Huwa nasikia wivu sana ninapoona mtu anahudumia kundi hivi ni producer lakini natamani sana injili hongera sana kuna roho ya mtu inapona kwa huu ujumbe barikiwa tena
Nimekwelewa mtumish lakini kila dhehebu linamising yake na namna yake ya kuendesha ibada sasa kama mimi nimeokoka na nimelelewa kwenye misingi ya thehebu flani sasa leo nimesafili je naweza kuingiya kanisa lolote ? na sio makanisa yote yanayo mwamini Yesu na sio makanisa yote yanamwamini roho mtakatifu sasa mtu anawezaje kujua ikiwa ni amesafili ni mgeni? ndo maana inapelekea mtu akisafili kuabudu kwenye dheheb lake tu
Bora ungebaki kwenye huduma ya Uimbaji maana uko unatuhubiria wengi kuliko kanisani wachache watakusikiliza mimi.binafusi siwezi kupitisha siku bira kusikiliza wimbo wako mahubili.sio.raisi maana.watumishi wengi
acha mungu aitwe mungu nabarikiwa Sana nawewe kuazia nyimbo zako na mahubiri yesu nakuomba umpaka mafuta zaidi
Amen balikiwa San pastor
Amen 🙏🙏🙏 and amen hallelujah
Godly. More grace man of God 🙏 your blessings to many, we thank God for you.
Amina mtumishi wa bwana Uinuliwe zaidi kama mungu aishivyo
Hongera mtumishi wa bwana
Amina Amina Mama
Amina mtumishi wamungu nakupenda sana kwa Huma yako 🙏🙏🙏🙏
hongera mt wa MUNGU
Amina sana sana mtumishi
Mungu akubariki na eendelee kukuinua
Nimemuelewa sana
Amina
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hongera sana brother.Mungu azidi kukutumia
Huwa nasikia wivu sana ninapoona mtu anahudumia kundi hivi ni producer lakini natamani sana injili hongera sana kuna roho ya mtu inapona kwa huu ujumbe barikiwa tena
Nimekwelewa mtumish lakini kila dhehebu linamising yake na namna yake ya kuendesha ibada sasa kama mimi nimeokoka na nimelelewa kwenye misingi ya thehebu flani sasa leo nimesafili je naweza kuingiya kanisa lolote ? na sio makanisa yote yanayo mwamini Yesu na sio makanisa yote yanamwamini roho mtakatifu sasa mtu anawezaje kujua ikiwa ni amesafili ni mgeni? ndo maana inapelekea mtu akisafili kuabudu kwenye dheheb lake tu
Bora ungebaki kwenye huduma ya Uimbaji maana uko unatuhubiria wengi kuliko kanisani wachache watakusikiliza mimi.binafusi siwezi kupitisha siku bira kusikiliza wimbo wako mahubili.sio.raisi maana.watumishi wengi