TAJIRIKA HARAKA KWA KUTUMIA SURATUL WAQIAH, ISOME KWA UTARATIBU HUU
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Na Mimi naomba msada wa duwa nisomewe hii kwasababu nimejikita kwenye ufakiri wa Siku nyingi sana kbx Jina langu naitwa Ibrahim Rajab napayikana inci jirani ya Rwanda Kigali
Shukran snaa ustadh. Allah akuweke pamoja na kipenzi chetu mtume (saw)wetu peponi in shaaAllah
Shukuran sana sheikh wangu mungu akubariki daima milele
Shukrani kwako bwana Cheikh
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲
Allah akupe zaidi shehk wetu
بارك لله فيك
Awww habari zenu bwana Cheikh
Shukran hapo inabid hapa mtu ufunge mkanda khaasa
Tena mkanda wa chuma
Sheikh kwa hesabu ya chini hyo dua itachukua masaa 9 na dakika 8.
Yani lau ukaanza sa moja asubuhi utamaliza SAA tisa.
@@Namanda425hatari kweli. Si utakufa
Jazzakh la kheir maaljm
Allah akulipe kheri
Shukrani
Shuquran
😂😂21mara 7 wallah ni kweli nimejaribu lakin nimedondka mama mzigo
Mtume ,saw kafundisha hayo kweli.toa ushahidi jamani usizungumzee tu
Sasa waqia 100 na zaidi si uchache wa yaqin kikubwa mtu kutengeneza mafungamano mazuri na mola wako kila kitu kitakaa sawa
Aalau aalam lakin ukifanya yanatokea kuwa na yakin
@@hussenkapaya4723 🙏🙏
Subhan Allah hamna dalili kabisa.... Naomba tufate quran na suna...... Siyo hawa na Shiekh kupoteza watu
a alahkum je muda sahihi ni upi
Jifunze qran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo
IDADI kubwa sanaaa jamani 21 kweli kila mubiin Subhanallah nna dhiki sana ila hii nitaiweza kweli maana naamini dua bora niyakujiombea mwenyewe
ondosha uvivu na kukata tamaa utafanikiwa inshaallah
Sio idadi kubwa Jamillah ukilinganisha na shida zetu Wallahi!
Tujitahid kumlilia Allah SW
Hamna kitu hapo.... Ni uongo mtupu.... Hamna hadithi wala aya la hi jambo.... Ingekuwa ukweli mbona maskini bado ???? Yeye mwenyewe angekuwa ame park Lamborghini inje..... Tusikubali kila kitu
@@alidugeshwe huelew sis ni wavivu wa kusoma Qur'an hata angesema mara 2 bado si rahis mi nikaanza Tu usingizi mzito au naongea mambo ya ajabu
@@lifeinmiddleeast8179labda una majini
ivi vtu mnatoa wap jmn na mwenyez haikalfish nafsi kw ktu isichoweza
Uliitumia wakati gani ?
uyo anaye zungumza yeye tajir? hizo siri za surat waqiy na hayo matumiz mtume aliyaficha yeye ndio anatuambia
Waqia kwa speed ina dakika 5 unaisoma mara 22x 7 (mubin Za yasin) = 5 x 22 x 7 = 770 dakika Sawa na masaa 12.8 takriban masaa 13 ukisoma slow itachukuwa takriba masaa 15-16
Ivi sheikh iyo kweliiiiii ao unatuongopea 😅😅😅😅
Mhhhh
Yani mda mrefu kweli.
mbona hupokei ukipigwa
sasa Kama nimuskiti muda ya usiku
Wanaingiza pesa tu
Tuna omba dalili yake... Quran??? Au hadithi??? Wewe ni tajiri???? Wangapi wame tajirika na hi????
Unaisoma muda gani sasa
She masaa mangapi
Mubin ni nini?
Anamaanisha!
Ukisoma suratu Yaasiin!
Kuna aya ambazo mwisho wake kuna neno
Mubiin
Maneno ambayo hayana dalili mwisho nilijua ni udalali tu,,umsomee mtu Ili iweje
Dalili ya mvua au nn unataka!!
@@broumaiyyah8018 wanataka vya rahisi na hakuna walizoea kulala tu
@@sfiaalanazi5479 we km iman ako haikufany uamin tulia tuachie sie tunao amin
@@broumaiyyah8018 kabisaaa mtaka cha mvunguni sharti ainame sasa hizo waaqia 21 alikuwq yuwataka aambiwe2 😂😂😂😂
@@sfiaalanazi5479😅😅