A.C.K St. Peter's Nyali Parish Choir -Bwana Yesu Alitamka
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- CONTACT US :-
Facebook - ackstpetersnyali
Email - info@ackstpetersnyaliparish.org
Twitter - ack_st_peters
Instagram - Ack St.Peters's Nyali Parish
Tel - (+254) 715745446 / 0100394166
www.ackstpetersnyaliparish.org
#Gospel #Mission #Outreach #Reachingout #choir
Lyrics
Bwana Yesu alitamka
verse 1
Bwana Yesu alitamka
Mimi ndimi njia ya kweli
Mtu haji kwa Baba yangu
Ila kwa njia yangu mimi.
chorus
Hebu jiulize
Njia gani uifwatayo?
Nawe waelekea wapi?
Nawafwata njia ya kweli.
verse 2
Ngamia ni rahisi sana
Kuingia tundu la sindano
Kuliko mtu mwenye dhambi
Kuingia mbinguni kwa Baba.
chorus
Hebu jiulize
Njia gani uifwatayo?
Nawe waelekea wapi?
Nawafwata njia ya kweli.
verse 3
Njia nyembamba yenye tabu
Ndio iendayo mbinguni
Na ile pana ya anasa
Yaelekea jehanamu
chorus
Hebu jiulize
Njia gani uifwatayo?
Nawe waelekea wapi?
Nawafwata njia ya kweli.
verse 4
Mimi ndimi mwanzo na mwisho
Mimi Alfa na omega
Mtu haji kwa baba yangu
Ila kwa njia yangu mimi.
chorus
Hebu jiulize
Njia gani uifwatayo?
Nawe waelekea wapi?
Nawafwata njia ya kweli.