huyu Nasir khalfan anataka recognition tu ila anachobisha ni ujinga na mwenyewe anajua, Momo anaongea ukweli Azam walikua vizuri na bado anashindwa mbele ya Yanga mbovu na mbele ya simba mbovu msimu ulioisha
Maji na Mafuta msimu huu,yataanza kujitenga toka siku ya name nane (08/08) " malamiko ya kikosi hakuna chemistry yataanzia hapo na mipango ya msimu ujao "
Ilo jamaa linalobisha fala kweli sijui linabisha nini sasa 😂
Wakwanza Leo ,wengine ni Nyongeza 😂Momo unachekesha
Hyu anafirwa
Momo anaongea ukweli
huyu Nasir khalfan anataka recognition tu ila anachobisha ni ujinga na mwenyewe anajua, Momo anaongea ukweli Azam walikua vizuri na bado anashindwa mbele ya Yanga mbovu na mbele ya simba mbovu msimu ulioisha
Huyo anafirwa
Utakuja ruka maneno yako baada ya kuiona coastal union zidi ya Azam mwatuzarau Sana nyie wasafi Ila mnakuja Tupa heshima yetu Wacha ligi iyanze
Uyo jamaa anabisha nini na ukweli uko wazi bongo timu ni mbili tu
Momo uko sawa!
Sisi coastal Union tumemaliza nafasi 4 kinachofata twataka kombe Na hamna linaloshindkana
Umeongea point momo😂
🔥
Huyo mwarabu anabisha tuu kwani kubisha wachambuzi ni msingi wenu
Momo upo sahihi sana hao wengine wanaleta ubishi usio na tija
Nakubali AZAM itashangaza msimu huu.
Simba mechi za mwisho ilijitahixi na uchovu wao chini ya kocha mgunda.itakuwa bora tu
Ikifika mechi ya 16 tu wanaanza mipango ya mwakani maana mwaka huu washafeli
Ikifika mechi ya 16...wanaanza mipango ya mwakani 😂😂😂
Naona umenisikiza umenyoa rasi😊😊😊😊
Kajiskia kunyoa,akusikilize wewe mkewe au?
Momo waambie hao ni msimu gani ambao azam hajafanya usajil wa kutisha kila msim huwa wanasajil vizur lkn mwisho wake wanakuwa wapi
Azam anashangaza vp watu wkt kapigwa 4 na Wydad mbovu?
Azam hachukui kitu,Wachambuzi Msitulishe Maneno yenu na Sisi tunajua Mpira natunaona Wenyewe.
Save maneno yko hyo we momo
Maji na Mafuta msimu huu,yataanza kujitenga toka siku ya name nane (08/08) " malamiko ya kikosi hakuna chemistry yataanzia hapo na mipango ya msimu ujao "
Simba alishachukua ngao hyo sio sababu
Semeni wazi tu Simba Na Yanga wanafitina za kila Aina hakuna kitu hawafanyi kupata point tatu
Huu ni mwaka wa AZAM acheni dharau
Yanga hawi bingwa msimu ujao. Msijipe tabu... Ubaya ubwela...
Ww bingwa kwa timu ipi tema mate chini kwa vijeba ambao unawaita watoto😅😅😅
Kwani @@AjiaMohamed-rt5pbnimetaja timu itakayokuwa bingwa!?
Huyu anafirwa alisema Azam ya 3 na imekaa wa pili
Matusi Sasa kha!
Azam iliyokuwa bora kwenye confederation cup wameishia knock out stage ila simba mbovu kwenye CAF wameishia robo finally, Momo is simply stupid
Wewe mpira ujui wabebwa2 wachie wachambuzi wafanye kazi yao
Nenda kawasikilize wachambuzi wako sasa shida n wachambuzi ambao hawajui mpira.