Mfalme Pharao - Movie (Official VideoHD)
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- New video kutoka kwa muimbaji wa rhumba tanzania video hii imefanyika katika studio za Skillz video na ikidailektiwa na Director PIZZO MTENA na location ikiwa morogoro maeneo ya uwanja wa golf ⛳
#ONTRENDING
aise cristian bella angalie uu jama ni shida anatisha sana
Du ngoma Kali sana hi
Wakuache mzee sio kwa voko hi ni Taaaaaaaaaaaam saaaaaaaaaaaaana
Safi sana , nakupata kutoka hapa dukani goba center 😎😎😎😎
Goba saisai hapa. Pamoja sana mwamba. Twende nae huyu
Haijawahi kutokea Tanzania RHUMBA ya namna hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia kwako umetisha sana hi ni changa moto kwa wakongwe wa dans Tanzania
Sahihi kabisa
Rhumba tamu
Wimbo tamu sana mithili ya halua listening from Kenya 🇰🇪
Safi sana kazi nzuri kakaaa
Napenda sana movie ya Lorenzo
Napenda tamthilia ya secredo de amor
Much love from Kenya
Unajua sanaaaaaaaaaaaa co powa
Upovzr xn mdogo wangu ahsante xn
Uko vizuri Kaka
Nyimbo nzuri
Ngoma mzuri ,mwimbaji mwenye sauti Kama ya ferre gola
Good
Kazi nzuri sana
Ndugu yangu, we sio wa hapa Bongo kabsa
nakusikiliza kutoka Mozambique 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼 washaaa🙌🙌🙌🙌🙌
Rhumba ya kwenda hii bro angu...
From kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪with love ❤️❤️❤️❤️... Good music
Hi ni mashine wewe jamaa wa wapi ungekuwa kabila yangu ninge jivunia hata kama sio ndugu yangu unajua kaka hongela sana wapo wa kongo wengi tu hapa Tanzania lkn hawawezi kuimba hivi halafu wewe Mtanzania lkn unaimba hivi hakika Mungu kakupa kipaji
I know love your songs after listening to the "usiwasilize " song
Safi broo
Hii kweli rhumba ya Dunia Tanzania sijawahi kusikia rhumba kama hili umetisha mzazi hii ni kazi kweli kweli miaka mia 100
Wawoooo Iko poa sana
Kama umesikiza zaidi ya maramoja piga like !
Kitu safi bro.
Kila sana mwanangu
Brother uko vizuri sana 💪 nimefurahi tu kula matoki wimbo mkali sana 😍😍
💥💥💖💖💖💖
Bro you talented
Listening to this beautiful song just from job.....I am from the United States
kaliiii
Nice song, Lovely video
Gud song brother
God song
ikopoa xna
Much love from Nairobi........
wow!
Your style is a replica of Ferre Gola
Hi ni mashine haijawahi tokea lugha ya kiswahili kutulia kiasi hiki ktk muziki wa Rhumba wewe jamaa ni fundi sio mchezo waache wabane ipo siku wataelewa tu sio kwa rhumba nzuri kama hii jamani
BROTHER! kazi nzuri kinomaaaah, aseeeeee!.
🤗🤗🤗🤗
Nimeambiwa huyu jamaa ni mbena mtu wa njombe tena IGAWA jamani tumsapoti huyu jamaa anakipaji kiukweli Tanzania wabena jamani tumsapoti mwenzetu
You produce good music bro.Keep on keeping on, you are destined to reach far❤
Luv this guy's songa
wish subscription could b 2c
This guy sings! Ferre Gola of Tanzania indeed!
He is copyright of Ferre GOLA in Swahili
@@karimmasoudy933who told you he's coping
@@divinahogambasomebody
Oooh No why is he not famous I'm downloading all of his songs abeg so much talent here.
Kwa uimbaji hu umenifanya mpaka nimemuhama Christian bella maana sikuizi anaimba upumbavu tu naomba na wewe usilewe sifa ukaanza kuharibu kazi tafadhali tuna kutegemea sana kwanza unaimba Rhumba la kisasa ambayo ina kwenda kwa kila lika safi sana
Kazi nzuri sana Tanzania haijawahi kutokea kazi ya namna hi ndo mala ya kwanza kuona Tanzania kuona msanii anaye imba Rhumba vzr kama huyu hongera sana kaza ndugu wataelewa tuuuu
Sahihi kabisa. Haijawahi tokea
Fundi wa mafundi Wewe ni mkali Tanzania tumepata kifaa kweli kweli kwenye up ande wa Rhumba hakuna wa kukufikia penda sana wewe mimi
🔥
ua-cam.com/video/XBr32cX1_YM/v-deo.html
🔥kaz mpya CHOMOA BATTERY toka kwa Ewala Mavoice x gitaa 🔥
Hu wimbo kila nikisikiliza hamu haini ishi jamani hawa kuwezi miaka 100%
Nakumbuka Hizo Enzi zakina Longombas Top hit
We jamaa mbona kama nilisha wahi kukuona Bss bongo star search majaji walisema hujui kumbe wao ndio hawa jui wasenge sana hawajuagi hata watu wenye vipaji kaza kaka wewe unajua tena sana watu wenye kipaji kama chako ni wachache sana wengi wao wana unga unga tu ila usivimbe kichwa Mwenyezi Mungu akutangulie
Ujakosea kivile umejitaidi kiasi
nice movie
Muzuri sana From Mombasa,Kenya.
Rhumba Taratibu.
Nauzunika kuona huna jina na ujuzi wote huuu😭😭😭😭🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️
Emagine
Ferre Gola wa Tanzania
Good video
Me sho yong de la press Africana 💪🏾👍👍👍
Safi sana
We jamaa wawe ni viwango vingine
Good one
kali sana bro kamradi films kenya aan kazi nzuri fally nyuma
Hii ndio miziki sasa
you are our tanzanian ferre gola bro. keep making good rhumba music.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chuma hatari sana hiki, umetisha bro
Kaka shikamoo hili balaah
napenda hii goma kweli
Aisee sijaipata sikia Rhumba kama hi Tanzania kweli sasa watanzania tunasonga kimusic kwa hali hi sio mchezo
Video vixen 😘😘😘
Uko sawa papa keep it up
kiukweli kwa Tanzania hi kwa mala ya kwanza ndo nasikia Rhumba kali ya kiswahili hi haijawahi kutokea kwa Tanzania hata CONGO ni Ferre gola tu anafanya staili hi naweza sema kwa Tanzania wewe ni Best musional wa Rhumba
Ongera sana pro unaweza
Kenya loves #rhumba more than any other non-French speaking nation. #MFALME, hii sauti ukija Kenya utakuwa booked Monday to Sunday.., you'll make big money kwa clubs ukicheza liv
Wow awesome song well produced East Africa to the world, listening to this sweet music from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good music is food to the heart and soul keep glowing in your musical career though I don't understand what you are saying
Da hi Rhumba ni kali jamani acheni masiala huyu mbena wa wapi anaimba hivi jamani bonge la ngoma mzee
Wataelewa tu dam yong
Rhumba Rhumba safii sana
Kubwaa mzee baba
kiufundi zaidiiii tamu
Ngoma Kali sana kinoma
video kali
Nice song bro
Kazi nzuri aseh
I have never heard this Swahili rumba I can say ooh fere gola is here please any one knows lingala teaches me please . Well right now we have this Swahili rhumba Asante I enjoy sana
Gud baba upo sawa wabongo wataanza kukuvunjia nazi 😂
Nice music
Nice music
Umetishaaa mzeee
The Swahili Ferre Gola
Kaza sana kakaa
Hii ngoma ni Kali sanaa... Niliisikia Claus nikasema Nani huyu kairudisha rumba #Hili dundo nyokooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Goma kali
Kazi nzuri sana mfalme pharao