Viongozi ACT Wazalendo waanza ziara pande nne za nchi
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Viongozi wa chama cha ACT Wazalendo wanatarajia kufanya ziara ya pande nne za nchi kuanzia wikiendi hii na kukutana na wananchi wa maeneo mbalimbali.
#AzamTVupdates
Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi