Kwa kweli jambo hili linauma,linahuzunisha ,linahuzunisha na kila aliyeshiriki lwa njia yoyote ile Allah (S W) hatomuacha. Na Adhabu zitaanza hapa hapa duniani. Chamsingi waturudishie babaetu .!
Mwalimu Nyerere aliwambia wa zanzibari wa Afro Shirazi
Hawa Hizbu tutawamaliza
Akawambia Hizbu gani tena wapo zanzibar
Mwisho mtauwana wenyewe kwa wenyewe
Tumeona
MENGI YAMETOKEA
sasa CCM WA ZANZIBAR WANAKULANA WENYEWE
Eee, Wamwachie Sasa. TANZANIA HAKUNA SIASA. NI UJAMBAZI TUUU.ACHENI CHADEMA WACHUKUE NNCHHI. AU KINA ZITO.
Ama kweli sasa imefika hatua hii kumbe hata wao kwa wao wanakulana ama kweli msimuole muonele mtindini yana mwisho
Anko JJM Allah atafanya wepesi hii Yule ni mitihani
The chicken came home to roost
CCM HOI
Halafu wanajiita eti ni Waaisilaam, jamaani. Hivo huyo Mama kweli hayo.hayajuii?. Mbona aliwatoa wafungwa wauamushoo?. Labda hajayajuwa. Pole mpenxi. Mungu yupo.
Nadeer as a first suspected than Mabodi
poleni wanafamilia imetugusa sote km waislam wezetu ila tulisikia kauli serekali yangu haitoonea mtu nakubadili miskiti kilasiku hili MH:unaliangaliaje?
Wanachotaka watwambie tutawapa ,ila wamrejeshe tuu .Kwani hasa tatizo nn?
Nashauri Wafunguliwe mashtaka Nadir na Mabodi. Hapana shaka yoyote wao ni wahusika wa hili tukio na wanajua ukweli wote. Haki ya Mzee Juma wa Juma lazima ipatikane.
Enyi binaaadam machozi ya waja hayawasumbui?????Mwenye hofu na ALLAH kamwe hawezi kufanya vitimbi kama hivi,hali ya kuwa Dunia ni mapito
Tatizo serikali h aifutilii matatizo kama haya . Huo ni uuwaji kabisa. Hiyo ndo Tanzania. Mwambieni Mama Samia , Yeye kashasema yeye ni Rais Anayeoenda haki. Basically Afanye haki Sasa. Aliwaachia wale waliowekwa ndani miakamingi kwa uamsho, basi na hili aliingilie. Kama Mama Ainslie hili.
Mabodi is a prime suspect
LA YAZID DHALIMINA ILA KHASARA
ALLAHU AKBAR