Fido anatamba San ila sikuzote mtu mwoga anaongea San nakubali San kazi zake ila kupiga watu mabit uwo n umama anatamba Arusha mitaani kwao tu ila n mshambaa San mtoto wa mama Fido unakitu chakujifunza weh n fala mdogo Wacha makelele wahuni atunaga izo 😎
Kwani kuwa mlevi shida iko wapi ? Kwani kakuomba pombe .kwendraaa mfyuu ushamba tu .muache mtu ajinafas ale kitu roho yake inapenda .we live once .eti oh Jcb mlevi ? My drink my choice
Jcb r,Senegalese people we give yo man
Mshua Anatema Nondo ✊
Tafsiri ya hiphop Ni huyu jomba really really
Ukiskia paa ujue imekkosa mr jcb
Interview kali sana 🔥
#Ink Morano
#Jcb
For sure Billnas hakustahili kupata hyo tuzo kwenye category ya hiphop
Napenda tu vile anavio jielezea brother
Siza 🔥🔥
Furaha wa dar
Really hiphop🎉
Respect broo
Respect brother JCB hip hop nation
Hahahaha etiii na mimi narudisha swali kwako
Fido anatamba San ila sikuzote mtu mwoga anaongea San nakubali San kazi zake ila kupiga watu mabit uwo n umama anatamba Arusha mitaani kwao tu ila n mshambaa San mtoto wa mama Fido unakitu chakujifunza weh n fala mdogo Wacha makelele wahuni atunaga izo 😎
Jesus come back
Jcb nahitaji kununua albam zako ili kukusapot nakukubali sanaaaa mwamba
Hip hop tanzania kitambo sasa hivi upumbavu
Jcb makala
Kaka kipaji ninacho cha utangazaji nipe kazi
Tunapiga interview mimi na wewe 😂😂
Mlevi uyo sasa hana ishu
Kwani kuwa mlevi shida iko wapi ? Kwani kakuomba pombe .kwendraaa mfyuu ushamba tu .muache mtu ajinafas ale kitu roho yake inapenda .we live once .eti oh Jcb mlevi ? My drink my choice