SHEKHE KIPOZEO: MIZIGO YA KICHINA/ KUONGEZA MKE/MZEE YUSUPH KUIMBA/WANAOMPONDA AKIZUNGUMZIA MIZIGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 79

  • @sideboy2739
    @sideboy2739 4 роки тому +2

    We carry mwambie mfanya kazi wako aulize maswali ya msingi anamuuliza shekhe et VP kuhusu wanaume wanaovaa ereni sasa unategemea shekhe aseme wavae au

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub948 4 роки тому

    Asc my favourite sheikh anapenda ukweli na Wala haogopi yeyote isipokuwa Allah mashAllah

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 4 роки тому +5

    kwa kweli mimi swala la nyimbo katika uislam haijalishi unaimba nini kwa kweli bado linanipa ukakasi kwa sababu uislam umeharamisha ala za mziki...
    aya tumuachie Allah ndiye mjizi zaidi

    • @abubakarmzee3374
      @abubakarmzee3374 4 роки тому +3

      Kwani we unaona huyu nae shekhe kwa mujibu wa dini ya kiisilam nyimbo zote zete haramu Mungu hakuleta watu duniani kuja kuimba lego la kuubwa mwanadamu ni kumuabudu molla wale na so kuinga apo hapana kupata ukakasi wala nini nyimbo ni haramu hawa wengine wapo duniani kwa masillahi na so kupeleka din mbele

    • @nurdin.mndeme3447
      @nurdin.mndeme3447 4 роки тому

      @@abubakarmzee3374 kaka usiwaseme vibaya viogozi wa Dini !

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 4 роки тому

      Kabisa

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 роки тому

      @@abubakarmzee3374 taratibu Kaka n dini hii hataki hasira wala jazba,

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 роки тому +1

      Hakuna kosa alilo changia nyimbo haramuuuuuuu

  • @omanoma5446
    @omanoma5446 3 роки тому

    Shekhe, kipozeo, nakupenda, sana, lakini, nipo, mbali, Tena, nakupenda

  • @gojvon116
    @gojvon116 4 роки тому

    Sheikh huyu kwa kweli inaonesha kuwa ni mtu mzima na mwenye busara na hikma sana na ni mtu anaempenda Allah na kumuogopa na mtu mtaratibu na mwenye kufahamu na kuelewa .
    Allah ambariki sana

  • @sanuranassoro7660
    @sanuranassoro7660 4 роки тому +3

    Shekh wa maana hafanyiwi interview na wahuni

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub948 4 роки тому +2

    Jamani mwacheni sheikh akisema mzigo hamanishi mambo mengi hiyo mnadhani la .

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 роки тому +1

    yaaa
    akili zina gredi
    safi kabsaaaaaaa
    nakupata sana shekh wanguu!
    ndıoo shekh cc tunakueleqaa sanaaa wala ucwe na khofuu

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 4 роки тому

    Nakupenda interviewer. Maswali yako yametulia kwa Skh Kipozeo ingawa majibu yake Skh mengine anayabana bana Tunafaidika sana na Ma story TV. Like it.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому +3

    Sheikh uko vizuri!

  • @ashaally6662
    @ashaally6662 4 роки тому +5

    Napenda shekhe kipozeo anavyoongea😁😁😁😁

  • @Hongkongman2
    @Hongkongman2 4 роки тому +2

    Yeye mwenyewe huko siku za nyuma alipinga nyimbo zote
    Na alikua akuwasema sana waimn maulid na kaswida
    Leo anasema ni ruhsa kuimba
    Ni shekhe ambae haeleweki tu

    • @omanoma5446
      @omanoma5446 3 роки тому

      Shekhe, kipozeo, nakupenda, Sanaa, lakini, nipo, mbali, jaman, Tena, nakupend

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 роки тому

    sheikh kipozeo acha kutupanga!!!!

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 4 роки тому +2

    Shk wangu KIPOZEO wachaneni na huyo mwandawazimu. Msijishugullishe nae.Mwambieni a click UA-cam YA JENNIFER GROUT.AONE FROM MUZIC TO RECITE THE HOLLY QUR'AN.

  • @drnathanstephen.3882
    @drnathanstephen.3882 4 роки тому +2

    Haha Sheikh Kipozeo yupo vzr sana.
    Pitia na Channel yangu upate kujua Mengi kuhusu afya yako. Mada mbalimbali za Afya zipo huko.

  • @omariselemani3962
    @omariselemani3962 4 роки тому +1

    Yani
    nyinyi
    Mnayokomenti
    usenge
    kwaniakipenda
    Mizigo
    kunashidagani
    Kwaniyeye
    Sibinadamu
    Au
    Kweli
    hakilikunagred

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 4 роки тому

      Chagua ukipendacho lkn dini ndio lakwanza kuangalia na sio mizigo maana mizigo inachoka . Ila elmu haichoki

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 4 роки тому +2

    Shehe mzigo ana penda mizigo yani misambwanda ndo yake ana penda wadada walio Nona viswaswadu kwake hapana yani uyu mzee noma kweli

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 4 роки тому +1

    Kipozeo naye amerudi Mjini kazi kubwa ni kusifu wasanii wa Muziki. Kutoa fatwa ambazo hazina kichwa Wala miguu.

  • @ibramtibila7029
    @ibramtibila7029 4 роки тому +1

    Mashallaah

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 4 роки тому

    Shekh Kipozeo ushapoteza Dira. Huna jipya.

  • @husseinnkami7360
    @husseinnkami7360 4 роки тому

    Very gd

  • @daudi.gilago5846
    @daudi.gilago5846 4 роки тому +2

    Rojah bahna hyo salam umetoa kama we mwisalam kwel

  • @abdulchakusaga1322
    @abdulchakusaga1322 4 роки тому

    Kwani mzee unataka uoe wangapi

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 4 роки тому

    WAHARIBIFU NI WAIMBAJI NDIO WANAHARIBU WATU WANASIYASA NA MATIVII BOTAILIKUWA NYERERE ALIKUWA ANATIZAMA TV KWA KUANGALIYA NCHIGANI ZIMEPATA UHURU

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 роки тому

    Shekhe kipozeo hujambo

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 4 роки тому

    Nyimbo za heri ndo nyimbo gani shehe tunapenda ufafanuzi

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 роки тому +2

    Huyu shehe anapenda wadada walonona nyuma ndo zake uyo

    • @saidijuniorhan6790
      @saidijuniorhan6790 4 роки тому +1

      ww

    • @mahamedabdi1881
      @mahamedabdi1881 4 роки тому +1

      Kwani kunaobaya gani? Mtu kupenda mwanamke alio beba hata mei napenda

    • @josephnjoroge5649
      @josephnjoroge5649 4 роки тому +1

      Kujaza nyuma ni neema ya Allah kwa wale wanawake waliojaza...mie pia nawapenda..

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 7 місяців тому

      ​@@josephnjoroge5649ooooooyiii

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 4 роки тому

    Basi una choyo kusema ‘hupendi thawabu ziende kwa watu wengine’
    Wewe ni shehe wa wapi mwenye choyo?

    • @ahmedyzo
      @ahmedyzo 4 роки тому

      Charity starts within your own family, na yeye ametaka basi mema waanze kupata familia yake, niuelewa tuu..

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 роки тому +4

    Nyimbo zote haram sheikh ameteleza kias kama binadam inaeleweka mana akuna aliekamilika na elmu utofautiana

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 4 роки тому

    Huyu ni shekh wa mizigo

    • @queenslandemile2536
      @queenslandemile2536 4 роки тому

      😂😂😂

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 роки тому

      Ndugu katika imman tusipende kukejeli viongozi wetu Ka kdini,kama Sisi wenyewe tunafanya ivi na wasio kuwa waislamu je?tutumie kauli laaini N ushauri Tu kaka.

    • @mwanahamisiyusuph7562
      @mwanahamisiyusuph7562 4 роки тому

      @@mwalimudzuya6695 kwa hakika ninavyofahamu Mm mashekhe nao binadamu kukosea kupo

    • @salimmohamedsalim4448
      @salimmohamedsalim4448 4 роки тому

      Anasema mwenye yy apenda mizigo

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 4 роки тому

    Nyote ndo walewale..nawe pia kipozeo ndo hao hao

  • @happylusinde9215
    @happylusinde9215 4 роки тому +1

    Hhh

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 роки тому +2

    Shekhe ubwabwa

    • @mwalimudzuya6695
      @mwalimudzuya6695 4 роки тому +1

      ALLAH ndie mwenye ku hukumu kaka,Sisi kama binadamu hatuna uwezo huyo,tufanye kheri TU,ushauri Tu

    • @rayasaid4099
      @rayasaid4099 4 роки тому

      Shehe wali na mihogo na kunde

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      Sheikh ugali ni wewe!!

    • @abubakarmzee3374
      @abubakarmzee3374 4 роки тому

      @@mwalimudzuya6695 sisi hatuhukumu Ila ishara jema huonekana Mungu na sisi katupa akili mbona mtu akiwa mwizi au mla madawa hujawihi ata siku moja kuonana nae Ila ukimuona akili inakwambia huyu mwizi au huyu mla madawa

  • @saidmarley4049
    @saidmarley4049 4 роки тому +1

    Huyu sheikh fake kama simu za kichina....vp unasema nyimbo inafaa ambapo ina mkaribisha shetani kupoteza watu kwenye maaswiya????

  • @messiomy8655
    @messiomy8655 4 роки тому

    Salaf ndo wenye dinii ...wootee hawa waigizajiii tuuu...huyo sheh na anaemuongelea ..wote ngma droo