TAJIRI WA MABASI SUPER FEO ATUMIA BILIONI 5 KIWANDA CHA UNGA SONGEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 29

  • @rashidalmas3792
    @rashidalmas3792 2 місяці тому +11

    Big Up, Kaka mkubwa uwekezaji Ndio tunao uhitaji Tz. Vijana amkeni acheni kushabikia mpira na Siasi. Uwekezaji kwanza.

  • @glorykimboka-vu9xf
    @glorykimboka-vu9xf 2 місяці тому +3

    Hongera Sana kaka Mungu Akuzidishie uweze kuwapa vijana wetu fursa katika kampuni yako Asante.

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 2 місяці тому +3

    Hongera kwa uwekezaji huu,mzalendo mwenzetu,ni mfano wakuigwa,Mwenyezimungu akuongoze vema ktk.mradi huu!

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 2 місяці тому +6

    Kuna mzee mmoja yupo songea huko anaitwa mwilamba nae yuko vizuri ingependeza kwenda kumpatia airtime pia

    • @thomaslima921
      @thomaslima921 2 місяці тому +1

      Mwilamba ni hatari kwa mahindi,halafu yupo simple tuu

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 2 місяці тому +1

    Unatuonyesha njia kwa kweli hongera sana

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 місяці тому +5

    HUYU ANA AKIR SANA UJIO WA TREN HAUMUATHIRI KWA SABABU HAKUWEKEZA KWENYE MABAS TU NA NDIVYO INATAKIWA KIWA❤❤

    • @kelvincharles2247
      @kelvincharles2247 2 місяці тому

      Hata route zake ziko kimkakati imagine songea to Dar Songea to Mwanza Songea to Moshi Songea to Bukoba Dar to songea via lindi

    • @kelvincharles2247
      @kelvincharles2247 2 місяці тому

      Hata route zake ziko kimkakati imagine songea to Dar Songea to Mwanza Songea to Moshi Songea to Bukoba Dar to songea via lindi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 місяці тому +1

    SAFI SANA , MZUKA MZUKA BONGOLAND, ONGERA SUPERFEO

  • @simondickson6412
    @simondickson6412 2 місяці тому +1

    Daaaah kazi ya mikono yetu

  • @SoplataNdimbo
    @SoplataNdimbo 2 місяці тому +1

    Ongera sana boss

  • @innocensiapius
    @innocensiapius Місяць тому

    Afadhali mahindi yatapata wateja kazaneni kulima mambo safi kabisaa

  • @AndrewHaule-e6p
    @AndrewHaule-e6p 2 місяці тому

    Hongera sana

  • @fadhilimholo4722
    @fadhilimholo4722 2 місяці тому

    that's kinga boy

  • @DianaHyera
    @DianaHyera 2 місяці тому +3

    Nipo Songea ila sijafahamu hiki kiwanda kipo maeneo gani?

  • @AbduliMbawala
    @AbduliMbawala 2 місяці тому

    Safi Sana Kaka mkubwa but wafanyakazi mtakao Fanya Kazi muwe makini😂😂na kazi😂😂 wenye D mbili wamenielewa

  • @juliusevance
    @juliusevance 2 місяці тому +1

    Namkubali,,,sana super feo ,,,

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt 2 місяці тому

    niko songea miaka mingi lakin nilikua sikujui

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 2 місяці тому

    Jambo jema kuwekeza ktk viwanda

  • @KituRu
    @KituRu 2 місяці тому

    MUNGU AKUTANGULIE

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 місяці тому

    Mimi ningepewa uongozi ningefungia michezo yote kwa 10yrs pia ningefunga kazi zote za Boda Boda ninge funga mifumo ya u meme mashambani na kuchimba visima vikubwa na kukopa kwa ajili ya green house ninge vutia wawekezaji na vyuoni ninge support elimu ya international market na IT

    • @Aksa-yk1dp
      @Aksa-yk1dp 2 місяці тому +1

      Uko vzur sema michezo ni burudan.ungetuachia tu hapo man

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 2 місяці тому +2

      Ndomana hujawa kiongozi kwa akili zako ungefungia ata read more......

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 2 місяці тому

      Tunamshukuru Mungu haujawa kiongozi maana kwa akili hizo tungekua masikini mara 1000,haufahamu kama michezo nayo imetoa ajira kwa ma elfu ya watu

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario Місяць тому

      Ni kweli ila tutafanya nn au tutatenda nn wakati hizo nafasi hatuna?