This song sends me to many flashbacks. A friend of mine who was in Somali for solar projects, the wife left left home, stating money sent isn't enough 😢😢 I met Olkisongoi selling shoes in Siaya, Kigali & Zanzibar lamenting of their women at home not respecting them coz of the nature of their work.
Am understand it most. This song is touches my soul. But i believe every successful person have a painful story, every painful story have a successful ending. Be blessed brother together we can in Jesus name.
Mungu akubariki sana Paulo siria sijaelewa kimasai lakin kunaujumbe mzur ndani ya wimbo nunakuomba kama mungu atakupa neema ututafsirie kiswahil au kingereza
Katika nyimbo zote umeimba hii ya mikimenu endomononiai imeguza wengi na kubaki mahubiri tosha katika wana ndoa hata usipo hubiri tena hakika hii imetosha kuwafundisha wana ndoa
So impressive ❤to all men who try to their wife's aki isalute u zaidi....women lets gather here and appreciate our husbands for their trials ❤ Paul siria tonyua oltau hii wimbo imefikie my husband 😘😘😘😘
Mungu akubariki san mwimbaji wa njimbo za injili za kimaasai hakika huu wimbo nimesikia mpaka nikalia imenikumbusha mengi san ubarikiwe sana hakika hii wimbo itawabadilisha wengi watakao guswa na huu wimbo
Hata kama sielewi maneno lakini inaniguza tu moyo.God bless you so much my brother
Amen 🙏
Mbn
Soma maandishi towards the end
Hii nyimbo imengusa kila mtu mweny ako na masikio
Me too here
Hongera sana muimbaji hakika hii nyimbo imegusa wengi sana na kuwafundisha wanawake katika ndoa zao
Inaniguza hadi nimelia God bleess you 🙏🙏🙏
Jamani ngoma inaniguza moyowangu tuendelee tullketi 😉😉
Aki paul mke wangu amenipenda tena zaidi kwa kuskia hii song mungu akubariki
Nice Song Paul Siria 👌 pongezi sana
Sidai taa ele singolio.kazi mzuri paul siria
Ubarikiweee sana ndg paul nice song with wonderful messsage
hongera sana kwa wimbo mzuri
Mungu akubariki Sana nimefurahi a huu wimboo mno❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mekitamayana engai enkeper
Paulo siriya iyakee olotuu aitadwaaki indungana aadho singilioti lang isidan kuliko lenye
Hongera sana ole siria una kipaji nzuri
Naupenda sana uu wimbo jmn ongel kak angu❤❤❤❤
Umeimba sana Kaka yangu imenigusa kweli
This song sends me to many flashbacks. A friend of mine who was in Somali for solar projects, the wife left left home, stating money sent isn't enough 😢😢 I met Olkisongoi selling shoes in Siaya, Kigali & Zanzibar lamenting of their women at home not respecting them coz of the nature of their work.
😅
Am understand it most. This song is touches my soul. But i believe every successful person have a painful story, every painful story have a successful ending. Be blessed brother together we can in Jesus name.
Good Mr pauloo waambiee watufumiliee
Kiukweli mungu akubariki kwa kuelimisha wengi
Hatakama siyaelewi inani guza moyo God bless you work💕💞🙏🙏🙏
Wah! Kidogo nilie 🥺🥺 nakunenea neema kuu ndugu yangu
❤️❤️❤️❤️❤️napenda sana hili kabila 🌹🌹
Mwenye tafsiri ya huu wimbo please aiandike hapa. May Almighty God bless you all.
God bless daddy I'll
Loved you song so mach💓💕💖💗💝💟
Barikiwa sana na nyimbo nzur ya kupendeza mungu
Daah wimb una ujumbe mzuri sana daha
Paulo rafiki angu hii too much njoo kwetu uimbe tena nitakutangazia bure kwa gari
Naai papa leshumata nchooki alpayia laanyor negol amu kanyoru aki basi....
Hongera saana bro inatugusa Sana wenye maisha ya kawaida
Paulo siria kwa kwel mungu akubariki sana japo nilikualika ukanikataa ila uma yako hakika inanibariki san mpendwa wa mungu,MIMI VERONIKA MTO WA MBU,
Sielewi kimasai lakini siria unanibarki kwa nyimbo zako baba. Ubarikiwe.
Hongera sana Pauli siria hongera sana
Hakika nam nakupenda japo cjajua maana yake
Ubarikiwe xana ndugu, ujumbe umewafikia
Hongera sana broo uzidikuinuliwa juu zaid
Aki amungu iko powerful song waammbie wamama 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu akubariki azidi kukuinua viwango vingine 🙏wimbo umenibariki unaujumbe mzito👍
Paul the brother of mine hii nmeipenda sana. 🙏
Mungu akulipe ,kwa kazi nzuri.
Mikitamayiana Enkai paul siria❤
Pongezi sana mtu wa Mungu
Good motivation my brother
Mungu akusaidiee sana Paulo
Very power message be Bless man of God
Hiyo wimbo imenikusa aki
Kazi Safi Sana ndugu lai Dunia inaenda ikikukubali mungu amuongoze na ujuzi zaidi
Congratulation powerful message
I really like this Paulo siria my God bless u
Kaka Paulo hongera cana Kwa nyimbo yako ambyo umetoa kwani inaguza cana tena cana ni mm by Lucca mollel .
Uwaeleze ukweli kwamba tunatezeka kweli
kimayian enkai Paulo woiyie imeninguza aky mmmmmh
🙏🙏
Ara siria...ero mikitaapo nkai nikilepunye...tesiai lenkai liasita....Ashe oleng ltung'ani lai
Hongera sana ndugu yangu
Hakika imenigusa hata kama sielew anachoimba viitendo vinanifanya kujua kwamba anamaanisha nn big up paulo tumo pamoja
waaah wimbo poa ndungu yangu na Mungu atakusaidia kwa kazi poa unafanya
Iko sw
Mungu akumbariki Sana paulo
Hongera sana kaka paulo siria kwa kazi kubwa unayoifanya wakika huu nyimbo umeniguza moyo ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🙏
Wow ...hongera sana Paulo...
Congratulations brother good songs
Unatisha ndugu.Siriya
Hongera sana kwa ujumbe mzuri
Naomba kama unaweza uimbe kwa kiswahili
Hongr sana omorwo lalajilangi
It so powerful keep it up my brother
Amma kweli umetisha
Jamani wimbo mzur xanaaa
Am a woman but there other time we are stress to men 🙌🙌🙌🙌🙌
Hongera siria
Mungu akubariki sana Paulo siria sijaelewa kimasai lakin kunaujumbe mzur ndani ya wimbo nunakuomba kama mungu atakupa neema ututafsirie kiswahil au kingereza
Wimbo wenye uchungu na ukweli mtupu barikiwa paul
Nipo Arusha Intel sichoki kuuskiliza huu wimbo wa ndugu yangu Paulo japo cjui kimasai Ila nimetafsiliwa hivyo najua anamaanisha nini
Hongera sana Paulo Mungu akuinuwe katika viwango vya juu zaid🙏🙏
Wimbo wko imeni bariki xna nawew ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏😄
❤aminaa sanaaa
Siumeona stalihii ya zuku unaiwezea sana imbia stahili hii kaka ,nakukubali sana kamanda nyimbo Kali sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Katika nyimbo zote umeimba hii ya mikimenu endomononiai imeguza wengi na kubaki mahubiri tosha katika wana ndoa hata usipo hubiri tena hakika hii imetosha kuwafundisha wana ndoa
Nice 👍 song Paulo siria
Wimbo nimeupenda sana
Brother Hongera
Great message brother keep up
Napenda maasai sana God bless you bro,,translation uweke
Hongera Paulo kwa nyimbo nzuri
So impressive ❤to all men who try to their wife's aki isalute u zaidi....women lets gather here and appreciate our husbands for their trials ❤ Paul siria tonyua oltau hii wimbo imefikie my husband 😘😘😘😘
Mungu akubariki san mwimbaji wa njimbo za injili za kimaasai hakika huu wimbo nimesikia mpaka nikalia imenikumbusha mengi san ubarikiwe sana hakika hii wimbo itawabadilisha wengi watakao guswa na huu wimbo
👏👏👏👏👏👏❤️❤️ Mungu akutunze sana Paulo Siria mjumbe mzurii sanaaa 🤝🙏🙏
Pongezi sana ndugu!
Congratulations 👏👏👏 keep it up
Nje kimanayaki tukulu e nkai my brother
Karibu sana sigida
Thanks brother may God bless you so much?
Aixee Paulo hongera sana unatufunza mazuri duniani uko na maoni mazuri naomba unitumie no zako plz nikusalimie wahtassp
Tonyua oleiyo etii enkai eshumata mikitudumu
congratulations... great message educative and real fact... God strengthen you osinga le nkai
Hay pure truth...God bless you siria
Jamani hii nyimbo inauchungu sana inanikumbusha mbali mungu auongezee kipaji hiki🙏🙏🙏🙏🙏
Nimeipenda wimbo kwa mafundisho ispo siierewi nakuomba kwa mungu akuzidishie kipaji amee🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki 💥💥🙌
Ewaaaaa a very truth pain indeed. May almight God bless the work of ur hands
paul siria congrat
Ukweli utabaki kuwa ukweli uwo wimbo unagusa penyewe
Hongera sana God will reward
Brother mungu akubariki