MashaAllaah mwenyezimngu Akubareek muheshimiwaa rais magufulii.unaaa thawabuu kubwa kuwapatanishaa diamond na Ali kibaa na Haramon.pepooo unayooo.muheshimiwaaaa rais.Allaah Akuhefadhi na kukupa ummriey mwema .
Msivae ngozi ya Kondoo mbele ya macho ya watu, mkaendelea kuwa MACHUI ma nyumbani. Tekelezeni kusifiwa kwenu na Mweshimiwa JPM. Hacheni, tupeni sauti za Mashabiki ZENU wanawaharibu bure tu, jueni tangu Leo dunia tunapipita . Pendaneni Wana wa Kitanzania Mungu awazidishie Baraka tele. TUPA BIFU, AHINA MSINGI, maendeleo N.K ..............
Magufuli umekosea. UNGEWASHIKANISHA MIKONO HARMONIZE NA DIAMOND KISHA ALIKIBA NA DIAMOND then ungetoa amri harmonize na diamond wafanye colabo kish alikiba na diamond wafanye kolabo Kwa heshima yako wangefanya hence ingeongeza mshikamano baina yao
Yan wewe baba ni Rais wawote hakuna anaye kuchukia wenda wachawi lakin hawawezi kukushinda kwakuwa Mungu yupo pamoja na wewe Leo vijana wamejitolea nikitu kipya hiki hakijawahi kufanyika Mungu atufungulie tuwe kama uarabun uwe wewe miaka yote utawale
Harmonize umenijaza Sana nitakua your fan forever
Kwel kbs yani hata wote wamutenge mim niko nae daima mana anahikma
MAGUFULI MZEE wa Jamii Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee % 100
vizur sana harmonize
Harmonize wamekulea kesho utawalea, you are very okay. Go on singing.
Wapi likes za harmonize na diamond 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪
Safi kondee boy
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪👏🥂🔥♥️
Sawa mr President...🤝🤝🐘🐘🐘
I just love this man. Magufuli hoyeeeee!
CCM OYEEEEEEEE 😙😙NAKUPENDA RAIS WANGU 👏👏👏
Tz🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Msameheane kweli sio mkitoka Hapo bifu ziendelee utakuwa unafiki huo
Leo mambo yamekaa poa sana like kama umependa
MashaAllaah mwenyezimngu Akubareek muheshimiwaa rais magufulii.unaaa thawabuu kubwa kuwapatanishaa diamond na Ali kibaa na Haramon.pepooo unayooo.muheshimiwaaaa rais.Allaah Akuhefadhi na kukupa ummriey mwema .
More life to u president of Tanzania more life to u
Hapo sawa makufuli
Safiiii hivyo ndio inatakiwa Hamoniz sio unasahau kusifia ulipotoka
Hii wasafi, ni chuo Cha kutengeneza wasanii
This President deserves paradise may God grant him that inshaAllah
Long live magufuli
Wee baba Mola atuwekee🙏🙏
Diamond mimi iko penda sana mdogo wangu
Nakuchimu sana Rais from Canada nakubali sanaaaaa
Msivae ngozi ya Kondoo mbele ya macho ya watu, mkaendelea kuwa MACHUI ma nyumbani. Tekelezeni kusifiwa kwenu na Mweshimiwa JPM. Hacheni, tupeni sauti za Mashabiki ZENU wanawaharibu bure tu, jueni tangu Leo dunia tunapipita . Pendaneni Wana wa Kitanzania Mungu awazidishie Baraka tele. TUPA BIFU, AHINA MSINGI, maendeleo N.K ..............
Hacheni ushamba, marangi magufuli anampigia Simu diamond, et hamjui , ivi mtu akiwazid maendeleo mnamchukia tu.
Duu tembo katisha sana
Heshima mzee
Very good magufuli namkubali
Uko sawa Mheshimiwa
Magufuli umekosea.
UNGEWASHIKANISHA MIKONO HARMONIZE NA DIAMOND KISHA ALIKIBA NA DIAMOND then ungetoa amri harmonize na diamond wafanye colabo kish alikiba na diamond wafanye kolabo
Kwa heshima yako wangefanya hence ingeongeza mshikamano baina yao
Kweli diamond hajulikan kwa magufuli duuuu
Magu naye ni msanii tu!
Magu baba lao
Yan wewe baba ni Rais wawote hakuna anaye kuchukia wenda wachawi lakin hawawezi kukushinda kwakuwa Mungu yupo pamoja na wewe Leo vijana wamejitolea nikitu kipya hiki hakijawahi kufanyika Mungu atufungulie tuwe kama uarabun uwe wewe miaka yote utawale
Ikulu ni ya vyama vyote kwani atakayeshindwa ataondoka ikulu atampisha aliyeshinda. So it does belong to the people and not a certain party.
Huyu rais ana utu na hekima tena ni rais wa wanyonge
Asate.baba
Da! leo makufuli amjui diamond eti.kweli dunia duwara
Ungeliunganisha kiba na mond ndio tuone kama kiba angelirusha mkono tena
Liunganishe we na bibiako tuangalie laana itampata Nan fool
thubutu ataanziawapi kufanya hivyo!
zeee zima la kiarabu wa kuapia au koko anafundishwa busara na mtoto wa kumzaaa ukiwa unasinzia.
Hahahahahahahahaaa ujumbe umemfikia huo.
Mimi nangoja juma lokole asee utumbo wake
Sawsaw kufur kwa kaz
Jpm inamana hamjui domo
Nami nimeshangaa but no need, I'm fan for jeshi
Magufuli leo amemuona friend wake hamo🐘🐘🤣🤣🤣ndomana amesahau
No diamond no maarf kuliko yey ndo maana kauliza ili waseme waooo
Sawsaw kufur
Harmonize kasmama hata kabla hajatajwa 😀
yaani jamaa kimbelembelle sana!
Hahaha yaan nyie