🅴🆇🆃🅴🅽🅳🅴🅳 🅷🅸🅶🅷🅻🅸🅶🅷🆃🆂 | SINGIDA BLACK STARS {0} VS SIMBA SC {1} | LIGI KUU YA NBC 2024/25
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC UA-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Iyo ndo simbaaaaa ya ubaya ubwela naipenda Simba mpaka naipenda tena Simba nguvu moja ♥️♥️♥️❤❤❤
SIMBA SPORTS CLUB BINGWA MSIMU HUU ❤️❤️❤️ UBAYA UBWELA 🔥🔥🔥
In love with Simba everlastingly
simba nguvu moja hongeleni maasikali wetu kwa kupambana na hao maharamia walio kua msituni mmewapiga na mkawapiga na wanao wafadhili silaha simba nguvu moja
Sipirit ya upambanaji wa chezaji wetu wa mnyama tuliyokuwa tunaitamani kuanzia kipindi cha mwanzo wa mchezo leo tumeiona ambayo imewalazimisha Singida licha ya kukamia mchezo watumie nguvu zaidi ili kuharibu mipango ya Simba.Hongera Simba kupata ushindi mhimu wa leo
Love u simba ila ahoua ananikosha mno nampenda sana sijui nisemeje
Mungu ni mwema, tumeunyamazisha umati wa watu wote walio kuwa wanatuombea tusipate point3🦁🦁 ila mungu to kawanyamazisha
Asante mungu kwa kutupa ushind❤❤
Naipenda Simba kuliko ata demu wangu 🥰😍😍😍
,,,😂😂😂😂😂😂akikusikia penzi linakufa
hahahahaha😅😅😅
duh we noma
mtoto akililia wembe mpe umkate singida waliyataka wenyewe mungu awabaliki wachezaji wetu awape wepesi kuelekea mchezo kimataifa muwe na afya njema
Simba nguvumoja
Akiutaka wembe unoe zaidi ili akiushika tu umkate hatoushika Tena ndicho alichofanya Fadlu
Kamdomo kamdomo kamewaponza😂😅
Hahahah tumepiga mtu na mama mkwe wake
Timu yoyote iliyowekewa hela na gsm ili iifunge Simba imepata aibu yenyewe. Simba ni TAIFA KUBWA...❤❤❤❤
Simba ilivofungwa alishika nani kwen
Simba SC Bingwa Nguvu mmoja.😇😄😄😄😄😄😄
Ila zile save mbili za Camara kiboko aaaah❤
Tumefunga team mbili kwa mpigo
Naipendasana simba language tena naaipendaa
Timu tunayo viongozi msiwe washabiki mfanye kazi kwa weledi siyo lazima Kila dirisha usajili,tuna vitu vingi vya kufanya viwanja hatuna hizo hela za usajili ziendeleze miundombinu ya timu
Hatimae mechi 15 point 40 inshallah ❤❤❤🙏
Kz
🎉😮😅
Babo Justine SIRITO MAKOI LEO Dada VAI MAKOI LOVE Babo Dada LUCY MAKOI LOVE Babo SIMBA 5 🖐️ LEO 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
Safi sana simba good joab
MIMI YANGA MBONA HUMU SIONI WENZANGU?
AU MATARAJIO YETU YALIKUWA SIMBA KUPOTEZA LE
2po kama wote
simba nguvu moja
YANGA 1 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tajiri mo tununulie huyo Rupia
Alhamndulillahi
Woooooo
Hii nd highlight sasa acha wale wengne😃😂
SIMBA 7 LEO 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
Naipenda sn smb angu
Naitakia singda ushindi Mimi n yule yule mtto wa jangwan❤❤❤❤
🎉🎉🎉
Daah! Simba nyie kila Mechi Nahodha ana Bendera ya Timu wenzenu wote hawana hata Utopolo Pia
Hii ndio UBAYA UBWELA inaitwa kambali na mnyama wa mwituni wa ndani mtaishia kulia😂😂😢😢😢😢
Simbaaa atali 😊
Alienifurahisha Mimi niiii mwamba wa miamba aliekua bench nae si mwingine n MATOLA hahahhaha alieskia matola akiwaambia bench la black star fatilieni timu yenu acheni na wachezaji wetu tena kwa ukali tia neno hapo kweny comment mwamba kanfurahisha saaaaaaaaaana kuwawakia bench la singid mitumbwiiiiii😂😂😂😂😂😂😂
Naitakkia sinngida usn😅😊😊
This is simba
Ubaya ubwela
SIMBA NGUVU MOJAAAAA
NI HATARIIIIIIIIIII
2po kama woteeeeee
Mungu C Athuman Bana Kiko Wap Wao Wameungana Kwa Uovu Sisi Tukashikamana Na Muumba Wetu Akatutendea haki
Beki wa simba walimsoma rupia mtu wa kuotea sasa walimpa mitego mingi kashindwa next time kma ivo
Jean ahoua love u
Mnyamaaaa...
Ghriiiiiiiiiiiiiiiiiii.....!!!!!
Tafadhar simba app tunaomba muwe munawahoji mashabiki baada ya mechi ili tuwe tunaona reactio za mashabiki
😘😘🥰🥰😍😍🤩🤩🥳🥳
Mdogo mdogo mpaka tutaelewana tuu
Nabi malisa
Jaribuni kuongeza speed ya kufunga magoli mengi. Timu ilo namba 2 inafunga magoli mengi ili km kutatokea uiwayano wa point watawazidi magoli.
Mtoto kau want 😂😂😂
Halafu hawa Singida wangecheza hii game kawaida tu bila kukamia kwa kuwaza pesa walizohaidiwa pengne wangeweza kupata hata sare, sasa wakaingia na moto mwishowe hadi wanafanya makosa ya hovyo
Lupia mtu mbady sanaaa
Wachezajo wa singida wanakaa kwa simba kama mabeki duuh
mechiii muhimu kuna hajaa mkwalaa kuanziaa benchi ushauriii tuuuuu
Ndo shida yakamdomo
MICHEZAJI YA SINGIDA NIMICHOKO MDA WOTE INALALAMIKATU KWA MWAMUZI IMESHATUMWA NA MICHOKO YAO IKAFIKIRI GEMU ATAKUA RAHISI HUU NIUBAYA UBWELA KENGE NYIEEEE
Nabii malisa
Ubaya ubwela🦁🦁
Ila msimu huu tuna vita sana lakini tutavipiga na kuvishinda
Ubwela tu tunawaapa
Alie mleta kagoma peponi bila Kona kona
Yani mung awalinde wachezaji wetu tunawapenda mnooooooooo ubaya UBWELA
YANGA 0 mtoto
Ilove you so much SIMBA❤ ARSENAL❤🫶🫶🫶🫶♥️♥️♥️♥️♥️♥️🤲🤲🤲🤲🤲🦁🦁🦁
yanga tulia
Hii mechi simba walikuwa 12
Sasa iyo kona wamekataa kvp😅😅😅
Wanaendaga na akili za ki utopolo utopolo utopolo 🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Kamdomo kamdomo kamewaponza😂😅
❤️♥️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️❤️♥️
Tumenyamazisha tukelele twa gsm
😂😂😂 Sasa mwana yanga ataandika kitu gan?
👑🦁♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
simba nguvu moja
YANGA 0 mtoto
🫡🫡🤓🤓😎😎
🚴🚴🚵🚵🏋️🏋️🏇🏇🤸🤸