Dada we mrembo tangia kwenye mbagala ya simbaa❤❤❤😊😊😊
Huyu dada ana mengi sana moyoni ya kusema ila anaamua kuyaficha tu kwa kweli Diamond kama kweli bilionea anafaa kumtafuta amzawadi
Tuliokuwa hatukujua kuwa Yule maryam wa Maneno ya kuambiwa ndie mrembo wa Mbagala ya mshkaji wa Tandale na ndio tumejua leo baada ya kuona hii interview ,tu like hapa ili tuone idadi yetu .
Labda wewe peke ako ndo hukujua mbona alishasema kitambo toka maneno yakuambiwa haijaisha😂😂😂😂😂😂😂
Daimondi usimsahau huyu dada . Naona Hadi alipigwa na baba yake na mume.❤❤❤
Nasibu anabaa mungu amupe maisha marefu❤❤🎉🎉🇴🇲🇧🇮
Naima she z so positive.....❤❤❤❤
She's very intelligent 😅😅kuna kitu anawish kusema but anaheshim mamlaka
Mhhh diamond na ushamba aliokuwa nao amwacheee katokaa tandalee kachokaa.ila madada zetu wanajiraisishaa sana au mobeto na aziz kii😊😊
Hata mimi naipenda no 5. Sbb nilizaliwa mtt wa 5.
Mrembo sana huyu Dada❤
Huyu Dada yuko very clear hana longolongo wala malalamiko anaongea kitu ambacho kipo hana mbwembwe wala hataki kiki wala nini unaona hata shobo na yoyote na hajali kueleweka vyovyote yuko itavyokua ndo ivyo ivyo.
Huyu na mimi tunazeeka pamoja Asante Mungu kwa kutupa umri huu tuongezee zaidi ili tushuhudiee ukuu wako
Huyu Dada ana Utu na anaongea vizuri sana hana baya wala hana tabia ya kumsema mtu kwa ubaya kwa kweli Allah amjalie sana ni mwanamke aliyekamilika kifikra na kiakili hata kuongea kwake inadhihirisha kabisa
Niki dada kizuri kirembo 🎉🎉🎉🎉❤
Mziri pia unaongea kwa nizamu hongera
Dhaa nothing lasts forever kabisa yani tizama apo kwenye video vixen gisi alikuwa hot ila sasa miaka imekwenda usichana umekimbia
nimefulaahi kutaja kisiwa chetu Cha MAFIA,,safi sana❤️❤️♥️mzarau kwa mtumwa
Buji asili yake wapi?kabla ya huko mafia?
Mbona km ana asili ya uhindi?
Daah naima buji wakisiwa mwenzangu mafia moja
Nakumbuka alikua bonge moja na pini miaka hiyobabaake alikua mbunge wa mafia Ismail shaa
Ata sio kiki ,kama angekuwa mwengine angejiproud sana
Kumbe Hawa na Diamond walikuwa wapenzi😊
Akili yako ya funza kweli. Hivi huelewi kabisa kuwa hawakuwahi kuwa wapenzi?
Ulilipwa
Diamond bilionea choko tu
Mbulishi alie changamka😂😂
maualana azidishe kheri na tunuku tele aushini huyu dada kisa,"utu WA kutakia wenzake inajipa"❤
Nimependa spirit hii ya huyu dada hii ni sifa ya watu wa Visiwani wote ...
Yaani waarabu ndio sifa zetu hzo hatuna mmb ya kuomba omba
Ulikuwa noma
ulikua mzuri kwel
Weee dada tubu! Mungu hakuandikii Maovu..huyo ji SHETANI au hujui
Kazi safi bro
Jitoto lakiswahili jirembo mashaallah
Khaaaaa...Dayamondi hakukuoa mtoto mzuri kama weweew
Daaaaah hatariiiiiiii jaman
bado yule mwengine alomkataa diamond kwenye mbagala yule black beuty
Ni mrembo saNaaaaaa kbsa
Kweli zamani washikaji mnatafutana ,, cku hizi kila mtu kivyake
Jiheshimu dada ,hii dunia ujinga tu,hayo mambo hayana maana wala faida yoyote kwako ,umeshajidhalilisha na kuidhalilisha familia yako ,achana na hawa wajinga wanajitia kukuhoji ili uendeleze huo ujinga ubaomkera Allah,kumbuka anachotenda chochote kile huwa kinabakia hata kama utakuwa umekufa,hayo mavideo yakijinga yote yanaendelea kubakia kumbukumbu kwako na familia yako hadi ukiwa kaburini,muogope Allah ,jua kuwa kuna siku ya hesabu (kiama)ni nasaha tu nakupatia
@@Bongokasitv pesa sio kila kitu,utu wa mtu ndio muhimu.acha akili mgando
@@mohdahmed5389 sio lazima wote tuwe na utu ukiwanao wewe unatosho na yanini umfosi m2 aishi kama wewe
Naima kwishneee jirani yangu kabisa pale sharif shamba Kona ya amana hospital
Dada anafunguka huyo hatari 😀
Daaaah uko gud sna dadaa
Et rangi nyeupe hiz rangi nyeupe ndo wangekuw wanaingia tuy pepon bila kutenda mambo mema wallah susi watuy weus sijui tungekuw wap japo mie pia siyo mweus lakin siwez kujivunia rangi hata siku moja yan huyu na warabu ambao tunawafanyia kaz huku hawan tofaut wallah kwa ongea yake hii alie ongea mjinga san akawaombe msaad watuy weup wezie jinga san et natokea rufij jinga w
Huyu muandishi mshamba sana limbukeni sasa kushangaa kuwa ni mwarabu imekuwa mwarabu huo ni ushamba
Huyu dada alimsaliti mumewe kisa u star...Mungu kamuadhibu...namjuwa mpaka mumewe...alimtesa sana mumewe baada yakuonekana kwenye video ya Mbagala mamaeee.
Manene ya kuambiwa nikiipenda sana
Nyie mwafkiria diamond atamsaidia nani 😂😂😂😂😂 mpaka sasa hajaiona hii video
Dunia ina mambo mm ndo maana mtu akitoboa simshobokei
Tulio kuwa hatujui kwamba Daimond na Sheta ni watoto wa huyu mama tujuane ila sijajua wa kwanza ni yupi 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe ulichezea kichapo licha ya kutufuraisha😅😅😅😅😅😅😅
Umekulia kwenye dini ila bado dini huijui
@@danimtenga6962Usidhani wote makatonta, heshimu maoni ama jibu kwa staha! Si wote wanaabudu masanamu
Hebu nambie ushaolewa saivi au bado
Kwanza nampa pole yule mwanaume aliemuoa huyu binti akiwa na myaka 17, maana inaonekana huyu mama alikuwa wembe kabisa.
Eti maadili...mimi ninaamini kwamba maadili hutoka moyoni na si kulazimishwa.
Nampenda sana uyo dada
Blue na Mr blue
So beautifull
Anatafuta kikiiiiiiii aende mjini
Watafuteni wale watt alioimba nitarejea na hawa.watt wale wako wapi
Jaman huyu dada kakua hivi mariyam wa maneno mengi Jaman turudishieni maneno yakua mbiwa
Aisee brother diamond
Uyu bonge la dem aisee daa!
Sema nn poa tu!
Sasa hapo ana ubaya gani au shida ni kupajuwa anapokaa?@@chotarawakingoni8148
Daah we mzee huchoki kureply unamdiss uyu dem alikukosea ama nini 😅@@chotarawakingoni8148
Mwandishi ile nyimbo ya nenda kamwambie ndio imemkaa kushinda hiyo ya Mbagala
Marym na mtawala dah weeee🎉🎉🎉🎉
Af huyu dem alishawahi kunitongoza kama sijasahau😊
😂😂😂 User NYANZA nimekuwa mkosoaji wako lini tena umetongozwa@@HabibaHassan-t2u
Mashangaz wanatafuta ugali mjini maan tumeshawasahau kwa sasa
Msaada sio lazima angekuwa mchovu ungelalwmika
Kiufupi kashaachika
Huyu sasa amejitokeza anataka kuzama katika dunia...ndo iyo mbiyu anayoipiga....😮
Basi nikaenda tukafanya basi.😅😅😅
Nilikua naisubili iyo sehem yakutoka kumbe ulishaendanae katika show tena ukalal hoteli hapo kwasisi wakubwa tunaelewa jini kilitokea 😂😂😂
Uyu ndo Mondi angeoa nyakati izo ila angechiti baadae 😂
Sem huyu anaonekana yuko vizur kiuchumi hata diamond itakuwa analijua ilo, na kiuhalisia huwezi kumsadia kila mtu uliyekutana nae utasaidia wangap? Hata uyo bakhresa wapo ambao kawapotezea
Ila hata kionjo cha huwo wimbo mngeuweka bana😊
🔥🔥🔥
😮
Dada kawa mkweli kwenye story yake kuanzia elimu ndoa had alipo
Mariam bado pisi kali sana aisee😍
Alikua mzuri kawahi kufubaa saiv kama mbibi
Sasa atakuwa hivo hivo mpak lini...kwahiyo m2 asizeeke loh emu acheni ushamba
Kumbe uko mrembo ivyo kwahushahuri hihi wakati ikipindi kile ulikuaje kweli wewe mrembo kweli nipo 🇨🇩
Hio click sound mnaiskia ama nmkhoikhoi,ama muhadzabe
Wee maadili hamna ndo maana ulifanya vitu vyakuhatarisha ndoa yako bila mumeo kujua
Dem wangu kabisa minahaa
Kila mtu kazeeka kazeeka kwan kuna ubaya? hyo mbagala ilikua mwaka gan na saiv ni mwaka gani mfyuuu ka mikubwa jinga
No 5
Unaoa msichana wa miaka 16, inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kila umri una matukio yake lazima uyapitie
Kazeeka chap duh
Ulitegemea abaki vile vile baada ya miaka 15? Wewe unafanana ulivokuwa miaka 15 iliyopita? ACHA UBWEGE wewe!
Watu wawache vya kuomba omba na uvivu wakai wa vidio c ulilipwa fanya kazi bhana wacha lawama kheeee
Jamaa ana interview maswali ya kisenge kweli
Sasa mbona kilichoandikwa na content ni tofauti?
Unatudhalilisha simba tunaposkia km unafany dharau kwa wenzko
Damondi hyu dada mkumbuke sana mpechochoti
Huyu mdada mbn mswahili sana
Yeah ni kweli mswahili , cz anatokea pwani na pwani asili yake wanaishi waswahili😁
Safi sana
Kuangalia hii interview .umenifanya nirudie Mbagala .kama na WW pia kama mm .gonga like hapa
Facts