SHARIF MAJINI AMLIPUA ALHAD OMBA RADHI BARAZA LA ULAMAA, ULIKOSEA KUBATILISHA NDOA YA DK MWAKA
Вставка
- Опубліковано 26 лип 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Nyie hao hao mlimtukana Dr mwaka kwa kumtetea Al hadi Sasa ivi mnamgeukia kumbukeni mungu hawapendi wanafiki
Nawaona Baba levo na Mwijaku
Yani Uchawa hadi kwenye dini, endeleeni hivo hivo tuyajue Mengi kuhusu Uislam....proud to be Christian
Huwez ukaujua uislam kwa kuckiliza wanaokwenda kinyume na uislam.watoto wa mjini
Qur'an ndo itakueleza mengi kuhusu uislam. Na haifundishi kuwa hivyo wafanyavyo hao
Eti shekhe sharifu majini international hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Mna macho makavu ndugu zangu.
Tumekusameheni kwa ajili ya ALLAH.
Hii mijitu minafiki saana , angalia inavyojitia aibu. Mmeshamgeuka mwenzenu mara hii
2:9 - Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
4:142 - Hakika wanaafiki wanamkhadaa Mwenyezi Mungu, na hali ni Yeye ndiye mwenye kuwakhadaa wao.
4:143 - Wanayumba yumba baina ya huku na huko. Huku hawako na huko hawako. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha kupotea, kabisa hutompatia njia.
Swadakta Akhiii
Na nyinyi kiukweli mnazngua hemu acheni hayo mambo tena tumechoka kuwaona kla cku mnaendeleza hayo mambo ya ajabu hili jambo liishe tena
Hahahaaaa duh kweli masela watu wabaya dunhh wamerudi tena midia duhhhh 🤣🤣🤣🤣
Hawa wapumbavu kweli kweli ni kuwazuia hakuna kufanya mihadhara nchi nzima
Nyie nyie nyie nyieee, nimechekaaaaa sanaaaaa
Njaa inawasumbua
Vinyonga hao
Mashekh km hawa hawafai ktk nyadhifa za Uislam
Masheikh wapo wapi hapo?
Mhhhh
Kumbe nyie ni wanaharakati nilidhan ni mashekhe
Nyie tushawaelewa
Nyuny watu wawili ni wanafiki Sanaa Mcheni sana Allaah Muogopeni Sanaa Mungu msifanye masihara na Dini ya Allaah
Msiwe kama wale Allaah alowataja katika Annisai 147
Au wale walio tajwa katika Alhashri :11-12
Mbona unukuzi wa hadithi hiyo ni mbovu hivyo?!!😆😆😆
🤣🤣😄😄 makubwa, miamba imeomba radhi🤣🤣
Hamna lolote hapa. Hawa ni vilaza na matapeli wa dini.Wamekariri Aya mbili za Koran Kisha wanajiita mashehe
SHARIFU MAJINI AKA MASHETANI UNA VITUKO SAANA....WIKI ILIYOPITA ULISEMA UNA TAARIFA ZA UHAKIKA KABISA KUWA RUSHWA IMETOLEWA KWA BARAZA LA ULAMAA NDIYO MAANA WAKALETA HIZO HABARI ZA KUBATILISHA...LEO NA MIDEVU YAKO ULIYOITIA HINA UNAGEUKA NYUZI 360 ...UNAFIKI KABISA
Mnazngua kwakweli
Acheni unafiki nyie.....
Wakukulupuka... aka MACHAWA😟
Walikurupuka dadeck zao,chezea baraza la ulamaa?🤣🤣🤣
Wanafiq wakubwa hawaa wacheki misura Yao kwanza ilivyokaa kitapeli tapeli.!! Sheikh wetu mpya wa mkoa sheikh Waliid asikubali kabisa kukaribisha mipuuzi ya namna hii akatae kabisa mambo ya machawa machawa ya namna hii hayana heri kabisa haya yanafikiria matumbo Yao tuu !
Swalehe mrombo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kanisa hapa limeingiaje, kwan hawa ni wakristo?😁
@@mobutu3884 nilimaanisha asikubali kabisa na si kanisa.!!
@@swalehemrombo9301 sawa sawa
UNAFKI NI KITU KIBAYA SANA NDANI YA UISILIMU, KWA NINI MNAGEUKAGEUKA?
Wanaharakati huru aka siprian musiba