Iko haja ya Watanzania kuijua vzr lugha yetu. Utaona mtu anaandika ovyo ovyo penye L anaweka R penye penye neno lolote la kukataa lazima uanze na herufi H mfano: Hayupo,Haendi,Hataki,kaiharibu lkn wengi uandika: aendi,ataki,ayupo,kaiaribu hii nia aibu lugha yetu wakosee wageni sio sisi nawasilisha.
Friji bovu, hapo umechemka sana siyo kweli kuwa wanachama wa Simba hawampendi Chama, tumia neno baadhi, na fahamu kuwa wapo pia Wanayanga ambao hawamuhitaji Chama kwa kuwa wanaona wanajitosheza, ACHA KUONGEA MAONO CHONGANISHI
We friji bovu aliponi Tena yaani yanga waiyaribu Simba sio kweli kaondoka okwi kaenda yanga Simba IPO pale pale wakina mogella, SHABANI Radhani, wengi wameenda yanga kaseja,
neno aribu lazima uandike haribu,, neno uaribifu huandikwa uharibifu mwandishi yupo sahihi kumbuka waandishi wa habari wamejikita zaidi kwenye kusoma hadi lugha
maneno mengi unaongea kuhusu chama ila ni wewe mwenyewe uliwahi kumbeza huyo huyo unaemsifia leo .broo maneno yako yawe na akiba kesho mtambeza na kumuongea vibaya ni nyie nyie ndio mtakae msema hovyo this is bongo,wenzetu wako kimaslahi sio kama uanavyotazama au kuliongelea kama unavyoongea.
Sasa ndio wanasema oohh mchezaji mkubwa acha tuone kama atakua na upepo kama ule wasimba na naamini yanga mtalia ninazandani huenda mkamkosa mtu hapo jangwqni
@@bentvmedia mtu anavumilia tu unavyomdoboa na kidole na kumshika kufuani angalia kwanza rangi ya nguo alioivaa kuacha na nguo sio vizuri hata kama mkono unakuwa msafi mwambie samahani eneo Hilo abadilike hata kama story au interview imenoga asimdoboe mtu wengi hawapendi ila hawawezi kusema
Wanazi wa simba bwana, vigeugeu kweli. Mchezaji akiwa Simba wanamsifu kweli na kumpamba. Sasa aondoke Simba, laaa! Watamnanga na kumkashfu balaa. Mala ookilema, mala ookipofu, mala oohafai, yaani shida kwelikweli
Wee mjinga mpuuzi unasema Simba haijawahi kuwa bora kama yanga au kuzidi? Huo ni uchawa wa kipumbavu. Hujui Simba imesha cheza Fainali na nusu fainali za Caf na yanga ndiyo kwanza imeingia makundi mpaka robo fainali msimu huu. Lakini unaipamba yanga utafikiri wamekuwa mabingwa miaka 10 mfurulizo. Yanga ilivyoteseka miaka mnne mbona hatujakusikia kusema lolote. Si majuzi tu mlikuwa mnasema wachezaji wa Simba wote ni wazee na wamechoka? Tena mnasema ili kujenga Simba imara ni kuwatema wazee wote. Leo Chama amekuwa bora kwa kuwa anaenda yanga. Hesabu za magoli na assist za Chama zimeenda zinashuka. Zitapanda kwakuwa anaenda yanga? Chama bora alikuwa yule wa miaka mitatu ya nyuma. Kibu hesabu zake uwanjani ziko vipi kama siyo mbio tu na maguvu. Au kwakuwa aliwafunga yanga X2? Hao wote chukueni lakini tunawajua vizuri hawatatudhuru. Wala Roho haiumi Yanga anawachukua hao kwa kudhani wanaikomoa Simba lakini si kwa ubora wa wachezaji.Tena tunashukuru kwamba mnapunguza idadi ya kusajili mchezaji aliyebora zaidi kwa kumchukua Chama kutoka nje ambaye ameshatumika miaka 6 na amechoka kama mlivyokuwa mnasema tena wewe mwenyewe kwamba Chama huyu siyo yule wa misimu miwili iliyopita. GANDA LA MUWA CHUNGU KAONA TAMU.
Sawa anaweza kucheza Yanga lkn mshahara WA Million 25 sio kweli Acha Uongo .
We hujielewi ndo maana Friji bovu,Kafie kwa mwarabu koko
Mbona hasira dunduka
Iko haja ya Watanzania kuijua vzr lugha yetu.
Utaona mtu anaandika ovyo ovyo penye L anaweka R penye penye neno lolote la kukataa lazima uanze na herufi H mfano: Hayupo,Haendi,Hataki,kaiharibu lkn wengi uandika: aendi,ataki,ayupo,kaiaribu hii nia aibu lugha yetu wakosee wageni sio sisi nawasilisha.
HERS aialibu Simba, vuongozi wa Simba ndio wanayoialibu Simba
Jamani binadamu uwezi kumurizidha Mimi nashukuru tu timuyangu yanga oooe nipo omani masikati nawafatria vizuri sana
Friji bovu, hapo umechemka sana siyo kweli kuwa wanachama wa Simba hawampendi Chama, tumia neno baadhi, na fahamu kuwa wapo pia Wanayanga ambao hawamuhitaji Chama kwa kuwa wanaona wanajitosheza, ACHA KUONGEA MAONO CHONGANISHI
Acha uwongo Chama icho ni Cha wapi
friji bovu kwer simba hawampendi chama nyooo!!
sio kweli Sasa kama mchezaji atakianakimbia unafanyeje ,futiria Jemedali alichoongea kuhusu kibu sio unaongea TU
Wanamlipa hela hiyo yote chama kwa kitu gani tafuteni mchezaji mwingine hana jipya kulinganisha na wachezaji wetu yanga,kwanza mzee
Huyu friji bovu naona habari zake naye ni za makisio tu.
We friji bovu aliponi Tena yaani yanga waiyaribu Simba sio kweli kaondoka okwi kaenda yanga Simba IPO pale pale wakina mogella, SHABANI Radhani, wengi wameenda yanga kaseja,
It's a goalllllll😊
friji bovu na makalio mabovu pia
Ukisema uongo sisikilizi tena
Ongeza na CEO wa Yanga Mtine ni wa kwao.
Kaka umeongea point ila wana simba wamepanik
Kibu siyo mtu pale manguvu mengi
Hapa chini kuna mtu kaandika hauwezi kumrizisha kila mtu neno sahihi ni kumridhisha kila mtu.
Mtaongea Sana kuwafuraisha hao yebo yebo mtabaki na Arufu lkn amli
Hebu tujadili steel bando kaitumia wewe huku akiamini yupo sahihi
Simba ondoeni wachezaji wote,,,anzzeni upya,,,hicho kizazi kinatakiwa kuondoka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatari sana jilaniiiiiiiiiiii😅
WANATAKA KUIARIBU AU KUIHARIBU? ONLINE TV MNATIA AIBU NDUGUZANGU😮
kuiharibu
Kiswahili hujui
neno aribu lazima uandike haribu,,
neno uaribifu huandikwa uharibifu
mwandishi yupo sahihi kumbuka waandishi wa habari wamejikita zaidi kwenye kusoma hadi lugha
mwandishi yupo sahihi kabisa ni kuiharibu✅
Unajifanya mjuaji pimbi wewe
Ok
maneno mengi unaongea kuhusu chama ila ni wewe mwenyewe uliwahi kumbeza huyo huyo unaemsifia leo .broo maneno yako yawe na akiba kesho mtambeza na kumuongea vibaya ni nyie nyie ndio mtakae msema hovyo this is bongo,wenzetu wako kimaslahi sio kama uanavyotazama au kuliongelea kama unavyoongea.
Sasa ndio wanasema oohh mchezaji mkubwa acha tuone kama atakua na upepo kama ule wasimba na naamini yanga mtalia ninazandani huenda mkamkosa mtu hapo jangwqni
nani huyo ebuu nigeee😁😁
Fridge bovu ni ukweli mtupu anaongea, viongozi pamoja na Mwekezaji Mo wajitafakari kwa Sasa Mpira ni fedha, kama pesa ipo utapata wachezaji wazuri!
Wewe mtangazaji hakili yako aipo sawa unayoongea hayana mantiki!
Huu ndo ukweli ambao koro hataki kuskia😂😂😂 ukitaka kuthibitisha hivo cheki coment 😅😅
Kaka mwandishi unamdoboa mwenzio na kidole usifanye hivo wengine hawapendagi wanavimiliaga tu
bora umesema wewe 😁 ataniuaa
@@bentvmedia mtu anavumilia tu unavyomdoboa na kidole na kumshika kufuani angalia kwanza rangi ya nguo alioivaa kuacha na nguo sio vizuri hata kama mkono unakuwa msafi mwambie samahani eneo Hilo abadilike hata kama story au interview imenoga asimdoboe mtu wengi hawapendi ila hawawezi kusema
Achausenge unaongea usenge usenge tu
Mtakula mchuzi lkn minyama amuifikii
Steel bando inatutesa 😂
Acha ujinga wewe , kwani usajili wa yanga unafanyika kwa utaratibu upi alihali timu imefungiwa wewe
Mbona hasira dunduka
Hizo nistory
Kwani hao yanga Wana ubora gani?wako nafasi yangapi Afrika?!
😂😂😂😂😂
kalee ugali na dagaa ww njaa inakusumbua, upambee ndio mboga mboga kuu
Mbona hasira dunduka
Ww huna hakili nzuri nyote mnaongea ugoro tu
Akili yako ww wa miwani nikama tope
Mimi nilijua wanaovaa Miwani Wana akili kumbe vilaza tu umevaa tai kumbe zuzu tu
Mbona hasira dunduka
Mzee wa friji bovu hebu rudia kuichambua combinations ya chama, azizi na pacome hapo naona migongo wazi povu linatoka kinoma
Mko sawa kweli wachanbuzi
Hakuna mchambuzi hapo mpuuzi tu
Wanazi wa simba bwana, vigeugeu kweli. Mchezaji akiwa Simba wanamsifu kweli na kumpamba. Sasa aondoke Simba, laaa! Watamnanga na kumkashfu balaa. Mala ookilema, mala ookipofu, mala oohafai, yaani shida kwelikweli
Huyu Chama alikwa ana hujumu Simba alikwa ana rafiki na upande wa pili. Wacha aondoke. Hatumtaki ame hujumu sana Simba.
Uzushi Nyuma mwiko mnakitanzi na Fifa acheni ulozi.
Waache wajicbukulie Wala hamna shida kwanza nikilema
Mbona hasira dunduka
Wee mjinga mpuuzi unasema Simba haijawahi kuwa bora kama yanga au kuzidi? Huo ni uchawa wa kipumbavu. Hujui Simba imesha cheza Fainali na nusu fainali za Caf na yanga ndiyo kwanza imeingia makundi mpaka robo fainali msimu huu. Lakini unaipamba yanga utafikiri wamekuwa mabingwa miaka 10 mfurulizo. Yanga ilivyoteseka miaka mnne mbona hatujakusikia kusema lolote. Si majuzi tu mlikuwa mnasema wachezaji wa Simba wote ni wazee na wamechoka? Tena mnasema ili kujenga Simba imara ni kuwatema wazee wote. Leo Chama amekuwa bora kwa kuwa anaenda yanga. Hesabu za magoli na assist za Chama zimeenda zinashuka. Zitapanda kwakuwa anaenda yanga? Chama bora alikuwa yule wa miaka mitatu ya nyuma. Kibu hesabu zake uwanjani ziko vipi kama siyo mbio tu na maguvu. Au kwakuwa aliwafunga yanga X2? Hao wote chukueni lakini tunawajua vizuri hawatatudhuru. Wala Roho haiumi Yanga anawachukua hao kwa kudhani wanaikomoa Simba lakini si kwa ubora wa wachezaji.Tena tunashukuru kwamba mnapunguza idadi ya kusajili mchezaji aliyebora zaidi kwa kumchukua Chama kutoka nje ambaye ameshatumika miaka 6 na amechoka kama mlivyokuwa mnasema tena wewe mwenyewe kwamba Chama huyu siyo yule wa misimu miwili iliyopita. GANDA LA MUWA CHUNGU KAONA TAMU.