MTOTO WA MAREHEMU MWANSASU AFUNGUKA SABABU YA KIFO CHA BABA YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • #bishopmwansasu#sikunikilala#kenya

КОМЕНТАРІ • 56

  • @mwambimwalimu4917
    @mwambimwalimu4917 Рік тому +4

    Mungu ampuzishe salama huyu baba nilimpenda sana kwa nyimbo zake, hata nikiwa Sunday school tulikuwa twazicheza sana nipo katika dunia mama changa moto nyingi zina nikabili... 😭😭😭

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 2 роки тому +9

    Like father like Son,Mungu akupe hekma Na Maarifa

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 роки тому +2

    Pole sana Emmanuel Mwasansu, Mungu akutie nguvu. RIP Bishop Mwasansu!

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 2 роки тому +2

    Mungu yu Pamoja nanyi nyote kakamapenzi ya Mungu yatimie kila wakati,Mungu amlaze pema Bishop Mwansasu.

  • @PresenterKai
    @PresenterKai 2 роки тому +4

    Yote maisha ndugu, Mungu akusaidie uiendeleze kazi aliyoiwacha Babako

  • @samsonoryema7363
    @samsonoryema7363 Рік тому

    Ndugu Emmanuel....
    Thank God i have heard and seen you.
    Be strong God is with you.
    I feel bad about the loss of your dad.
    Condolence from Uganda.,,

  • @yusuphfesto1931
    @yusuphfesto1931 2 роки тому +3

    Pole sana mwanangu 😭😭 Nakumbuka sana siku mlikuja Majimoto kuhubiri Injili nimelia machozi,nimeumia sana ila Mungu akutie nguvu uzifate nyayo za Efraim Mwansasu sitachoka kumpenda Pasta wangu japo sipo nae kimwili lkn kiroho niponae

    • @madoratv
      @madoratv  2 роки тому

      AMENIII. USIACHE KUANGALIA MADORA TV NA USISAHAU KUSUBCSIBE ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 роки тому +1

    Utafika mbali kijana your very humble Mungu akutunze

  • @hamisikaberege2759
    @hamisikaberege2759 2 роки тому +1

    Pole san, namkumbuka sana Bishop Ephraim R. Mwansasu alipokuja Mpanda, nsemulwa kuja kufungua kanisa mwaka 2018. Daah aliniombea. R.I.P Mwansasu.

  • @bellatvonline
    @bellatvonline 2 роки тому +3

    Ubarikiwe Sana

  • @DamarisTiso
    @DamarisTiso 4 місяці тому

    Mungu akutie nguvu. Nimewahi sikia mahubiri ya babako na nyimbo zake zakutubariki huko mombasani mikindani reedemed church mwaka wa 2005- 2006 hadi leo nilikuwa nashangaa kwani mtumishi wa mungu alienda wapi? Little did i know that he was promoted to glory. Mungu akuinue Emmanuel undeleze kazi ya mungu.

  • @nashondaniel3592
    @nashondaniel3592 2 роки тому +3

    Mungu amtunze sana

  • @reginamollel9688
    @reginamollel9688 2 роки тому +1

    Mungu hawatie nguvu kwakweli inaumiza sana ila mungu kalichuma tunda lake tutamkumbuka sana pastor mwansasu

  • @violetsaru9297
    @violetsaru9297 Рік тому

    Pole sana kakayangu Mungu akupe nguvu na uweza,

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 роки тому +1

    Mungu akutunze mtoto wa Bishop endelea kumtukia mungu kwa uaminifu hatakuacha daima ila inauma Sana 💔 kifo kinauma jamani🤔🙆😭😭😭😭😭😭😭

  • @janetnjobvu2871
    @janetnjobvu2871 2 роки тому

    Pumzika kaka nashindwa kukusahau tulikupenda kaka lakini mungu kakupenda zaidi pumzika kwa amani Amina

  • @Njokira_Fx
    @Njokira_Fx Рік тому

    Like father like son Hadi vile unaongea nasikia TU sauti ya mwansasu nakumbuka mwansasu akija Mombasa Kenya miritini mahubiri yake Hadi waleo yananitia nguvu Mungu ampumzishe Kwa amani na bro Emanuel endeleza kwenye baba amekuachia jipe moyo Mungu mbele

  • @annachristersimon
    @annachristersimon 25 днів тому

    Usiogope songa mbele ktk jn la Yesu

  • @anjiwikeulomi2852
    @anjiwikeulomi2852 2 роки тому +1

    Barikiwa sana kijana

  • @barakamwangalaba8027
    @barakamwangalaba8027 2 роки тому

    Pole mungu awalinde na mpendane

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 2 роки тому

    Mungu mwema akusaidie kk

  • @evelinemlay5572
    @evelinemlay5572 2 роки тому

    Kweli wewe ni Mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua!

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Рік тому

    Kijana ana hekima sana. Mungu azidi kumuongoza

  • @d.methuselah9329
    @d.methuselah9329 2 роки тому +3

    MADORA TV INAFANYA VIZURI SANA MUNGU AWATUNZE SANA

  • @rubenijackisoni5679
    @rubenijackisoni5679 2 роки тому

    Mungu wambinguni anatuwazia mema pole kijana mwenzangu

  • @stellakita5289
    @stellakita5289 2 роки тому +2

    May his Soul rest in Eternal peace😥..Huyu Baba aliniuma mno.

  • @EstherMbogella-cd9kx
    @EstherMbogella-cd9kx Рік тому

    Mungu àtakusaidia mutumishi

  • @charlesnzwalla3001
    @charlesnzwalla3001 Рік тому

    Kwa hapa Dar kanisa lake lilikuwa wapi ndugu zangu

  • @SamsonKonki
    @SamsonKonki 3 місяці тому

    Kweli kbs

  • @micracyrbukulu8141
    @micracyrbukulu8141 2 роки тому +4

    Dada yangu mtangaxaji unazidi kupaa 2022 ukawe wabaraka kwako

  • @sarafinasakalla1156
    @sarafinasakalla1156 2 роки тому

    😭😭😭😭Mungu akutunze mtumishi usia wababa uzidi kutembea na Mungu usimwache Mungu

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 роки тому

    Mungu akutie nguvu kaka

  • @miyamediatz
    @miyamediatz 2 роки тому +2

    Dhuuuu 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 2 роки тому +1

    Aliimba siku nikilala, Sasa amelala!

  • @joshuasitta293
    @joshuasitta293 2 роки тому +1

    ❣️❣️madoratv

  • @MamaEsta-zt6hn
    @MamaEsta-zt6hn 11 місяців тому

    R.i.p

  • @jeniphersamson6852
    @jeniphersamson6852 2 роки тому

    😭😭😭mungu akulehem

  • @chalazaonetv4749
    @chalazaonetv4749 6 місяців тому

    Daaaah sikujua km alikufa

  • @user-qo1bb4ks7k
    @user-qo1bb4ks7k 10 місяців тому

    😭😭😭😭😭

  • @rehemamshiko6753
    @rehemamshiko6753 2 роки тому

    Poreni sana wapendwa

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 2 роки тому

    MUNGU awe nawe Nabii Emmanuel Mwansasu.

  • @lusajosajent5487
    @lusajosajent5487 2 роки тому +2

    Safiii

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku1008 Рік тому

    Duh kifo chake

  • @dianacharles5105
    @dianacharles5105 2 роки тому

    Mpaka unavoongea Kama bishop daah

  • @kinyamagohaatu4496
    @kinyamagohaatu4496 2 роки тому

    mung akutie nguvu unae baba mwinginee

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 2 роки тому

    Hekima niniona kwako

  • @witneskawogo4363
    @witneskawogo4363 2 роки тому

    MUNGU akulinde baba

  • @gervaskazinza3563
    @gervaskazinza3563 2 роки тому

    Sasa mnafanya interview huku mmeangalia pembeni badala ya kuangalia camera

  • @PresenterKai
    @PresenterKai 2 роки тому +2

    Yote maisha ndugu, Mungu akusaidie uiendeleze kazi aliyoiwacha Babako

  • @janetnjobvu2871
    @janetnjobvu2871 2 роки тому

    Pumzika kaka nashindwa kukusahau tulikupenda kaka lakini mungu kakupenda zaidi pumzika kwa amani Amina

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭