TABASAMU AKOSOA MSWADA BIMA YA AFYA “ETI NIKATIBIWE NA HELA YA KAMARI HAIWEZEKANI”
Вставка
- Опубліковано 20 жов 2024
- Mbunge wa Jimbo la Sengerema Hamis Tabasamu akichangia muswada wa kutunga Sheria ya bima ya Afya kwa wote na.8 wa Mwaka 2022 unaoengelea kujadiliwa katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Bima ya afya ina utapeli mkubwa na haina msaada, bima nimelipa 400,000/- lakini muhimbili waliniandikia vipimo nikatakiwa nilipe shs 500,000/- wakati nina bima, huu siyo utapeli 400,000/- ni ya nini sasa mmechukua. Na matokeo sikuweza kufanya vipimo na baada ya kuona bima haina msaada sijarenew tena na ninasubiri kudra za mwenyezi Mungu kusubiri kufa tu. Hospitali za serikali zilizoanzishwa kwa kodi za watanzania gharama zake za vipimo na matibabu ni kubwa sana watanzania tutakufa.
Jamani chanzo cha pesa za kuendesha hii bima si endelevu. Sasa watu wakipunguza kubet na mapato yakashuka itakuaje? Sasa mabilion ya dp weledi sindo yangesaidia kutibu watu bure . TUNA PESA ZETU NYINGI ZA DP JAMANI ZITUTIBU BURE TUU TUTASHUKURU SANA😢❤❤
👏👏👏
Umeongea point,ngoja tuone itaishaje hii kitu.
tabasam hujawahi kukosea good nyie ndo mnaotakiwa hapa bongo
wagonjwaa tunao umwa Figo jamani garama zinatuuaa daricc Iko juu Sanaa haiendani na vipato vyetuu msaada jamani serikar yetuu sikivu
Bima ya afya Kwa wazee ni kuanzia milioni na kuendelea kisa wanamagonjwa makubwa yenye gharama kubwa je pesa wamepata wapi?
Kuna watu wajiita wachungaji bungeni kidogo tu mungu mungu ndio kwenu kamali ni halali kwenu
unachoongea wanakuelewa ila tu
Huu ndio uhalisia wa akili zenu