UJUE USALAFI NA MASALAFI-SHEIKH KASSIM MAFUTA-حفظه الله تعالى ورعاه

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 21

  • @tarish001
    @tarish001 2 роки тому

    mwanzo ilikuwa Sielewi ju Mimi nimezaliwa kwenye kufr,nimeinukia kwa Bida'ah na Al hamdulillah Sasa naelewa njia Sahihi ni ipi yakufata Jazakallahu Khairan

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 роки тому

    Naunga mkono juhudi zenu kwa asilimia miamoja, lkn mushkeli upo hapo nilipo pataja tu.

    • @husseingaviz1320
      @husseingaviz1320 2 роки тому

      isitoshe kuunga juhud Jiunge kwenye manhaj ya mtume ﷺna uilinganie njia hyo

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Рік тому

    Kuwafuata Assalafi Asswalih kuwe kwa vitendo na si wingi wa maneno, khusuma na malumbano.

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 роки тому +1

    Sheykh Qaassim baaraka Allaahu fiik, mimi huskiliza mada hadi mwisho ndio nika coment, kwa hakika ulio yaongea ni maneno yakweli na nimaneno ya Haqqi.
    Na kuna neno umelitumia mahali fulani na ukalitia mkazo!
    Kwa ushauri tu mfano wa maneno kama hayo kwa ulipo fikishwa wewe na Allaah Jalla Wa'alaa hupaswi kuyatumia.
    Kwa sbb maneno kama hayo ndio yalio sbbisha Da'wah Assalafiyyah ionekane tofauti.
    Nivyema kuuendeleza utaratibu wako wasasa wa kuchunga baadhi ya lugha ktk maongezi yako kwenye Da'wah.
    Na nikweli ulivyo sema kua yeyote alie kwenda kinyume au alie khalifu mwenendo wa Salafi ktk Iimaan, Itikadi, Ibaadaat, Akhlaaq, nk..
    Huyo sio salafi nawala hajatolewa bali tangia zamani hayumo kwenye Manhaj ya Salaf.
    Na Usalafi sio madai tu bali na vitendo.
    Sasa hapa kuna Masheykh wa Kisalafi ambao sifa hizi zote wako nazo lkn nyinyi mmesema hawamo na sio masalafi.
    Pia nyinyi mulioshika laqabu hii tunakuta wengi ktk nyinyi hii sifa ya Akhlaaq ina mushkeli mkubwa sana kwenu kwenye kuamiliana na watu, wakiwa wazushi, au Masalafi safi.
    Hili liko wazi na mifano ukiitaka utapewa hatakama ni miamoja.
    Munavyo amiliana na watu, mbona kuna utofauti mkubwa na Salafi waliopita namna walivyokua wanaamiliana na watu?
    Pia kwenye uhalisia salafi sio mwenye sifa hizi ulizo zitaja, bali salafi wakweli nilazima awe na misimamo fulani ambayo asili yake ni ..............., na misimamo hii tukiangalia ndani ya vitabu vya wema walio pita hatuikuti.
    Bali hata Maulamaa wetu Allaah awaraham walio tangulia na awahifadhi walio hai, hawakua na misimamo hio.
    Sasa hapa kwa wenye kufwatilia mambo na kusoma Dini wakikuuliza maswali na kukupigia mifano ili kutilia nguvu maswali yao, utashindwa kutoa jawabu lenye kueleweka.
    Hivyo basi ipo haja ya kuiasisi tena upya Da'wah Salafiyyah na namna ya kuilingania, kwani haikupata sura mbaya ispokua baada ya kulinganiwa kwa kuchanganya misingi sahihi na usluub usiokua wa sawasawa.
    Mimi nakubaliana nawewe kwenye yote ulio yaongea na nikikuangalia au nikiwaangalia sifa hizi za Wema walio pita zote mnajitahidi kadri ya uwezo muliopewa na Allaah.
    Ispokua kwenye Akhlaaq-mu'aamalaat wenu na wengine, na zaidi Ahluussunnah wenzenu walioshika Manhaj ya Salaf kama mulio ishika nyinyi, maamiliano yenu nawao ni mabaya sana kiasi ambacho yanachafua hizo sifa nyengine zote mulizo nazo na baadhi ya watu kukudhanieni nyinyi kua ni watu waovu kupindukia.
    Ingawa ukweli hauko hivyo wanavyo dhani.
    Na shabiki mkubwa ktk mashabiki wa ..........
    Ni ndugu yako ........................
    Na baadhi ya vijana wa hapa Zanzibar, na baadhi ya vijana wa kule nchini Kenya, na zaidi ktk vijana wa Kenya ni .....................
    Mimi ktk watu waliopata fikra za kuipinga da'wah salafiyyah mimi nimmoja, ingawa haikuwahi kuniathiri na kupelekea kuwatweza Masalafi, kwa sbb nilikataa fikra na ushauri wa mtu yeyote unao kutajeni kwa ubaya, na nikafanya tafiti za Kielimu mimi mwenyewe kwa kusoma vitabu mulivyokua mukivitegemea, ambavyo viki zungumza hio Manhaj ya Salaf, na Maulamaa wakubwa nikiskiliza Duruus na Mihadhara yao kama Sheykh Albani na wengineo namna walivyo Izungumza na kuilingania Da'wah Salafiyyah, nika gundua kuna baadhi ya makosa yalifanyika ktk Ufikishaji wa hii Da'wah kwa watu, na haikuwa kusudio kukosea.
    Ndio nikaipokea kwa mikono miwili na nikaanza kufwatilia Walinganiaji wa Da'wah hii, nikakuta hata Mashekhe zetu pia walikua walinganiaji wa Da'wah Salafiyyah ingawa kuna baadhi ya mambo madogomadogo yalikua hayaja wadhihirikia.
    Kwaio kinacho sumbua ni namna ya ufikishaji, hili ndio tatizo, na baadhi ya misimamo ambayo haijawahi kushikwa na Salafi Asswaalih , wala Mashekhe zetu wakubwa kama vile Ibnu Baaz, Albaani, Ibnu 'Uthaymiin..........
    Wote hawa tukiangalia maisha yao ktk upande wa kuamiliana na watu mmekwenda kinyume nao kwa asilimia kubwa sana.
    Ushauri kaeni muangalie mustaqbal wa Da'wah na ubishi na majadiliano yasiokua ya Haqqi na athari ilio patikana kwa makosa ya kida'wah na mu'aamalaat yaliopatikana kwa kuto kua makini kwenye hili.
    Abuu 'Aarif.
    +255673779519.
    02\03\2022.
    Jumatano.

    • @husseingaviz1320
      @husseingaviz1320 2 роки тому

      al akhy umeandika kalima ndefu sana na kugusia mengi ktk ya kupongeza na yakutoafiki ktk baadh ya uliyoyataja hasa ukagusia ktk Akhlaaq .Mimi kwa ufahamu wangu juu ya daawa ssalafiya ni kwamba wengi ktk wenye mlengo kama wako hawajaelewa misingi wa al walaa wal baraa na msingi wa kumrudi alikhalif hata kama mwanzo alikuwa ktk ahalssunna au nae aliwah kudai kuifuata njia hii sasa inapotokea mukhalafa kwake na akatahadharishwa baada ya mengi kwake kupita ktk nasaha , sasa asiye jua background ya huyo anaefanyiwa radd ndio utamsikia ambae ana mlengo kama wako akidai mbna mashekhe mwasemana ,mbna fulan anatetea sunna halafu mna msema ,na mfano wa maneno kama hayo.SASA MTU KAMA HUYU ATAKIWA AIJUE MISINGI YA USALAFI kisha ajue hao masalafi ni binaadam pia kuna ule udhaifu wa kibinaadam usije ukatumbukiza ktk makosa ya kimanhaj mf.labda msemaj fulan wa daawa hii ni mkali sana sasa wewe ukahukumu ule ukali wake. Mwish ningeomba ewe ndugu ungetoa MIFANO YA HAYO MAKOSA YA KIAKHLAAQ .Lakin ww umeleta maelezo juu juu kama unatuhumu bila huja za wazi.
      بارك الله فیك

    • @OmarOmar-wx9zg
      @OmarOmar-wx9zg 2 роки тому

      @@husseingaviz1320 Akhy kwanza nikutowe wasiwasi kuhusu misingi ya Da'wah salafiyyah mimi naifahamu vizuri sanaaaa na sina mushkeli wowote kwenye misingi ya Manhaj, bali uendeaji wa na namna ya kuishika hio misingi hapa pia pana baadhi ya ghuluwwu imefanyika na inaendelea kufanyika.
      Na unataka nitowe mifano ya ......... Kama unavyodai, ila kama wewe nimtu ushae chungulia tu baadhi ya vitabu vinavyo zungumzia manhaj ya Salaf basi na ikawa haya yanayo endelea unayafahamu na kuyafwatilia vizuri, bila shaka usinge niambia nitowe baadhi ya mifano ya .....................
      وذي لب يكفيه إشارة............. .

    • @OmarOmar-wx9zg
      @OmarOmar-wx9zg 2 роки тому

      @@husseingaviz1320 Misingi ya Alwalaa Walbaraa na kumraddi alie khaalif haya simambo ya kuyaongea hapa, kwasbb hakuna daa'iyah wa Ahlissunnati wal athar ambae haifahamu misingi hii.
      Jambo la msingi kuna mambo mengi tu na yako wazi baadhi ya ndugu zetu mnapaswa muisahihishe na kuachana nayo kabisaa, na ubishi hapa hauna nafasi, tunacho kizingatia nikwamba Da'wah haikufanyiwa Uadilifu na haikuendewa na kutangazwa kama misingi inavyo eleza, bali matashi ya nafsi na jazba za ujana zili tawala na kwa baadhi ya ikhwah bado zinaendelea kutawala, na ndio mana hule mlango wa kua walinganizi wa da'wah ni binadamu kama wengine wanapatia na wanakosea ukawa unafungwa kwa vitendo nasio kwa maneno.
      Na walio ufunga nihaohao..........
      Kwaio wenye kupima mambo kielimu na kutumia akili zao kutafakari halihalisi ilivyo na vijana namna walivyo hisahau, wamesha ona ishara ya kuzidi kuiharibu da'wah kwa madai haya yanayo daiwa na baadhi ya ndugu zetu .......
      Hivyo basi tunapaswa kurejea nyuma na kuangalia tulikosea wapi ili turekebishe.
      Nasio ubishi na ukaidi............
      Abuu 'Aarif.
      +255673779519

    • @husseingaviz1320
      @husseingaviz1320 2 роки тому +1

      Mm bado hoja yangu iko palepale kwa kuwa kuna watu hupandikiza majina mf kutuita MASALAFIA JADIDA wakidai kwamba usalafi tulio nao si ule ulioelezwa kwenye vtabu vinavyoelezea misingi.ndio maana nikataka utoe mfano wa hilo kosa kwa sababu mmoja ktk hao waliokuwa wakituhumu kuwa huu ni usalaf jadida siku moja alipokutana na SHEIKH Abuu Muusa Abuubakar Kiiza Allah mhifadh Akamwambiwa kwa nn mwatuita salafia jadida yule bwana akadai nyie usulubu wenu wakali sana yaani mnaposema mnapasuka tu.Shekh akamwambia kwahyo tatizo ni usulubu mkali? akajibu ndio. Shekh akamwambia mbna sisi kuna watu twawafaham kipindi ha UANSWAR umepamba moto walikuwa wakikatia watu nguo zao msiktin je ule usulbu ni wa sawa na walioburuza nguo zao waliambiwa wanaingia hedh je mbna hamkuuita UANSWAR JADIDA ? Shekh akamwambia nyie manhaj imewashinda mmebaki kudai tu pasi na hoja .NDIO MAANA MM nataka utoe mfano

    • @OmarOmar-wx9zg
      @OmarOmar-wx9zg 2 роки тому

      @@husseingaviz1320 Mimi nasema Manhaji iko wazi na misingi yake iko wazi na Da'wah yake ipo wazi, hivyo basi kwenye mambo haya matatu hakuna mushkeli.
      Mushkeli upo kwenye kujinasibisha na namna ya kuiendea.
      Bila shaka historia za walinganizi wa Da'wah Salafiyyah zipo na zime hifadhiwa.
      Ebu niambie Ibnu Baaz ni mmoja ktk hao walinganizi wa Da'wah Salafiyyah au nayeye ni Hizbu?!!!
      Na nifahamishe kitabu chake kimoja tu alicho andika na kuenda kinyume na Manhaj.
      Au nitajie kitabu kilicho andika historia yake ya kida'wah ambayo inaeleza mwaka mmoja tu uliwahi kupita na akawa yuko mbele ktk kuamiliana vibaya na Mashekhe na Madu'aat wa Kisalafi-Ahlussunnati Wal-Athar.
      Na unitajie niwapi Wasomi wenziwe walimtaja kua na Ghuluu au Ugumu ktk Da'wah.
      Au niwapi ktk Umri wake wote aliacha kufanya Da'wah na akawa anafwatilia na kupekua makosa ya Madu'aat na Mashekhe wa Kisalafi-Wa Kisunnah?
      Sio peke yake bali haya nilio yataja nioneshe kwa Imaam Alban, Ibnu Uthaymeen na wengineo.
      Ukifanya uadilifu utakuta Da'wah ya hawa Wana wa Chuoni wetu wakubwa wa Asri hii Da'wah yao iliunganisha Ummah, na ilikua na Barka na ilisimama imara ktk kuvunja Shirki, Bid'ah, Uhizbiyyah na Furqah, na iliwaunganisha Ahlussunnati Waljamaa'ah kutoka mashariki hadi maghribi, kusini hadi kaskazini mwa dunia.
      Na Ahlussunati wote wana wakiri na kuwaheshimu Maulamaa wetu hawa.
      Allaah awaraham wote.
      Lakini ukija kwenye kipindi hichi tulicho nacho utakuta Da'wah inasemwa vibaya na imepata upinzani hadi kwa baadhi ya watu wa Sunnah kutokana na walioibeba hawakua na Qudwah kwenye hii Da'wah kutoka kwa Maulamaa wakubwa wale wamwanzo ktk zama hizi, bali kuna mambo yamefanyika kwa hamasa na yakasababisha mpasuko mkubwa kwenye Safu za Masalafi.
      Sijuwi unasemaje kwenye hili?
      Abuu 'Aarif.
      +255673779519

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 роки тому

    asalam alykum , shehe anatuambia katika vizazi vya mwanzo mpaka cha nne kilikuwamo na watu wema yaani salafi swalehe , ambao ni waisilamu , je muawiya na yazid nao hawa tunawaweka kwenye kundi gani , pia wanafiki wa enzi za mtume pia tunawaweka kwenye kundi gani , pia mitafaruku ilianza baada ya kufa mtume je vita vya siffin , naharawan na karbala .

    • @hassanmsangi4149
      @hassanmsangi4149 2 роки тому

      naharawan ni wakati wa mtume , hapo nilikuwa nasemea vita vya jamal, kwamba salafi walikuwa ni kundi lipi.

    • @bilalven1421
      @bilalven1421 2 роки тому

      @@hassanmsangi4149 wote ni masalafi kwa sababu wote walikuwa ni masahaba na yale yaliyotokea baina ya masahaba haifai sisi kuingiza midomo zetu na kuongea na hiyo ni katika aqiidah ahlu sunnah waljamaah الستكوت ما جرى بين الصحابة maana yake ni kunyamaza yaliyo yaliyopita baina masahaba

    • @bilalven1421
      @bilalven1421 2 роки тому

      Wanafiki wanaingia katika khalafi wala sio salafi kwa sababu maaalafi wanajulikana kwa sifa njema kama masahaba na ashaabul kahfu watu walio pangoni ambao walikimbia mateso ya viongozi ambao walikuwa zama za nabii issah na qarne nne na wale watakao wafuata kwa wema mpaka siku ya qiamah ama makhalafi ambao ni waovu na wanasifika kwa sifa mbaya kama wanaafiq na firown na qaarun na hamaan hao ndio makhalaf wanasifika kwa sifah mbaya hiyo ndio tofauti baina ya masahaba na wanaafik masahaba wanasifika na sifah nzuri ndio maana wanaitwa wema waliotangulia na wanaafiq wanaitwa makhalah ambao wanaitwa waovu kwa sababu walikuwa wakiwaudhi wema kama masahaba hiyo ndio tofauti wallahu a'alam

    • @bilalven1421
      @bilalven1421 2 роки тому

      Na hao karbalaah ni mashia ambao waliomuuwa husein na kizazi chake bado wanaitwa makhalaf

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Рік тому

      @@bilalven1421 Hiyo hukumu yakusema kuwa yalofanyika wakati wa maswahaba tuyanyamazi umeitowa wapi.ni suna ya Quran au ya mtume? Mbona Allah ameyaeleza maovu ya watu wengine kwanini ya maswahaba ysnyamaziwe.yaki nyamaziwe tutajuaje na tutajifunzaje.ina maana kwasababu t8 waneitwa maswahaba sheria ya kiislamu hai wahusu tena. Yani sheria yakiislamu inawahusu watu wadogo tu. Ukweli ni kwamba maswahaba baada ya mtume wamefanya mambo makubwa mabaya tena ya ajabu ambayo mimi na wewe hatujaweza kuyafanya.kwahivyo msifundishe watu kuficha mambo .hivyo ni kujenga ujinga

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Рік тому

    Muislamu akifuata Manhaj Assalafi Asswalih mpaka anadi? Mpaka ajifanunue kwa kauli hali ya kuwa ALLAH SUBHANAHU WATAALA Ni Mjuzi wa siri na dhaahir.Tuache Riaa zitatuharibia matendo yetu mema.

  • @husseingaviz1320
    @husseingaviz1320 2 роки тому

    mm ndio maana nilitaka utoe mfano fulaan kafanya jambo fulan au kamsema fulaan pas na hakki