Mume wa Zamaradi amjibu Mange ‘mjinga mpuuze inawauna kukupenda mke wangu’
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Waache utapeli na fake life..mange tupe tupe..mpaka wamlipe megy..tunakupenda sana mange sanaaa yani kwa kutetea wanyonge..Mungu akuweke sana❤❤❤❤
😅😅😅😅
She is our whistle-blower. Serikali iwaonee na watu pia wawaonee jamani mnaishi dunia ya wapi????
Ila mangi kimambi anakera sanaaaa jamaniii kufatilia maisha yawatu bingun hufiki kimambi
Wewe Mungu sio
Kwani mwanamke kulisha familia ni dhambi
Nashaangaaa 😢
Kubwa sana
Dhambi kubwa sana
Zamarad wacha ya mkute. .what's Goes around comes around alivujishaga voice note za Boss Ruge leo apambane na fake life yake kwanz simpendag alimfanyiaga figisu figisu Dinnar Mario's hakatoka clouds fm leo mwenzie Ana shine malipo hapa hapa
mnavomjibu huyu mange ndo mnampa kichwa sasa ubaya upo wapi mke akimsaidia mume jmn
Ww hujamuelewa mange mange hakuwa na shida kabisa ya Zama kumsaidia mume wake .shida ya mange ni? Kwanini pesa ya kumsaidia mumewe na mkusafisha kwa watu anayo lkn pesa ya kumlipa mtt wwtu Hana? Na bado alipoamua kusema ukweli amemuweka ndani
@@madawamchuwa8253 Bora ww umesema
Pole sana zamarad, watanzania wengi huwa hatafikir kabla ya kunena mimi nilikuelewa sana uliposema mkataba uliisha kitambo, ikabaki nipe nikupe, yaani nionyeshe kazi uliyofanya nami nikupe pesa, ila hii nayo ni kosa kukaa na mfanyakazi zaid ya miezi 3 bila kumpa mkataba, binadamu tumebadilika, mimi niliwahi kushuhudia mama anamlipa house girl million 4, chanzo alifanya kosa aliposemwa akadai kuondoka, baadae akanda office za kazi kulalamika hajalipwa mshahara muda wote aliyofanya kazi kwa yule mama, haya mambo yanauma sana,
Mange 💯 %mtu mwenywe uwakika na maisha awezi kuangaika na kupost nyumba watt wanachenza ukiona ivyo ajiamini .watu wanav2 kibao na awajawai post
Mange anajua anajua anajua tena😂❤
Huy dada Sijui yupoje anakera sana
Mange atakufa vibaya kwa kufatilia maisha ya watu
Hujawahi kutapeliwa ndugu hujui uchungu WA kufanyakazi kwa bidii halafu usilipwe. Narudia tena subiri ya kukute 😢
Asante lwa kutufahamishs yanayojili mana usomaji wako sichoki kukusikliza na kukuelewa pia
Mange anatafuta ugali wake, ulaya maisha ni magumu sana, kwaiyo ni lazima atafute choko choko ili afatiliwe.
Tatizoo unyanyasaji mwingi uko kwenuu, kujigamba kwa kunyanyasa watuu kwani sisi si wazazi walikuwa na biashara zao , tanzania hakuna hakiì.
Watanzania mko na wivu mwingi sana sas kujenga ata mtu wa kawaida akiamua tu ila mtu yyte akitoboa kdgo maneno
Yani Kuna watu wanasahau kwamba hapa duniani sio kwetu kwani kama zama ndio mwenye pesa na anamsapoti mumewe Kuna shida Gani hata ingekua mm Nina pesa mume wangu ananiheshimu ananipenda jamani ningempa mihela anipe raha kwani mihela bila kua na furaha haina maana zama dada hata kama Hana hata mia kama anakupenda kwa zati inatosha upendo ni zaidi ya kila kitu duniani
Mwanaume huwa haongei😂😂 ukiona hivyo mange amemkuna ndipo bwana shabani Sasa subiri kwenye App utakavyochafua Hali hewa
Wanao sapot mange wapuuzi sn kama mange
Freelance writer halipwi mshahara
😂😂😂😂😂😂😂wanywe diclopa walale
Roho mbaya inaumaaa mngenyamaza ingependeza
Km zama anamstir mumewe na kujitoa
Huyo ndio mwanamke na nusu.
Na ni jambo jema sn
Kwani Kila mtu si mzuri ila mange tu, jamani jamani mwache kuumpa mange airtime
Lakini iyo ndio inatakiwa kuwa anamuonesha Mume wake ndio kusema bwana
👍👊✌️。
waache tu kumjibu maana wanajidhalilisha tu
Watu mnasahau mange kimavi umbea wake ndounamuwe
Ka marekani inatakiwa msimjibu chochote ili asitrend kbisa mkimjibu ndoanafurahi
Wale wa cloudz wameshindwa kuwalipia ada watoto wa ruge
50-50
Ila watanzania mmekosa kushikamana na umoja mmunyoshe huyo kimaviiii
Muacheni huyo mambe kimavi
sasa huo mange nani jamani
Ila pia tusisahau, mange akimdhalilisha ndio kipato chake so kufa kufaana
Huo uandishi aise dah
Mange hagopi kufatiliya watu hatari kabisa Pole zama usijali
Inawauna nini😏
Shoo off ni sumu kama ni kweli hatari hapo kujifunza
Mange hauko mkweli !! Tu fais toujours deux poids et deux mesures
😂😂😂😂
mlipeni tu yule maskini wa mungu jasho lake
Uyu mange Kwan anashida gn kila mtu anamkosoa
Mange kimavi nae 😅
Hope he will not live him one day 🙏
He will not live him🤔. That him is who...
@@hopechidera 🤣🤣🤣
Kwani watanzania munafeli wapi kumkomesha huyu mange ,kwasababu kila siku yeye tu na maisha ya watu ata usipomchokoza yeye anakuchamba tu , 😓 😓 .
Huyu kimbau mbau siku akikanya tanzania watamkaanga
Ila mange anahakikisha ndoa za wenzie za vunjika😂 zama amlipe Megay pesa yake apumzike
Wizi wamlipe kaka wawatu Pumbavu zao
KIUKWELI wakishamlipa tu,YOTE haya yatakwisha
Mange kila siku kufatilia watuu khaa asubutu aje bongo watamlaa na ile mifupa yke km mfajio
Shida mme wake shule hamna
Tafta pesa pumbi ww vyeti ni uchafu
Kwaiyo wenye pesa wote wamesomea vyuo ?
Duh haya mwalimu
@@rabsontryphon9254asante
Watu WENGI WA kusini,UKITOA wilaya ya masasi hawapendi shule
You don’t need to reply this patient .::