Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
Shehe namshukuru Sana nimesikiliza hizo dua namshukuru Allah nahisi nimepona nimetikisika Sana yalio kuewepo majini yatakua yameondoka Allah akujaze kila la heri,
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
Yaallah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba utuondoshee kila jini masheitwan maradhi uchawi khusda kijicho fitna mimi na watotowangu yarabi kwauwezo wako tufunguliwe milango ya kher kwenye maisha yetu napia tushibishe subra imani uwakuze watoto wangu kwenye maadili yakupendezayo yakuisoma dini nakufanyia ibada inshaallah
Maashaalah.Shukuran jazira .Allah baariki shekhe🙏🙏🙏🥰
Bismilah rahman rahim hakika nakushkulu allah allah kwakila jambo naamuni kila kibaya kilicho kuwa kwenye mwili wangu kimeondoka mana hali niliokuwa naiskia baada yakuskila hiki kisomo wewe allah ndie ujuwae inshaallah mpe maisha malefu shekhe OTHMAN MICHAELL azidi kutusomea dua amiina
Yaallah ni nakushukuru mola wangu nilikuomba sana unijaalie nipate kazi nnje ya nchi NA inshaallah mungu hukuniacha ulinijaalia nikapata kazi ni kasafili alhamdulilah nikaaza kaz lkn kidog kaz hio inachangamoto vikwazo kwa bos wangu lkn inshaallah ninaamini yaallah iko siku zitakwisha NA nitasahau inshaallah kwan hakuna kisichowezekana mbele yako kikubwa subra NA imani tu nami ninaamini kupitia dua hii yarabi nitaondokewa NA hizi changamoto zote inshaallah🤲🤲🤲
Asalamaleikum warahmatuhllai wabarakatuh,nauliza mtu akitaka kuja kupata kisomo uwaeza kuja.
Allahuma Amiin
Allah aqbar tabaraqallh 🤲🤲🙏
Amin cheikh wetu Osman Michael. Mwenyezi Mungu ukulinde uzidi tusomeya ili tupone..inshAllah.
Shehe namshukuru Sana nimesikiliza hizo dua namshukuru Allah nahisi nimepona nimetikisika Sana yalio kuewepo majini yatakua yameondoka Allah akujaze kila la heri,
A.alekum. Ahekh Othman allah azidi kukupa kheri zaid kwakuwa jisomo hiki jiwa kinanisaidia sana. Ktkmaradhi ya kishetwain
Amiiin amiin🤲🤲
Assalam alaykum sheikh. Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah nina imani kwamba nimepona. Sheikh nilikuwa nakwenda nyayo sana inaashiria nini. Na alhamdulilah ametoa salaam. Allah akulipe kwa kila wema wako
Asalam alaikum Sheikh naitaji kisomo hila nko saudia arabia ntakufakiaje Sheikh nateseka wallah
Chukrani
Yarabi kwa kisomo hk ukanioshee matatizo yote ktk maisha yangu na umifungulie milango ya rizki
Shukurani sana ❤❤❤❤
Inshaala
Asalam aleykum naomba kuiliza je ukomtaja allah kimoyoni na kumswalia mtume kimoyo moyo au kwa saut vip nzur zaidi
Kimoyo moyo ❤
Amina
Kisomo kizuri saaana sheikh, MashaAllah 👏
AMIIN 🤲
Asallam aleykum mm nipo oman kikazi nimesikuluza dua hii kupitia kuweka von masikion maajabu niliyoona shee nilianza kucheza mwili kicha tumbo kuvuluga nakaanza kupinga miayo sana uku mwili ukinicheza sana wakati unamalizia dua nikajikuta mmdomo uko wazi mate yanatoka kisha nikaona ulimi unatoka inje ukawa mlefu kabisa ulipokuwa unamalizaduwa ndio ulimi ukalundi ndani wenyewe mpaka ukawa unaniuma kweri shee nimeona miujiza asant shee laken namba za sim sikuziona nilikuwa nasikia vibaya nikajilaza chali nikawa najiyoisha tu viungi
Yarab molla wangu niondoshee maradhi yanayonisumbua katk maisha yangu kupitia kisomo iki
Amiiiiiin 🙏
Assallam walky warakumatullah wabrakatullah Allahmdulillah,,mm naisikiliza lakini malaika ya simama🤲
mungu akubariki sana 🙏,pia nitume sadaka kwa number ngani pls,niko kenya njina ni Janet minoo mutua
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ya shk. Shukran kwa kisomo hiki kizuri. Mm nauliza us who stays far from your country, can you pray for us through the phone? If yes ! On which exact number? BarakaAllahu fikum may Allah ta'ala continue to bless you for us In Sha Allah.
+255784122858
Sasa mm nipo mbali nifanyeje kuusu dawa
🙏
Amiin yaraby 🤲 Allah muondolee kila ugonjwa 🙏🤲
Kila aliye mgonjwa*
Nimetoa hewa na mwili umesisimuka
Waalekum salam sheikh. Kusema la ukweli nlipoanza kuskiza tokea mwanzo usingizi ghafla ulinijia japo nlijikaza nisisinzie mpaka mwisho wa kisomo ukatoweka
Rudia tena kuckiliza
Shehe mm nimetowa sn hewa mdomoni na nilijinyosha sn naomba unipe maelekezo nije
Njoo buguruni rozana ukifika tupigie
@@othmanmichaelonline2866 ijumaa natakiwa kuja muda gani
Sheikh ukitaka dawa na uko kenya twazipata vipi
Guraya majengo pale alipofikia wakati yupo msa kama wakumbuka
Guraya iko brunch yetu napia waeza tumiwa na tawakkal bus