Namuombea Maam angu Ampe Umri mrefu maan yupo ktuka kipnd ambacho Nikimuona nalia kwa uchungu Anajitahd sana kusaidia watu walin analipwa ubaya SubhanaAllah Nilindie Mama angu❤ Nampenda
Kweli kabisa kaka mm Yani nasumbuliwa sana nakichwa pamoja na miguu alafu kwenye upande wamahusiano ni meachwa mwezi ulio pita na mwanaume mwenye heruf A nandugu wamume hawatak ata kuniona
Yaani hapo kwenye uongo nina watoto hao mmoja anazia na R na mwingine F kwanza hawapatani km. Chui na paka na hapo kwenye uongo hapo wanaenza wakachongea kifupi hatari hapo kwenye kuumwa tumbo bint yangu mwenye herefu R anasumbuliea sana na kaumivu ya tumbo hasa kwenye kitovu Allah awanusuru kwa kutokuzaa amiin
Mm mwenyewe niliiungua utoton bt ilikua pumu na sai nko imara kabsa sishikwi na mongojwa hovyo allhamdulilah naeza maliz miaka mitatu bila kushikwa na kuungua hta siku moja nshukuru mungu tu
Kweli namuona dada angu jamani dada angu jamani pole tuh duh kaka unayoyasema nikweli ningemsikiliza hii angelia sasa hivi kapata stoko hee mungu msaidie dada angu yaani hapo kwenye kuchukiwa lahaula walakuata kaka ww kaka nakuita tena mungu akubariki nikweli tupu yaani hakuina uongo yy anaitwa fatime yaani
Kaka Mimi nashidwa kuelewa.wakati wakuandindika njina sierewi nikiandika erufi L au R au r wanaita tu lakini sierewi erufi ipi niyangu apo .uwa naandika Lovenes.
Sasa Mimi in r ninamahusiano na r ndo ananitunza ananipenda hatarii ila anahasira hivyohivyo naanagubu,,, harafu mindosimpendiii,,, hatar nampenda mwenye,,A Dah nifanyeje sasa
Hapana my huyu siyo mchawi ila kumbuka huyu nimtaalam wa elim na nyota kwamahesabu ya namba ukimsikiliza kwamakin utaebukana namengi nautafaidika na mengi sana niamin mimi my
Ukwel ukwel kapisa yaan nimekwamini mwalimu yangu ilimaliza 2 yrs 6 months ikavunjika na nindoa nilitolewa bosa hata uliulize jasho za kuvunjika sina jibu hadi leo
Mungu yupo wakina r wenzangu tumtegemee yeye atakama yapo mbona kuna wengine Wana tabia izo na sio r mpaka sasa awana watoto biashara aziendi tusiogope
That’s why I love this channel❤
Namuombea Maam angu Ampe Umri mrefu maan yupo ktuka kipnd ambacho Nikimuona nalia kwa uchungu Anajitahd sana kusaidia watu walin analipwa ubaya SubhanaAllah Nilindie Mama angu❤ Nampenda
Da km namuona Rehema Charamila.
Mungu anisadie juu iiyote nimimi haki munipeee dawa sasa but kwa ugojwa hapo sikubuki
Asante kaka nikweli kabisa ndoa sina nimepitia hayo ulosema nitihani tu na nimeitwa mchawi na dadangu na kuchukiwa na familia😭
pole sana
Kweli jamani mm mpaka mahali nimetolewa mm mwenyew nikagaili jamani kweli upo sahihi mimi naitwa mwajabu
Mm niachie kukasirika tu bc na sina yota ya mpnzi bt kwenye kutafta hela mbn nina bahti mie allhamdulilah ❤
Ndio tulivyo dear
Kweli kabisa kaka mm Yani nasumbuliwa sana nakichwa pamoja na miguu alafu kwenye upande wamahusiano ni meachwa mwezi ulio pita na mwanaume mwenye heruf A nandugu wamume hawatak ata kuniona
Yaani hapo kwenye uongo nina watoto hao mmoja anazia na R na mwingine F kwanza hawapatani km. Chui na paka na hapo kwenye uongo hapo wanaenza wakachongea kifupi hatari hapo kwenye kuumwa tumbo bint yangu mwenye herefu R anasumbuliea sana na kaumivu ya tumbo hasa kwenye kitovu Allah awanusuru kwa kutokuzaa amiin
Nina mtoto wa Jina Hilo napiga kisa uongo
Kaka najiona mm yooote ni kweli najitahid mm kuliko wezangu lakin mtu mbaya ndo mm Sina jema natajwa ubaya tu hata haki katika family nanyimwa
Mm mwenyewe niliiungua utoton bt ilikua pumu na sai nko imara kabsa sishikwi na mongojwa hovyo allhamdulilah naeza maliz miaka mitatu bila kushikwa na kuungua hta siku moja nshukuru mungu tu
❤❤❤❤kweli kamauppo
Wewe ni mkweli mungu akujalie
Kaka nakukubali kaka nimefanya tafiti sana kaka ,nipo mkoa wa lindi wilaya ya ruangwa
@@HamzaBakari-qd4fw wewe upo rwanga Kaka yangu wewe
Mwanangu feisal aishiwi mago njwa analuhusiwa kubadil jn
Nikweli Maalim hao wanaobisha wasamehe ila tunaojua tunakuelewa vzr sana hao hao R wenza wao wanakufa mapema wanawaacha watoto wakiteseka😢
Yani wewe baba ubalikiwe sana Yani ulivyo chambua mke wangu kweri yupo hivyo hivyo ubalikiwe sana !
Doctor mm yote hay nakutan nayo. Nn nifanye n mm ni R yup amby nitadum nae jmn
Nikweli kaka maana hatamm ninachangamoto kwenye ndowa ya ngu tunagombana sana
Yaaani unavyoongea yoooteee nikweli mtupu kaka Mimi rafikizangu wengi niwanaume,,,, kuumwa nikweli mpk nachokwa,,, yaaani wekaka unaona dah
Ukweli mtupu kaka hongera
Samahan kaka hiii mbona hizo sifa mbaya sana natamani herufi yangu isingekuwa R duuuu naumia moyoni
Kaka unajua naunajua tena
Ina maan Rukaiyy na mussa haziendan jamn
Sheikh ndio Nina ndugu yangu katolewa mahali jina f hajaolewa mpk leo
Kweli namuona dada angu jamani dada angu jamani pole tuh duh kaka unayoyasema nikweli ningemsikiliza hii angelia sasa hivi kapata stoko hee mungu msaidie dada angu yaani hapo kwenye kuchukiwa lahaula walakuata kaka ww kaka nakuita tena mungu akubariki nikweli tupu yaani hakuina uongo yy anaitwa fatime yaani
Kwel kabisa doctor
Kweli mpaka naogopa
Mh ni kweli usio pingwa
Kala kweli yan mhhm
Ni kweli mm ni herufi R niliachwa hata sababu siijui mpaka leo, Mbona tunagundu ivyo jamanii
Kweli kabisa ndomana napendaga channel yako
Kwan ww ni nani? Kwan unajuaje jmn jmn jmn jmn mm naliaaaaaa kaka mm naitwa raheli jmn ni nn hiki
SoMo 😢😢😢
Shee mm ilifika miaka 9 ila ni kwa shida sana na maisha yalibadilika sana
Mimi nabadilisha
Yaani hapo kwa kuona uchawi kaka umenigusa ila naambiwa n mfitinishaji😢
Assalam Aleykhum Maalim. Sasa unawasaidiaje hawa watu?😢😢😢
apo sasa kwenye magonjwa ya utoton yasiyoeleweka jaman duh
Kwel kk sijui kwa nn
Yani Nina izo tabia zote
Kweli jamani mm jamani nasema sanaa
Kaka Mimi nashidwa kuelewa.wakati wakuandindika njina sierewi nikiandika erufi L au R au r wanaita tu lakini sierewi erufi ipi niyangu apo .uwa naandika Lovenes.
Yaan mm haruf R nateseka namajiran na femile yaan mtihan ninachofanya chochote hata kiwe kizur kinakuo kibaya yaan mtihan kaka
Sasa Mimi in r ninamahusiano na r ndo ananitunza ananipenda hatarii ila anahasira hivyohivyo naanagubu,,, harafu mindosimpendiii,,, hatar nampenda mwenye,,A Dah nifanyeje sasa
Yaani ni mimi kabisa ndoa yangu inachangamoto sana😢
Mh We doctor mchawi hish mbona yote yananigusa mimi na ukiangalia kweli yote mimi nimezaa mwanangu analia hatary unatusaidiaje sasa
Hapana my huyu siyo mchawi ila kumbuka huyu nimtaalam wa elim na nyota kwamahesabu ya namba ukimsikiliza kwamakin utaebukana namengi nautafaidika na mengi sana niamin mimi my
Me regina daaah ni ukweli
Mimi nime batizwa na hili jina nikiwa mdogo ila sio la kuzaliwa na hili la rey ndonime tumia na shule je haya yana nifaa kusikiliza? Au
Pete ranging gani
Je kama unamajina mawili la kimila na la kidini na yote yametumika kuanzia ukiwa mdogo
Kaka kweli mm niliumwa sana yani nilivyokuwa mdogo
Mimi naitwa Regina ayoyote Mimi yamenitokea sana 😢
Naitwa rose naomba no zako boss
Mimi rafiki zangu wanaume
Mm rahma😭😭
Ukwel ukwel kapisa yaan nimekwamini mwalimu yangu ilimaliza 2 yrs 6 months ikavunjika na nindoa nilitolewa bosa hata uliulize jasho za kuvunjika sina jibu hadi leo
Mwanaume mwenye Her f na s zinaendan wakioan
Pete ya aina gani na jiwe la rangi gani
Pete ya aina Gani ?
habari sasa mimi mwanaume rakini jinarangu mwara sasa kundi gani ranyota
Dr.unatutisha kwa hiyo tufanyeje sisi wenye herufi R na F?
😂😂😂😂😂😂
Yaan unaweza kujinyonga watuuwee tufe basi maana kote kugumu😂😂😂 Mungu yupo usisahau kusali sana😂😂😂 kk kiboko
Mimi yangu m
Mtu mwenye herufi r anaweza kubadilisha jina akitaka kuolewa?
Mwanangu anaitwa regina anamiaka mitano naomba nimbadilishe jina 😓
Inawezekana pia muite zahra, zuhra, Nuru
Mwalimu je tufanyeje
Utusaidie na tiba mana tunateseka
Je mwanamke mwenye herufi r akiwa na mausiano na herufi a Kuna tatizo
kaka umesema ukweli mkubwa mno, Hilo nimeprove hilo
Sikupingi kaka ni ukweli mtupu
Je F na R wanaweza kuowana?
Nikwer
Sasa mm Nina r na jina lingine m
Nikweli unacho kisema Sasa unatusaidiaje
Mimi ninamajina mawili ,R,S, nitafanya nini sasa
Naomba nisaidi v na m kutafusli
Hivi aiwezikani kubadili hii nyota
Dah ujakosea atanukta
Duuuu
Mimi naomba mawasiliano yako mkuu
Na vile naitwa Riziki ...usema Nina bahaati😔
Niko hapa riziki
Hivyo vingoma ulivyoweka havina maana ukituelewesha bila ngoma tunakuelewa tu
Hahaha we mgomvi ww
Kwer kabisa mimi ndio huyo kabisa baadhi ya mambo
Hili SoMo lingewafikia wote
majina ya mikosi san
Jamani mimi nina mtoto anaitwa Rahma nitafanyaje jamani😢😢😢
Mamaa😭😭
Baba herufi L na R zimefanana sifa
Kwahy hatuna lamaana hata moja
We mwamini mungu huyo binadamu mwenzio tu asikuchachafye😂😂
Kabisaa mama😢
Mungu yupo wakina r wenzangu tumtegemee yeye atakama yapo mbona kuna wengine Wana tabia izo na sio r mpaka sasa awana watoto biashara aziendi tusiogope
@warda😂😂😂😂😂
@RizikiBikyeombehaswa
We mchawi wewe hii co bureee
Kweli kabisa kk unatusaidiaje yote hayo uliotaja ninayo
Jamani kama unanisimulia maisha yangu
Asa sisiwakina rose ndokabisa
Kwel kabisa doctor
Mimi naitwa Regina ayoyote Mimi yamenitokea sana 😢