Doris afika kwenye retreat - Huba | Maisha Magic Bongo
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Kibibi akutana na Bi. Sikitu chumbani mwake. Harafu Doris aingia wakati Roy akiwa anamtunza Nandy pesa. Pia Doris awambia watu wote kwamba Kibibi alimuua baba yake. Wakati Kashaulo amfuata Kichuna aanza kupigana na Jude.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - Розваги
roy karud tena kwa nandy,kibb nae bdo anampenda devi cjui tima itakuaje aisee huba tamuu🥰😘
tima anamisukosuko sana kwenye penzi lake
awe na judi tu
Tima atakua na judy mtt pia atampa judy
@@halimasulaimani9085 bora tu kuliko kuwa na mwanaume penda penda
yan inavyoonekana bdae tima atakua na judy japo devi kaongea na roy atamweleza tima ukwl yy mwnyw kuhsu kibb
Kashauloo upoo babuuu mtaka yote ukosa.......👌mchina wko amekuruka ss n sidi wko kashachukuliwa jmni
,ikopo
Sana
Mwendelezo
Mbona fupi jamani alafu mnachelewa kutoa mnakatisha stimu
Doric utakuja kulia we🤣🤣
Mambo ni💥💥💥
Kibibi na kimbele mbele chako leo Dorisi kakukana mbele ya umati wa watu
kibibi mwenyewee stil mpaka sasa sii mtumzurii anatumia pesa zake kwa kuendesha watuu
Huba inazdi kunoga jamani
Dorice Utajuta Miraji Atakuua Mbona Wewee Umewafanyia Mabaya Wengii Unahukumu Ya Kibibi
Huba🌹
Aah huba imenoga wtu kuregeleana huko
Plz muniambie njinsi yakuyihangalia you
Duuuh Nicole 😀😀😀
Hii kali jamani
huba inamambo jamn😂😂😂😂
Tena mambo kibao hata nashindwa kuihelewa
@@mahidatatang521 haiishi leo hii
Huba mambo ni motoo!!
Huba
Bisikitu bwana akilizake😂😂😂
Naomba ujilekebishe
Sina raha na youtub
Devi kweli wewe ni mwanaume ha ha ha ga
Devi mdhaifu kwa wanawake wakimtongoza tuuu yeye ndio
co kwl kwa kibb alikataa xema kibb kamforce akkataa kuwa nae atachukua pesa zke zte alzoshea na devi kwny kampuni yke
Cunaelewa devi kampuni yke ilikuwa inakufa xema kibb ndo akamuokoa xo anatumia kigezo hko ili awe na devi inabd akubal kampuni icfe
@@neemarichard8294 dooo sawa sawa💪❤️❤️❤️
Huba imefika patam 🥰🥰
Kila mtu ameamua kuvuruga
Mbn mtandao unasumbua tyu kwnn
Mm nadhani nisim yngu 2
Utamuuuu
mamb ni moti