Mwisho wa kila video huwa tunaweka playlist ambayo imepangiliwa episode ya kwanza hadi sasa, ambapo ukiibonyeza itakupeleka moja kwa moja kwenye mfululizo wa Madenge, Asante
Guudmorng👋 Tushkuru kwa siku nyingine🙏 Endelea kutazama wimbo wangu mpya #Kibuti link 👇👇👇👇👇 ua-cam.com/video/Nfv7u9AT0nQ/v-deo.html Nisaidie kushare kwa wadau wengine
Nimependa leo imekua ndefu 🤙
Imekuwa Kam surprise dakik 10 napendaa sanaaaa hiii
Muna chelewa sana kutengeneza au muna jaribu hamujiamin km muna weza
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
@@kuguta asante
Madenge bna et million moja ishamtoa udenda duuh
Najifunza kingreza hapa hapa big up mzungu
We usijipoteze hakuna kizungu hapa
Munafanya kazi nzuri kabisa tatizo munakwawiza ki post
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Hatimae 😀 nice
Madenge unachelewesha Sana mzigo
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Asante ipo good sana jitahidini iwe ndefu kama hii inanoga zaidi
Shukran
✌✌✌✌unachelewa sanaaaa boss...utamu unapoteaaaa😭😭😭
Manipunga
Nipe kibaba chengine
Jamani msicheleweshe sana
Big up sanaa
🤣🤣🤣🤣Ila mnachelewa sana kupandisha huu mwendelezo
Ikiwa ndefu hivi ndo poa zaid
Story Ni nzuri Sana huwezi acha mfululizo huu.
Wahun c wat wazur ,usikute aloiba gar sio dereva🤣🤣🤣
Hahaha hahaha,et gari limeibiwa wakati kijiji kizima hakuna dereva
Nimecheka sana
Jamani tuna suburia sana
Goodiiii thanaaaa
Nzur snaa
Vp
@@jonhsabiti6228 poaa
Safi ila imechukua mda kutufikia boss
Mwendelezo wa wak vp
Bado haijakamilika
Nimefulah xan leo
Mbona zinachelewa Sana kutoka
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Mbona sikuwa juwa nimemisi😍😍😘😘😘🙏🙏
Shukran
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
@@Mustykhan poaa 🙏🙏
Inacherewa sana kutoka
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Hahahaha... Nouna sanaa.
Safi Boss, Karibu Kenya
Shukran
Safi katuni nzuri.
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Mmmhh wauni sio watu wazuli
Wahuni sio watu wazuri,,, Utakuta alie iba sio dereva
Hahahaha
Hahahahahahaha madenge ni madenge tu
@@المهلهلالحراصي daaaa a SAS s s. F ..
S
S
.
.
Daah 🤣🤣🤣🤣
Ila skip zinaboaaa🤔
Vp boss imeisha
Vizur sana
Huyo mzungu Hana mkewe
Ql twende kazii
Hii hadisi ni faya inaleta kitu nzuri
Jaman muwaishe muendelezo
Mnacherewa sana mtu mpaka unasahau
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Duh mnachelewesha Sana jaman
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Ni lini muendelezo, inanibamba
Mwendelezo utatoka Weekend hii au ijayo. Asante
🤣🤣🤣🤣wahuni co watu waziri uckute aliyeiba gari co dereva🙌🙌🙌😂😂
Uy blaza anatuchelewesha kutupa episode zifwatazo kam anaona ma Cartoon yake deal
Nakoja tu sana Asante pia
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Mwendelezo
Asante mwenderezo
@@Mustykhan OK usijsri tupo pamoja❤❤🤝
Safi sana lkn mnacjelewa
Mnachelewa sana kutoa mwendelezo had MTU anaona kama mpya
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Like 5 tu nitambe
Tatizo unachelewesha mwendelezo ila Madenge namkubali sanaaa🤪🤪🤪
Mnazingua mnachelewesha
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Unacherewa sana
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
@@kuguta sawa fanyeni Ivo mukakaa sana tunasahau mm bado kidgo tu nijitowe
Mnazingua mnachelewa kuleta mwendelezo
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Madenge atamleta mtoto wa mzungu baada ya kutajwa hela nyingi!!🤣🤣🤣🤣
Mwendelezo vipi mbona kimya muda mrefu umepita mwendelezo hamna
Tuko pamoja #kenya
fanya chap kutupa mwendelezo wakee jaman ss tunapoa ukuu
Adisi nizuri sana
Wow😘😘
Amazing
What's up
At least iwe ndefu km hv
please tumeni araka boss
Noma
Safi
Nakubari
Upload more please
Tatizo mnaongea kingereza
umeonaeee wengine hatujui kinger
Ndo vinzuri
hapa muenderezo mpka mwez ukate
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Mna ichelewesha Sana tatizo nn
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Kwa nn mnachewesha Sana kutoa episode nyingine
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Msicheleweshe
Iyo ingine isichelewa please
Saf
Kwel unakaa sana mpk hamu inaisha🤣😂
Nzuri sana ila kwanini munacelewesha kuileta?
Tutajitahidi kuwaisha. Asante
Maman lao
Usitucheleweshee hii store
Kazi nzuri sana
😭😭😭😭😭😭😭mnachelewesha kutoa
Wauni si watu wazur wakat aliy iba wala si Deleva🤣🤣🤣🤣
Yan mpk tunasaau tulipo ishia
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
@@kuguta saw
I love the gateman 😂
Muwe mnaweka namba za vipande kwa sisi tunaoanza zinatuchanganya
Mwisho wa kila video huwa tunaweka playlist ambayo imepangiliwa episode ya kwanza hadi sasa, ambapo ukiibonyeza itakupeleka moja kwa moja kwenye mfululizo wa Madenge, Asante
Nyingine lini
Itaweza ikatoka weekend hii au ijayo. Asante
Mnachelewesha sana
Nivizuri
gari kachukuwa jini mbona likifatwa linaxepa
Really nyc
But akh plz mbna mbachelewa kuleta episode ingine
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Wahisheni bhna tuna sahau ndio mnatuma
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Mlinzi umekuwa mpole ghafla🤓🤓🤓🤓
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
Nyengine lini??
Itaweza ikatoka weekend hii au ijayo. Asante
Kaacha million kisa kwenda police hahahahaha
@@kuguta Mbona mbali sana weeked mbili zipite??
Ingewezekana iwe hata baada yasiku nne au wiki lakin mnakaa Zaid y wiki
Mm police siendi hahahaha
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Kwamba kijiji hakina dereva lkn gari imeibiwa wahuni syo watu
Unaboa aisee unakawiya kutoa🤨🤨🤨
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
@@kuguta swaswa ucjali tutazidi kuwa wavimilivu
Nyimbo
Love songo
Where is next episode
Mi mpaka nilisaha kama naifatiria hii story
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Good
Thanks
Hi my name is lusendela
Dah inakuja lini hii?.
Mwendelezo utatoka Weekend hii au ijayo. Asante
How is madenge
English Cha Soja Kinafanya Nafwatilia Sana
Hata Mimi 😂😂
Mlituchelewesha utripu😂😂😂
Mnachelewasha sanaa
Please Subscribe my UA-cam Channel please Naomba saport yako Please please😖😖ua-cam.com/video/7fH-lB8B4o0/v-deo.html
bana kama unajiskia na cotton zako basi usituletee kwamana mpaka tuna sahau hasa
Unachlew sn
Kuna changamoto huazinajitokeza, Ila tutajitahidi kuwahisha. Asante
Ma😮🎉
Guudmorng👋
Tushkuru kwa siku nyingine🙏
Endelea kutazama wimbo wangu mpya #Kibuti link
👇👇👇👇👇
ua-cam.com/video/Nfv7u9AT0nQ/v-deo.html
Nisaidie kushare kwa wadau wengine