JINSI YA KUPIKA PILAU KILO 50 YA KWENYE SHUGHULI TAMU SANAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 112

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban  2 роки тому +5

    Hi Lovies
    Video za biashara
    ua-cam.com/play/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5.html
    Please Subscribe tuweze kusonga pamoja please share the video 🥰
    #roadto50k
    ✔️Mahitaji ya hii pilau ya Kilo 50 hayo hapo chini ukipenda zidisha ila too much of something is poison
    Pilau mix ½Kg
    Onion 3Kg
    Garlic ½Kg
    Paste 1Kg
    Uto 10 Litre
    Hoho 2Kg
    Tomatoes 2Kg
    Ginger ¼Kg
    Dania 6Pcs
    Salt 1½kg
    Maji 4 geleni(zile kubwa)Silazima yatumike yote yategemea na mchele zaidi angalia video🥰🥰
    Ukitaka ya 10kg punguza vipimo🥰🥰 yaani cheza na kugawanya tu!

  • @mohabatkhanmalak1161
    @mohabatkhanmalak1161 11 місяців тому +2

    Mashallah chakula mzuri. Na kumbuka zamini sikale, 1968-72 Uganda ndio hivo tulikuwa twa pika pilao za harusi, hakika awo hafula.🌴

  • @FebineAwuor
    @FebineAwuor 2 роки тому +3

    I love how everyone is helping around with cooking. The pilau turned out so well.

  • @lutfiabakari1105
    @lutfiabakari1105 Рік тому +2

    Mashaallah, may allah bless you for being selfless 🙏🏼

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 роки тому +2

    Mashallah sister khadija shukran ❤🥰🥰🇴🇲

  • @Georges.Kitchen
    @Georges.Kitchen 2 роки тому +2

    Inaitaji nguvu sana na hongera ❤️ madam chef

  • @GlaDiary36
    @GlaDiary36 2 роки тому +2

    Wow the pulao looks so inviting thanks for sharing with us

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 роки тому +1

    Mash allah napenda sana chakula cha kupikwa na kuni kinakuwa na tasty mash allah

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Tasty mwanzo mpaka mwisho hakina mfano😋😋

  • @aminakassim7741
    @aminakassim7741 2 роки тому +1

    Hadija unanigeuza kuwa Mama Lishe rasmi wallah , Allah barik

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому +1

      Yeees nataka sqna uwe mama lisheeeee😍😍nimefurahi na karibu

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Ameen

    • @aminakassim7741
      @aminakassim7741 2 роки тому

      @@HadijaSheban Ahsante kipenzi ... Vipimo kwa description pls nijue naanzaje

  • @user-lq9nm1rj1x
    @user-lq9nm1rj1x 11 місяців тому

    Dada hadija hongera kwanza kwa kazi nzuri

  • @minah780
    @minah780 2 роки тому +1

    Mashaallah nlitamani nipate hii pilau Kama sai yaani inavutia sanaa

  • @mozaal-rashdi6166
    @mozaal-rashdi6166 Рік тому +1

    ما شاء الله

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 2 роки тому +1

    Maa sha ALLAH

  • @learnwithflo4077
    @learnwithflo4077 2 роки тому +2

    Wow it turned out so well thanks for sharing ❤️❤️

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому +1

      Welcome dear

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di 7 місяців тому

      Jee watu 500 wanaweza kuwapikia kilo ngap za mchele​@@HadijaSheban

  • @mariamali7438
    @mariamali7438 2 роки тому +1

    Mashallah mashallah keep it up gal

  • @sadaakiba4291
    @sadaakiba4291 2 роки тому

    Walaikum musalam kipenzi tumeenjoy wow yumyum 😋😋

  • @ogmkavu7979
    @ogmkavu7979 2 роки тому +1

    Amazing 😍

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 2 роки тому +1

    Maa sha ALLAH ilikua poa

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @lakimohamed2199
    @lakimohamed2199 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @agapejoel7822
    @agapejoel7822 Рік тому +1

    Weeee nimejifunza

  • @badawyhaji9288
    @badawyhaji9288 2 роки тому +1

    😋😋😋😋😋😋😋😋

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 2 роки тому

    mashaAllwa toeni muziki

  • @MbarukuElisante-im3pv
    @MbarukuElisante-im3pv 7 місяців тому

    Nice

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 5 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @sakinaabdulrahman5395
    @sakinaabdulrahman5395 2 роки тому

    Ma sha Allah yavutia

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому

    Maa shaa Allah

  • @dorcaswamalwa8677
    @dorcaswamalwa8677 2 роки тому +1

    Please do pili pili yambirimbi it made pilau my favorite school lunch

  • @zulfahafidh7796
    @zulfahafidh7796 2 роки тому +2

    Naulza mwenye anajua bei ya hizi sufuria hupika kilo 50 aniambie

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Kwakweli sijui pia mm nataka nunua nkijua nitakwambia

  • @umlee9895
    @umlee9895 2 роки тому

    MashaAllah 😋👌

  • @lionness_simsima5941
    @lionness_simsima5941 2 роки тому +1

    Hello there, how’s it going? Definitely mouthwatering

  • @marysmartkenya
    @marysmartkenya 2 роки тому +2

    Am still wondering how you guys managed to balance all the ingredients.

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      It was not easy but penye wapishi hapakoseki jambo

  • @SharonandFamily
    @SharonandFamily 2 роки тому

    Hii mob yenye imepikwa kwa mawe ndio the best and tastes amazing😋👌. Sasa wacha nilete plates zetu msitumalizie nyama😆😆

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      🤣🤣🤣musikuje wemgi pls.sis...yeees hi nitamu kushinda za 2kg

  • @user-wx4ph2rk6u
    @user-wx4ph2rk6u 4 місяці тому

    Chakula kitamu vp naweza pata wap sufuria mzito Kam hyo

  • @muawiyaomar92
    @muawiyaomar92 2 роки тому +1

    Faaris

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 4 місяці тому

    Samahani auntie nyama ilichukua dakika ngapi kuiva na je ilikuwa brownish?

  • @kelvinmaluki2362
    @kelvinmaluki2362 Рік тому

    Wafaaa. Kutumia Maji kias ganii 😮

  • @swafaamohamed9603
    @swafaamohamed9603 2 роки тому +1

    Aa nice vedeo mashAllah.kilo 20 biriani mchele watumia nyama kiasi gani?vitungu,viazi na tomato plz let me know

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Ws love kindly reduce the ingredients zenye nimetaja kwa 50🥰

  • @lucykaluwa9283
    @lucykaluwa9283 2 роки тому +1

    NAPENDA SANA

  • @zanfastfood7300
    @zanfastfood7300 2 роки тому

    Mzr san ...pia tunaomb uwek discription..ya v2 ulivotmia ..chin ya box

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому +1

      Sawa kipenzi nasghulikia baby nitaweka kila kitu

  • @MariamRiziki-l2b
    @MariamRiziki-l2b 2 дні тому

    Margedi moja ni watu wagapi plz

  • @user-xs9xk4zx8i
    @user-xs9xk4zx8i 6 місяців тому

    Keki plz

  • @rizikirajab7082
    @rizikirajab7082 2 роки тому

    Masha'Allah... tupe recipe ya mbirimbi dada

  • @christinejilani2645
    @christinejilani2645 Рік тому

    Hadija tafadhali ipike hio pilipili ya mbirimbi niione ...🤗

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      Nishapikq love search pilipili ya mbirmbi hadija utaipata

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Рік тому

    Hi dear thank you for this...ume tumia Rice Gani?

  • @aishanjagi4351
    @aishanjagi4351 Рік тому

    Assalamu alaikum. Naomba ingredients zakupika pilau 50kgs please. Thanks

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      Waaleykhm mussalam soma vizuri hapo juu niliamdika ukitaka unafanyaje🤗

  • @samiranjambi3621
    @samiranjambi3621 Рік тому

    Salt kiasi ngani

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 2 роки тому +1

    Kwani hukuosha Michele?

  • @muawiyaomar92
    @muawiyaomar92 2 роки тому +1

    Faars

  • @carolinew887
    @carolinew887 Рік тому +1

    Umetumia mchele aina gani?

  • @CristianoRonaldo73976
    @CristianoRonaldo73976 2 роки тому +1

    Mbona haina viazi?

  • @atu5303
    @atu5303 2 роки тому

    Hadija unavofunikia mfuko then ukaeka moto juu si mfko unaungua ndni ya ubwabwa??au unaprotect vip usiungue...

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Hio ni karatasi kama gazeti vile nibora iungue karatasi kuliko wali wenyewe

    • @atu5303
      @atu5303 2 роки тому

      Ok shkran..unjbu on time mashaAllah..

  • @husnakafuta5270
    @husnakafuta5270 2 роки тому

    Silazima uweke carrots

  • @irenecandyk
    @irenecandyk 2 роки тому

    Nangojea hii pilau ya 50kgs nione yapikwa vipi.

  • @BellaNapoli-np5kl
    @BellaNapoli-np5kl Рік тому

    Nyamba hakuna😆

  • @lucymutheushanga8841
    @lucymutheushanga8841 2 роки тому

    Dawa za pilau zilikua kiasi gani

  • @alaidertolatine4750
    @alaidertolatine4750 Рік тому +1

    Mafuta umeeka lita ngap

  • @cookwithhusna9657
    @cookwithhusna9657 2 роки тому

    Mchele ulikua kilo ngapi

  • @fatmabadi6423
    @fatmabadi6423 2 роки тому +1

    Mbona hakuna viazi?

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  2 роки тому

      Hatukueka tulihofia kuharibika tukieka