#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 38

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 2 місяці тому +7

    Ilo jamaa linalobisha fala kweli sijui linabisha nini sasa 😂

  • @jaluumtanke
    @jaluumtanke 2 місяці тому +3

    Wakwanza Leo ,wengine ni Nyongeza 😂Momo unachekesha

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 місяці тому

    Hyu anafirwa

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 2 місяці тому +4

    Momo anaongea ukweli

  • @nerow47
    @nerow47 2 місяці тому +3

    huyu Nasir khalfan anataka recognition tu ila anachobisha ni ujinga na mwenyewe anajua, Momo anaongea ukweli Azam walikua vizuri na bado anashindwa mbele ya Yanga mbovu na mbele ya simba mbovu msimu ulioisha

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 місяці тому

    Huyo anafirwa

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 2 місяці тому +7

    Utakuja ruka maneno yako baada ya kuiona coastal union zidi ya Azam mwatuzarau Sana nyie wasafi Ila mnakuja Tupa heshima yetu Wacha ligi iyanze

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 2 місяці тому +6

    Uyo jamaa anabisha nini na ukweli uko wazi bongo timu ni mbili tu

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 місяці тому +1

    Momo uko sawa!

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 2 місяці тому +2

    Sisi coastal Union tumemaliza nafasi 4 kinachofata twataka kombe Na hamna linaloshindkana

  • @godlovemahenge7448
    @godlovemahenge7448 2 місяці тому +2

    Umeongea point momo😂

  • @Enckxxd177
    @Enckxxd177 2 місяці тому +1

    🔥

  • @victorcampbell2659
    @victorcampbell2659 2 місяці тому +1

    Huyo mwarabu anabisha tuu kwani kubisha wachambuzi ni msingi wenu

  • @SalehBinda
    @SalehBinda 2 місяці тому

    Momo upo sahihi sana hao wengine wanaleta ubishi usio na tija

  • @suleimankombo1743
    @suleimankombo1743 2 місяці тому

    Nakubali AZAM itashangaza msimu huu.

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 2 місяці тому

    Simba mechi za mwisho ilijitahixi na uchovu wao chini ya kocha mgunda.itakuwa bora tu

  • @RenatusÑgolongolo-o2j
    @RenatusÑgolongolo-o2j 2 місяці тому +1

    Ikifika mechi ya 16 tu wanaanza mipango ya mwakani maana mwaka huu washafeli

  • @FREDRICKKabalega-ij8kf
    @FREDRICKKabalega-ij8kf 2 місяці тому

    Ikifika mechi ya 16...wanaanza mipango ya mwakani 😂😂😂

  • @athumansaidi7663
    @athumansaidi7663 2 місяці тому

    Naona umenisikiza umenyoa rasi😊😊😊😊

    • @danimtenga6962
      @danimtenga6962 2 місяці тому

      Kajiskia kunyoa,akusikilize wewe mkewe au?

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 2 місяці тому

    Momo waambie hao ni msimu gani ambao azam hajafanya usajil wa kutisha kila msim huwa wanasajil vizur lkn mwisho wake wanakuwa wapi

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 місяці тому +1

    Azam anashangaza vp watu wkt kapigwa 4 na Wydad mbovu?

  • @ericsallu3237
    @ericsallu3237 2 місяці тому +1

    Azam hachukui kitu,Wachambuzi Msitulishe Maneno yenu na Sisi tunajua Mpira natunaona Wenyewe.

  • @OmariBuger-oz3bx
    @OmariBuger-oz3bx 2 місяці тому

    Save maneno yko hyo we momo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 місяці тому

    Maji na Mafuta msimu huu,yataanza kujitenga toka siku ya name nane (08/08) " malamiko ya kikosi hakuna chemistry yataanzia hapo na mipango ya msimu ujao "

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 2 місяці тому +1

    Semeni wazi tu Simba Na Yanga wanafitina za kila Aina hakuna kitu hawafanyi kupata point tatu

  • @suleimankombo1743
    @suleimankombo1743 2 місяці тому

    Huu ni mwaka wa AZAM acheni dharau

  • @zmugittu
    @zmugittu 2 місяці тому

    Yanga hawi bingwa msimu ujao. Msijipe tabu... Ubaya ubwela...

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 2 місяці тому

      Ww bingwa kwa timu ipi tema mate chini kwa vijeba ambao unawaita watoto😅😅😅

    • @zmugittu
      @zmugittu 2 місяці тому

      Kwani ​@@AjiaMohamed-rt5pbnimetaja timu itakayokuwa bingwa!?

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 місяці тому

    Huyu anafirwa alisema Azam ya 3 na imekaa wa pili

  • @simongrayser5784
    @simongrayser5784 2 місяці тому

    Azam iliyokuwa bora kwenye confederation cup wameishia knock out stage ila simba mbovu kwenye CAF wameishia robo finally, Momo is simply stupid

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5sn 2 місяці тому +1

    Wewe mpira ujui wabebwa2 wachie wachambuzi wafanye kazi yao

    • @Rodgers_01
      @Rodgers_01 2 місяці тому

      Nenda kawasikilize wachambuzi wako sasa shida n wachambuzi ambao hawajui mpira.