Lady Jaydee X Rama Dee - I Found Love (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 513

  • @eliasmlundwa3880
    @eliasmlundwa3880 Рік тому +68

    Wimbo mzuri sana, kama umerudia zaidi leo weka LIKE

  • @qiahgee7353
    @qiahgee7353 Рік тому +1

    Duuuuuh....popoli popo! Atar Sana mstar niliyo upenda kwakwel n yot maan cjawai kukuona jdee unaimba ivi zaman Sana nakumbuk nyimb iv ulivaa tentemente atar ndo ulichez km umu

  • @stevemzeiya2178
    @stevemzeiya2178 Рік тому +4

    Kama umesikia kigogo "Leka kwa yaya chibite" like basi twende sawa mdodoma mwenza

  • @ndojes711
    @ndojes711 Рік тому +7

    Nmekaaa pale nawaaangalia ambao wanasem mziki mzuri UMEKUFA......! Jide & Rama 🙌🙌♥️♥️. Naona saiv mmejipanga kutake GRAMMY 😂😂 ILOVE U GUYS

  • @marpaus4048
    @marpaus4048 Рік тому +13

    Huu wimbo ni mzuri sana,melody na mashairi yake you killed it❤️👏Natamani nishinde trip ya Nairobi na Lady jaydee kwasababu 1. Natamani kukuona uso kwa uso nisikie sauti yako, nikushike mkono, unikumbatie, tuzungumze nipate kujifunza kutoka kwako maana sijawahi kupata nafasi ya kukuona uso kwa uso toka nimezaliwa, 2. Sijawahi kufika Nairobi kwahyo itakua dream come true, 3. Mimi ni shabiki ako wa muda wote nazielewa kazi zako, 4. Nakuadmire, Nakupenda sana❤️........ I found love, haya sio mapenzi, this is magic....🎵🎼🎧🎶#IFoundLove❤️

  • @alandeus2945
    @alandeus2945 Рік тому +100

    Naomba Like kama umeangalia hili Goma Zaid ya mara Moja🔥🔥🔥🎶❤️

  • @davidchriss9618
    @davidchriss9618 Рік тому +23

    Lady Jay Dee.. you deserve more views than this.. This song is pure music. It on my repeat on Spotify..
    Nahisi kama nyimbo nyingine zote hazina ladha zaidi ya hii.. 💖

  • @izzomochama2992
    @izzomochama2992 16 днів тому +1

    Every morning lazima nisikize hii truck
    Napenda sana hyo song beat iko sawa lyrics ni fire ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
    Weka like tukienda kaboom😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ayshaamour9950
    @ayshaamour9950 Рік тому +8

    “Popote po ulipoo pembeni yako nami nipoo sikomii nirudishe utotooni”…
    Huu mstari nimeupenda sana hapo sababu unanikumbusha mimi navokua natamani kuwa na mpenzi wangu all the time kama mtoto!
    Zaidi wimbo ume 🔥kinoma unafaa sana kum dedicate mpenzi wako na kufanya siku yake iwe poa.

  • @dennisphilip
    @dennisphilip Рік тому +1

    siku atarudi i will comeback to see n wangapi walituombea

  • @shabanimalinda6554
    @shabanimalinda6554 Рік тому

    Namkubari sana Rama Dee hajawai kosea ni king of rnb Tanzania

  • @ricklove8358
    @ricklove8358 Рік тому +11

    this is the definition of music. everything is on point.

  • @ndulatv2373
    @ndulatv2373 Рік тому +1

    I found love, I found love
    Haya sio mapenzi, this is magic
    Nastahili kwakuwa nitakuwa nimetimiza kiu ya moyo wangu Kwa wasanii wawili niliowapenda tangu zamani, lakini pia itanisaidia kuenjoy na kuongeza jambo ktk research yang

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 Рік тому +7

    Sistr frani aliekubali kuzeheka ila uzee humtaki anazidi kufana nawakina #Yammi wa Nandy
    #Komando_Lady_Jaydee🔥🎶💪

  • @officialrockrnb1681
    @officialrockrnb1681 Рік тому +1

    Nyimbo iko vizuri sana

  • @magrethjulius7796
    @magrethjulius7796 Рік тому +56

    Melody 💯
    Voice 💯
    Video quality 💯
    Lady jaydee and ramadee

    • @Mery-st4nu
      @Mery-st4nu Рік тому

      Anajuwa hadi anakera Sema nn namkubari sana lady Jayde mungu akupe umri mrefu sana haunaga baya wala skendi mbovu mbovu love so much

    • @beatricemtasiwa5958
      @beatricemtasiwa5958 Рік тому +1

      And the dance too....👌

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +2

    Siyo lazima yaimbwe matusi. Maana kamili ya mziki mzuri 🙌💪

  • @abdulmruke2246
    @abdulmruke2246 Рік тому +5

    Jide Tanzania ikuandalie sehemu yako ya kipekee nitawaeleza hadi watoto wangu na wajukuu nikibarikiwa kufika huko kuhusu wewe

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Рік тому +3

    Ngoma ya 🔥 sana
    Video ya kali sana tena ya mambele sana
    Beat ya 🔥 Sana
    Style Mmecheza Vzr
    Jidee nakukubali kwa ngoma hii kali shabiki yako npo nakufatilia

  • @nasiryshowtv4898
    @nasiryshowtv4898 Рік тому

    Mstari ninaoupenda zaidi ni
    "YOUR IN MY HEART, NAKUPENDA ZAIDI, NURU YANGU PEKEE, YOU ARE ALL I WANT TODAY"
    naupenda kwasababu unaelezea jinsi unavyojisikia kwa mpenzi wako. Pia unaongeza thamani kwa mpenzi wako.
    Sababu ya kuhitaji kuhudhuria show ya #lovesentence ni kutaka kusikia na kuenjoy mziki mzuri kutoka kwa real talents and legends musicians @lady jaydee

  • @charlesboaz4489
    @charlesboaz4489 Рік тому +18

    This is going to be the best song of the year 2023 🔥🔥🔥

  • @theblackempireog460
    @theblackempireog460 Рік тому +6

    Mamdogo napenda your melody Toka nakuaa mmeuaaaa🙌🙌🙌🔥

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 9 місяців тому +1

    Lady J de, yaani una KIPAJI mpaka kimepitiliza. NAKUPENDA SANA.🙏🙏🙏

  • @ndojes711
    @ndojes711 Рік тому +14

    I'm speechless for THIS...... But FOR what i can say now is that I FOUND LOVE ♥️♥️♥️♥️

  • @tush800
    @tush800 Рік тому +1

    I found love hata kueleza siwezi this is magic 🎩 🎶🎶🎶🎶🎵....mdundo umependeza kweli

  • @henryhamidu7132
    @henryhamidu7132 Рік тому +12

    The message that it carries reflects the true meaning of being in LOVE, added sounds 🎸🎹 the voices encourages a lot to listen to this song , video 📸 quality I give it 💯 . . . And I love that creativity "Po Po poo lipopooo . . . " , This song can be played in Weddings, send offs, occasinal events like Valentine's. . . All in all it's such a beautiful 🌹 song can't stop hitting it on my 🔊 speaker
    #Jidee & #Ramadee let's go to Nairobi
    Exposure and business integration is what we all need ✌️ #Fun&Melody
    :
    Never whaaaat...!?
    #NEVERREGULAR

  • @lizahadongo1801
    @lizahadongo1801 Рік тому +5

    Salute Kwa lady jaydee🇰🇪🇰🇪

  • @daudasajile813
    @daudasajile813 Рік тому +8

    2 legendary I love this combination

  • @masabotim
    @masabotim Рік тому +4

    Finally!! Welcome back Queen Lady Jaydee. Your sweet melodic voice makes the world much better, we missed it sooo sooo much!!

  • @alandeus2945
    @alandeus2945 Рік тому +4

    Goma la mwaka 🙌👌

  • @Wanaoband
    @Wanaoband 7 днів тому

    Pongezi kwako LedyJD ngoma inafundisha inaburudisha na inajenga kama unakubaliana nami wapi like.

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Рік тому +6

    Beautiful Song from Tanzanian...✍️🎤🎧🎵🇹🇿💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @lizycakesernest3450
    @lizycakesernest3450 Рік тому +1

    Your in my Heart nakupenda zaidi NURU yangu pekee nakupenda zaidi huu mstari c ni definition ya Huba langu so nikishinda hii trip mtaenda na baby wangu coz amekua mfariji wangu tangu nimpoteze Mama yangu mzazi alipewa sumu na watu wa karibu Sana ni ndugu kabisaa so naupenda huu wimbo like mmetuimbia Mimi na Mume wangu💕💕

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 Рік тому +7

    Am in love with ur voice Rama dee&big cc😘😍

  • @Mashenene_Robert
    @Mashenene_Robert Рік тому +7

    🔥🔥🔥 dada mkuu kwenye ubora wake 🤩🤩🤩 mwanamziki wangu wa kike wa muda wote Tz

  • @ndojes711
    @ndojes711 Рік тому +4

    Napenda mistari yote ile huu zaidi "KWANZA UKIACHA LOVE SISI NI MARAFIKI" this means alot for lover's ♥️ mkiwa friend afu ni wapenzi inakuwa more than Better.
    Mstari wa pili naoupenda make kwanza nchekeee 😂😂 "POPO LIPO POPO KALALE NACHO KIDALIPO" Imenikumbusha nikiwa young aiseeee tulikuwa tukiiimba na kucheza na kufurah😂😂. That verse imenikumbusha hata watu ambao tushapoteana 🙌♥️
    Nastahili kwenda na Jide na Rama NAIROBI KENYA, Kwanza kabisa me ni shabiki yenu kindakindaki, pili East Africa my dream Country to Visit ni KENYA 😋. Nimekuwa na ndoto ya kukutana na JIDE na ya kwenda outside TANZANIA,. kufika KENYA nikiwa bado sijafika 25. Nikipata trip ya kwenda Kenya na nyie ntakuwa nimetimiza ndoto mbili kukutana na nyie na kwenda Kenya.

  • @tatugodfrey7378
    @tatugodfrey7378 Рік тому +6

    This song is a hit...am a tanzanian from SA,much love to Lady jay see,🇹🇿🇿🇦

    • @mbarakaalingoyeji1054
      @mbarakaalingoyeji1054 Рік тому +1

      Dada mkubwa umeuaaaa ,wewe noma,mtafute Dada mkubwa stars Thomas mtoe colable pamoja na Rama dee

  • @KoreloBello
    @KoreloBello Рік тому +3

    The authenticity Jay Dee has is beyond this world. From the Early 2000s zile enzi ya "wanaume kama ma binti" hadi waleo hajabadilika. She's one of the realest Tz female artists I know. 💯👌🥰💪🏼

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 Рік тому +8

    The Dee's, the two legends

  • @alandeus2945
    @alandeus2945 Рік тому +4

    Jaman Leo silali nakesha 🔥🔥🔥🔥🙌

  • @beninyojamestungaraza9190
    @beninyojamestungaraza9190 Рік тому +4

    The real meaning of Good music Rama dee and Komando Jide your the best ever

  • @rashidkejo8666
    @rashidkejo8666 Рік тому +3

    Nothing to explain more than much love and respect to Jide.
    Nice song.

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 Рік тому +8

    HERE I CAN SAY WE HAVE MUSIC I REALLY LOVE THE Chemistry. Nakupenda Sana Dada mkuu🇰🇪🇰🇪

  • @rjb31
    @rjb31 Рік тому +12

    Actually
    #Rama_Dee
    Never disappoint
    #I_found_LOVE🔥🔥🔥🔥

  • @boukainan1002
    @boukainan1002 Рік тому +3

    there she's here we Goo Queen 👸 Of FleVa 😍❤️..Rama Dee Never disappointin

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    Kwenye hii nyimbo napenda mistariii yoteee ..ni ngoma Kali sana #ndoto yangu one day nije nishuhudie performance ya #ladjayde live .....#found love
    I found love
    I found love
    Haya sio mapenzii,this is magic
    I found love
    I found love
    Hata kueleza siwezi,this is magic
    Hizo I love you,I love you too
    Tushavuka mipaka
    Ka kunipenda unanipenda tu
    NA wala sina mashaka
    Breakfast in the morning
    Unanipa supu matata
    Twende wote jikoni
    Siagi bread nimepata

  • @lilfutbol
    @lilfutbol 7 місяців тому +1

    A WOW HIT!!!😍

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    #kila mstar napenda kweny hii ngoma## ni Kali sanaa #sijui itakuaje sasa tareh 10 February 2023
    #lovesentense_loading
    #i_found_love
    Kwanza ukiacha love
    Sisi ni marafiki
    Nisogezee huo mkono niushike
    Waziba njia tupishe
    Ya nyuma nishasahau kwa mikiki mikiki here
    We ndo umefanya nifike
    Leka kwaya ya chibite

  • @abubakarmwachuo1337
    @abubakarmwachuo1337 Рік тому +2

    Wowww..always top jay deee🙌🏿🙌🏿🙌🏿😎

  • @rojahmoeconscious9407
    @rojahmoeconscious9407 Рік тому +7

    This man is real music definition

  • @cherrylioness1595
    @cherrylioness1595 Рік тому

    Hold me tight Nakupenda zaidi we ni wangu pekee. We need vacations to motivate us 🙌 2023

  • @ilovuguyssandimu6508
    @ilovuguyssandimu6508 10 місяців тому +1

    This woman is dope..heshima anazo bado no dirty videos n vocals ❤ my sis frm tz i appreciate u

  • @ndojes711
    @ndojes711 Рік тому +1

    Nyiè nyie nyie ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @neashbloom
    @neashbloom Рік тому +7

    This is so beautiful. ❤️❤️ Vibration 🔥

  • @realremih
    @realremih Рік тому +4

    Matozo na hii zote nazielewa
    your chemistry is nice

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    Kila napoisikiliza hi ngoma lazima ni comment....mistariii yote imesimama kwakweliii .....itakuaje sasa maraa paap #ladyjayd kasema nami nimoo....#kandoto akatimizaaaa...#foundLove.....
    Kwanza ukiacha love
    Sisi ni marafiki
    Nisogezee huo mkono niushike
    Waziba njia tupishe
    Ya nyuma nishasahau kwa mikiki mikiki here
    We ndo umefanya nifike
    Leka kwaya ya chibite

  • @WestChoma01
    @WestChoma01 Рік тому +4

    This is kind of music I have been missing

  • @ladymarry
    @ladymarry Рік тому +2

    🔥🔥jidejaydee unazidi kuwa msichana yaan,sauti yako,miondoko n.k. Mm kukupenda tuu❤️❤️

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Рік тому

    Bonge la wimbo aiseee miss U Sana dada Jdee unajua unajua tu......dada ya yahaya unaishi wapi!!!

  • @gatimarwa7525
    @gatimarwa7525 Рік тому

    Kwanza ukiacha Love si ni marafiki nisogezee huo mkono niushke waziba njia tupishe....This is the Best verse Kwa huu wimbo......I wish kwenda na Ladyjay dee Nairobi kuenjoy the Love I found.....#FoundLove# Goodmusic naVacation.....

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Рік тому +8

    This combination is fire🔥🥶

  • @dekha7669
    @dekha7669 Рік тому +3

    Love from Kenya 🇰🇪

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    Izoo Melody ni hatariii
    Voice ni hatariii
    Video ni hatariiiiii
    Hili kolabo# ni balaaa2023
    NA hapaaaa sasaaa
    ...............
    Kwanza ukiacha love
    Sisi ni marafiki
    Nisogezee huo mkono niushike
    Waziba njia tupishe
    Ya nyuma nishasahau kwa mikiki mikiki here
    We ndo umefanya nifike
    Leka kwaya ya chibite

  • @marthantoipo871
    @marthantoipo871 Рік тому

    I love the verse hizo I love you, I love you too tumeahavuka mipaka, kama kunipenda unanipenda tu na wala sina mashaka... Hii inaonyesha the level of maturity watu wamefika, hakuna that pressing need of assurance, Love is there, it's magic is felt. Lady Jaydee nimekuwa a very loyal fan tangu Machozi, please nipelekeni Nairobi, My daughter goes to Uni huko na itakuwa chance ya kumuona na finally yeye kukumeet, amenisikia all her life nikiimba nyimbo zako

  • @beatriceswalehe7216
    @beatriceswalehe7216 Рік тому +1

    Jina Beatrice nasitahiri kushindaa zawadi ya VIP ticket kwenye siku ya I found love kwa sababu Lady jay Dee kwangu Mimi ni role modal, icon toka nikiwa mdogo Ni kioo changu cha kua jasiri Kama mtoto wa kike kupitia yeye kua miongoni mwa wànawake waliofanya vizuriiii katika tasinia ya mziki alinifanya nijiamini katika kila nachofanya. Lakini kwa bahati mbaya sijawahi kumuona live natamani kumuona live nitafarijika Sana kumuona hata tu nimuombe picha ya pamoja MTU ambaye anaimpact positive na kubwa kwenye maisha yangu. The best female artist of all time and I think she attracts strong people who want to succeed in life as she did and still winning🙏 namfatilia toka machozi bend mpaka I found love. Nampenda Mungu ampe maisha marefu bado nna mengi ya kujifunza from her.

  • @octavianlunyanya9358
    @octavianlunyanya9358 Рік тому

    Siyo kwa habari ya ukongwe wenye tija katika muziki wetu, ila ni zaidi ya wafanyavyo wachache wanao ujua muziki. Asanteni kwa muunganiko na ushirikiano bora kutupatia ladha ya burudani isiyo kifani.

  • @antonykomba6631
    @antonykomba6631 Рік тому +21

    I've always kept close tabs on Rama Dee's music as well as Jide's since back in the days. And these two have been consistently dropping classic jams without delivering "PREPOSTEROUS SCANDALS" in order to boost their jams

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Рік тому +5

    This is just so amazing. Legend but still doing good music like you just came yesterday. Tanzanians should support Jay Dee to the maximum maze this views aren't adding up to me

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 Рік тому

    Muziki umekutana na malejendari na vitamin muziki imetawala masikio💥💥💥

  • @justinphilimon8722
    @justinphilimon8722 Рік тому +6

    I've indeed found love. Once a legend is always one.

    • @georgeritty1769
      @georgeritty1769 Рік тому

      Yeah man you guy bringing the good old days when world was so big 💗

  • @IBISUSADIVERSE
    @IBISUSADIVERSE 5 місяців тому +4

    Very good song

  • @muddyally8463
    @muddyally8463 Рік тому

    Wachawi R&B all the time...Rama Dee Lady J Dee nawaelewa sana nyie watu since day 1.🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    #i_found_love ni wimbo bomba sana ambao kiukweli Mimi napenda verse zote kweny hii nyimbo...na kutrip na jaydee to Kenya ni ndoto zangu pia naamin akuna asiyetaman kuwa karibu n #ladyjayde.......
    ❤️❤️I found love
    I found love
    Haya sio mapenzii,this is magic
    I found love
    I found love
    Hata kueleza siwezi,this is magic
    Hizo I love you,I love you too
    Tushavuka mipaka
    Ka kunipenda unanipenda tu
    NA wala sina mashaka
    Breakfast in the morning
    Unanipa supu matata
    Twende wote jikoni
    Siagi bread nimepata

  • @AzizNgitu-wk3ey
    @AzizNgitu-wk3ey 11 місяців тому +1

    Rama Dee voice 🔥🔥🔥

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    Kiukweli Mimi sio mstariii ...ila naipenda mistariii yotee kweny hi nyimbo narudia..narudia ...yanu ni kurudiaaa tu...❤️❤️tarehe kumi napenda nkacheze hili ngoma live lakini na ngoma zote kaliii kutoka kwa #ladjaydee msimu huu wa #loveSentence
    #i_found_love
    I found love
    I found love
    Haya sio mapenzii,this is magic
    I found love
    I found love
    Hata kueleza siwezi,this is magic
    Hizo I love you,I love you too
    Tushavuka mipaka
    Ka kunipenda unanipenda tu
    NA wala sina mashaka
    Breakfast in the morning
    Unanipa supu matata
    Twende wote jikoni
    Siagi bread nimepata

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Рік тому

    Hizo sauti aiseee! Noma Sana! Watu wawili wanaojua mziki wanapokutana lazima bomu lilipuke

  • @ramadhanhassan3368
    @ramadhanhassan3368 Рік тому +1

    Rama Dee.. daaah mwamba na sauti ake... come back men.. You guys are missed.. Talented

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Рік тому

    Mwaka huu kuna kazi kweli, wenye bongo flavor wamerudi kama wanaanza dada angu hapa numuona mbichiiiii

  • @briantusu.8938
    @briantusu.8938 Рік тому +1

    Super jaydee at it again🔥🔥

  • @omaralwy8786
    @omaralwy8786 9 днів тому

    Big Hit

  • @davidmpamba4906
    @davidmpamba4906 Рік тому +4

    Hii ngoma ni kubwa sana

  • @lenardmtweve858
    @lenardmtweve858 Рік тому

    That's song it's so hot" popote ulipo mimi nipo pembeni yako" natakiwa niende na nyinyi coz napenda muziki mzuri na muziki mzuri upo na nyinyi please I need that trip since kama huwezi kuwa mkweli

  • @acquilinechrispinus9159
    @acquilinechrispinus9159 Рік тому +1

    "Breakfast in morning "...
    Unanipa supu matata......
    Twende wote jikoni
    Singing,bread nimepaka..
    Mstari wangu pendwa,
    Nafikiri safari ya Nairobi itanifaa kwa sababu mimi ni shabiki ninaewish kuona performance yako every year

  • @laurentes1
    @laurentes1 Рік тому +1

    Aiseee I deserve this chance Mimi Nina miaka 20 na kwa muda mrefu nimekua nikiwafatilia wewe na bro Nina Playlist ya nyimbo zako jide nazisikiliza sana. Nishawahi kutoa ety tuko wote tunaimba back to back kwa hiyo kwenda wote Nairobi naona kama ndoto yangu itakua imetimia na Imani yangu kubwa ni Kuja kuonana n'a wewe Maan umezaliwa tarehe sawa n'a marehemu mama yangu June 15
    Mstari wangu kabambe Humu kwenye song hili ni "Kwanza ukiacha love, Si ni marafiki
    Nisogezee huo mkono niushike
    Waziba njia tupishe
    Huko nyuma nshasahau kwa mikiki mikiki , We ndo umefanya nifike, Leka kwaya ya chiite"
    GOD BLESS YOU KOMANDO NA MAGICIAN RAMAR DEE

  • @edgarmsangawale5307
    @edgarmsangawale5307 4 місяці тому

    classic music,jide,rama dee nomaaaaa

  • @johnmasha119
    @johnmasha119 Рік тому +2

    Jide mzuri
    Ngoma nzuri..

  • @merrykitosi690
    @merrykitosi690 Рік тому

    Waooh very nice...Love you so Much Lady Jaydee....I appreciate you

  • @RozelyneOdongo
    @RozelyneOdongo Рік тому +2

    beautiful song, cant get enough of it🥰kudos guys

  • @ezekielseluke6121
    @ezekielseluke6121 Рік тому +3

    From Daban Always legends never fail big up for good music🔥🔥

  • @janenduta1009
    @janenduta1009 Рік тому

    I found love,. I found love
    Haya sio mapenzi, this is magic
    Napenda huo mstari Sana maana, at my age na kua mimi ni single mother,kwa kweli nilipata mapenzi ya dhati..a magical kind of love.
    Na kwa kuwa Mimi niko huku tu Nairobi Kenya,naomba tu kurudisha watoto wangu shuleni,ila hela tu zanitatiza..@ladyjaydee..

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 Рік тому +5

    Nice song 🎵 👌. Keep good music alive

  • @elizajuma5616
    @elizajuma5616 Рік тому

    Bonge LA goma.... Asante Rama Dee na Jide wetu

  • @dr.gregorynganamba1916
    @dr.gregorynganamba1916 Рік тому +3

    My #1 female artist in my book!

  • @djamborafikitours1349
    @djamborafikitours1349 Рік тому

    I found love this is magic, wewe wangu pekee... Po pote ulipo kidali poo!

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Рік тому

    RAMA DEE ....LADY JAY DEE....GOLD VOICE..WATU WENYE MZIKI WAO

  • @djjoeh_official
    @djjoeh_official Рік тому +1

    #huu wimbo jamanii ...kwakwelii napenda mistariii yote iliyomo Ndaniii....#lakini swala la kwenda Nairobi ama kuwa moja kati mashuhuda wa #loveSentenc pale mlimanCity ni ..kwa Mtanzania yeyote yule nadhani anapenda apate hiyo nafasiii..
    I found love
    I found love
    Haya sio mapenzii,this is magic
    I found love
    I found love
    Hata kueleza siwezi,this is magic
    Hizo I love you,I love you too
    Tushavuka mipaka
    Ka kunipenda unanipenda tu
    NA wala sina mashaka
    Breakfast in the morning
    Unanipa supu matata
    Twende wote jikoni
    Siagi bread nimepata

  • @Gabriellalyngdoh
    @Gabriellalyngdoh Рік тому +2

    This song is a hit 🔥 I am from northeast India this song is all over the internet 😮I love it 😅

  • @michaelchuwa1255
    @michaelchuwa1255 Рік тому +1

    Bwana rama hajawahiii koseaaa noma saaana 🙌🙌🔉🔉🔊

  • @peninahlyona6110
    @peninahlyona6110 7 місяців тому +1

    Lady jaydee topest,I just like your songs and she's just a cool lady.

  • @hassanguzo8026
    @hassanguzo8026 Рік тому +1

    Wimbo ni mtamu sana i found love hatari toka asubui sauti iko juuu sana😋😋😋😋