Kisha nikaona mji mtakatifu, Yerusalemi ukishuka kutoka mbinguni, Ukiwa umeandaliwa, kama bibi harusi, aliyepambwa kwa Bwana wake, Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu. Atafuta machozi yao yote, na kifo hakitakuwepo tena, Maana mambo hayo yote, ya awali yamekwishatoweka, Mji, ule utashuka, kwa mandhari makuu, Yesu akiwa ni kiongozi, Tarumbeta, zikipulizwa, kwa ustadi mkuu. Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe nayeye aketiye juu yake, Ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, mahali pao hapakuonekana, Nikaona wafu wakubwa wadogo mbele yake, vitabu vyote vikafunguliwa, Tazama, wakahukumiwa sawasawa na matendo yao. Song lyrics: ua-cam.com/video/HBRglgO07I8/v-deo.html
Its talking about the kingdom of God and how God will come and wipe all tears from ur eyes and the pain of the past shall fade away as we asend to our true home in heaven
1. Kisha nikaona mji mtakatifu yerusalemu ukishuka kutoka mbiguni, ukiwa umeandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa bwana wake Nikasikia sauti kubwa kutoka katike kile kiti cha enzi ikisema, tazama maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu x2 Atafuta machozi yao yote na ndipo hakitakuwepo tena Maana hayo yote ya awali yamekwisha toweka Mji ule utashuka kwa mandhari makuu Yesu akiwa ni kiongozi Tarumbeta zikipulizwa kwa ustadi mkuu 2. Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe na Yeye aketiye juu yake Ambaye nchi na mbingu zinaakimbia uso wake mahali pao hapakuonekana Nikaona wafu wakubwa wadogo mbele yake vitabu vyote vikafunguliwa Tazama wakahukumiwa sawasawa na matendo yao x2 Listened to the song too many times, couldn't help but attempt to write the lyrics. Sorry
Yeah very truth plz Allah help him to be trustworth together with his choir members let them be among your children who will enter the kingdom with joy OMG
This choir may turn out to be the best of all choirs in the country. All their songs are consistently well-composed, well-sung, and full of spiritual message. Even the demeanor and deportment of the singers are a positive message in themselves.
This song reminds me of my late dad when he passed away last year during corona period. May his soul rest in eternal peace. I loved you daddy so very but God loved more
am not an Adventist but am touched. i dont sleep with your song. my PC is playing the whole night even if i am sleeping. any moment i woke up its serious prayer. God bless you. i love you all
wasabato tumezidi Sana. Tunavutwa na dunia kwa Sana nyimbo nzuri Sana tunaimba lakini dada zetu mnauondoa uzuri wa wimbo kwa mavazi mnayoyavaa,nimshangazwa sana na jinsi mlivyovaa apo, wapendwa wa Bwana tuweni makini tusienenda kama watu/mtu fulani anavyoendenda, tuenende Kama Kristo apendavyo. Hongeren Kwan wimbo mzuri Ujumbe YESU ANATUPENDA
Saighilu Nyangusi utaendelea kushangazwa saaaana,,,binadamu atakuwa binadamu,,even if u lie down for them to step on u they will still complain that u are not flat enough,,the reception ministers endeleni kufanya kazi ya Mungu u encourage me a lot,,,
Hujaona muonekano wao hakuna makeup wala wigs , heleni n.k hujaona how humble they look ila umeona nguo isiyo natatizo unless umeangalia kwa macho ya dhambi ,, unashida mahali anza maombi
These people are singing with heavenly composure and the ladies are so decently dressed.You need to pray for yourself as you are looking at them from the lens of the devil.
@thabislendeu ndeu,thus Revelation 21:the Lord will wipe away our tears,there shall be normal death,no more pain no more illness coz everything will be new,thank for your recommendation, yes!God is able,remain blessed
Oh that day......"Even so,come Lord Jesus!" 1 Thessalonians 2:19-20 New Life Version (NLV) 19 Who is our hope or joy or crown of happiness? It is you, when you stand before our Lord Jesus Christ when He comes again. 20 You are our pride and joy.
There is a time this song caught my mind and yaani huwa nataka Tu niskize kila mara na nikiskiza nalia nalia nalia ..I don't knew my husband was nearly to die ..one morning as we welcome sabath on Friday evening with my daughter hii song ilikuwa inaimba na Sisi tunaimba nalia ..all over sudden I received a call my friend telling she is sorry na akalia before aniambie Kwa nini so I had to find out kidogo message yake ukaingia aliniambia eti pole siz Kwa kumpoteza mzee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
PERFECT SPREAD OF THE GOSPEL. All the messages in all the Redemption Ministers's songs are BIBLICAL TRUTH. Fellow Saints,NEVER allow Satan still,destroy or kill this ministry. We're Adventists hence our Savoir will be sooner than we think. Nawapenda sana. Shalom.
This is my favorite plus ninakwea, mfalme wetu ni jemedari, bwana umenizingira, yumo chomboni and chukua udongo thanks wana redemption for sharing your talents with us mbarikiweni sana.
May our almighty Lord grant you breakthrough in your endervours.I sincerely in love with this song, it nourishes my soul with tranquility and abundance of joy& love.
I'm always blessed to have this song, huh! Great scenery, composure and content speak to the soul! God bless you brethren for the great piece of music you have offered us.
Amen, Am going to be in your next launch. You guys are so much blessed. This song uplifts my spirit so high that i feel am already there. Amazing song blessed voices.
I should join SDA.Everytime I want to connect with the Lord,I look for SDA songs.
Just find the nearest SDA Church and start attending, like I did, it's now five years
Amen
Welcome brother
Welcome brother
U r welcome
Reason why I changed to Adventist, so much content in one piece of masterclass music! and message, happily an Adventist for the last 20 years
Kisha nikaona mji mtakatifu, Yerusalemi ukishuka kutoka mbinguni,
Ukiwa umeandaliwa, kama bibi harusi, aliyepambwa kwa Bwana wake,
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema,
Tazama maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu.
Atafuta machozi yao yote, na kifo hakitakuwepo tena,
Maana mambo hayo yote, ya awali yamekwishatoweka,
Mji, ule utashuka, kwa mandhari makuu, Yesu akiwa ni kiongozi,
Tarumbeta, zikipulizwa, kwa ustadi mkuu.
Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe nayeye aketiye juu yake,
Ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, mahali pao hapakuonekana,
Nikaona wafu wakubwa wadogo mbele yake, vitabu vyote vikafunguliwa,
Tazama, wakahukumiwa sawasawa na matendo yao.
Song lyrics: ua-cam.com/video/HBRglgO07I8/v-deo.html
thanks for the lyrics
Wao very good piece carrying heavy and true gospel, hongera mtunzi na waimbaji, May God bless you abundantly.
Wow thanks
I was raised in catholic married to an sda. Aaaah I can't get tired listening to ur songs especially this blessed all of u❤️
Then u abandoned ur Catholic faith 🤔🤔🤔🤔,,
@@judithanyango5847 on
@@judithanyango5847 the
L
L
My all time favourite ❤ song im a proud Seventh Day Adventists
Best Song ever
Keep practicing that which you were taught from here.May God continue protecting you wherever you go...may God bless these beautiful voices 🙏
Amen
I'm not an SDA but I love their songs ☑️
U welcome SDA church for more enjoyment
Welcome to Seventh day Adventist church 🙏🙏🙏😊
Welcome to our church
Best SDA song ever❤❤
i dont understand the language but i soo love this song. Listening from Botswana.
it should have english subtitles
Its talking about the kingdom of God and how God will come and wipe all tears from ur eyes and the pain of the past shall fade away as we asend to our true home in heaven
My husband is not a SDA but I introduced him to SDA songs and this is his best🙏
May you be blessed tuujenge ukuta wakati ndio huu
@@oigodejungle7421 kk LL lol lol
Amen. May God continue blessing your family
1. Kisha nikaona mji mtakatifu yerusalemu ukishuka kutoka mbiguni, ukiwa umeandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa bwana wake
Nikasikia sauti kubwa kutoka katike kile kiti cha enzi ikisema, tazama maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu x2
Atafuta machozi yao yote na ndipo hakitakuwepo tena
Maana hayo yote ya awali yamekwisha toweka
Mji ule utashuka kwa mandhari makuu Yesu akiwa ni kiongozi
Tarumbeta zikipulizwa kwa ustadi mkuu
2. Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe na Yeye aketiye juu yake
Ambaye nchi na mbingu zinaakimbia uso wake mahali pao hapakuonekana
Nikaona wafu wakubwa wadogo mbele yake vitabu vyote vikafunguliwa
Tazama wakahukumiwa sawasawa na matendo yao x2
Listened to the song too many times, couldn't help but attempt to write the lyrics. Sorry
Amen
Thanks for the lyrics God bless you
Amen
Imagine i was googling the lyric
Thanks and be bessed
😍🤗😍
Nice song 2024EDITION😄😄😄😄❣❣❣❣
Ben Orwa composes this songs so heavenly..This man must have had a glimpse of heaven
Indeed
@@carolineomori1032 a
@@carolineomori1032 aà
@@carolineomori1032àà0
Yeah very truth plz Allah help him to be trustworth together with his choir members let them be among your children who will enter the kingdom with joy OMG
The unlike button should be removed from this song tap like if you agree....not SDA but inlove with their worship
❤
My grandchildren will watch this song at 2050's cz it will still be a hit
Sure
I was In South Mugirango yesterday for my friends mothers send off ! This song was played n I felt comforted !
Amen
This choir may turn out to be the best of all choirs in the country. All their songs are consistently well-composed, well-sung, and full of spiritual message. Even the demeanor and deportment of the singers are a positive message in themselves.
We thank God for them .
Deep message in the songs
This song reminds me of my late dad when he passed away last year during corona period. May his soul rest in eternal peace. I loved you daddy so very but God loved more
take heart sister
Listening to this song today at my mom inlaws house. RIP mummy 😭😭🎧🏡🏠
am not an Adventist but am touched. i dont sleep with your song. my PC is playing the whole night even if i am sleeping. any moment i woke up its serious prayer. God bless you. i love you all
SDA is the best am proud to be an SDA
wasabato tumezidi Sana. Tunavutwa na dunia kwa Sana nyimbo nzuri Sana tunaimba lakini dada zetu mnauondoa uzuri wa wimbo kwa mavazi mnayoyavaa,nimshangazwa sana na jinsi mlivyovaa apo, wapendwa wa Bwana tuweni makini tusienenda kama watu/mtu fulani anavyoendenda, tuenende Kama Kristo apendavyo. Hongeren Kwan wimbo mzuri Ujumbe YESU ANATUPENDA
Amina sabato kwanza.
Saighilu Nyangusi utaendelea kushangazwa saaaana,,,binadamu atakuwa binadamu,,even if u lie down for them to step on u they will still complain that u are not flat enough,,the reception ministers endeleni kufanya kazi ya Mungu u encourage me a lot,,,
@@faithoburu6134 ❤
Hujaona muonekano wao hakuna makeup wala wigs , heleni n.k hujaona how humble they look ila umeona nguo isiyo natatizo unless umeangalia kwa macho ya dhambi ,, unashida mahali anza maombi
These people are singing with heavenly composure and the ladies are so decently dressed.You need to pray for yourself as you are looking at them from the lens of the devil.
When I die one day would love this song be played again and again. Lord am soo low may you uplift my soul😭😭
May God see you through
All will be well, don't call death upon yourself, someone somewhere wishes they'd be in your current situation.
Be encouraged in the Lord bro.
May our good lord continue protecting you
Aminaaa.... From revelation 14 connected to 21:4 then back to Daniel.. kudos the composers..... Am blessed. This will be sang for years.
HALLELUJAH yes nyimbo nzuri ya tukumbusha mji Mkuu ambaye yanakuja
This is a powerful song that touches my heart... God bless the inspiration of the composers!
He shall wipe our tears.come Lord Jesus.From South Africa
@thabislendeu ndeu,thus Revelation 21:the Lord will wipe away our tears,there shall be normal death,no more pain no more illness coz everything will be new,thank for your recommendation, yes!God is able,remain blessed
thabidilendeu ndeu,**point of correction,there will be no more death, thanx!
@@calolinamwandali3599 thank you God bless you all as we wait for His coming
I listen to this great master piece everyday. All those who have rested in Lord we shall meet that glorious morning, Gift among them. Amen
Me you all be blessed.
@@pakeng6142 be blessed more
It's 2022 still my favourite song "Then I saw a new heaven and a new earth"
This song gives me strength and hope everytime I listen to it 🙏
From Tanzania.....I love this soul song
They sang this song with joy little did they no one of them will b plunged.....continue rip Gift.Every time nikiona hii wimbo I feel like crying
"Tarumbeta zikipulizwa kwa ustadi mkuu" Wonderful song, God bless
Good
Awonderful song
🎉Amen..Amen my sisters and brothers,my tears have been wiped away in deed.
Indeed,,,am so blessed with this song
May Almighty God bless you all 🙏🙏
jaman nawapenda kupitiliza...atimninade yawa niimbe kwaya hii yawa biuru uoma TANZANIA....nawapenda daaaaaa!!!
Oh God, how great thou art! From generation to generation, thou art been, and will be even into the future and forever.
Oh that day......"Even so,come Lord Jesus!"
1 Thessalonians 2:19-20 New Life Version (NLV)
19 Who is our hope or joy or crown of happiness? It is you, when you stand before our Lord Jesus Christ when He comes again. 20 You are our pride and joy.
my wonder is for those who Dislike a WONDERFULL song like this..i like it
There is a time this song caught my mind and yaani huwa nataka Tu niskize kila mara na nikiskiza nalia nalia nalia ..I don't knew my husband was nearly to die ..one morning as we welcome sabath on Friday evening with my daughter hii song ilikuwa inaimba na Sisi tunaimba nalia ..all over sudden I received a call my friend telling she is sorry na akalia before aniambie Kwa nini so I had to find out kidogo message yake ukaingia aliniambia eti pole siz Kwa kumpoteza mzee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Be comforted sister
May the Lord continue strengthening and comforting you
One and only song that I had and convinced me to deeply feel christ
My husband is not an sda, but listen to sda song
I love YOU so much redemptions . from Zambia
Welcome to Kenya
@mtipe mupatwa,indeed we love them so much coz we able to understand the meaning,(also from zembo but in tz)
Grab your earphones
, THANK ME LATER
NIMEWAPENDA BUREE , Mungu mwenye Enzi awabariki na kuwakirimia MPAKA MSHANGAE 🙏🙏🙏🇹🇿👌👌👌🇹🇿
Am not adventist but your songs are touching
Kweli yako Max these people can sing. ...
tru
Mbarikiwe mzidi tumika
Nice song with tourchable😢😢🙏🙏🙏
a nice song one of my favorite
This is my favorite song, my favorite group choir, my favorite composition. May God bless you young people.
mungu awabariki hakika kazi yenu inagusa mioyo ya watu wengi
I can't stop watching this song...it reminds me that there is golden city somewhere...
PERFECT SPREAD OF THE GOSPEL. All the messages in all the Redemption Ministers's songs are BIBLICAL TRUTH. Fellow Saints,NEVER allow Satan still,destroy or kill this ministry. We're Adventists hence our Savoir will be sooner than we think. Nawapenda sana. Shalom.
How many are watching it once more after hearing about the death of our sister Gift Amondi 😢😢😢😢
Tears are rolling down my chicks believing tht she is no more The family and the redemption Ministers may you be comforted during this moment
Kweli life is very short may she rest in peace 🙏🙏
A big tune. Moto Mwaki Fire 🔥 🔥🔥🔥🔥💯💯💯🇰🇪🇰🇪 chu chu
🌹 MUNGU awatunze wamama wote wanao milikii Hawa wakaka wanao imba apooo mana sio poa♥️♥️♥️
The writer is spiritled ,,,they sing from the bible ,,direct for that matter,,,,God bless you for spreaching thru songs,,,love you!
Tiktok brought me here nice choir 🙏🙏
Am missing gift.... RIP, God bless your soul.
Beautiful song am a proud seventh day Adventist
Atafuta machozi yao yote na kifo hakitakuwepo tena....I love this song
@stephany amondi,NIkweri reveration 21:1 nakifo hakitakuwepo Tena
This song blesses my heart have listened it over and over again
This is my favorite plus ninakwea, mfalme wetu ni jemedari, bwana umenizingira, yumo chomboni and chukua udongo thanks wana redemption for sharing your talents with us mbarikiweni sana.
Three months since you left us Tina I listen to this song everyday and it gives me hope that we shall meet one day.
Judy Nyamwange kisii home Really greafull watching from saudi arabia
Haki huu wimbo ni mzuri sana, Mungu awape sauti hizo hizo nutuletee wimbo mpya.
Atafuta machozi yao yote na kifo hakitakuwepo tena😭😭😭Av just lost my friend nd this the only song I can listen to
Sorry dear
This song will always remind me of my Dad.. Rest in peace Baba❤
amazing sis and brothers in Christ ,,,work for the Lord when it is day time,,,okoeni nafsi za watu kupitia nyimbo
Kisha nikaona mji mtakatifu, heaven feels soo awesome from the description. I pray to be one of them❤❤.
Hiv wasbato wenzangu tutaacha lini hizi nyimbo zetu za midundo!!!!!
Amina wapendwa nabarikiwa sana toka Oman Muscat hakika Mungu atukuzwe kwa nyimbo zenu zinabariki sana
Capitalizing on tone variation to drive the message home kudos to the composers and singers for doing justice to the song... Amen...
Irmaos unidos jamais será vencidos Glória aDeus🔰🔰Jerusalém nos espera
God bless you people for me. Hoping to see you all someday and we sing the songs of Moses and Of the Lamb
Odibet
Amen dear
Love u guy's so much continue encouraging us and this is my best song
May our almighty Lord grant you
breakthrough in your endervours.I sincerely in love with this song, it
nourishes my soul with tranquility and abundance of joy& love.
Amazing choir😍 You did great pale Makao mema Camp meeting🫂God bless Y'all🙏
My our redeemer comfort the family of gift and the choir members at large
Amen
Who is listening to this Lovely song!!!.it lifts up the soul,
Late gift imenileta leo hapa nkiona hio smiling face yake..may she continue rest in perfect place
My favorite 💯
This choir actually blesses me very much
This is AWESOME...ongeza volume full blast. Am still waiting for polo dala which was to be released this June. God bless all.
Whoever has a problem with this song has a problem with himself. Great piece. Amen
I always like SDA songs so much💞💞💞💞💞💞💞
It so amezing song and blessed one ,bring so new song again .am from kisii member of top saints chorales.
Baaassss!! Am the first one to view this one and to be blessed... Amen polo mor lilo
Indeed atafuta machozi Yao yote this song remains my of my late dato
I have seen my classmate Mr. Oduogo, Ni Haggai hapa, barikiwa
Na kifo hakitakuwepo tena🙏 God bless you Redemption ministers. Much love from Mt Elgon
Finally I've found this song. A coincidence. Jan 1st 2022
Coming here after passing of Gift Amondi😰😰 Atafuta machozi yao yote maana kifo haitakuwepo tena
Where is your church located? I want to attend and see how you praise God by singing.
Amen......amazing love of Christ......... Amen and Amen......am longing to go home.......Heaven my home at last 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
I'm always blessed to have this song, huh! Great scenery, composure and content speak to the soul! God bless you brethren for the great piece of music you have offered us.
Ujumbe was ajabu, God blessed you!
Awesome! Nice voices and cords! Shukrani sa na pia kwa GCTV for the clear arrangements.... Mungu Asifiwe sana!
Fit xna
May God continue using you to reach the world through songs ,God Bless you all
I am in love with the guy in kanzu 😂😂☝️ light blue kanzu...I love starting to see his moves
the composer of this song has done it justice trully iam in love with this group and their songs, have you listened to CHUKUA UDONGO, hmmm you shoulld
Chukua udongo heals my soul
My all time favourite Song
This song, ninakwea kwenda juu mbinguni and yumo chomboni are always my best...
Mbarikiwe sana redemption ministries ❤🙏
That album had great songs.
This song comforts me during this hard times still mourning my beloved sister Jackline. May we get comforted.
Who is still listening in July 2023 still the best ever! ❤
Amen,
Am going to be in your next launch. You guys are so much blessed. This song uplifts my spirit so high that i feel am already there. Amazing song blessed voices.