Mungu ampuzishe salama huyu baba nilimpenda sana kwa nyimbo zake, hata nikiwa Sunday school tulikuwa twazicheza sana nipo katika dunia mama changa moto nyingi zina nikabili... 😭😭😭
Pole sana mwanangu 😭😭 Nakumbuka sana siku mlikuja Majimoto kuhubiri Injili nimelia machozi,nimeumia sana ila Mungu akutie nguvu uzifate nyayo za Efraim Mwansasu sitachoka kumpenda Pasta wangu japo sipo nae kimwili lkn kiroho niponae
Mungu akutie nguvu. Nimewahi sikia mahubiri ya babako na nyimbo zake zakutubariki huko mombasani mikindani reedemed church mwaka wa 2005- 2006 hadi leo nilikuwa nashangaa kwani mtumishi wa mungu alienda wapi? Little did i know that he was promoted to glory. Mungu akuinue Emmanuel undeleze kazi ya mungu.
Like father like son Hadi vile unaongea nasikia TU sauti ya mwansasu nakumbuka mwansasu akija Mombasa Kenya miritini mahubiri yake Hadi waleo yananitia nguvu Mungu ampumzishe Kwa amani na bro Emanuel endeleza kwenye baba amekuachia jipe moyo Mungu mbele
Mungu ampuzishe salama huyu baba nilimpenda sana kwa nyimbo zake, hata nikiwa Sunday school tulikuwa twazicheza sana nipo katika dunia mama changa moto nyingi zina nikabili... 😭😭😭
Like father like Son,Mungu akupe hekma Na Maarifa
Pole sana Emmanuel Mwasansu, Mungu akutie nguvu. RIP Bishop Mwasansu!
Mungu yu Pamoja nanyi nyote kakamapenzi ya Mungu yatimie kila wakati,Mungu amlaze pema Bishop Mwansasu.
Yote maisha ndugu, Mungu akusaidie uiendeleze kazi aliyoiwacha Babako
Ndugu Emmanuel....
Thank God i have heard and seen you.
Be strong God is with you.
I feel bad about the loss of your dad.
Condolence from Uganda.,,
Pole sana mwanangu 😭😭 Nakumbuka sana siku mlikuja Majimoto kuhubiri Injili nimelia machozi,nimeumia sana ila Mungu akutie nguvu uzifate nyayo za Efraim Mwansasu sitachoka kumpenda Pasta wangu japo sipo nae kimwili lkn kiroho niponae
AMENIII. USIACHE KUANGALIA MADORA TV NA USISAHAU KUSUBCSIBE ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA
Utafika mbali kijana your very humble Mungu akutunze
Pole san, namkumbuka sana Bishop Ephraim R. Mwansasu alipokuja Mpanda, nsemulwa kuja kufungua kanisa mwaka 2018. Daah aliniombea. R.I.P Mwansasu.
Ubarikiwe Sana
Mungu akutie nguvu. Nimewahi sikia mahubiri ya babako na nyimbo zake zakutubariki huko mombasani mikindani reedemed church mwaka wa 2005- 2006 hadi leo nilikuwa nashangaa kwani mtumishi wa mungu alienda wapi? Little did i know that he was promoted to glory. Mungu akuinue Emmanuel undeleze kazi ya mungu.
Mungu amtunze sana
Mungu hawatie nguvu kwakweli inaumiza sana ila mungu kalichuma tunda lake tutamkumbuka sana pastor mwansasu
Pole sana kakayangu Mungu akupe nguvu na uweza,
Mungu akutunze mtoto wa Bishop endelea kumtukia mungu kwa uaminifu hatakuacha daima ila inauma Sana 💔 kifo kinauma jamani🤔🙆😭😭😭😭😭😭😭
Pumzika kaka nashindwa kukusahau tulikupenda kaka lakini mungu kakupenda zaidi pumzika kwa amani Amina
Like father like son Hadi vile unaongea nasikia TU sauti ya mwansasu nakumbuka mwansasu akija Mombasa Kenya miritini mahubiri yake Hadi waleo yananitia nguvu Mungu ampumzishe Kwa amani na bro Emanuel endeleza kwenye baba amekuachia jipe moyo Mungu mbele
Usiogope songa mbele ktk jn la Yesu
Barikiwa sana kijana
Pole mungu awalinde na mpendane
Mungu mwema akusaidie kk
Kweli wewe ni Mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua!
Kijana ana hekima sana. Mungu azidi kumuongoza
MADORA TV INAFANYA VIZURI SANA MUNGU AWATUNZE SANA
Mungu wambinguni anatuwazia mema pole kijana mwenzangu
May his Soul rest in Eternal peace😥..Huyu Baba aliniuma mno.
Mungu àtakusaidia mutumishi
Kwa hapa Dar kanisa lake lilikuwa wapi ndugu zangu
Kweli kbs
Dada yangu mtangaxaji unazidi kupaa 2022 ukawe wabaraka kwako
Asante Sana
😭😭😭😭Mungu akutunze mtumishi usia wababa uzidi kutembea na Mungu usimwache Mungu
Mungu akutie nguvu kaka
Dhuuuu 😭😭😭😭😭😭😭😭
Aliimba siku nikilala, Sasa amelala!
❣️❣️madoratv
R.i.p
😭😭😭mungu akulehem
Daaaah sikujua km alikufa
😭😭😭😭😭
Poreni sana wapendwa
MUNGU awe nawe Nabii Emmanuel Mwansasu.
Safiii
Duh kifo chake
Mpaka unavoongea Kama bishop daah
mung akutie nguvu unae baba mwinginee
Hekima niniona kwako
MUNGU akulinde baba
Sasa mnafanya interview huku mmeangalia pembeni badala ya kuangalia camera
Wewe unataka sura au wanachokiongea. Kachukue picha ukae nayo
Wewe mpumbavu hujui maana ya location??
Yote maisha ndugu, Mungu akusaidie uiendeleze kazi aliyoiwacha Babako
Pumzika kaka nashindwa kukusahau tulikupenda kaka lakini mungu kakupenda zaidi pumzika kwa amani Amina
😭😭😭😭😭😭