KAULI YA SABAYA BAADA YA KUHUKUMIWA - "MAMA MWAMBIE ASIOGOPE, MUNGU YUPO KAZINI BADO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • KAULI YA SABAYA BAADA YA KUHUKUMIWA - "MAMA MWAMBIE ASIOGOPE, MUNGU YUPO KAZINI BADO"
    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake baada ya kukutwa na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha.
    Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Arusha, Odira Amworo amesema kuwa ameridhika mashtaka dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake na kuwatia hatiani kosa unyang’anyi wa kutumia silaha.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 181

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 2 роки тому +2

    Mungu ndia ajuaye kama kweli au si kweli

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 роки тому +2

    Mwenyezi mungu mtetee Sabaya kwani wewe ndiye wajua kama alikosea au la.

  • @mwitamsamba5911
    @mwitamsamba5911 2 роки тому +2

    Sabaya pole mungu pa1 nawe

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u 2 роки тому +17

    Mda nimwalimu yeye alikuwa anawafunga wengine sasa mungu amefanya mapinduzi kwake uvamia kwa mbowe nakumpa kesi ya ugaidi leo nawewe unaitwa mjerajera

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 2 роки тому +1

    Amina Mungu hawahi wala hachelewi na kwa Mungu hakuna dhambi kubwa wala ndogo machoni kwa Bwana Mungu humsamehe Mtu yoyote anae tubu na kuacha dhambi kikubwa ni kuwa na Imani tu ni kweli Mungu yupo kazini halali wala hasinzii kama kila jambo linapita na hili pia litapita

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 роки тому +11

    Mwandishi namkubali sana anavyoripoti TAARIFA Kwa kujiamini na makini sana.

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 2 роки тому +2

    MUNGU MKUU akusaidie sabaya. Amen.

  • @marrymenas
    @marrymenas 2 роки тому +12

    Keep up Sabaya, usikate tamaa! ❤

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 2 роки тому +18

    Mungu simama nae Umsamehe alipokosea 😭😭

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 2 роки тому +6

    Utakuwa kiongozi hata huko uendako UONGOZI UKO NDANI YAKO
    Mungu akusaidie SABAYA

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 2 роки тому +11

    Mungu yupo kazini wala usijali sabaya yeye ndo hakimu wa kila kitu

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 2 роки тому

      Ndiyo maana Ameshamuhukumu miaka 30 jela

    • @williamkavishe397
      @williamkavishe397 2 роки тому

      @@johnmwasilu7087 ungekuwa Ni wewe uliotendewa Kama waliotendewa usingeongea hivyo wacheni unafiki nyie

  • @hamadeddy3046
    @hamadeddy3046 2 роки тому +16

    Pole sana bro aisee utatoka tu binadamu c wema

  • @blandinalukole5535
    @blandinalukole5535 2 роки тому +3

    Sabaya Mungu ni wa wote hata wanaokutupia mawe wanakuona mchafu wao wananuka dhambi ila wamezipaka mafuta, endelea kumwamini Mungu na ni yeye rafiki wa kwel, jifunze kupitia Maguful alifanya vitu vingi vizuri lakini wanafiki wamemsaliti iweje wew? Endelea kumtumainia Mungu hata wakufunge maisha. Kuna mwimbo unasema Mungu huwatumia watu wake kumwaibisha shetani kwani wanapopita kwene Magumu humwaibisha shetani

  • @Veni584
    @Veni584 2 роки тому +9

    Ni kweli Mungu yupo bado

    • @mwahamedychilungu8981
      @mwahamedychilungu8981 2 роки тому +1

      Nashetani yupo pia kama yeye alivyo fanyaga ushetani mbwa uyo

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 2 роки тому +1

      Kabisa. Alivyombaka yule mwanamuziki km wewe mzazi wa yule binti ni maumivu gani! Wanaficha kujenga heshima ya yule binti miaka 30 midogo

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 2 роки тому +1

      Kweli ushetani kaufanya hayo ndo majibu

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 роки тому

      @@kellyngogo3319 bint gani

  • @abdulkhamis1170
    @abdulkhamis1170 2 роки тому +5

    Pole kaka

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 2 роки тому +4

    Duuuu himechi ninoma sana mpaka watu walio mkusudia wamefanikiwa sasa😭🙏

  • @ozybizness3914
    @ozybizness3914 2 роки тому +2

    Mungu ni mwema

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 2 роки тому +4

    Mungu Bado yupo kazini kweli ,Halali wala.hasinzii.

    • @abelsteven3189
      @abelsteven3189 2 роки тому +1

      Hata watu alioumia walimtaja Mungu, hatujui ni nani anayelipa. Ila Mshahara wa dhambi ni mauti.

  • @adamnoah4334
    @adamnoah4334 2 роки тому +6

    Mungu ni wa wote.

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 2 роки тому +2

    God at work.
    Nimeupenda msemo
    Wake Mungu anafanya.

  • @zachariahariohay359
    @zachariahariohay359 2 роки тому +1

    Mungu akusimamia

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 2 роки тому +1

    Mungu atakusaidia sana

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 2 роки тому +7

    Kesi kwa jinsi nilivyokua naifatilia nilikua naona hukumu ya sabaya ikimuelemea maana hata maswali aliokua akiulizwa na majibu yake nikasema ngoja nisiitangulie mahakama

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 2 роки тому +2

    Mungu bado yupo kazini 🙏🙏🤐

  • @abdiabdi4299
    @abdiabdi4299 2 роки тому

    Kweli mungu yuko kazini majambazi wenzake wote wataishia jela

  • @zuleikha7691
    @zuleikha7691 2 роки тому +1

    Mungu yupo kazini analipwa mshahara na nani

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 2 роки тому +4

    Ukikata Rufaa sasa familia zilizoumizwa zitajitokeza. Wataomba faragha watoe ushahidi. Walikaa kimya kulinda heshima zao na watoto wao waliobakwa. Eti mimi Ni DC fungua alikolala huyo msanii ukambaka mtoto wa watu kisa DC!! Leo ndo unamtamka Mungu unamuonea Mungu alikupa cheo ukakitumia vibaya. Mungu hapendi. Ukikata rufaa miaka 90 jela

  • @lusitoally5623
    @lusitoally5623 2 роки тому +7

    Mungu hayupo pamoja na wezi na wanyang'anyi

    • @fredrickmatiku7783
      @fredrickmatiku7783 2 роки тому

      Mungu yupo na wanyonge sio magaidi na wanyang’anyi wako na mashetani sehem yao hela tu miaka 30

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 роки тому

      Asiye ijua hii nchi atashangilia kifungo cha Sabaya.Lkn Mungu yupo kazini kweli kweli kwa matajiri wapitao kwenye migongo ya wanyonge.🙏🙏🙏

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому +5

    Mungu atamtetea,masikini mama yake

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 2 роки тому

    Mungu yupo kwa wote.

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 роки тому +3

    Pole sabaya...MUNGU bado kazini anashighurika na Maisha yetu nakuombea uzima.

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 2 роки тому

      JAPO WANASEMA HUJAFA HUJAUMBIKA LAKINI SABAYA ALILEWA MADARAKA MWACHE AVUNE ALICHOKIPANDA.

  • @bamsnames149
    @bamsnames149 2 роки тому +1

    IN SHA ALLAH

  • @nicksonihelmani407
    @nicksonihelmani407 2 роки тому +4

    Lakni Kuna mafisadi wanaiba mamilioni yapesa wapo tu jamani

  • @maryrichard9211
    @maryrichard9211 2 роки тому +2

    Kumbe na yy anamtegemea Mungu!?

  • @reubenmobe5961
    @reubenmobe5961 2 роки тому +2

    Mie siamin kifungo sabaya inaweza kuwa mbinu ili ionekane mbowe nae akifungwa waseme mbona sabaya alifungwa Kama wanavyo kwa lisu kuwa kuna wengi walishafanyiwa hivyo mmesahau deus Marya alifungwa baadae walimkuta kwenye kikao mie siiamin

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 2 роки тому +1

    Amen

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 роки тому +10

    Watu waliokua wakisafirisha wa madini wameacha na wamerudi kazini kuendelea kuiba leo sabaya ana zalilishwa munguweeeee

    • @westonymwasanduki1423
      @westonymwasanduki1423 2 роки тому +1

      Mna undugu??

    • @ziongate5464
      @ziongate5464 2 роки тому +5

      Ni ajabu sana kwa nchi ya wala rushwa, Sabaya anapambana na genge la walio kuwa wakwepa kodi na watoa rushwa zidi ya mahakimu ndio matokeo hayo tunayo shuhudia leo

    • @halfanrangadim8764
      @halfanrangadim8764 2 роки тому +1

      Mmekutana kikeni au kiumeni na huyo mfungwa? Ahahaaaah

    • @timboxlee919
      @timboxlee919 2 роки тому +4

      Awamu ya sita ni mafisadi tu,tuliona kwa babu seya,iko siku tutapata rais mzarendo

    • @mwiganemwakajinga5368
      @mwiganemwakajinga5368 2 роки тому +1

      @@ziongate5464 Yaani inaumiza na kuvunja moyo kiutendaji;Ila kweli Mungu yupo kazini bado.Siwezi sema katenda au hakutenda ila kamabinadamu nimeumia Sana japo sinaudugu nae.Siwezi kufurahia hilo kwasababu siijui kesho yangu.Mungu fundi.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 роки тому +1

    Safi sana,
    Bado fulani endelea kuchukua pesa za wasiojua kujieleza" ipo siku ntajitoa muhanga.

  • @naalyhussen3253
    @naalyhussen3253 2 роки тому

    Mhm!! . hamza alionekana gaid Na huyu nae ni nani maana alijiona mungu mtu sana hyu . dhurma mbaya sana mungu hua anailipa hapa hapa duniani kabla hujakufa.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 роки тому +15

    LEO ARUSHA NA HAI, WAUZA NYAMA CHOMA, BIA NA VINYWAJI, WATAUZA SANA, WAHUDUMU MJIPANGE KILA KONA WATU WANAFURAHA SANA.

    • @mwasamiladldm7557
      @mwasamiladldm7557 2 роки тому +12

      Eti eeeh! Uzeni kabisa lakini hii ni dunia sote tunapita tu.

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 2 роки тому

      @@mwasamiladldm7557 ni kweli usemayo ila Sabaya hakujua hilo alifikiri yeye ana MTU anamlinda hata kwa maovu yake

    • @stemarcely7493
      @stemarcely7493 2 роки тому

      @@johnmwasilu7087 Kweli kabisa hapo ndo atambue hakuna alie juu ya sheria.

    • @christinachriss9231
      @christinachriss9231 2 роки тому

      Sio huko 2

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 2 роки тому +6

      Watu hukuu tunahuzunikaa 2 hakunaa aliyefrahi wala nin

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 2 роки тому +1

    Sabaya anajifariji lakini moyoni anamajonzi mzito sana

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 роки тому +3

    Et Mungu yupo kazin bdo,ungekuwa unamjua Mungu asingefanya ya kukosa hofu yke shwain ww

  • @banjifesti7584
    @banjifesti7584 2 роки тому +8

    Paulo na Sila waliomba milango ya gereza zikafunguka hata kwa sabaya zitafunguka

  • @vintz338
    @vintz338 2 роки тому +3

    Hili igizo hili daaaaaah Yan mtu anaepigwa miaka 30 haweZ kutabasam hivo anajua tu kinachoendelea

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 2 роки тому

    Mungu Yuko kazini kumtetea katika hujuma aliyofanya ila Mungu hakuwa kazini kuwatetea wale waliokuwa wakiumizwa sio? Mungu naye tumemfanya kama mnafiki mwenzetu Bora hatumwoni maana pengine angeshauawa kwa akili hizi

  • @sunrisetv7364
    @sunrisetv7364 2 роки тому +1

    Sina uhakika wa makosa juu yake. Sijui usahihi wala ubatili wa hukumu yake

  • @tinaabdallah5631
    @tinaabdallah5631 2 роки тому +5

    Nimeumia sana atakama ana mabaya lakini mkumbuke na mazuri yake jamani

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 2 роки тому +1

    MH !

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus2935 2 роки тому

    Ndounajua kama mungu yupo kazini

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 роки тому +1

    Najua hii Ni drama baadae utasikia alikata rufaa kaachiliwa huko huru..anatoka akishangiliwa..

  • @lilianalphonce4413
    @lilianalphonce4413 2 роки тому +1

    Czan kma atakaa iyo miaka 30🤔🤔 huenda akatoka kwa msamaha

  • @peacesmart534
    @peacesmart534 2 роки тому +3

    I hope ni hukumu ya kweli na sio iwe njia ya kumuondoa ktk macho ya jamii...Akafichwe huko mbali.

  • @saeedally268
    @saeedally268 2 роки тому +6

    Kweli kabisa tupo pamoja na sabaya hawa mashetani watahukumiwa na mungu japo wanatumia dola mafisadi wanaachiliwa sasa huyu rais hatufai kabisa hukumu ya huyu rais atatowa mungu sisi tunamshitakiya kwa mungu

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 2 роки тому

      KUMBE HUYO HAKIMU NDIYO RAISI

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 2 роки тому

      Na wala haimpati. Mzazi wa binti aliyembaka pale hotel alipataje maumivu acheni hizo! Hayo ndiyo majibu yake

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому +1

    Hamna kazi tu huyo sabaya yupo vizur

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 2 роки тому

    Unamkumbuka mungu leo?

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 2 роки тому +1

    Sasa kusiwe na malalamiko Mbowe akihukumiwa kifungo kama hiki.

  • @sanyengefundibatigeita
    @sanyengefundibatigeita 2 роки тому

    Mungu akusaidie sabaya hii ni dunia tu

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 2 роки тому +1

    Yan mm ningesom nisinge hakuna kazi ya uwakim unamuukum mtu hata uwakik hun

  • @ponsianmatimo681
    @ponsianmatimo681 2 роки тому +2

    Hukum safiii na murua kabisa hiii yy aliyoyafanya leo mumesahau kawaachia watu maumiv mangap? Kaporomosha uchum wa watu wangap? Katenganish familia ngap na wapendwa wao! Acheni mungu aitwe mungu anajib kw wakat hawai wala hachelewiiii!!!!

    • @stardamian9385
      @stardamian9385 2 роки тому

      Ni sahihi lakini Mungu wa wote haijalishi umekosa mara ngapi ukirudi kwake anakusamehe na kukupa thamani yako
      Huyo ndie Mungu naemfahamu

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 роки тому

    Kesi ya mbowe inapiga alarm ya taa nyekunduku

  • @simaraphaellucas8469
    @simaraphaellucas8469 2 роки тому +2

    Sabaya tulia 2025 utatoka zamu yawazarendo!

  • @mtumishikakoyo4762
    @mtumishikakoyo4762 2 роки тому +2

    Tafsiri ya kufungwa kwa sabaya ni kuwataka viongozi wengine kuongoza kwa uoga.
    Sabaya amekuwa mbuzi wa kafara,
    Alisema mahakani kwamba alikuwa akitelekeza maagizo ya mwenda zake.
    Sasa mtu anaetelekeza maagizo ya mkubwa wake kwa nini afe mwenyewe??
    Je mwendazake hakuwa na jopo la watendakzi pembeni yake??
    Mwenda zake hakuwa na mawaziri??
    Hakuwa na mkuu wa mawaziri??
    Hakuwa na makamu??
    Kama kweli sabaya alipewa maagizo na mwenda zake basi kuna angefunguka alivokuwa anatumiwa ingesaidia nchi.
    Lakini hapa kuna hukumu ya kuwapa waliyopo kazini kua na uoga wa kazi zao

    • @shayopaterini8678
      @shayopaterini8678 2 роки тому

      Pamoja na kutekeleza majukumu ya mkuu wako wa kazi lazima ufuate sheria kuyatekeleza ndugu kama utakuwa mjinga basi yatakukuta

    • @wardaheluwa734
      @wardaheluwa734 2 роки тому

      Kwanza hapo pakusema alitekeleza majukumu ya mwendazake ndipo alipokiri kuwa alifanya wengi wafungwa hutumwa kama alivyotumwa Sabaya ukipatikana na hatia pekeyako

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 роки тому

      MUNGU anayaona yote. Wakwepa kodi wako kazini baada ya kumaliza kazi ya kumwuua aliyekuwa anajua siri zao. Miaka 20 ndani ya uwaziri, alijionea ufisadi mkubwa na kipindi hicho hakuwa na ubavu wa kupambania hayo. Baada ya kuwa na nafasi ya ubavu alitoa UHAI wake wa hali na mali na alijua watamwuua. Apumzike salama, na Sabaya awepo gerezani vinginevyo akiwa nje watamwuua.

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 2 роки тому +4

    ACHA MUNGU AITWE MUNGU. KAMA SI MUNGU TUNGEKUWA WAPI????.KWELI KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA. ILIFIKA MAHALA WATU WAKAJIONA NI ZAIDI YA MUNGU.

    • @missmrs829
      @missmrs829 2 роки тому

      Na wewe subiri ipo sikuyako wewe endelea kushadadia ufisadi wa samia

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 2 роки тому

    Mimi napita tuu.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +1

    😭😭😭😭SABAYA mtumainie Mungu atakushindia serikali yetu mmhhhhhhhh

    • @oscarmushi1164
      @oscarmushi1164 2 роки тому +1

      Acha unafiki

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 2 роки тому

      Angekubaka wewe au dada yako au mama yako usingeongea hivyo Sasa. Wa TZ acheni hizo hiyo hukumu halali yake

    • @stardamian9385
      @stardamian9385 2 роки тому

      @@kellyngogo3319 sawa ila Mungu ni wa wote ukiludi kwake kwa uaminifu anakusamehe

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 2 роки тому

    Mbona Ditopile alihua dreva teksi akushitakiwa akiwa Mbunge kipidi cha Kikwete hapo hupo mkono wa mkubwa tena na huyo ambae alikuwa ampendi Magufuli lkn k8la Jambo linamwisho

    • @sunrisetv7364
      @sunrisetv7364 2 роки тому

      Wakati Ditopile anaua hakuwa mbunge. Alikuwa mkuu wa mkoa wa Tabora

  • @ndeankandossi6335
    @ndeankandossi6335 2 роки тому

    Haimtoshi miaka 30 aongezewe mtu mnyama sana

  • @abdallahabubakar688
    @abdallahabubakar688 2 роки тому

    Eheee sawasawa sioiwe ina kulakwa walala hoi tu hata kwa viongozi wenye tamaa

  • @joshuamwanilwa7562
    @joshuamwanilwa7562 2 роки тому

    Mh! Kwel hi selikaki ni yawatu flan hv sasa tutakutana 2025

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 роки тому

    Uonevu mkubwa kwa watu wenye misomamo ya jpm

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 2 роки тому

    Amebaki mbowe vulugu za sabaya mpaka makosa yote hayo ni mbowe yet apigwe20 tu

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 2 роки тому +1

    MWENYEZI MUNGU ANAMPENDA KILA BINADAMU ILA TUACHE UJINGA

    • @felistermligo323
      @felistermligo323 2 роки тому

      Sabaya jipe moyo kukaa miaka 30 jela maombia yetu yetu itakua miaka 3 nipo hapa mmi

  • @zainabsaid9264
    @zainabsaid9264 2 роки тому +2

    Pamoja Mandela alifugwa alipotoka kawa Rais

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 2 роки тому

      Kwani mandela alifungwa kwa kazulumu? Na ujambazi?
      Mfano uliotoa mushkeli.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 роки тому

      @@sharifjuma1220 Sabaya amepambana na mafisadi majizi. Ni heri awepo gerezani vinginevyo akiwa nje watamwuua. Hii Nchi ina wenyewe.

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 2 роки тому

      @@margarethsolomon9823 sasa unapapandaje na ufisadi kwa silaha na kuteka watu?
      Alikuwa anaunga Juhudi then akazidisha dozi akanogewa.
      Infact Lema alimueleza Magufuli sio Mungu. Bado bashite. Unakumbuka alipovamia cloud studios. Na yale ya 48 hour naona yamesita sikuhizi.
      Ama kweli Mkuu aliambukiza uchizi

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 роки тому

      @@sharifjuma1220 Lema mwenyewe ni kidnapper, au hujui kazi alizokuwa anazifanya huko Namanga na marasta yake kichwani. Na kweye misokoto alikuwamo. Hivyo hisia zake haziwezi kuwa mbali kwa Sabaya kwamba alikuwa akitenda hayo. Time will tell.

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 2 роки тому

      @@margarethsolomon9823 lema mtekaji je zile clip za watu wanalalamika Sabaya kaingia kwenye Mahoteli. CCTV footage.
      Hawa wezi watu wengi kupanga. It must have been some fact.
      Kaunga Juhudi too much. Aliongeza na Juhudi zake. Nothing to do with corruption just a stupid boy. He was not alone. Wengi waliunga Juhudi.

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 2 роки тому

    Huo niuonevu mbona makonda kafanya mambo mengi ya hatari lkn atujasikia kakamatwa

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 роки тому +1

    Kama huyu baba hakufanya kosa wanamsingizia mungu hapigi kwa fimbo mungu atawaonesha malipo yake hapa hap duniani

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому

    Sheria ni msumeno

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 роки тому +2

    SABAYA MUNGU YUPO SOON UTATOKA, WANAO FURAHIA VYAO VYAJA.

  • @enockkachembeho7425
    @enockkachembeho7425 2 роки тому

    hata kama akikataa rufaa na akatoka cv ya kuwa mfungwa anayo

  • @westonymwasanduki1423
    @westonymwasanduki1423 2 роки тому +1

    Heeeee kumbe anamjua Mungu???

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 2 роки тому

      Akwende hko

    • @saeedally268
      @saeedally268 2 роки тому +1

      Mafisadi wanaachiliwa huyu rais ana hasira na watu wa magufuli wengine keshawatowa uwaziri tena wachapa kazi anawekwa mtu kama makamba yote sisi tunamwachia mungu hawa viongozi wa sasa mungu awahukumu

  • @laurenceclarence6878
    @laurenceclarence6878 2 роки тому

    Mungu yupo kazini ila ikumbukwe waliohukumu leo wao wamemaliza

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому

    Sabaya akitoka atakuwa mtu mwemaa sana

  • @jeromemdoe6816
    @jeromemdoe6816 2 роки тому

    Ya yeye s hamkuyajua,

  • @selemanmwagike8785
    @selemanmwagike8785 2 роки тому

    Mungu gan huyo shetan wewe

  • @anethmtei2912
    @anethmtei2912 2 роки тому

    Sabaya amemjua mungu tangu lini

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 роки тому +1

    Wewe ni mkatili sana sabaya

  • @bakarinasa580
    @bakarinasa580 2 роки тому +1

    MUNGU yupo kazin kwel na ndio kasmamia usawa ukafungwa,,jaman manung'uniko ya wengi ni Lana bora ww umefungwa wengne tunaskia wamekufa na ajal tu

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 роки тому

    Naskia ameelekea kukata rufaa,akishindwa nyonga kabisa muhuni tu uyu

    • @fridamdoe5845
      @fridamdoe5845 2 роки тому

      Tena akafie mbele huko nashangaa wanaomhurumia na kuona eti amedhulumiwa kuhukumiwa Kwahiyo walitaka aendelee kunyanyasa watu acheni ujinga ametendewa haki sawa sawa na matendo yake

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 2 роки тому

    Ss munav mfung hiy pesa mnapata au nyie makakim tambueni kuna mung naanaukum kushind nyie

  • @froma3732
    @froma3732 2 роки тому

    MUNGU YUPO NA ATAKUWEPO ALIKUWA AJUE HIVO KAMBLA HAJAFIKA HAPO ALIPO

  • @husseinmaula4361
    @husseinmaula4361 2 роки тому +1

    Siku zote faida ya ubabe ndio hio

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 2 роки тому

    Kila mtu huvuna alichopanda

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 2 роки тому

    pumbavu zako ww uliokua unatesa watu kwasbab ya cheo chako alikua umejua mungu ayupo

  • @fadhilikavindi5385
    @fadhilikavindi5385 2 роки тому

    Kwani ccm itatawala Mika 30 hatajaji mwenyewe pengine hatakuwa Jaji kwamda huo

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 2 роки тому +4

    Kuna comments nazisoma hata sielewi. Inamaana Kuna watu wanaridhishwa na mambo kubaka,kutesa,kudhulumi,kudhalilisha,na mengine mengi ya huyu jamaa.

    • @timboxlee919
      @timboxlee919 2 роки тому +1

      Babu seya alisingiziwa na sasa yuko huru

    • @lydiamahenge2161
      @lydiamahenge2161 2 роки тому

      Natamani kesho kusikia Makonda mikononi mwa polis , walitesa sanaa watuu , walijipa u Mungu mtuu

    • @sondanzingulasondasam4029
      @sondanzingulasondasam4029 2 роки тому +2

      We alimbaka mama yako au boya we

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 2 роки тому

      @@sondanzingulasondasam4029 Hata kama sio.. mama ake.. lakn ni wanawake wengine

    • @christinachriss9231
      @christinachriss9231 2 роки тому

      @@abelianraphili5150kweli

  • @happymwanguo2521
    @happymwanguo2521 2 роки тому

    Eti unajitetea,nilitumwa kufanya hivyo,hivi una akili kweli?unatumwa kuonea watu na wewe unafanya kweli,tujifunze ,akili za kuambia + na zako,popote ulipo tenda Haki,hata ukionewa ,Mungu anakutetea , na kukuinua,ukitaka kujiinua ulingane na Mungu ,hakikisha hutabaki salama,Mungu atakuaibisha mchana kweupeeeeeeee

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 роки тому +3

    Sabaya mungu yu pamoja na wewe,hii ni awamu ya mafisadi,,iko siku tutapata rais mzarendo,atakutoa sabaya,kama ilivyo kuwa kwa babu seya ,Rip JPM

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 роки тому +2

      Mungu/MUNGU na sio mungu

    • @abelsteven3189
      @abelsteven3189 2 роки тому +5

      Mbona amekiri kwamba amefanya sema tu alitumwa. Mshahara wa dhambi ni mauti. Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu.

    • @moturichacha7253
      @moturichacha7253 2 роки тому

      Sabaya mtumainie Yehova kila wakati Kama Paulo na Sila Mungu atakutetea ndiye Hakimu wa kweli!.

  • @petereck6647
    @petereck6647 2 роки тому

    Akafieee mbali huyu jambaz

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 2 роки тому

    Mbunge wa Arusha Lema alimuonya mapema kabisa kabla mambo hayajaaribika ,akawa mkali.Sasa ameacha mke na watoto wanalia.