Chris Brown Mombasa Rocks Music Festival performance
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown October 8, 2016 aliungana na wasanii akiwemo Wizkid wa Nigeria, Vanessa Mdee, Alikiba na wengineo kutumbuiza kwenye tamasha la Mombasa Rocks Festival..
Too many haters.. I was present and every penny spent was worth it! He killed the show and so did WizKid etc
I love CB wholeheartedly that dude is the best performer of our generation 👏🏾✨ I wish he came to Nairobi coz Mombasa mlimdissapoint Sana bana
Chris Brown aliperform vizuri sana.Fans ndo hawakuwa wanashikanisha.Hata wangelala tu.Hawakujua most of the songs,at least wangeacha watu wa gheto kaa sisi tuende,haki CB angependa.... mhhhh. .gheto rocks 😉😉😉😉.Hawa walienda kupiga picha nkt!!!!!
walitaka tu selfie na chris
welcome back again Chris how I wish...I'm going crazy with your songs. .
Why did this people even pay 10k for this show😕😕 They don't even know his songs😂😂 Wish I had that 10k at that time, would have snatched his mic and sang the whole Royalty album😭😭😭
Al'vin Al'sace TV
qiso
that makes us two 😂
If this guy said his show was 2k we would be out there dancing to every goddamn song
Sameeew🤦🏽♂️
they dont even know his songs
Kumbe watanzania tunajituma sana huyu Chriss anatembelea jina performance kawaida sana.....Diamondplatinumz yuko juu sana. Anajua kuzikonga nyoyo za mashabiki
We unabakwa
my all tym 3fav babes:breezy,dakotta n anze..missed alot oping for a next tym
kenyans we are just the hardest people to please,haha
hahah very true. But i noticed when Chris Brown immediately said Mombasa people started relating! the only way to please Kenyans is to relate with them.
The only thing i could only here loudest is the screams from the crowd i think they just came to see the famous n multitalented breezy ju wanamskianga tu
@@davinonduko3882 akhy is true kenya tulirogwa and this is a fact💯😂
Ukweli ni kwamba kenyans are mad with Jamaican music than American music,,, Waite konshens ama Kartel ndo uone.Hata diamond is not even bigger than konshens and Kartel in Kenya.
wooooow! wooooow! people going mad Chris...hahaha hah it was wonderful
oh my I missed the best consert in the world I wish I had that opportunity to be there
I love him
He was so rocking last night
Next time he should do nyayo stadium with tickets about 2k..he'll still make that money..people will show up in hundreds of thousands
Iiii concert irudiwe Mombasa mnaudhii tuuu iletwe grounds Nairobi muoneee
mombasa wamelelia maskio.. they aint even moving..just screaming,
Wow that's awesome 😊
he gave a mesmeric performance
Aki na mlisimama after kulipa 10k yooooteeee
I wonder too
Typing this for those of you who are wondering why the crowd didn't go wild on Chris Brown. Believe you me, it takes A LOT to excite Kenyans. Hatushobokeagi watu ovyo ovyo. Ukitaka wakenya washangilie inabidi udeliver show ya ukweli si huu upuzi.
Sema tu hamjui nyimbo zake sio sula la kushoboka
@@piajaylexy633 mwambie huyo kama hujui siwaseme sasa kuchukia nini
Walikosea yye kuebda mombasa wangemleta Nairobi... Mombasa ni kwa waswahili so it was so hard for them to relate😂😂😂💯💯🤔
😂😂😂
🤣😂😂😂🥺🥺🥺🚶🚶🚶
4 free i couldn't miss the show,but paying my penny 4 boring show nah i better watch u,u tube its better
He should have gone to Nairobi
It was awesome though wasn't there
chris is another things don't don't compare student and teacher samwel
Brown tisha mbaya..
Watu wameboeka kinoma ..😂😂😂🤣🙆🚶🚶 daaah balaaa ...Hili..
good job chris brown
Someone to remind me the title of the last song he has used to perform with
came to do ft. akon
if you agree this niggah made an history in kenya....give mi alike
If you are still here with me..raise your like
Chutzpah dab hand in crooning 🇺🇸🇺🇸🇰🇪🇬🇧🇯🇲🇮🇱👑 Maurice Esq acknowledged
When the crowd knows the word ZERO
good job dear brown
❤💘❤ #TeamBREEZYforLyf
Getting paid, 1min=1million. 90min=90millions Kenya shillings for performing but he performed only 70min! diz crayzie!!!!
thats $890,000 which aint shit coz he came with his own private jet. .how much do you think costs for his private jet
He has private jet
Mombasa pple didn't understand the lyrics at all this concert ingeletwa tu nai
Chris da 🐐
am glad i dint pay for that. in Kenya we are more of Jamaican music, how do you dance to Chris brown music.
fact! they should even check the nature on what is treading in kenya. reggae ikam! na wamlabez!
obviously the shots of the crowd was not in correlation to when Chris was on stage .. sounds like y'all weren't even there but wanna hate
sure thing
safiii Millard ayo
Wakenya washambaaaa daah
jaman wa Mombasa mnalaha mbona Hamna hata shamla mambo gana mnamshusha haz criss
kenya iko doo can u see that crowd.
The lady caught on video camera at 2:21 is very beautiful.
dope lips hahaha
I just wish she can come across this feeling of African beauty appreciation that we've expressed on this video. I bet, she can proud of herself.
So disappointed in you all below that leave bad comments about C. Brown do ing a free concert in your country... Sorry if English isn't your first language and by the looks of it the girls liked it... it was just all the guys there that thought they were thugs and didn't wanna just enjoy one of the biggest artist out there today .... To bad for you Canada would love some Chris Brown!
it wasn't a free concert tho
It was not a free concert
MrMrL2K it wasn't a free concert dumb a*s.
Good music dead rich crowd who don't appreciate really music
si fair kulipa 10k mzima n maybe u didn't reach onto him to even have a handshake.....
thats rocks i love that show
Nakuunga mkono kaka #Samwel
Kenyans ni washamba INA maana haumujui fine by me kwel nyie ni vilaza mwimbo dope sana
Wasaniii walikuwa wengi sn.. ila show ikawa ya kawaida sn. pia watu hakuwa wengi kbsa
party 2?
the guy goes home with 90mil....... na wewe na mdomo yako kubwa unasame eti it was boring kwani ulitaka akuwe smart joker ndio show ikubambe...f**k you haters..wakenya wamezoea masong kaa fimbo itachapa...kundandia kama mat....soo when CB perform no body elewa(kwanza wale madem wanaonekana kwa camera wanahaha tu omg)#team breezy 4rever💪💖
😂😂😂
mnajua tu kusema zeroooo😟😟😟😟
Were fans shocked or lost
Yaani hiyo crowd ilikuwa down,but my climax of this video was seeing a chic yawn!
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🙆🚶
show ilibamba sana
Those were just happy seeing CB live.they were not interested in the songs 😂
manze manduru tuu😂
Tatizoo lilikuwepo kwa mchanganyaji pichaa,hakuchanganya vizurii
Nice
Wadau walikua na machungu 3years ago😂😂
Eish!
Haters n wale wamezoea love band za mugithi...asf
nikuwa na pesa ya ticket but nkaona uchungu kulipa ,sasa hiyo pesa nakunywa tusker hapa nikimwatch u tube na hiyo ingine na bet nayo sport pesa 😂😂😂
ujinga sipendi
😀😀😀😀
stop complaining abt the ticket kama huna we lala n no one will force yah kumuona!
haswa
yeah kama huna hella lala tu
c
Kama huna kaa na mama yako😂😂😂
Very lit
Kama alikuwa ana save energy ataki kujichosha mana kwao afanyi playback anafanya live
👑👑👑👑👑😍😍😍
Uhhhh wtf does the video summary say????
wakenya washamba sana hawajui kupart huyo chris angekuja bongo asingetamani kushuka kwenye jukwaa kwa shangwe atakalopigiwa
hahaha really.. you call us naive and your guy sung sorry by beiber in swa....
jaribu kuangalia tu kidogo show za fiesta bongo achana na dar angalia tu ata mikoani
get a life you boring nigga
Mburukenge hii,mnangoja nini kumleta huko.Kwani ni ww uliwalipia hizo tickets?Unaumwa na nini na mwenye ticket halalami!
mjomba. kiingilio ilikuwa kilo mbili na ushee kwa tiketi za kawaida na kama mawe matano kwa v.i.p
nadhani angekuta shangwee nusu kilo tuu
Alikiba is still the best of all.
kabisa Ali yuko sawa
Ali kiba ndio nan kwan samahan lkn
shut up
so rihanna akikuja tutalipa more than 500dollars
Rihanna ni 60dollars
😂😂😂😂
Why would we I don’t like at all
Crowd disjointed Af... Body language suggests a regret on the amount paid on tickets. Whack show!. Breezy came all the way to sing along to his songs wtf!. Organizers should have demanded a live band C'mon
You're on point sir. Thanks God I didn't buy tickets
Kenyans are discouraging
is that true?
akija rihanna bora nishinde njaa kuliko kukosa
But don't forget that konshens is bigger than him in Kenya.
😂😂mtu anajua ngoma Mbali pekee za Chris Brown na alilipa 10k
ghai vip 20k wuuuuui thitima ndingiona toro school fees ya mtoi for one yrs
Zamzam nakwambia
huwezi mlinganisha diamond no chris
Naona Ken wa Maria apo
seriously angecam Nai ata yy hangetaka kurudi na nataka kujua kwanini ma celebs huenda Mombasa na si Nairobi io kitu inauma si Chris Brown tena si Konshens 😣😣😣😣
Walai tena
Juu kuna beach mybe
si hiyo enzi kenya ilikuwa na watu wameboeka Gaaddeeemit😂🤦🏽♂️ si akuje sai ashtuke
Lakini walio na pesa wanazo tu. Hao wote walilipa?
I rather die than spending a single penny on his show
Shhh
RIP
Brathe ghasia ww
busy with phones, this was a phone festival
🤣🤣🤣🙆🚶
Chris Brown just ripped off Mombasa Rocks attendees.
Hahaa... Watu wa pwani wanashikanisha kiswahili pekee apa hakuna ata ni kelele tu wameachishwa..
I c myself
hiyo show inazingua but watu kama vile hawapo watu wakisikia chris brown wanadhan ni mtu ambaye sio wa kawaida
Hahaha this people don't know his songs I think... they damn bored asf 😂😂😂😂
@jane maina acha makasiriko mamii...ata mi ni fan wake na ninaona hao wasee hawajui songs zake...wengi wao
This guy used other peoples clips without permission and compiled a video for VIEWS quite a number of clips i recognize because they were my pals who recorded them at the show... SMH
Is it me or do people in this clip look bored
they are rich..wajazoea mashamrashamra kama ma hustler
they are rich..wajazoea mashamrashamra kama ma hustler
they dont know his songs. lol
The scenes showing the audience were clearly shot at a different time. Its how a camera man shoots from different angles to make it look like he had many cameras. whoever compiled this video just inserted random scenes in the middle.
Just compare the number of phones in the air recording CB compared to when the random crowd scenes are inserted
joe musyoka
i like the shit.................
Chris is a Sissie
How? Lmfaooo
breezy
Kenyans are not too familiar with American celebrities lol they local people.
Seriously?? K.Shs 5,000 for this? Sounds like an Album listening party and not a concert. Lip syncing and 2 dancers??? Then he gets paid almost 1 million dollars? And East Africans are acting as if it was the biggest event in history? This event was made big because of all the African stars that performed - Nazizi, Ali Kiba, Vanessa Mdee, WIz Kid. Chris brown should have been a curtain raiser with that luck lustre performance. Polite request to Breezy - next time don't waste your time and we wont waste our money.
gaii this pple hawana form unalipa 10k kushklia chuma pwahahahaha wat a waste ata aifiki ya ROMAIN VIRGO uuuuuuuiiiiiii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
diamond z better
Wasee wa mombasa walilalisha, wish angekam Nairobi smh 😒😒
Watu was coast jamani 🤣🤣🤣
Pesa zao zakuwasha nini kaa kwenu central gatundu😁😁
what the fuck ? 90 mln for such a wack show ? damn , next time just put dangote. simba, Jini, he could he'll of a show
Bonge LaBwana were u there?
Yes
Bonge LaBwana 90 million whar
He can't dance EVERY SINGLE SHOW! Do you know how exhausting that is? You don't know how idfficult it is!