baba mwenye nyumba Sasa kaka yetu yeye kaolewa akae Kwa kutulia

  • @sarahsaimon4095
    @sarahsaimon4095 18 днів тому

    Zari anakosea yeye ndio amemfanya dai kuwa km kwake apo nyumbani. Kwani ukiweka mipaka baina ya mzazi mwenzio kuna shida? Km kweli ana, Mume lazima amuheshim Mume wake.

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 20 днів тому

    Kwaufupi demu alozaa na Diamond mwimbaji wa tz hata kwa bilioni hafai hasa wakiwa bado wapo karibu

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 20 днів тому

    Kisheria watoto wa Zari sio wa Diamondi. Zari ni mkosaji kwa mumewe kama ni kweli walifunga ndoa.

  • @ElihrJonesministries
    @ElihrJonesministries 15 днів тому

    Ukiamua kuoa mwanamke mwenye mtoto ujiandae kwa yote

  • @theresedusabe6056
    @theresedusabe6056 14 днів тому

    Stop talking for our Queen zari surprise its means ata zari hanujuwq kama baba tee adafika iyo njo surprise manayake so stop tallking nosense about that dai and zari it was noma for them to show love together with their daughter birthday,s

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny 20 днів тому

    Hakuna mzungu anaweza kufanya hivyo never juma hujuwi kitu im tell you

  • @juliuskessy7616
    @juliuskessy7616 20 днів тому

    Mwanaume unakaaje Kwa Mwanamke? Alafu Kuna wanaume wanatetea kmmk 🗑️🚮🚮

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 18 днів тому

    Dida Dida ndoa hutaki kuambiwa, hahahaha

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 20 днів тому

    Jamani mume ni mume tu angepewa heshima yake kweli kabisa hata kama daimond baba watoto ila mume ni mume

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 20 днів тому

    Juma eee juma Juma nakwitwa mara 3 punguza uchochezi looooo

  • @zhooshchindogote9939
    @zhooshchindogote9939 20 днів тому

    Banaa diamond hana hatia,,,nyumba ni ya kwake😂

  • @mutungi93
    @mutungi93 19 днів тому

    Zari amtaka diamond but ni Mzee sana

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 19 днів тому +1

      Diamond alivyozaa nae hakujua kama anazaa na mzee?

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 20 днів тому

    Shamte na Shakibu wanatofauti???
    Mbna kama mna mnanga mama wa boss wenu???. Hahaaa.

  • @rogeradonis1956
    @rogeradonis1956 17 днів тому

    Kosa niyamwanamke ww juma lokole

  • @infinity2182
    @infinity2182 18 днів тому

    Pale Diamond ndiye anatawala.Baba pale ni Platinumz anapomwaona Shakib hua anajiambia kichwani acha mtoto (Shakib) acheze na viatu vya baba.

  • @Ramadhansuleiman-wz9jg
    @Ramadhansuleiman-wz9jg 20 днів тому

    huyu jamaa nichokoo nimeamini sasa

  • @SmilingBoardGames-jm4sj
    @SmilingBoardGames-jm4sj 20 днів тому

    Wamuwacezari atakikucezewa

  • @Gudowabazoba
    @Gudowabazoba 20 днів тому

    Nyinyi wote ni diamond hapo

  • @doricedeluxe9486
    @doricedeluxe9486 18 днів тому

    Ukumbuke diamond pia aliachwa mpaka zari akaenda kutangaza BBC kwahiyo usijifanye tumesahau.harafu zari nikama ruto.juma lokole nimnafiki ndumila kuwili huna lolote ww msaka tonge.

  • @MwanaidiRulimbiye-y7q
    @MwanaidiRulimbiye-y7q 20 днів тому

    Inabidi atoe taarifa na yule ni mume

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 20 днів тому

    Wewe shoga kama daimond awe na mke halafu × wa mke wake
    Awe hayupo asikie kuna mwanaume sio heshima juma mmbeya mara zari mtu mzima kwani zari kwani mwanzo hukumuona hana kitu sasa zari bado anamtaka bado

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 20 днів тому

    Zari ni pumbafu sanaa kbs mwanamke anabaki anajibebi kwa ex atoke apoo ndio ni baba watoto wake ila.sio kwa ivyo ww

  • @user-sh5gl8tw3w
    @user-sh5gl8tw3w 20 днів тому +1

    Juma lokole fundi sana wangap tunamkubali

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 20 днів тому

    Hili Juma lina shobo saana na Diamond. Neno likiwa kwa Diamind anapenda sana kimbele mbele. Juma punguza shobo. Acha macfa.

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 20 днів тому

    Wakati d akiwa Tanzania yule shaibu alikua anatembeanae

  • @purityhoeger655
    @purityhoeger655 18 днів тому

    nyumba ya Diamond Zari na Watoto Shakib ni Mngeni 🤚🏽🏠

    • @SeverinoLuis-j1h
      @SeverinoLuis-j1h 16 днів тому

      Ndio ni mgeni tena kaolewa ata simba akitoa uduma naye anakula

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma7432 20 днів тому

    dida uposawa ila huyu jamaa

  • @grethashuma9562
    @grethashuma9562 20 днів тому

    Lokole ni mjinga tuu wala simshangai anatetea ugali pungasese hv anajua maana ya kuwa mke au mke wa mtu kibaraka huyo msijichosheeeè.

  • @user-me1zh9us2u
    @user-me1zh9us2u 20 днів тому

    Juma huna akili mbwa ww