@@ibrahimnadir4490 Sio kosa lkn inategemea kwa Staa mwny jina aolewe mke wa pili tena na mganga au aje abanane na mm mw'ke wa kawaida kw mume asieweza kumtunza huko kunamaanisha amekosa wa kuendana nae yani kibinadamu iko hivo
Ndiomana mausiano mengi ya kisasa yamejaa kudanda danda tu maana mawazo hayapo kwenye upendo wa dhati na kweli miyoyo mingi inazama kwenye maslah binafsi tu wazee wetu adi kufikia vikongwe nawapongeza sana sasaivi hamna mapenz kbs
Nampenda huyu dada kwenye jua kali anaongea kiswahil vzr kweli bila kuchaganya kingereza hongera sana unaweza.
aiseee hii vibes ni kali sana , hongera sana mars
Mnajisifia sana kisha mnaolewa na waganga.na waume wa kushare tena bureee...
ndo wengi wa waTz
Kwani kuolewa mke wa pili ilo ni kosa au kutokua na thamani tuanzie apo zuena
@@ibrahimnadir4490 Sio kosa lkn inategemea kwa Staa mwny jina aolewe mke wa pili tena na mganga au aje abanane na mm mw'ke wa kawaida kw mume asieweza kumtunza huko kunamaanisha amekosa wa kuendana nae yani kibinadamu iko hivo
😅😅😅😅😅umenichekesh
Nakupenda bule kwenye jua kali umetisha mbaya
Ahhhhhh ....who is this 🤔 ambaye ako na bahati ya kumpata queen of my heart nimeumizwa but ni sawa tuu .....wacha tuone ...😭😭😭
Mmefanana na dada ako
She is very talented kwene movie keep it Dada
Can ..
Aisee kama pale alivyokuwa kanisaniii
Mwanakondoo😍😍
Ni kwelii
🔥❤🔥
Kimeumanaa🤣🤣🤣mimi mars hutuwezi kukuelwa......hamna tofauti na juma jux
Kaka Diamond hajawai kumuacha mtu salama.
Asante Mungu ulie weka kuzeeka na kufa...
Kwanini Kakaaaaa
Hilo sauti
Hapo ngoja kwanza nicheke 🤣🤣
Maria
Wee K,,,,,,,,,,,,a kweli
Ndiomana mausiano mengi ya kisasa yamejaa kudanda danda tu maana mawazo hayapo kwenye upendo wa dhati na kweli miyoyo mingi inazama kwenye maslah binafsi tu wazee wetu adi kufikia vikongwe nawapongeza sana sasaivi hamna mapenz kbs
💎🌎🔥👑
Mmmh mbona wakati wazile tuzo ilipost cardi flani hivi
Ngoma kali
"Kwisha yake habaaariii"Kwa mbali mondi amesikia mbn hehehe ncheke kwanza
😂😂😂😌 nmeskia babuu
@@hbboe1849 tayariii keshachinjaa😅
Hio urembo ya mwanaume ana hela hauna...what are you bringing?
Ajui kuhoji uyu
Yani wewe utakuja kutumuliwa we nyanyasa wasio na hela wahuni semeni ameen maombi yamejibiwa
Nakbali mwamba
HUNA ISHUU
Dadekiiiii .....kina jeuri hikiiiii
Ni wale wale wakusema bila 500M uwez niowa alaf wanaangukia waganga 😂😂😂
Hans jambo nyota Ziro kutwa kuliwaza diamond
*Kuna yule jamaa ambae hua anahoji yuko wapi saiv mbona ndo alikua anafaa*
Nielekeze Mkuu Nina biashara online NATAKA nianze kuzitangaza
Media zetu hizi zimekosa content kabisa ,tukio la koegelea lilitokea 2020 linazungumzwa Hadi Leo Tena kuogelea😳
Walilifufua wenyw kwa kiki zao za kuachia ngoma,, maana bila Diamond 💎 hawaend
Kimeumana 🔥🔥😂🤣😂😂
Mtanzaniaaa furanii huyooo ni nanii
Kwahiyo mnaona kutanganza uzinifu ndio inshu
Kwani wewe nini kilichokuleta huku?
@@josephstephen1079 siwezi kulaumu sababu kafiri huona maovu sawa
@@fatmafatu1128 Sasaa wewe usiyependa maovu unakuja kufanya nini huku?
Ndio muziki tumebaki nao
Unju🔥🔥🔥
Bila kiki kwa Diamond 💎 hawaend
weee fala siujib kam anakuzagamua mariooo fyuuu
Marioo hana chake hapo
Mtangazaji unauliza mswari gn
Movie kulufi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Muko mayani yacayi tu iyo sauti sasa Africa bwana ina mambo kweri
Machoo yetu
Marioo ni kaka yako shida wadau wakipiga ua galagaza marioo ana lia lia 😂😂😂
Mnazingua tunatak santana ndo anajua kuhoji bhn...🤧huyu jamaa kam muimba kwaya😂
Mond kashamla kitambo
Marioo hatakwi asilazimishe atakuja aibika mjini
HUNA ISHUU