Paulo siria - Mekimenu (Official video )

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2022

КОМЕНТАРІ • 486

  • @everlynechelimo1949
    @everlynechelimo1949 Рік тому +46

    Hata kama sielewi maneno lakini inaniguza tu moyo.God bless you so much my brother

  • @petersanare4523
    @petersanare4523 Рік тому +1

    Hongera sana muimbaji hakika hii nyimbo imegusa wengi sana na kuwafundisha wanawake katika ndoa zao

  • @user-by9md1cc8f
    @user-by9md1cc8f 10 місяців тому

    Inaniguza hadi nimelia God bleess you 🙏🙏🙏

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Рік тому

    Jamani ngoma inaniguza moyowangu tuendelee tullketi 😉😉

  • @simonadalameja8933
    @simonadalameja8933 Рік тому

    Aki paul mke wangu amenipenda tena zaidi kwa kuskia hii song mungu akubariki

  • @danielnaimodu6148
    @danielnaimodu6148 Рік тому

    Nice Song Paul Siria 👌 pongezi sana

  • @justmoh702
    @justmoh702 Рік тому

    Sidai taa ele singolio.kazi mzuri paul siria

  • @lightnessmollel5265
    @lightnessmollel5265 Рік тому

    Ubarikiweee sana ndg paul nice song with wonderful messsage

  • @japhetmathayo2499
    @japhetmathayo2499 Рік тому +2

    hongera sana kwa wimbo mzuri

  • @marymollel4259
    @marymollel4259 Рік тому +2

    Mungu akubariki Sana nimefurahi a huu wimboo mno❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @namnyakipetro6998
    @namnyakipetro6998 Рік тому +2

    Mekitamayana engai enkeper

  • @user-wk6sh5uk4j
    @user-wk6sh5uk4j 7 місяців тому

    Paulo siriya iyakee olotuu aitadwaaki indungana aadho singilioti lang isidan kuliko lenye

  • @joelimani1821
    @joelimani1821 Рік тому

    Hongera sana ole siria una kipaji nzuri

  • @user-vz5oz7gv5g
    @user-vz5oz7gv5g 7 місяців тому

    Naupenda sana uu wimbo jmn ongel kak angu❤❤❤❤

  • @nelsonsteven493
    @nelsonsteven493 Рік тому +2

    Umeimba sana Kaka yangu imenigusa kweli

  • @emmanuellekishon-7322
    @emmanuellekishon-7322 Рік тому +7

    This song sends me to many flashbacks. A friend of mine who was in Somali for solar projects, the wife left left home, stating money sent isn't enough 😢😢 I met Olkisongoi selling shoes in Siaya, Kigali & Zanzibar lamenting of their women at home not respecting them coz of the nature of their work.

  • @SAMWELLUKUMAY-w9w
    @SAMWELLUKUMAY-w9w 18 днів тому

    Am understand it most. This song is touches my soul. But i believe every successful person have a painful story, every painful story have a successful ending. Be blessed brother together we can in Jesus name.

  • @gidionsolomon4171
    @gidionsolomon4171 Рік тому

    Good Mr pauloo waambiee watufumiliee

  • @robat7551
    @robat7551 Рік тому

    Kiukweli mungu akubariki kwa kuelimisha wengi

  • @cindyrozz5919
    @cindyrozz5919 Рік тому

    Hatakama siyaelewi inani guza moyo God bless you work💕💞🙏🙏🙏

  • @calebtipape3857
    @calebtipape3857 Рік тому

    Wah! Kidogo nilie 🥺🥺 nakunenea neema kuu ndugu yangu

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️❤️napenda sana hili kabila 🌹🌹

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Рік тому +3

    Mwenye tafsiri ya huu wimbo please aiandike hapa. May Almighty God bless you all.

  • @PrudenceKathambi
    @PrudenceKathambi Рік тому

    God bless daddy I'll
    Loved you song so mach💓💕💖💗💝💟

  • @davidmoleli394
    @davidmoleli394 Рік тому +1

    Barikiwa sana na nyimbo nzur ya kupendeza mungu

  • @obadiasanare8338
    @obadiasanare8338 Рік тому

    Daah wimb una ujumbe mzuri sana daha

  • @malkiaibrahim5446
    @malkiaibrahim5446 Рік тому

    Paulo rafiki angu hii too much njoo kwetu uimbe tena nitakutangazia bure kwa gari

  • @annkirampa4439
    @annkirampa4439 Рік тому

    Naai papa leshumata nchooki alpayia laanyor negol amu kanyoru aki basi....

  • @lowasapalanjo523
    @lowasapalanjo523 Рік тому

    Hongera saana bro inatugusa Sana wenye maisha ya kawaida

  • @veronikakereto3515
    @veronikakereto3515 Рік тому +1

    Paulo siria kwa kwel mungu akubariki sana japo nilikualika ukanikataa ila uma yako hakika inanibariki san mpendwa wa mungu,MIMI VERONIKA MTO WA MBU,

  • @AntonishemshumiAntoni
    @AntonishemshumiAntoni 5 місяців тому

    Sielewi kimasai lakini siria unanibarki kwa nyimbo zako baba. Ubarikiwe.

  • @laisangaikuyan1172
    @laisangaikuyan1172 Рік тому

    Hongera sana Pauli siria hongera sana

  • @user-oz1cc9lh3k
    @user-oz1cc9lh3k 9 місяців тому

    Hakika nam nakupenda japo cjajua maana yake

  • @loseriansafari4400
    @loseriansafari4400 Рік тому

    Ubarikiwe xana ndugu, ujumbe umewafikia

  • @eliyalaiza6768
    @eliyalaiza6768 Рік тому

    Hongera sana broo uzidikuinuliwa juu zaid

  • @juliusmollelchannel1701
    @juliusmollelchannel1701 Рік тому +1

    Aki amungu iko powerful song waammbie wamama 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @zainahillary8119
    @zainahillary8119 Рік тому +2

    Mungu akubariki azidi kukuinua viwango vingine 🙏wimbo umenibariki unaujumbe mzito👍

  • @paulmuyanga3445
    @paulmuyanga3445 Рік тому

    Paul the brother of mine hii nmeipenda sana. 🙏

  • @muntetlomunyak9641
    @muntetlomunyak9641 Рік тому

    Mungu akulipe ,kwa kazi nzuri.

  • @user-oi7rh7vc2y
    @user-oi7rh7vc2y Рік тому

    Mikitamayiana Enkai paul siria❤

  • @naomikirrinkol1178
    @naomikirrinkol1178 Рік тому

    Pongezi sana mtu wa Mungu

  • @AlfredkoikaiKadipo
    @AlfredkoikaiKadipo Місяць тому

    Good motivation my brother

  • @juliusmilya467
    @juliusmilya467 Рік тому +1

    Mungu akusaidiee sana Paulo

  • @lukempaa9405
    @lukempaa9405 Рік тому

    Very power message be Bless man of God

  • @KalvinCheruiyot
    @KalvinCheruiyot 20 днів тому

    Hiyo wimbo imenikusa aki

  • @masaimoja3089
    @masaimoja3089 Рік тому +1

    Kazi Safi Sana ndugu lai Dunia inaenda ikikukubali mungu amuongoze na ujuzi zaidi

  • @margretsointa6906
    @margretsointa6906 Рік тому

    Congratulation powerful message

  • @viviannaserian4059
    @viviannaserian4059 Рік тому

    I really like this Paulo siria my God bless u

  • @user-pb6wm8qw7l
    @user-pb6wm8qw7l Рік тому

    Kaka Paulo hongera cana Kwa nyimbo yako ambyo umetoa kwani inaguza cana tena cana ni mm by Lucca mollel .

  • @joelmolell
    @joelmolell Рік тому

    Uwaeleze ukweli kwamba tunatezeka kweli

  • @simonsimon3649
    @simonsimon3649 Рік тому

    kimayian enkai Paulo woiyie imeninguza aky mmmmmh
    🙏🙏

  • @kitilesky941
    @kitilesky941 Рік тому

    Ara siria...ero mikitaapo nkai nikilepunye...tesiai lenkai liasita....Ashe oleng ltung'ani lai

  • @sadikijunia113
    @sadikijunia113 Рік тому

    Hongera sana ndugu yangu

  • @charlesmnyanghali9066
    @charlesmnyanghali9066 Рік тому

    Hakika imenigusa hata kama sielew anachoimba viitendo vinanifanya kujua kwamba anamaanisha nn big up paulo tumo pamoja

  • @jonathanromo4156
    @jonathanromo4156 Рік тому

    waaah wimbo poa ndungu yangu na Mungu atakusaidia kwa kazi poa unafanya

  • @sammymutati9895
    @sammymutati9895 Рік тому

    Mungu akumbariki Sana paulo

  • @pappametuilaizer4712
    @pappametuilaizer4712 Рік тому +2

    Hongera sana kaka paulo siria kwa kazi kubwa unayoifanya wakika huu nyimbo umeniguza moyo ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @carolnanetia7792
    @carolnanetia7792 Рік тому

    Wow ...hongera sana Paulo...

  • @ngogaprince3962
    @ngogaprince3962 Рік тому

    Congratulations brother good songs

  • @lemndulimolell8834
    @lemndulimolell8834 Рік тому

    Unatisha ndugu.Siriya

  • @johnpapaking1497
    @johnpapaking1497 Рік тому

    Hongera sana kwa ujumbe mzuri
    Naomba kama unaweza uimbe kwa kiswahili

  • @ramadhanikopilato7614
    @ramadhanikopilato7614 Рік тому

    Hongr sana omorwo lalajilangi

  • @user-iq1kx7gn9w
    @user-iq1kx7gn9w 10 місяців тому

    It so powerful keep it up my brother

  • @losseriamollel6525
    @losseriamollel6525 Рік тому

    Amma kweli umetisha

  • @kivuyojoel775
    @kivuyojoel775 11 місяців тому

    Jamani wimbo mzur xanaaa

  • @bitnetio2115
    @bitnetio2115 8 місяців тому

    Am a woman but there other time we are stress to men 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jeremysanti619
    @jeremysanti619 Рік тому

    Hongera siria

  • @anorldnanyaro4630
    @anorldnanyaro4630 Рік тому

    Mungu akubariki sana Paulo siria sijaelewa kimasai lakin kunaujumbe mzur ndani ya wimbo nunakuomba kama mungu atakupa neema ututafsirie kiswahil au kingereza

  • @kimorgopeter6106
    @kimorgopeter6106 Рік тому +1

    Wimbo wenye uchungu na ukweli mtupu barikiwa paul

  • @johnngoma5415
    @johnngoma5415 Рік тому

    Nipo Arusha Intel sichoki kuuskiliza huu wimbo wa ndugu yangu Paulo japo cjui kimasai Ila nimetafsiliwa hivyo najua anamaanisha nini

  • @kanungasapukerinjo8836
    @kanungasapukerinjo8836 Рік тому +7

    Hongera sana Paulo Mungu akuinuwe katika viwango vya juu zaid🙏🙏

    • @joshuwazaningo2101
      @joshuwazaningo2101 Рік тому

      Wimbo wko imeni bariki xna nawew ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏😄

  • @user-nd9tx1od2r
    @user-nd9tx1od2r 5 місяців тому +1

    ❤aminaa sanaaa

  • @Kuhanionlinetv
    @Kuhanionlinetv Рік тому +1

    Siumeona stalihii ya zuku unaiwezea sana imbia stahili hii kaka ,nakukubali sana kamanda nyimbo Kali sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @petersanare4523
    @petersanare4523 Рік тому

    Katika nyimbo zote umeimba hii ya mikimenu endomononiai imeguza wengi na kubaki mahubiri tosha katika wana ndoa hata usipo hubiri tena hakika hii imetosha kuwafundisha wana ndoa

  • @emilyrexy3682
    @emilyrexy3682 Рік тому

    Nice 👍 song Paulo siria

  • @yohanalaizer5706
    @yohanalaizer5706 Рік тому

    Wimbo nimeupenda sana

  • @IsayaSadick-yb3bz
    @IsayaSadick-yb3bz Рік тому

    Brother Hongera

  • @ErickMawiraNgai-or6zx
    @ErickMawiraNgai-or6zx 7 місяців тому

    Great message brother keep up

  • @user-jc2ck6vw8x
    @user-jc2ck6vw8x 9 місяців тому

    Napenda maasai sana God bless you bro,,translation uweke

  • @josephloishiyemollely4495
    @josephloishiyemollely4495 Рік тому +1

    Hongera Paulo kwa nyimbo nzuri

  • @Mamake559
    @Mamake559 Рік тому +1

    So impressive ❤to all men who try to their wife's aki isalute u zaidi....women lets gather here and appreciate our husbands for their trials ❤ Paul siria tonyua oltau hii wimbo imefikie my husband 😘😘😘😘

  • @samwelilaizer8609
    @samwelilaizer8609 Рік тому

    Mungu akubariki san mwimbaji wa njimbo za injili za kimaasai hakika huu wimbo nimesikia mpaka nikalia imenikumbusha mengi san ubarikiwe sana hakika hii wimbo itawabadilisha wengi watakao guswa na huu wimbo

  • @langumollel8740
    @langumollel8740 Рік тому +1

    👏👏👏👏👏👏❤️❤️ Mungu akutunze sana Paulo Siria mjumbe mzurii sanaaa 🤝🙏🙏

  • @jonathantinka9458
    @jonathantinka9458 Рік тому

    Pongezi sana ndugu!

  • @jennifenooria8888
    @jennifenooria8888 Рік тому +1

    Congratulations 👏👏👏 keep it up

  • @meshakisumari5369
    @meshakisumari5369 Рік тому

    Nje kimanayaki tukulu e nkai my brother

  • @salomeabac2764
    @salomeabac2764 Рік тому

    Karibu sana sigida

  • @dennis5530
    @dennis5530 Рік тому +1

    Thanks brother may God bless you so much?

  • @joelmolell
    @joelmolell Рік тому

    Aixee Paulo hongera sana unatufunza mazuri duniani uko na maoni mazuri naomba unitumie no zako plz nikusalimie wahtassp

  • @elibaricklesion9770
    @elibaricklesion9770 Рік тому

    Tonyua oleiyo etii enkai eshumata mikitudumu

  • @lucynao6591
    @lucynao6591 Рік тому +2

    congratulations... great message educative and real fact... God strengthen you osinga le nkai

  • @capilux3567
    @capilux3567 3 місяці тому

    Hay pure truth...God bless you siria

  • @user-dt1jg4jj1d
    @user-dt1jg4jj1d 5 місяців тому

    Jamani hii nyimbo inauchungu sana inanikumbusha mbali mungu auongezee kipaji hiki🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nyasunganyanda8267
    @nyasunganyanda8267 Рік тому

    Nimeipenda wimbo kwa mafundisho ispo siierewi nakuomba kwa mungu akuzidishie kipaji amee🙏🙏🙏🙏

  • @bettykaluna25
    @bettykaluna25 Рік тому +1

    Mungu akubariki 💥💥🙌

  • @sinyatisaitabau8756
    @sinyatisaitabau8756 Рік тому

    Ewaaaaa a very truth pain indeed. May almight God bless the work of ur hands

  • @josephkaipoon3243
    @josephkaipoon3243 Рік тому

    paul siria congrat

  • @elisha8445
    @elisha8445 Рік тому

    Ukweli utabaki kuwa ukweli uwo wimbo unagusa penyewe

  • @sululujames9204
    @sululujames9204 Рік тому

    Hongera sana God will reward

  • @tomtoret9605
    @tomtoret9605 Рік тому

    Brother mungu akubariki