Yani ulivyotoa hii darsa najiona kama nilikuepo jirani ALLAH akulipe kheri shekh wetu kwa kutufungua. mengi zaidi tumejifunza mengi na kujua utukufu wa qur'an na ukubwa wa ALLAH subhanna wataala na malaika wake pamoja na mtume wetu muhammad S.A.W nimefurahi sana mungu atukutanishe sote peponi kwa huruma wake .allahumma ameen
TAKBIRRRR ALLAH AKBAR TUMSWALIENI MTUMI MUHAMMED S.A.W,KWA BARAKA ZAKE ALLAH AUONGOZE UMMATI MUHAMMED S.A.W TUWE NA IKHALS TUWE NA TAKUWALLAH DAIMA TUMSWALIENI MTUME MUHAMMED S.A.W SIKU YA KIYAMA MTUME MUHAMMED S.A.W AKAJIFAKHIR KWA UMATI WAKE TUMEMPENDA NA KUMUAMINI MTUME MUHAMMED S.A.W BILA KUMUONA YA RASULULLAH ALLAH ATUKUTANISHE NA KIPENZI CHETU YA RABBY TENA PEPONI JANATU NAIMM🤲
Mungu akubaliki Sana shehe nimesikia raha Sana illliyochanganyikana nahuzuni kusikia manenohayo mafundisho matamu Sana tatizo mb ningependa kufatilia vipindivyako vyote walioko dar wanakufaidi sana
Mti wa mkunazi ni wa kweli kabisaa , Katika Science in Astronomy field tunaita The Black Hole, neither anything escape nor entrance in that Black Hole, it’s shape ni Kama hiyo Mkunazi. Waislamu tusome haya mambo yapo kweli kwa Haqq. Fatabaraka Allah ahsanal khaliiqiin.
Sheikh hapo kwenye mara ambazo sayidna jibreel (as) alikuja kwa mtume Muhammad (saw), wanafunzi tunahitaji ufafanuzi zaidi. Umesema alikuja mara 24,000 itamaanisha alimtokea mtume kwa wastani wa kila siku mara 3 kwa kipindi cha miaka 23 ya utume, labda kama unamaanisha mara 2,400 kwetu italeta maana
Quran 4vrs159 lazima kumwamini Issa kabla ya kufa kwake. Quran 43vrs50-59 watu wa muhammad waambiwapo habari za Issa wauliza muhammad mbora ni miungu yetu au yeye Issa? Kumbe wafuasi wa muhammad wana miungu. Mtafia dhambini msipo mpokea YESU KRISTO MWOKOZI awape kuitwa Watoto wa MUNGU YOHANA 1vrs12
We mgalatia qrn 43:58. Makafiri wamesema: Je! Miungu yetu na Isa, nani bora? Ikiwa yeye yuko Motoni basi sisi na miungu yetu tutakuwa pamoja naye. Hawakupigii mfano huu wewe ila kutafuta ubishi tu, na kushindana kwa maneno, si kwa ajili ya kuitafuta kweli ilivyo. Bali hawa ni watu ambao ni shadidi wa khasama, wamebobea kwa hayo. Tuje huko tukanunue kinyago kilichochongwa pale mwenge kwa laki3 alaf tukiombe shida zetu? Hiyo aya inazungumzia makafiri kama wewe ambaye hapo ulipo una miungu 3, baba mwana na roho ilihali katika uislam Allah ni mmoja tu huyo Issa ni mtume wa Allah tu.
Acheni kupotosha na kudanganya watu hizo hadithi zote ni zaungo zilitungwa kwa uongo wa hali juu, muhammad hakuwahi kuwa mtume wa Baba yetu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo na Wala si moja kati ya mtume, Bali yeye alikuwa kati ya Binadamu walio potea kwani hakuwahi kutembea katika kweli ya Baba na Wala akuijuwa kweli ya Baba maisha yake yote ya kikafiri .
Shehe haya mawaidha Bora kabisa sijapata kusikia Allah akupe Jannat Firdaus nasi sote ameen
Allahu akbar...
Masha Allah.
Yani ulivyotoa hii darsa najiona kama nilikuepo jirani ALLAH akulipe kheri shekh wetu kwa kutufungua. mengi zaidi tumejifunza mengi na kujua utukufu wa qur'an na ukubwa wa ALLAH subhanna wataala na malaika wake pamoja na mtume wetu muhammad S.A.W nimefurahi sana mungu atukutanishe sote peponi kwa huruma wake .allahumma ameen
, _@#*
Asante
Uyu mukali sana masha Allahu ilmu nzu mno namkubali kwa ilmu anayo tupatiya kutoka kwa Alla tabark wataaal shukla jazila
TAKBIRRRR ALLAH AKBAR TUMSWALIENI MTUMI MUHAMMED S.A.W,KWA BARAKA ZAKE ALLAH AUONGOZE UMMATI MUHAMMED S.A.W TUWE NA IKHALS TUWE NA TAKUWALLAH DAIMA TUMSWALIENI MTUME MUHAMMED S.A.W SIKU YA KIYAMA MTUME MUHAMMED S.A.W AKAJIFAKHIR KWA UMATI WAKE TUMEMPENDA NA KUMUAMINI MTUME MUHAMMED S.A.W BILA KUMUONA YA RASULULLAH ALLAH ATUKUTANISHE NA KIPENZI CHETU YA RABBY TENA PEPONI JANATU NAIMM🤲
Mashallah!
Jazakallah khayran
Mashaallah
Hadithii imenifungua mamboo mengii mashaallah🙏🙏🙏
ماشاءالله
Allah akujaz kheri sheikh na mwisho mwema
Maa shaa Allah.hadi raha
The best sheikh in the African
kumbe hata mawaidha ni bonge moja la kiburudishi bhana nmeinjoy saana♥️♥️🙏🙏
Mash Allah
From burundi tunampata miya kwamiya
Mashaallah mashaallah sheihk allah akuzidishie kila lenye gheir.
MUngu akupe umri sheghe mawaidha mazur amin
Mungu akubaliki Sana shehe nimesikia raha Sana illliyochanganyikana nahuzuni kusikia manenohayo mafundisho matamu Sana tatizo mb ningependa kufatilia vipindivyako vyote walioko dar wanakufaidi sana
Masha allh
Ahsante she.
Mashaallaah mola akuhifadh na mambo ya shar ust othuman
Elimu ni bahari kweli allah kasema kadri siku zinakwenda. Tunaona masheikh na elimu nzuri kabisa
ALLAH akuzidishie kila la kher hapa dunian na Akhera sheikh
Asc sheikh othman jazakumu llahu qeyra
maashallah
Wacheni bagi Mungu yupi amwombe mtu ambaye angoja kuhukumiwa...mfu duniani wacheni kukufuru na kumwabudu Huyo mwarabu shenziii...
Inshallah mungu akupe hikma ufahamu uislamu.Allah anisamee mm na ww.
@@mustayoo wewe usamehewe wacha ushenzi
Subuhannallah!
Masha Allah.
MashaAllah shukran sheikh
Mashaa Allah Shekhe Othman tunashukuru sana kwa faida
mashallah mashallah mashallah... Allahumma Swali A3laa Muhammad.
Allah Akbar
ALLAH AKBAR. ....SUBUANALLAH. ...MASHALLAH TABARAKALLAH
Alla akupe umri mref
بارك الله فيك
Allaah akubaarim ، jifunze quran kusoma na kuandika kwa kugusa picha yangu hapo ,Allaah akubali amali zetu
Allah abariki
Mti wa mkunazi ni wa kweli kabisaa , Katika Science in Astronomy field tunaita The Black Hole, neither anything escape nor entrance in that Black Hole, it’s shape ni Kama hiyo Mkunazi. Waislamu tusome haya mambo yapo kweli kwa Haqq. Fatabaraka Allah ahsanal khaliiqiin.
Shukuran Jazillah
Shukuran Jazira Allah akuzidishiye kilalaheri
Allah akupe tauwfq al,akh an jambo moja apo nikuwa huyo malaika haitwi israel ni malaku l,maut mashaallah
Malakul mauti Ni title jina lake ni Israel Ni kama shaytaan ni title anaitwa ibliis
Tumsifu MTUME MUHAMMAD
TAQBIRI TAQBIRI TAQBIRI
Umelitoa wapi hilo jina Israel? Achen uzushi
hadithi zilizotungwa kwa weledi kwa kweli.
YESU achananae kabisa huyo Ni habari nyingine kwa MWAMPOSA waislamu wamejazana na wanaponywa
Waislam hao wamekosa imani
Jifinze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali
Sheikh hapo kwenye mara ambazo sayidna jibreel (as) alikuja kwa mtume Muhammad (saw), wanafunzi tunahitaji ufafanuzi zaidi. Umesema alikuja mara 24,000 itamaanisha alimtokea mtume kwa wastani wa kila siku mara 3 kwa kipindi cha miaka 23 ya utume, labda kama unamaanisha mara 2,400 kwetu italeta maana
Hamna Malaaika anaeitwa israel
Swallallwahu alayhi wasallam
Mashaaallaaaah
Quran 4vrs159 lazima kumwamini Issa kabla ya kufa kwake.
Quran 43vrs50-59 watu wa muhammad waambiwapo habari za Issa wauliza muhammad mbora ni miungu yetu au yeye Issa?
Kumbe wafuasi wa muhammad wana miungu.
Mtafia dhambini msipo mpokea YESU KRISTO MWOKOZI awape kuitwa Watoto wa MUNGU YOHANA 1vrs12
We mgalatia qrn 43:58. Makafiri wamesema: Je! Miungu yetu na Isa, nani bora? Ikiwa yeye yuko Motoni basi sisi na miungu yetu tutakuwa pamoja naye. Hawakupigii mfano huu wewe ila kutafuta ubishi tu, na kushindana kwa maneno, si kwa ajili ya kuitafuta kweli ilivyo. Bali hawa ni watu ambao ni shadidi wa khasama, wamebobea kwa hayo. Tuje huko tukanunue kinyago kilichochongwa pale mwenge kwa laki3 alaf tukiombe shida zetu? Hiyo aya inazungumzia makafiri kama wewe ambaye hapo ulipo una miungu 3, baba mwana na roho ilihali katika uislam Allah ni mmoja tu huyo Issa ni mtume wa Allah tu.
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali
Acheni kupotosha na kudanganya watu hizo hadithi zote ni zaungo zilitungwa kwa uongo wa hali juu, muhammad hakuwahi kuwa mtume wa Baba yetu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo na Wala si moja kati ya mtume, Bali yeye alikuwa kati ya Binadamu walio potea kwani hakuwahi kutembea katika kweli ya Baba na Wala akuijuwa kweli ya Baba maisha yake yote ya kikafiri .
Koma eeeeh waislm wastaab naw jifunz ustaarab hatun tabia ya kuchafua vidio zen za mapadr kwa kucomment
Revert before you return to your creator
Kama wewe hujasoma. Usipende kudakia mambo utaangukia pua ndugu. No research no right to speak.😅
Hivi kumbe mungu ni mwanaume eee,,, naona unamwita baba
Swadakta Malaika wa kutoa roho anaitwa Malakul Maut
Hakuna malaika anaitwa israel.tusipoteza waislamu kwa hadith za israeliati.
Ametakasika MOLA WA VIUMBE VYOTE ,
Mbona hakuna hayo maneno ya Ziraili?
Mafundisho ya uongo haya waislamu shitukeni
Unapinga bila ya elimu
Kazi ipo
@@hawalasalehmohammed8562 Mohammed yupo kuzimu
Hakuna malaika anayeitwa israel.anaitwa malakul mauti
Umejuaje Kama isreal ndo malakul mauti
Malak lmaut
Israel ndo jina lake la asili malakulmauti ilipewa jina hilo bada yakupewa kazi ya kutowa roho
Malaika Isreal ni yupi wee
Jina kamili ya malaikatul maut ni Israel
ni aibu kubwa kwacha muislam huyo haitwi israil anitwa malakul mauti kasome tena
Waongo wakubwa kama baba yenu shetani.ole wenu mkufia kwenye huo uongo.mzidi kutiana faraja za uongo tu upo mwisho na kitaeleweka.
Yohaba 3vrs36
Usome uislamu utaelewa lkn kusikiliza tu hakutokukinaisha
mhnmh mh mh.mh mh
Ni malakul- mauti
Sio malaika israel❌
Sayyidana 'Isra'il ndiye Malakul mawt
Mash Allah
Mashaallah
Mansha Allah
ALLAH AKBAR
mashaAlllah