Ustadh Allah akujaalie IKHLASW ktk uyafanyayo yote ya khairi lkn kizungu kimezidi si hao ni waswahili tena wazee kunaaaani kizungu hicho ambacho ht hukijui...gapu gapu sema nafasi wataelewa vizuri 11:17
Huyu ndugu ni kama hakuenda high school ndio aogopa sheikh aongee kizungu. Hy point ya kizungu haina mashiko. Mombasa ni Metropolitan ndani Ya Kenya na si Tanzania na hao wote hapo huwa wakizungumza wachanganya kizungu na kiswahili (code mixing/code switching) hapo kuna vijana na watoto pia usiangalie wazee. Sheikh upo sawa lugha yako kuichanganya na hata ukiamua kizungu kitupu bado wataelewa wote.
@@coolvoices6608 ww km umesoma sawa...mm naongelea kuwa si lazima aseme kizungu km hajui na pia anao waongelesha ni wazee ambao ajua km hawajasoma na watu wa mtaani...ww nenda higher school mpaka usike mbinguni
Masha Allah somo zuri Allah akujaalie umri mrefu uzidi kutuelimisha
Nakupenda sana shehewangu unatufundisha hukuunatichekesha napenda sana kukusikiliza
Mashallah ❤💗 mashallah ❤ ALLAH atuongoze
Maa shaa Allah tabaraka Allah sheikh Izu darsa zuri wallah
Jazak Allah khayrah wa Barak Allah fiik
Allah akueke uzidi kutuelimisha
Mashallah mungu akufungulie ufaham zaidi ya hapo
Nakufuatilia sana masomo yako muungu akujalie kheri
Mashaallah Allah azikubali ibada zako na sisi sheikh wetu izudin shukran kwasomo
Maa Shaa Allah Jazaakumullahu khairan
Allah amzidishie huyu shikh
Maa.shaa.Allah. kwa.somo.zuri.na.kunawale.wanawake.wegeni.huilaza.mkono.ya.kama.wanasuyudu.na.hapa..vipi
Sheikh mm nakuelewa sana hata sihitaji dalili
MashaAllah
Tumeelimika kweli, alhamdulillah
Asalam aleykum mbn haina sauti
Wa alaykum Salam maybe simu Yako sauti ipo ndugu
KINYAA - Kujiskia
Nakuuliza na hawa wanga ni waislamu utadeal nao vipi. Niendelee kusalimiana au
Ustadh Allah akujaalie IKHLASW ktk uyafanyayo yote ya khairi lkn kizungu kimezidi si hao ni waswahili tena wazee kunaaaani kizungu hicho ambacho ht hukijui...gapu gapu sema nafasi wataelewa vizuri 11:17
Asante kwa maoni yako mola akubarikie shukran sana
Shekhe wetu izudin tunafaidika vizuri na masomo yako kutoka Tanzania barakallahu fiyka...
Masha Allah jazakallah kheir❤❤
Huyu ndugu ni kama hakuenda high school ndio aogopa sheikh aongee kizungu. Hy point ya kizungu haina mashiko. Mombasa ni Metropolitan ndani Ya Kenya na si Tanzania na hao wote hapo huwa wakizungumza wachanganya kizungu na kiswahili (code mixing/code switching) hapo kuna vijana na watoto pia usiangalie wazee. Sheikh upo sawa lugha yako kuichanganya na hata ukiamua kizungu kitupu bado wataelewa wote.
@@coolvoices6608 ww km umesoma sawa...mm naongelea kuwa si lazima aseme kizungu km hajui na pia anao waongelesha ni wazee ambao ajua km hawajasoma na watu wa mtaani...ww nenda higher school mpaka usike mbinguni