MSAIDIE MASANJA TOFAUTI YA MGANGA WA KIENYEJI NA MCHAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • MSAIDIE MASANJA TOFAUTI YA MGANGA WA KIENYEJI NA MCHAWI

КОМЕНТАРІ • 23

  • @martinmligo302
    @martinmligo302 Рік тому

    Mtumishi wa Mungu Masanja yupo sahihi kabisaa mganga wa kienyeji ni bosi wa mchawi ndio maana mganga anaweza kutoa uchawi mahali au kwa mchawi mwenyewe ina mana anaujua na yupo juu level za uchawi na pia mganga anauwezo wa kumpa mtu uchawi na akawa mchawi......

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 Рік тому +2

    Hata mimi naungana na Masanja wote ni wachawi

  • @paje5851
    @paje5851 Рік тому

    Nipo pamoja na Masanja
    Tujuwe kuwa kuna
    1)Mganga
    2)Na mganga wa kienyeji
    Pia kuna dawa za hospitalini na kuna miti shamba ambayo pia hutumika na Watabibu wa dawa za asili
    Kisha kuna huyo mganga ambaye tunamuita mchawi mimi na Masanja hutumia pia dawa asili (Miti shamba) ila yeye huengezea masharti mengi tofauti na yale ya watabibu wa tiba asilia.
    Niite
    RARE-ZANZIBAR-ADVANTURE
    Kutoka Paje Zanzibar

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Рік тому

    Masanja yupo sahihi kabisa.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Рік тому

    Huwezi kuwa mganga wa kienyeji bila kuwa m chawi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Рік тому

    Kwahyo Dr. Mwaka ni Mchawi😂😂

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 Рік тому +1

    Kwenye hili naungana na Masanja kwa asilimia miatano,
    Kila mganga wa kienyeji ni mchawi.
    Yani Masanja yuko sahihi

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Рік тому

    Nakuunga mkono mm mwenyewe nafanya hii kazi tunayo kutana nayo ni uchawi mtupu.

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Рік тому

    Masanja wengi tu hua wanasema ukweli kua tatizo hakiwezi

  • @Jumamaduka240
    @Jumamaduka240 Рік тому

    Mitishamba Si Uchawi.

  • @chepason7212
    @chepason7212 Рік тому

    Masanja Yuko sahii mganga Ni mchawi

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 Рік тому

    Kwan Uchawi maana yake ni nn me sielew

  • @imakubari6786
    @imakubari6786 Рік тому

    Kizimba ni ni jamani

  • @oneafrica7719
    @oneafrica7719 Рік тому +1

    atar massanja

  • @KhanKhan-kq5ww
    @KhanKhan-kq5ww Рік тому

    ❤😂😂😂😂😂😅😊

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Рік тому +1

    Sema na wewe masanja ni mchawi nakuchana ukweli sema uchawi wako ni WA kuleta mafanikio yako katika utajiri nasio wakutibu au wakumroga mtu najua wajua ninacho maanisha hapa.

  • @saidmushehe
    @saidmushehe Рік тому

    Hiki kipindi nitaanza kusikiliza

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 Рік тому

    Namuona Mussa tabasamu limerudi kwel Masanja umeziba pengo la yule jamaa

  • @joanedmundR
    @joanedmundR Рік тому

    😂😂😂😂

  • @IssaFadhili-qs2bm
    @IssaFadhili-qs2bm Рік тому

    Aq0+1

  • @SogadariWafunuwaji-nl8wx
    @SogadariWafunuwaji-nl8wx Рік тому

    Nikwele ata mganga wakienyeji nimchawi