Ulifanya vizuri huu wimbo kuurudia tena kwenye teknelojia ya kisasa, zamani instrumental zilikua hazitoi sound nzuri na naona mtazirudia tena kuzirekodi nyimbo zenu za zamani ukiwa na Tumu... Tunasubiri na Zuwena yako Pensita
Ulifanya vizuri huu wimbo kuurudia tena kwenye teknelojia ya kisasa, zamani instrumental zilikua hazitoi sound nzuri na naona mtazirudia tena kuzirekodi nyimbo zenu za zamani ukiwa na Tumu... Tunasubiri na Zuwena yako Pensita
Nyimbo iko sawa wallah Tokea enzi za Ibiza na mtoto mwanaidi wa mkwamkwani😅😅😅
Namkubali Pen6 toka kitambo huu wimbo (Mwanaidi) old is gold nautafuta kitambo na likua nangoja vibao vyake tu 😂🔥🔥🔥🔥🔥🙌
shukran sana kaka
Naskilz nikiosha hammam ndani ya gulf..wee uogopi ❤❤❤❤😅
Kazi nzuri xna
Ulifanya vizuri huu wimbo kuurudia tena kwenye teknelojia ya kisasa, zamani instrumental zilikua hazitoi sound nzuri na naona mtazirudia tena kuzirekodi nyimbo zenu za zamani ukiwa na Tumu... Tunasubiri na Zuwena yako Pensita
Hahahah walahi originaly yamoto ndiyo usema mtaani wengine ni kelele tu
Kali sana Yamoto kama yamoto💯
❤❤❤Peda sn mm 👌👌
Wacha naburudika nikiwa saudi maneno kuntu Penisita unawezaa unaga mambo meusimeusi siku zote😂🎉
Safi sana🎉🎉🎉
Pensitaa mtuu mbayaaa
Jamani nipeni likes zangu nyimbo safi kabisa
Nomaaaa
Peni ujue hua nakuambia kila siku wee n * boy......kakaaa uko juuu.....maua yako chukua toka kisite simba
asante sana watu wa kisite
Safi sana kijna 6 nakubali
mwambie azirudie zote mpaka jimama
Kabisa bro
Hàwa jamaa niliwaambia warecord tena tuliza roho but nkama hawakuskia
hizi ngoma nazipenda siopoa ❤❤❤
Pen6
Ukiskia kuishiwa ndio huko utarudiaje nyimbo uliimba na band nyengine shilingi kimuswa atabaki kuwa juu hata akiwacha mziki hawezi rudia nyimbo
Ulifanya vizuri huu wimbo kuurudia tena kwenye teknelojia ya kisasa, zamani instrumental zilikua hazitoi sound nzuri na naona mtazirudia tena kuzirekodi nyimbo zenu za zamani ukiwa na Tumu... Tunasubiri na Zuwena yako Pensita