Mwaka mbona kama mmekosea kuandika
Sibanduki ng'oo
Kama ni Brandi Kama Brandi zingine basi wakubali hiyo ni sanda Kama sanda zingine
MbonA haitoi saut😮
Sasa mandonga Awezi wasifia Yanga anajua Kilicho wakuta
hata aibu hamna eti ubaya ubwela,hayo ma slogan you do or die,yanawafanya muwe kama mpira wenu una hila football slogan yake kubwa ni fair play-we need to be hospitalized football community,matatizo yenu ya kimfumo hayawezi kutuletea hizo hila,mmekuwa team kubwa over six years lkn angalia bado simba day mnakaribisha timu ndogo,mbona hizo timu za calibre mnayojidai nayo hamna ushirikiano nazo?
Azam media you lead others follow,Ubaya Ubwela😂
mhuu
JEZI ZIMETENGEZWA VICHOCHORONI CHINA😂😂😂😂😂😂😂DAHHH VERY VERY LIGHT MATERIAL NA DESIGN YAZAMANI HAKUNA JIPYA SANA SANA UWANJA WA MKAPA😂😂😂😂😂😂😂
wewe jipa unadhani mpira na hizo slogan za wavuta bangi zitawasaidia ,bangi hatutaki mtakufa bure.
Ubwa ubwela😂😂😂😂
2025 duh
Azam tv burudan kwa wote😢😢😢😢