Mali za shetani hurudi kwa shetani so wadau tujifunze kutoka kwa hii stori ya mzee wa bakora tusitake vya bure vinamalipo
Huyu jamaa namkubali sana we hongera sana kaka Davister ubarikiwe na kazi nzuri sana ♥️♥️♥️♥️♥️👍👍👍👍👍👍💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖😘😘😘
Davis hi I'm scared of this episode 😭😭😭 Kwa yesu kuna Raha Tele bula mashariti please karibu kurusha kipindi Kwa haraka.
Mmh mdada wawatu embu tuambie ndg wayule dada wakazi hawakumtafuta
Haise mzee wa bakora za mikakati, inauma mtu kuwa tajiri, leo masikini pole sana, nimejifunza kitu hapa, ee mungu naomba utusaidie tusiwe na tamaa na utajiri wa mashariti,
Haaaaa hyo Kali umekataa milioni 11 mwisho ukapokea milioni 9 pole Sana stoli yako nzuli nainafundisha
Hasante kwa mwendelezo DM.Pesa zimeanza kurudi kwa mwenyenazo ,,Nadhan bakora itaanza kupumua kidogo😂😂
Dav inabidi utuoneshe hizo apartment tuzione ombi langu
Hela ya shetani tamu Sana lakini chungu Sana mwishoni
Pole sana mzee wabakora zakimkakati
Baraka za bwana utajirisha na Wala Haina uzuni.
Wewe unamkataa shetani unataka Mali zake. Ukimkataa shetani unatakiwa umkatae na Mali zake zote. Sheria ya shetani lazima urudi ulipokuwa kwenye nyumba ya kupanga,coz alikukuta huna kitu so Mali zote ni za kwao na malkia alishakwambia.
Ajali zote zipo youtube alizosababisha mzee wa bakora. Amshike Sana Yesu, wengi wanaojitoa kwa shetani au freemason ni lzm wafe. Salama pekee ni kuishi na Yesu. Tafuta wokovu wa kweli achana na makanisa makanisa mengi ni mahekalu ya freemason. Wachungaji wengi ni mawakala.
Uruma sana The Devil is the liar😱😳🤦♀️🙆♀️
Shati la lwanda magere litaongea maan lipo hoi😂😂😂❤
@@pilimusa7770 kusema kweli shetan sio kiumbe kizuri khaa yaan leo hii lwanda magere wakuvaa shati1 mwezi mzima kweli wakati alishawahi kumilik majumba na magari ya kifahari na kubadili totoz za kimataifa aisee wacha tupambane na hali zetu kwa kweli
Aisee pole sana mali za kishetani huzichukua wenyew
Ina tukhusu tujifunze sana maana shetani mh si kiumbe kizuri 😭😭
Hela hızı noma, 🇧🇮Who lives 🇹🇷
Mr everything 🔥🔥🔥🔥
Pole sana
Pamoja dav ulipo nami nipo 🙏🇹🇿 💪
Duh ndo tujue Mali zakishirikina hazidumu😭
Kazi nzuri mr fact🤝
Vipi leo aisee...#37 hakuna???
Mwisho wa Siku ni hasara tupu, unapoteza ndugu na watoto, na mwisho unapoteza kila kitu, bora kidogo kutoka kwa Mungu kuliko kikubwa chenye masharti.
Hyooo njia unayosema inakona nyingi
Sio njia bali ni mlima huwooo unaitwa mlima magara...inatokea arusha kwenda manyara..
Davistar mukimalizana na huyo mtu wa shetani umuitea polisi atewa mbarori kwa kuuwa watu sababu yeye mwenyewe ana ushaidi wa kutosha vile alivokuwa akiuwa watu mimi na 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Watoto aliozaaa na mme wake wa ndoa wote wawili uliwaua. Mtoto uliezaa nae ulimpa malkia. Yani dada wa watu kaondoka duniani hajaacha kumbukumbu yoyote.
Wa shetn naye da MUNGU atusaidiye sisi wanao mana bado sana shetan yuko kwenye kampeni mm nitoye wazo tusifraiye kuskia lakini tujifunze na kumtafta MUNGU kwa nguvu sana tena sana mana naye mungu huwashika wampendao
Mwendelezo iko
Daaah kweli hakuna marefu yasiyo na ncha ..hatimae mambo yanafika ukingoni...
Nimewaiiiii🤗🤗🤗🤗
tupo live mkuu ata usipoona coment tupo live 🙏 tupo darasani
Huyo fala alikuwa limbukeni wawwnawake sanaaaa mwanamke akufnyee uuuze nyumba mjinga uyooo
Story inaendelea👏🏽
Jack pub siyo nzuri Ila kuna sparrow iko poa,hapo kwenye kona ni kilimatembo
Jee wakati ulihamia kwingine ulibebana na nyumba yako hiyo ya mauti?
Davistar part 37 kwani haimo leo?
Mtu makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli endelea kutufundisha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Part 37 iko wapi???
Shetani hana huruma anakupa pesa huku anakufirisi ndugu zako. Anakupa raha za mda lakini majuto ni milele hana huruma kabisa
Nyumba za 150M zinauzwa kwa 20M mi ningeziacha tu ziwe hata Magofu.
Mimi naogopa Sana kununua nyumba nyingi zina mazingira, ni heri ujenge nyumba. Mali za ibilisi zote zina chata zao, na wanunuaji wake lazima wawe watu wao.
mbona part 37 umetoa
We jamaa pole utaweza shindia miogo kweli,ushazoea pesa ya damu
Part 37 iwapi Davistar?
Bravi chap chap nilikua nasubiri
Niko hapa baada ya kuanza episode 1last Friday...sasa bado kuhangaika kungoja matoleo yajayo
Baada ya kufuatilia Mlolongo mzima wa Kisa hiki,je kwa sasa ukimuona mtu anaishi Maisha Mazuri sana,unapatwa na mawazo gan?
Moja kwa moja naelewa kwa nini shati la mzee wa bakora alibadilishwi kumbe kafulia kweli kweli
Kenya 🇺🇸 mpooo
Ulipo na sisi tupo Davistar
Kikubwa zaidi mi chakujifunza kwa hizi simlizi mbali mbali tunazo zifuatilia humu! Ni bora zaidi mtu kuishi kumtegemea mungu pekee tu kwenye ridhiki! Ridhika na ulicho nacho ndugu yangu! Story kama hi ilikuwa na maisha mazuri kabisa! Lakini mwisho wake mbaya, Sasa faida gani!
Jamaa anakariri maeneo huyoo. 😳 hatari.
Lwanda mang'ere na mbakora za kishezi , mikakati zimekurundia lol😭😭😲😲😲😲😲
@@gosbertmuta5421 jamaaa na kungungu'ta watu ajali mbele wala nyuma ( kafungua boot za wakaka)
Singida kweli Kuna Pini
Alihamdulillah nlikuwa naisubli
Hayo masherti ya shetani ni magumu sana hayawezekani bora ule kidogo ulale mapema.
Aya tumefika davista ahsante tunaendelea kujifunza mengi kupitia hizi story...
Yani zinawekwa story zngne lkn sztak, ila shetani acha walokole wamkung,ute kisawaasawa Hana uungwana kabsaaaaaa loh ila huyo malkia popote alipo huko baharn mungu anamuona arejeshe watt wetu kudadek zake au tumsake atembezewe mapanga kudadek zake
Yani huyo malkia alivuruga kila kitu,hadi kwenye appertment palikosa wapangaji,lenye mwanzo lina mwisho.
Kodi kindogo,lkn bokora zilitembea 🤭🤭
Leta episode ingine
Jamaa muongo sana
Wapangaji walikuwa wanakimbia bakora za ki mikakati. Shetani anatisha sana.
Mkeo kafa kwasababu ya kupeana ufunguu iliroom isafishwe hiyo ndoilikuwa azabu yake sasa ukawa unajimwayaa na mtoto wa mamdogo 😐😐😐😐😐
Mambo ni 💡 bulibuli
MALI ILIYOPATIKANA KWA HARAKA ITAPUNGUKA BALI YEYE ACHUMAE KIDOGO KIDOGO HUZIDISHIWA
METHALI 11:13
Stori hii inaendelea
Safi
Ukaazaa kufilisika pole pole mana kafara hutoi yatoka wapi kitu chapili nakibayaa zaidi nauliambiwaa pesa usipeleke bank 😐😐😐😐
Daa imeshaa haraka
kila mwanamke mke wako aloo
mkiona #Pill@ @musa@ muulizeni kutoka ni muwachie number 1 leo ako number ngapi
Mzee wa bakora za kimkakati
Nime chelewa lakini diyo na witch Sasa 💯
Kwani there was no one asking themselves why there was so much death surrounding this dude...
Duu umekataa milion 50 hadi ishirini 🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️🤦🏻♂️loo kazi ya ibilisii inafanya kaxi kweli waa yani uliaza kuchapa gaflaa
Na kwakwali Kwa MUNGU kuna raha ata kama huna pesa amani ya MUNGU pekee yatosha vyengine vyote buree kabisaaaaa.
Bakora za kimkakati 🔥🔥
Amkeni amkeni jamani kumekucha uku mzee wa bakora kafika uku
Inasikitisha san
Ukiwa wakwanza raha sana , unaruka sarakasi, unapiga pushap , una kimbia huku na kule maana uwanja mweupee unajiachia tu
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kutokan na hz story nimejifynza kwa shetan hakuna vya bule
37 Imerudia Habari ya 36 hakunamuendelezo
VIP yule mdada wa kazi aliyechukuliwa na malikia hakutafutwa na ndugu zake au?
Fanya ufanyavyo leo post vipande vinne, viwili tayari bado viwili la sivyo bakora za kimkakati zitakuhusu leo usiku
We mko makini nilijua nitakuwa wakwanza
Shetani hana cha bure.....Bora kindogo kina Amani..,
Heri upande wa Mungu 🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Afuu sheytwan mshenzi hana kusamee
Aminjii
Amina
😅
@@gosbertmuta5421 umefurai me nilicheka pale alipo zinguliwa nayule mkaka kwa zainati akamueka kipolo usiku anaingia kuvaa nguo zakazi akamshughulikie kakuta vitendea kazi hakuna ikabidi awe mnyonge jamaa akapona