Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯
Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣
Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka
Ila mwanang una material...ivi huwa unatoa wap material yote haya ...solute kk🤙
Ukweli umeanza kujulikana baada ya propaganda za us kuwa na nguvu kwa miaka mingi.
USA Awana vitu km hv sio!?
@@chrispinmkanda6097 hawana
Na anajipanga ku2mia mbinu zengine 2mechelewa kushtua mbinu zao
🇹🇿❣️🇷🇺👏
Habari njema.🎉
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
Keeping up putin with excellent innovative of the high technology of war ships .
Mt Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Umesahau jambo muhimu Inauwezo wa kujificha kwenye Rada...yaani inaweza kupita sehemu na isionekane kwenye Radaa..
Nini bosi kama ni submarines zinatumia mfumo wa sonar.
meli zaifu na za kizamani
Nevi sio Navi (Navy)
Ulisemaga au ulizungumzia?
Hawa warusi ni hatari
Ukraine anazilipua
Ukraine mbabe
Muongo ww mara 5 mara 6 muongo
Uongo ni upi bosi..?.
Nipo Russia hap kwenye kumbukizi ya Yevgen prigozin na nakupata kinoma
Vp uko russia wanasema na vp uwezo wao
Mwakahuu mungu pamoja nasi ushoga ni chukizo kwa mungu
Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Ally una chambua vizuri sn inaeleweka ila. Hauzami Kwa uundani zaid kuelisha mtu mweusi. Mwafrika dj smaa anafanya ivyo. Ila Kila mtu analza yake
Hatari sana
I'm number one plz i need likes
Wakwanza leo
Wazungu wote ndio wale wale tu. Africa tushtuke tuache umavi ulio tujaa kichwani
Huyu bwana hachambui Ally masubi, amekuw kama anasom kitabu sasa hatupati uhondo mzuri km Dj sma
kwasababu hana hushabik
@@ShawnBeatzUSHABIKI GANI ANKO ??? UNATAKA ULETE HISIA ZAKO ZA KIDINI KWENYE FUSE?? HUKU NI FACTS AND LOGIC'S HUTAKI NENDA BBC KULE
@@niffonlinetz7214 dini tena mm mpagan anko! hana facts wala logic apo
@@ShawnBeatz KWANI UMELAZIMISHWA ANKO KUMSIKILIZA USIWE KINGANGANIZI KAMA LOKOLE
Heko putin propaganda kwisha
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣
Kuna tofauti gani kati ya navy na marine soulders
Lote ni jeshi moja, linalokua kua na uwezo wa kupigana ndani ya maji na ardhini.
Marine ni jinamaalum la wanajeshi wa maji wa marekani ambao ni sehemu ya jeshi la navy.
Amuna kitu apo
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
Corona ilianza kimasiahara hivihivi . Tujipange na Sisi 😂😂
Wacha mfusi awape kampani wa quba wameteseka sana
Sasa mlisema meli tatu... Sasa hivi meli moja
Putin kaza baba
Daah ni zaidi zama za vita baridi lkn nauliza si rahisi saba kwa waamerika kuzishambulia na kuzizamisha na kuwapa urusi hasara kubwa?
Wanaziogopa kama sumu ndio maana hawajazigusa
Tyson Vs Paul
Tunarudi kuleee kwenye Cuba missiles crisis.
Msulimoto 🇷🇺
Uuraaaaaaa
Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka
Vita visikie kwa jirani acheni uchochez kiki nuka dunia itakuwa kama kitongoji