Wakwanza Leoooo
Mzee muchacho eti msondo ngoma 🤣.. Bakurutu fc 😹
Sema siwez Sema lolote kwa mzee acha ncheke😂😂
Vijana Jazzband na Wazee Jazzband 😅😅😅😅
Mpira unahitaji vjana lakini siyo kwa chenga chenga kama hizo ambazo hazina hata uzoefu na lingi tena mbaya zaidi timu Haina hata wakubwa kidogo kama ma regend kwenye timu hahaha,vikiamua kubishana vinabishana Hadi ngumi,ngoja filimbi ipulizwe tuone kati ya wanao tamba nani atatamba zaidi
Somo mzee mchacho 🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂We mzee Mochachu unakuwaga wa kwanza kuwa na presha mnapokutana na Yanga.😊