Lody Music - Kubali Lyrics Video | Unayempenda kampenda mwengine, huyo mwengine naye ana mwengine...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • [Lyrics]
    [verse 1]:
    Yeah! Unalewa nini?
    Wakati mwenzako ameshakuacha
    Yaani hakutaki tena
    Unampigia nini?
    Akiona namba yako tu anakata
    Huyo sio wako tena
    Hata usiwaze kulipiza kisasi
    Kwa vijembe vingi huko status
    Kwenye moyo wake huna nafasi easy
    Tena usiwaze kujipiga risasi
    Usijinyonge usijigasi
    Kwenye moyo wake huna nafasi easy
    [chorus]:
    Usilazimishe
    Utazeeka vibaya
    Asikulazimishe no no no
    Unaenda mishe mishe
    Ndani analeta malaya
    Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh
    Amekuacha we, umeachwa
    Kubali kubali
    Utampata wako mtapendana, kwa dhati
    Amekuacha we, umeachwa eeh!
    Kubali kubali
    Aah! Mapenzi yanauma eh
    [verse 2]:
    Unayempenda kampenda mwengine
    Huyo mwengine naye ana mwengine
    Mwengine naye kapendwa na mwengine
    Moyo sukuma damu sio mashine
    Yanakuumiza na pengine
    Hauna budi kumpenda mwengine
    Mapenzi joto joto usipime
    Moyo sukuma damu sio mashine
    Penzi kiza kinene kiroho mbaya
    Yanatesa tena vibaya
    Ukitenda una retire ah!
    Labda hufiki kina mapenzini
    Ndo maana unaachwa matatani
    Hufiki kina mapenzini (Mapenzi mapenzi)
    [chorus]:
    Usilazimishe
    Utazeeka vibaya
    Asikulazimishe no no no
    Unaenda mishe mishe
    Ndani analeta malaya
    Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh
    Amekuacha we, umeachwa
    Kubali kubali
    Utampata wako mtapendana, kwa dhati
    Amekuacha we, umeachwa eeh!
    Kubali kubali
    Aah! Mapenzi yanauma eh
    (Lody Music on this one)

КОМЕНТАРІ • 48