Ni ni Wana Sheria au wanasiasa tendeni haki watanzania wenzetu itafika wakati mungu atasimama mwenyewe mtatamani Dunia ipasuke muingie haitawezekana aibu itakuwa yenu wabukusi ni mtu wa haki sana na mungu huwa anasimama na mtu mwenye haki hata kama Moja ktk tuvyeo huto hata kamoja kanakomfaa mwabukusi hata kamoja hamna
Ni ni Wana Sheria au wanasiasa tendeni haki watanzania wenzetu itafika wakati mungu atasimama mwenyewe mtatamani Dunia ipasuke muingie haitawezekana aibu itakuwa yenu wabukusi ni mtu wa haki sana na mungu huwa anasimama na mtu mwenye haki hata kama Moja ktk tuvyeo huto hata kamoja kanakomfaa mwabukusi hata kamoja hamna
Nchi hiii hatari sana kosa la kuzungumzia bandari
Ninyi ni wa hovyo kabisaaa!!!
Kabsa wameingiza siasa
Kanyoe nywele wee😂😂
Mwabukusi mmemuonea, afu sasa mbona na nyie mmeanza siasa??
Hawa ni takataka na vifungu vyenu vya kukariri 🚮🚮🚮