Pole Sana nakupa pole SI kwa sababu ni mfuasi wako la ila Mimi ilinikuta. Chooni lakini sikuanguka ila kiuno kililia kama kimevunjika najua maumivu yake
Huu ushuda unatujenga wengi sana nakumbuka siku napewa kuhubili ibada mwaka jana siku jua kama kama Dr wangu baba yangu Rais wangu amepata shida huu ushuhuda niwa kwali
Mitume original maana yake nini ndg mitihani ipo nadhani bado mnajidanganya an wahubiri hamjali afya zenu kwakua mnatibu na mnauwezo wakukemea mapepo nakuondoa ulemavu now nyei mnauwezo sawa ss mjue kuwa hamna uwezo wakuponya bali ni uwongo na utapeli. Nimuda mnatakiwa kubadilika mnakula dhulma kubwa
😂😂😂😂😂 Sasa jamani nyie sindio huwa mnaondoa mapepe nakuwaombea waliozaliwa na ulemavu now siuombe au uombewe upone .. Nadhani ndio muda muafaka manabii wakunyanyue ety. .. Nakushangaa unalalama wakati uwezo unao ss hatuna msaada mbona
Mungu azidi kukupigania na kukulinda daima Damu ya Yesu inenayo mema inene mema kwako siku zote
Amina mtuuu Mungu nimwema
Pole majarbu Ni mengi,huruma ya Mungu ikutoshe
Ubalikiwe sana kwa ushauli mzuri
A truly living miracle,maisha yako ni ushuhuda tosha.
Uyu simuoni vizuri
Naomba number yako angalau nikusalimie miaka mingi sana tangu kakola aiseee.
🇹🇿South Africa 🇿🇦
Mungu ni mwema
Pole sana Mtumishi wa Bwana ushuhuda huu umenigusa sana.
Pole sana papaa, Hope unamkumbuka Juliet since Mwanza, aliye kuwa mwimbaji, ,,,Mungu wa mbinguni akuponye
Amina
God is in total control
God is Great… Alwayz…
Macheni hayoo
Amina Hongera Sana Mtume na Rais wa Mitume na Manabii
Nabii mkuu naye Geodavie anaongoza akina nani??
Hawa mitume wakiumwa wanakimbilia hospitali,waumini wao wakiumwa wanaambiwa njoo tukuombee mungu wetu anaponya,wanatufanya sie mazezeta au misukule
Ubarikiwe mtimishi yote yakweli
Amen baba
Nimejifunza Sana leo ,inasikitisha Sana Ila mungu nimkuu kuliko yote tunayopitia.
Hee kwamala yakwanza ndio nasikia nabii amepooza mm hii kali
Amina mtumishi,sana
Pole Sana nakupa pole SI kwa sababu ni mfuasi wako la ila Mimi ilinikuta. Chooni lakini sikuanguka ila kiuno kililia kama kimevunjika najua maumivu yake
Mimi hawa wavaa mapete mmmmh!!!+
na mikufu nawaogopa saana,Nafikiri Majini yao yanawapa Adhabu
Mwalimu wetu wa kun fu kakola enzi ubarikiwe mtumishi
Alikuwa bounsa wangu rafiki kaka yangu pole sana nilikuwa sionewi na mtu kakola moja hiyo😊
Hiyo ya Afya kwa watumishi umeongea sawa hundred percent.
❤❤❤❤❤❤1
Mungu ni Mwema sana hata sasa ni Ebenezer
Pole sana mtumish
Mungu atuponye
Very polite and kind person, ameanza mbali kufika hapo .shetani ni mharibifu.lkn mungu ni mkuu umeshida baba.
yaani hizo pete naziogopa
Aaa wapi 😅
Dah Sina hata Cha kukoment ila dah Mungu atusaidie apa nilikua nahurumia bando langu ila Tanzania matapeli na mazuzu ni wengi mnoooo.
Huu ushuda unatujenga wengi sana nakumbuka siku napewa kuhubili ibada mwaka jana siku jua kama kama Dr wangu baba yangu Rais wangu amepata shida huu ushuhuda niwa kwali
Kwa macho tuu tena macho na akili za darasa la saba huyu jamaa sio kabisa na ni mpigaji tu kama yule mchungaji kiboko ya wachawi😮
Kwani tatizo ni nini hapo kitu gani kinachokufanya umfananishe na kiboko ya wachawi, unahisi ni kwenye eneo gani anafanya ujanja ujanja hapo
asikofu cheni pete za nini ..ndio mapigo ya Mungu wakweli hayo
Njaa hizo
Hahaa huyu mutime msimseme vibaya , huyu ni baunsa anaweza akakujia mtaani lalukana ukakata roho
Eti mtume anaparalaiz mmmh ,mtume au muagize huyuu,,,mnajipa majina yaupigaji wa hela kwa wasio elewa ,,,
Duh haya MAISHA ni safari ndefu sana, yaani jamaa alianza KUPIGANA NGUMI mpaka kuwa Nabii
Stakufa Bali nitaishi niyasimulie matendo ya Mungu
Ushuuda huu umenifunza kweli. Ni pasta GERLAS niko DRcongo
Njoo tukutibu wengi walio pooza wanatibiwa na kupona
Matapeli
duh huyo amejaa Mapepo tuu
Maandiko yanasema mamlaka ya kuzimu haitalipiga kanisa.
Ulipooza wapi wewe sasakesho utapooza na htopona kabisaaaaa
Mitume original maana yake nini ndg mitihani ipo nadhani bado mnajidanganya an wahubiri hamjali afya zenu kwakua mnatibu na mnauwezo wakukemea mapepo nakuondoa ulemavu now nyei mnauwezo sawa ss mjue kuwa hamna uwezo wakuponya bali ni uwongo na utapeli.
Nimuda mnatakiwa kubadilika mnakula dhulma kubwa
Umenipa Raha nitandelea Kuwa Karibu na wewe
Makafiri wana tabu kweli
Mpigaji
Nabii muhuni huyo
ASANTE MTUMISHI WA MUNGU KWA USHUHUDA HUU UMENITIA MOYO
Mtume Katumwa na nani?
pungunza uongo ww staili ya kutafuta sadaka
😂😂😂😂😂 Sasa jamani nyie sindio huwa mnaondoa mapepe nakuwaombea waliozaliwa na ulemavu now siuombe au uombewe upone ..
Nadhani ndio muda muafaka manabii wakunyanyue ety. ..
Nakushangaa unalalama wakati uwezo unao ss hatuna msaada mbona
Ameeen