Yaani hawa wahenga wanavyozungumza ndio maisha yangu kabisaaaa... Yaani ni kama wananizungumzia mimi.... If you love me come directly kabisaa.... Sitaki uzungu mimi kwa kweli... I wish ningezaliwa miaka hiyo ya 50 kweusi sometimes natamani ule utaratibu wa kuolewa kizamani ungerudi kwa kweli... Leo mmenizungumzia mimi kabisaaa... Nimewapenda buree😍😍
Mnaposema mwanamke hata akipigwa na mumewe hapaswi kumnyima haki yake na haijalishi ameumia kiasi gani au kununa, all matters ni wewe as mwanamke umpe haki. Sipingi kwa hilo lakini kipigo kwa mwanamke kutoka kwa mumewe ni case mbili tofauti na wanatakiwa au tunatakiwa as women tuzitambue tofauti hizo na nyinyi muelimishe hizo tofauti. Tafauti ya kwanza ni ya yule mwanaume ambae tayari yeye anatabia ya kumpiga mkewe bila makosa, na ni kawaida yake kila siku kumpiga mkewe na kumuumiza na wala sio kwa bahati mbaya, wala kukosea. Na ameshakanywa sana lakini hasikii. Hivyo basi mwanamke unakila haki yakukataa na choose yourself over him. Na tofauti nyengine ni yule mume ambae akifikia kumpiga mkewe basi itakua mke amefanya kosa sana au mume ameteleza bahat mbaya kumpiga mkewe hapo ni haki kwa mke kumpa mumeo haki yake kwasababu anampenda mkewe ila kunasababu ya msingi mpaka amefikia kumpiga mkewe. Muzitofautishe hizi tofauti kwa lengo la kuwasaidia wanawake majumbani ambao wanapitia hali kama hii, kwasababu mkiwa hamutofautishi basi hata wale wanaume wanaopenda kupiga wake zao wataendelea kwa kudhani kwamba hata nikimpiga na kumuumiza na kumuingilia ndio solution.
Hakuuna justification ya kumpiga mke or mme tena mtu mzima!! Kosa hilo ni kosa kama kosa lolote la jinai. Nyie ndiyo mnao sababisha hizi kesi haziishi sababu ya ku'justify.
Asalam aleikum wa rahmatullahi wa barakatuh. Tunashukuru sana kwa hiki kipindi kwa kweli tunafaidika sana. Bi khadidja ahsante sana kwa kusimamiya uwisilam. Na juwa tunakupenda sana hapa Oman. Natowa shukran tena.
Beatrice kilima I absolutely agree with you , I reckon it’s because more people seem to like it , though it’s good to try and focus on other areas affecting women in various societies 🙏🇬🇧🙏
😂😂Wamevaa gloves alafu wamekaa zero meter, wanajishika kwenye videvu, usoni yani izo gloves ni urembo tu apo, mama zangu hupaswi kujishika usoni kwa sababu kama umegusa sehem ambayo ina virus vinabaki kwenye gloves na mkisha zivua tupen hutakiwi kuzirudia tena kisha nawa mikono kwa sabun. Hili janga ni gumu kujilinda nalo maana linamasharti mengi ambayo huwez timiza ni MUNGU wa kutulinda.
Yani huyu baba Jamani Ahsante sana Tunashukuru Natamani Kila kipindi Uwepo jamani. Umeongea pointi sana na Tumejifunza mengi.Shukran dada Liliyani mwasha💞🥰🥰🥰
Hapo kuna gender issue, pia uncle yupo more on culture/old school style nadhani Max &Niki wangetakiwa hapo leo ku spicy up na kubalance kizazi cha Dot.con !
@@greenluke6882 Kuna mambo mengii ya asili zetu bado yanamkandamizaa sana mwanamke wakiafrikaa, na kumfanyaa asiwe na maamuzi ya kumchagua mtu anayempendaa, wanandoa walio wengi wanavumilia mambo yaki ukandamizaji simply utamaduni unamzibaa kuwa wazi, Mm nasema mkombozi wa mwanamke ni elimu na kujitambua +kuachaa kuwa tegemezii, mwanaume ukimuonyeshaa una uwezo atakupaa heshimaa.!wanawake kuamshana kuwe endelevu @Lilian kaza buti ktk kukomboaa fikra za wadada ktk jamii! Tusikimbiliee ndoa kabla ya kujua waendaa kufanyaje nn kwenye ndoa na mchango wako utakuwaa nini ! Ni mtazamoo binafsi tu.🙇♀️
@@magreth7981 Sema mnapenda kuiga mambo ya kimagharibi. Mimi mwenyewe nachoka sana maana madem wengi tumewatafuna kwa kupenda migizo na umagharibi . Na ndio maana maisha ya ndoa za kisasa ni upumbavu.mimi ni kijana ila nachoka na maisha yetu vijana
Kwanini hawawezi kuongea kwa kupokezana mtu akamaliza point yake? Vurugu kama kelele za sokoni? You guys can do better than this. The guy started rough but he finished with big points....,shukrani baba.
Mchango wangu ni kwamba tuwe wasikivu na kufuatilia vipindi mie nimekipa big up hiki kipindi maana sasa hivi wadada wanachoangalia ni mwanaume ana nini, na wa kaka nao wanataka kuoa mwanamke mwenye kazi. sasa huyu akikosa hivyo vitu mapenzi yanaisha. na ndiyo maana ndoa hazidumu.
Huyo mzee hapo kaongea points zote sawa kipindi chaleo nimekipenda sana watu wameongea kwa utulivu na busara tulete watu kama hawa kwakweli tunailimika sana. Tulete pitter mitimingi 👍uwone kazi (mambo ya kisaikolojia yatafufuliwa mubaki midomo wazi 😉
Habari Lilian, kitaalam kuvaa gloves kwenye kipindi mmekosea tena mnakula nazo you only needed to wash your hands with soap and running water. I have even seen some of you touching your phones and faces with gloves. At least you would have just put on face masks.Thank you
Mada nzuri sana, shida hapo akina bi khadija, aunt sadaka na baba yetu wanaongelea maisha halisi ya mapenzi yetu hasilia ambayo ndio tunatakiwa kuyafuata,lakini lilian na mwenzie wao wako ktk mapenzi ya kisasa ambayo tunaiga kwa wenzetu which is not ok,sio culture yetu.ninachotaka kusema mtabishana mpaka hasubuhi hamtapata suluhu mko culture mbili hapo. 😉😁❤👍
Kwa utamaduni wakipemba lazima umwambie mzee wako unataka kuoa. Swali na kwanza unalokumbana halo hela ya mahari unayo? Kama huna unambiwa nenda kajiandae hujawa tayari
Mmevaa gloves sawa hongereni lakini mmekaa karibu karibu mnatakiwa kukaa mita mbili kutoka mwingine halafu mnacheka mate yanarukia mwenzako hamjajikinga kabisa hapo kama mwenzako anao mate yakikurukia basi umepata.
Mkitoka hapo nendeni quarantine 1. Social distancing is Zero 2. No Mask a.k.a barakoa 3. Showering saliva in someones food. Kuhusu COVID 19 Tz bado tunasafari ndefu sanaa
Gloves hapo sio mahala pake, ni mis-use of resources na jamiii itakuwa munaielekeza sivyo. Inatakiwa kukaa mbali mbali , kutogusana mikono, kutoshika uso wako na kunawa mikono mara kwa mara. Pia kwa wale wenye maambukizo wanatakiwa kujitenga, self isolation. Ningemshauri mwendesha kipindi awaalike wataalamu angalau wawili kuelezea kuhusu ugonjwa wa corona na kuruhusu watu kuuliza maswali itasaidia watu kuelewa zaidi kwani women matters ina wasikilizaji wengi, kwa hivyo msg itafika haraka.
Kuvaa glove huku mukizungumuza sauti za juu na maji maji kuwalukia wengine. Badala ya kuziba midomo yetu virus zisiwalukie wengine mumevaa gloves na kuacha midomo yenu ambayo ndiyo mahali vairus zinapotoka.
Wa maman hawana wakati wakufanya kazi zote nyumbani naza kulea watoto nakunyonyesha kufanya kazi yake na kufanya kazi za mume zao. Ni kazi nyingi saaana. Wa maman nikupumuzika nawa baba watumike wasaidiye wa maman.
Kipindi mnapo kwazana ndio kipindi pekee mnacho itajiana sana ku sex ili kurudisha penzi kwenye mstali! Tofauti na hapo mmoja wapo anaweza tafuta faraja au amani ya moyo nje ya ndoa!
Yaani hawa wahenga wanavyozungumza ndio maisha yangu kabisaaaa... Yaani ni kama wananizungumzia mimi.... If you love me come directly kabisaa.... Sitaki uzungu mimi kwa kweli... I wish ningezaliwa miaka hiyo ya 50 kweusi sometimes natamani ule utaratibu wa kuolewa kizamani ungerudi kwa kweli... Leo mmenizungumzia mimi kabisaaa... Nimewapenda buree😍😍
Uyu baba Big up sana tunashkr kwa ushauri.ameongea maneno muhimu kwa wanawake
Ukweli
I live in norway 🇳🇴and every topic i watch! This is the best program ever thanks lily🙏
i love sigala his advise work so well and full of fact
Mnaposema mwanamke hata akipigwa na mumewe hapaswi kumnyima haki yake na haijalishi ameumia kiasi gani au kununa, all matters ni wewe as mwanamke umpe haki. Sipingi kwa hilo lakini kipigo kwa mwanamke kutoka kwa mumewe ni case mbili tofauti na wanatakiwa au tunatakiwa as women tuzitambue tofauti hizo na nyinyi muelimishe hizo tofauti. Tafauti ya kwanza ni ya yule mwanaume ambae tayari yeye anatabia ya kumpiga mkewe bila makosa, na ni kawaida yake kila siku kumpiga mkewe na kumuumiza na wala sio kwa bahati mbaya, wala kukosea. Na ameshakanywa sana lakini hasikii. Hivyo basi mwanamke unakila haki yakukataa na choose yourself over him. Na tofauti nyengine ni yule mume ambae akifikia kumpiga mkewe basi itakua mke amefanya kosa sana au mume ameteleza bahat mbaya kumpiga mkewe hapo ni haki kwa mke kumpa mumeo haki yake kwasababu anampenda mkewe ila kunasababu ya msingi mpaka amefikia kumpiga mkewe. Muzitofautishe hizi tofauti kwa lengo la kuwasaidia wanawake majumbani ambao wanapitia hali kama hii, kwasababu mkiwa hamutofautishi basi hata wale wanaume wanaopenda kupiga wake zao wataendelea kwa kudhani kwamba hata nikimpiga na kumuumiza na kumuingilia ndio solution.
Hakuuna justification ya kumpiga mke or mme tena mtu mzima!! Kosa hilo ni kosa kama kosa lolote la jinai. Nyie ndiyo mnao sababisha hizi kesi haziishi sababu ya ku'justify.
So amazing.
Alaah kumbee!! Huyu ndio Oni Sigara ooh!! I only heard him on the radio but I never saw him... Shukran Lilian Mwasha kwa kutuletea watu hadimu
Aisee ahsanten sana nimejifunza vitu vingi sana kupitia somo hili
Nice show
I need this man contacts just for future reference 😂💪🏽... good show guys
osigalla@yahoo,com
Asante baba kwakutufundisha vitu ambavyo hatuvijui Asante sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Show amazing 👏👏👏💕
Ladies, wearing gloves alone doesn't help, you need to sit one meter apart .
They shouldn't even eat with gloves on. It's better to just wash ur hands and eat, then deal with ur gloves later.
Asalam aleikum wa rahmatullahi wa barakatuh. Tunashukuru sana kwa hiki kipindi kwa kweli tunafaidika sana. Bi khadidja ahsante sana kwa kusimamiya uwisilam. Na juwa tunakupenda sana hapa Oman. Natowa shukran tena.
I think the show imekuwa so much about relationships their is so much more issues women go through apart from relationships let’s mix it up
Beatrice kilima I absolutely agree with you , I reckon it’s because more people seem to like it , though it’s good to try and focus on other areas affecting women in various societies 🙏🇬🇧🙏
@@silverman6930 true many people watch and love r/ship issues than any other thing in this world. I love it too😂😂👌
Good idea we have to request for the more
Kila siku michepuko, tendo la ndoa(sex) 😂 as if hayo ndio mambo pekee yanayomuathiri mwanamke katika maisha.
Beatrice kilima kweli .... kila siku topic za michepuko. The discussion are too focus on symptoms and not the problem.
Jamani mlifanya vizuri kumuleta bibi khadija kopa hapa stay save they all beautiful souls
😀😀
Ubarikiwe mzee wa ushauri nakukubali napenda sana kufatilia ushauri wako ukiongea sipendi mtu akukatize
😂😂Wamevaa gloves alafu wamekaa zero meter, wanajishika kwenye videvu, usoni yani izo gloves ni urembo tu apo, mama zangu hupaswi kujishika usoni kwa sababu kama umegusa sehem ambayo ina virus vinabaki kwenye gloves na mkisha zivua tupen hutakiwi kuzirudia tena kisha nawa mikono kwa sabun. Hili janga ni gumu kujilinda nalo maana linamasharti mengi ambayo huwez timiza ni MUNGU wa kutulinda.
Hata wanashikana..
@@frenchygigi Umeonaeee!
Those gloves can be a source of transmission, just clean the surface ,sanitize your handiand avoid touching your face
Me wananiboa kitu kimoja tu wanaonges kwa makelele hawasubiri mtu amalize point wanamkatisha
Hapo ndo shida, cjui kwanini hamwachi mtu akamaliza kusema, tukapata point
Yaani inaboa sana wanaongea wote kwa pamoja
Yani huyu baba Jamani Ahsante sana Tunashukuru Natamani Kila kipindi Uwepo jamani. Umeongea pointi sana na Tumejifunza mengi.Shukran dada Liliyani mwasha💞🥰🥰🥰
Lilian mamangu you loook beautiful
Kama unaangalia uku unaangalia comment like back:v
huyu dada aliokaa pembeni ya khadija kopa anajikuta ana attitude kama zote utadhani kwenye ndoa yake ye ndo kaoa......pitty for her husband!
Alafu anabore
Very true aunty sadaka... It will affect alot mentally
Hapo kuna gender issue, pia uncle yupo more on culture/old school style nadhani Max &Niki wangetakiwa hapo leo ku spicy up na kubalance kizazi cha Dot.con !
magreth 79 true that
@@greenluke6882 Kuna mambo mengii ya asili zetu bado yanamkandamizaa sana mwanamke wakiafrikaa, na kumfanyaa asiwe na maamuzi ya kumchagua mtu anayempendaa, wanandoa walio wengi wanavumilia mambo yaki ukandamizaji simply utamaduni unamzibaa kuwa wazi, Mm nasema mkombozi wa mwanamke ni elimu na kujitambua +kuachaa kuwa tegemezii, mwanaume ukimuonyeshaa una uwezo atakupaa heshimaa.!wanawake kuamshana kuwe endelevu @Lilian kaza buti ktk kukomboaa fikra za wadada ktk jamii! Tusikimbiliee ndoa kabla ya kujua waendaa kufanyaje nn kwenye ndoa na mchango wako utakuwaa nini ! Ni mtazamoo binafsi tu.🙇♀️
@@magreth7981 Sema mnapenda kuiga mambo ya kimagharibi. Mimi mwenyewe nachoka sana maana madem wengi tumewatafuna kwa kupenda migizo na umagharibi . Na ndio maana maisha ya ndoa za kisasa ni upumbavu.mimi ni kijana ila nachoka na maisha yetu vijana
@@magreth7981 wewe umeolewa. Na je ndoa yako ina raha kama umeolewa
Hongereni Mr oni big up na madada zangu nnakupendeni
Kweli mzee
Kaka one jman hata kichaa akipigwa nimecheka Sana. .. lil nakufuatilia Sana
I missed you auntie Sadaka, usipotee tena mama
Manshallah kipindi kizuri sana
great conversation,
Kwanini hawawezi kuongea kwa kupokezana mtu akamaliza point yake? Vurugu kama kelele za sokoni? You guys can do better than this. The guy started rough but he finished with big points....,shukrani baba.
Wapi mama Teri wapi mama Deborah? Women matters team is super sweet natamani mngekuwepo woote kila mara
Aunt Sadaka, Mr. Sigala na Khadija Kopa nimewaelewa sana, mmeongea jambo zur, mwanaume anaetaka kuoa anatakiwa ajipange na si kumtegemea mwanamke
Mchango wangu ni kwamba tuwe wasikivu na kufuatilia vipindi mie nimekipa big up hiki kipindi maana sasa hivi wadada wanachoangalia ni mwanaume ana nini, na wa kaka nao wanataka kuoa mwanamke mwenye kazi. sasa huyu akikosa hivyo vitu mapenzi yanaisha. na ndiyo maana ndoa hazidumu.
Labda uelewa wangu ni mdogo ama umri pia unachangia, ivi suala la kuvishana pete lina Asili ya kiafrica ama ni uzungu pia?
🔥
Daaaah mnatupa mafunzo meng sana nikikikosa huwa sjiskii vzr wallah
Sigala asee nmekupenda kwakweli kuna mambo unaongelea very very true and nayaishi
Huyo mzee hapo kaongea points zote sawa kipindi chaleo nimekipenda sana watu wameongea kwa utulivu na busara tulete watu kama hawa kwakweli tunailimika sana. Tulete pitter mitimingi 👍uwone kazi (mambo ya kisaikolojia yatafufuliwa mubaki midomo wazi 😉
Love you all 🥰🥰🥰
Habari Lilian, kitaalam kuvaa gloves kwenye kipindi mmekosea tena mnakula nazo you only needed to wash your hands with soap and running water. I have even seen some of you touching your phones and faces with gloves. At least you would have just put on face masks.Thank you
Safi sana kwa elimisha
Big ups baba...u are real.
Huyu mzee anafaa sana kwenye hiki kipindi
Mzee anafaa ila anatakiwa kupata maarifa ya kidini huko ataweza kufaidisha sn watu
🙏🏻
dahh kuna watu wanaelim oni sigara hongera kwa kutuelimisha,lilian big up kwa kipindi
I like this ..especially the guy ooo my God
1.5m distance
Mr One nashukru sana
Da Lilly eti kichaa akipigwa anakuaje vile
Mpo karibu sana ,mate na virus vinawapata wote.
Mada nzuri sana, shida hapo akina bi khadija, aunt sadaka na baba yetu wanaongelea maisha halisi ya mapenzi yetu hasilia ambayo ndio tunatakiwa kuyafuata,lakini lilian na mwenzie wao wako ktk mapenzi ya kisasa ambayo tunaiga kwa wenzetu which is not ok,sio culture yetu.ninachotaka kusema mtabishana mpaka hasubuhi hamtapata suluhu mko culture mbili hapo. 😉😁❤👍
Uko vizuri Lilian make up nice
Mimi ilishawai nitokea hii usiombe itokee huwo ni unyanyasaji alipiga kweli kweli kisha akataka nilikataa alitumia nguvu😭😭😭siwezi sahau hilo tukio
Halima pole sana kwa yaliokukuta nadhani kama bado hivo vitu akilini mwako unahitaji msaada wa kisaikologia. Waweza kunitafuta.
Liliane mu mualike mama dangoti tumusikilize .
Kwa utamaduni wakipemba lazima umwambie mzee wako unataka kuoa. Swali na kwanza unalokumbana halo hela ya mahari unayo? Kama huna unambiwa nenda kajiandae hujawa tayari
😂😂😂 mie ndo maana nawapenda wapemba
@@azizakwileka1686 Asante karibu Pemba
MUNGU Azidi kuwabariki Sna, Maana mim ni miongoni mwa wanaonufaika na kujifunza Vitu vingi sana
Hi I like that
It’s very much true 👍
Vai
Hongera sana lilian umedamshi sana leo. Mbn mama debora na mama terry hawapo.
Gud job mwasha kip it up.
This woman can singgggg.
Maongenzimazuri sana huyu Baba ni kibokoyao. Ongera sana kwa wote
Noah kabisa
Huyu baba ana elimu halisi ya maisha sio ya darasani ya mzungu
ALI KHAMIS kweli kabisa
Mmevaa gloves sawa hongereni lakini mmekaa karibu karibu mnatakiwa kukaa mita mbili kutoka mwingine halafu mnacheka mate yanarukia mwenzako hamjajikinga kabisa hapo kama mwenzako anao mate yakikurukia basi umepata.
😂😂😂😂 jamani watu mna mambo
Kweli kabisa wangevaa na mask pia.
Ht cielew
ManshaAllah nimependa mada iyii
Nampenda sana Vailet 😊😊😊😉
Mada inanihusu mno mno asanteni sana sana wapendwa wangu
Najifunza sn kupitia hiki kipindi🔥🔥🔥
Nawapat nikiwa mascut oman yani najiona rahaaaa sanaaaa
Tuwombe mungu Sana atuwe uwezo jamani.
Nc Show, but gloves for which purpose
mi najiona mshamba na mume wangu kumbe ni sahihi asantee kwa somooo🗝
Baba nimekuelewa.....Mr
Mkitoka hapo nendeni quarantine
1. Social distancing is Zero
2. No Mask a.k.a barakoa
3. Showering saliva in someones food.
Kuhusu COVID 19 Tz bado tunasafari ndefu sanaa
Kama kawaida show la kibabe
Duuh huyu mzee ana busara sana aise
Wadada it’s true Mzee tell them the truth 👍👍
Izo gloves contamination hatari sanitizer tuu inatosha
Wameficha mikono usowazi cjaelew😂😂
Gloves hapo sio mahala pake, ni mis-use of resources na jamiii itakuwa munaielekeza sivyo. Inatakiwa kukaa mbali mbali , kutogusana mikono, kutoshika uso wako na kunawa mikono mara kwa mara. Pia kwa wale wenye maambukizo wanatakiwa kujitenga, self isolation.
Ningemshauri mwendesha kipindi awaalike wataalamu angalau wawili kuelezea kuhusu ugonjwa wa corona na kuruhusu watu kuuliza maswali itasaidia watu kuelewa zaidi kwani women matters ina wasikilizaji wengi, kwa hivyo msg itafika haraka.
Nice kipind
duh mambo mazito haya😁😀
Aksante kwa kipindi kizuri sana
Kuvaa glove huku mukizungumuza sauti za juu na maji maji kuwalukia wengine. Badala ya kuziba midomo yetu virus zisiwalukie wengine mumevaa gloves na kuacha midomo yenu ambayo ndiyo mahali vairus zinapotoka.
Mnanikosha Jaman japo tume fungiwa ndani na wazungu wenye nchi Ila nikiiangalia show raha tupu
Wap buko ukhty poleni sana
Polen
Life in Europe Faiza Kufungiwa kunahusiana nn nakuangalia
@@veronicadaniel1122 anamaanisha inampunguzia stress za kukaa ndan
Baba yupo vizuri sanaaaaa
Wa maman hawana wakati wakufanya kazi zote nyumbani naza kulea watoto nakunyonyesha kufanya kazi yake na kufanya kazi za mume zao. Ni kazi nyingi saaana. Wa maman nikupumuzika nawa baba watumike wasaidiye wa maman.
Wallai mimi mume wangu akikuudhi tu anataka tendo na sijui nikwanini
uwiii mimi simpi
Kipindi mnapo kwazana ndio kipindi pekee mnacho itajiana sana ku sex ili kurudisha penzi kwenye mstali! Tofauti na hapo mmoja wapo anaweza tafuta faraja au amani ya moyo nje ya ndoa!
Usithubutu kumnyima
@@charlzzesonconsciousness6685 unatetea kwa vile we nimwanaume!
Mmevaa gloves.halafu mmegendana kwenye kikakao mlikuwa muwe mbali ya mita mbili,....Hapo mmekosea tusomesheni Corona sasa hali mbaya ndugu.
💋 Hehehe the man on behalf of the another man s you have talk it
Mungu atunusuru
Mzee sigala ameongea ukweli wanaume tunapenda kuoneka vidume hata kama hatuna hushupavu huo!
😊
Lilian mzuri mno ukimuona live ni mzuri kuliko kwenye screen,nilikuona nikakupenda kweli
Uyu baba yuko sahihi kabisa.
Queen Linda kabisa
Mzee anajua sana muwe mnamualika kwenye kipindi
Mngeweka vijana wa kiume wambalance One, kaongea vizuri lakini kibaba/kihenga zaidi.
Huyu kaka sigara yuko poa sana