Utopian conservative theory has to come to an end, you people, you need to understand that everything has two sides negative and positive, the perfect on is ONLY THE ALMIGHTY ALLAH, you need to adjust yourself from anthropological concepy and beliefs, the World is not standing still, it always moves and you have to move on, otherwise you will stand still as you are
Mimi n Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine Wala kuitumikia kwakua Mimi Bwana n Mungu mwenye wivu,napatiliza Wana Maovu ya baba zao.tubuni tubuni tubuni Tanzania,msifikiri Mungu amekufa Kama nyie,na mizaha mnayomfanyia hakika mtalipwa,kiburi Cha pesa kisiwadanganye hata shetani alikuaga Lucifer kwaiyo nenda taratiibu Tanzania kubali kuongozwa na Yesu Kristo, Mungu atuhurumie Sana.
Neno latimia, bi siku za mwisho,bible yasema siku za mwisho maarifa ya wanadamu utazidi kufikia kutengeneza mwanadamu ila walishindwa kutoa punzi,.Tukiona mambo hayo hujui Yesu yukaribu, ilaniwale wenye ufahamu wa bibla
@@samboreeadam4273si muda mrefu sababu yaliyonenwa km ndio dalili za kurudi kwa Yesu yametimia kilichobaki ni njaa haijawahi kutokea, watu watakatazwa kumuabudu Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na Nchi na kuabudu miungu na dhiki kuu
Si tunachezea sanamu 😂, Yaani wazungu washawapumbaza watoto Kwa masanamu Na SASA tunaletewa watu wazima tuchezee sanamu😂😂😂. Huku viongozi WA kupambania nchi wamedanganywa ati ilo ni roboti 😂😂😂. Wabunge Kama mtu Hana master Bora asipewe nafasi maana naona wanatupumbaza Kwa ujinga walio Nao. VIPI SIE KIMA WA AFRICA TUSITAWALIWE?😂😂😂
MTukuzeni Bwana Mungu Wetu kwa uhumbaji wake hacheni kumkosoa hiyo furaha mnayoionyesha kwa huyo sanamu mungekuwa munaionyesha kwa mnaowahudumia Mungebarikiwa sana na Bwana Yesu.
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
Acha ujinga. Kama Kuna Mungu basi jua Kila anachoweza kufanya mwanadam kakiruhusu. Kuna vitu ambavyo asili hairuhusu mwanadam kuvifanya kama kusafiri kwa Kasi ya mwanga na kujua muustakabali wa chembe ndogo kama electron.
@@thefinalstand2022 Elewa mada,hapa kinachojadiliwa ni matumizi bora ya pesa ya walipa kodi,siyo kukataa teknolojia. Hapa tulipo tuna madeni lukuki na tunatakiwa kulipa,halafu hiyo pesa unayokopa unaitumia kwenye vitu ambavyo havitazalisha, hapo hapo tuna uhaba wa ajira,vijana wetu wahitimu ni wengi na kazi hamna halafu unaleta robotic- technology? Hizo nchi zenye kutumia robotic- technology kwenye uzalishaji zimeisha jitosheleza kiajira.Kuweni welewa na muangalie maslahi ya nchi kwanza.
Hivi kweli Hawa ndio wabunge wetu kweli tutamkumbuka magufuli hivi ni vichekesho hivi kweli mnachukua Kodi zetu mnaenda kununua upuuzi hiyo sanamu inasaidia nn hapo bungeni naona hamjui Hali ya watanzania maskini mnashiba Hadi mmejisahau ndio maana mnachukua pesa za watanzania mnaenda kununua huo upuuzi hata mungu kakataa kuabudu sanamu Leo sanamu mnaikeka ndani ya bunge mungu anawaona mwisho wake utafika
Bunge tukufu la Tanzania linaheshimika Sana na Wabunge wamebeba dhamana kubwa sana ya kwenda kuwasemea wananchi wao na kuwaletea maendeleo kwenye miji na mitaa yao swali langu jeee robot hili ni kwaajili ya nini kwenye bunge letu tukufu....? Mungu ibariki Tanzania.
Ni maajabu san hii nchi imefka hapa sasa inchi inapotea . Hyo ni mbinu ya upelelezi ya wazungu wanataka kuitawala ten Tanzania. Maana mambo yote ya nchi yanayojadiliw bungeni uyo robot atayajua je icho si kifaa cha wazungu. Wanaleta robot alafu wanasema inch aina income. Kwel tutamkumbuka magu
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
Wanafanya mambo ya kipumbavu sana, ee Mungu tuanagalie sisi waja wako maana hatujui nchi yetu inaelekea wapi... Magufuli baba amka amka amka uone yanayojiri maana hukuacha upumbavu huu uliacha maendeleo ya nchi kwa asilimi kubwa...😢😢😭
Upuuzi mtupu Afrika tupo wengi sana hakuna sababu ya kuelekeza pesa za watanzania wanyonge kutengeneza misanamu ya kuwa karibisha hospital madawa hakuna watu wanakufa ya kukosa huduma wazee wanateseka mitaani n.k inatia uchungu sana kuona tunaviongozi wa hovyo namna hii
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
Wabunge hivi kweri mnahakili Mungu ichukue tu tz hata utuwe wote tu...mm naumia malipa kod halafu upuuzi kama huu ndio hununuliwa then mwaka huu first year tumepewa asilimia 18 za ada hivi hii pesa si bora watuongezee
Wanatutozaa Kodi kibaoo umeme hakuna mara maji hakuna vijijini watu wanakunywa maji pamojaa na ngo,mbe na fisi mara wawafutiee wanchuo bumu afuu ujingaa ndo huoo afuu mtegemee watu waajiliwee heeeeeh heeeh
Bunge la CCM , Bunge la magufuli, ulipaswa kufa mapema sana Baba , wale vilaza uliowakusanya watuwakilishe wanatufanyia haya , nibora hata wao mungu angewaondoa pia , ili ulipo na wao wawepo
Wabunge ni wapumbavu kama wapumbavu wengine tu ....na mnaingizwa kwenye kundi la hao walioingilia kazi Allah katika uumbaji kufuru imepewa jina zuri kwamba ni teknolojia ila teknolo kiama itafika ... ALAAH ATUONGOZE KATIKA KUTENDA MEMA NA ATUJAALIE KUWA NA MWISHO MWEMA
Kama kweli wao wanaweza waliwekee pumzi liheme ,mana limekakamaa tuuu alihemi wala halijambi acheni mungu aitwe mungu na hamuwrzu kushindana na mungu ata mbong,oe ayo matako yenu mtembee uchi lakini bado hamtaeza
Huu ni mtihan sasa ajira zinaenda Kwa masanamu sasa wakat majumba wasomi wamejaa tele hawana ajira jee kwenye nafasi hii wange waajiri watanazania hata mm naitaka nikaribishe watu na kuwapa mikon ili mwisho wa mwezi nipate chochote 😢😢😢
Tanzania tumefika kwenye Hali mbaya hizi pesa zilizotumika hapo Lau Kama wangepelekewa wahitajia Kuna watu wanalia njaa alafu unafanyika huu upuuzi. Dah. 😢😢😢
Changamkeni ×4wakristo na wananchi maana taifa laenda kuanguka maana maovu yetu yamefika mavhoni pa mungu,tuwaomnee wasimamizi wetu rehema maana hatujui wanakotupeleka,mungu turehemu,tusaidie
Jaman jaman inaniuma Sana, Vijana tunahangaika mtaani hatuna Ajira, halafu kazi ambayo tungefanya sisi wanapewa Robots! How comes? Kuna maana gani ya kusoma ICT ikiwa Kuna Robot wa kufanya kazi hiyo! Mbona inauma Sana jaman Watanzania? Tanzania Ina Watu weng na Wenye Elimu ya kuendesha kazi au mifumo mbalimbali bila kutumia Robots, Nchi za Ulaya Zina watu wachache that's why wanatumia Robots as an alternative way..... Kwa Hali hii ya Robots Hakuna haja ya kuendelea Kuongeza Wasomi wa kada mbalimbali, Tuwe na Wasomi wachache tuu kuliko kuwa na Wasomi Maelfu wanaohangaika mtaani😢😢 Eee Mwenyezi Mungu tusaidie kwa hili🙏🙏, tunakoelekea ni kubaya Sana tena Sana! 😢😢😢 #Nchi yangu Tanzania!
Wengi naona mnaponda na mna complicate sana. Hii ni technoligia tu na wale waliosoma au wanaotegemea kwenda kusoma Computer Science watakutana na hii course inaitwa *Artificial Intelligence.* Ni kitu cha kawaida kabisa na wala hamkutakiwa kwenda Far na kuona watu kama wanamtukuza robot, wanamkufuru Mungu au wametumia pesa katika vitu visivyofaa. Tufike mahali tuwe wachunguzi wa mambo bila kuropoka na kuongea vitu msivyovijua
Roboti ni mbadala wa mtu, wenzenu wanatengeneza roboti idadi Yao ni ndogo kufanya Kazi , hakuna sababu ya roboti Tanzania, bunini teknolojia kwenye maeneo mengine siyo kuigaiga tu mnasingizia teknolojia. Halina maana Hilo roboti hapoo
Unatengeneza robot na hakuna hospitali watu wanasafiri umbali mrefu wanafia njiani, hakuna vifaa tiba watu wanafika hospitali na hawapati huduma wanakufa, barabara mbovu ajali kila leo watu wanakufa. Unawekezea kwenye mdoli ambae anasema hajawa trained kwenye kiswahili anaulizwa kwa kiingereza halafu anajibu kwa kiswahili. Hayo mambo unayosema tuchunguze, haina haja ya kuchunguza kama unashindwa kusolve mambo yaliyohadharani, unahangaika na mambo ambayo hatuhitaji.
KAMA UMESIKIA ATAKUPA TENA MKONO NA UKAJUA KM LIMESETIWA HIVO KWA UJINGA BASI GONGA LIKE
Hilo sanamu wanatupumbaza. Mzungu atupe roboti waafrika tokea lini. Hilo Ni sanamu tu Kama sanamu za mashine. Hakuna jipya
Duuuuuh mungu azidi kumrehem magufuri maana sio kwaa huu ujinga na ukosefu wa maarifa
Yan hii nchi sijawahi ona vituko kama hivi..kama wanataka mapokezi Si Kuna vijana kibao hawana ajira wangewaweka hapo Ili wawapokee..
Wasomi lakini akili kisoda, watu wanakufa maospila mnaooteza hela kumlipa mzungu kuwatengenezea ufyuz,, Rip jpm😢😢
Kweli kabisa maneno yako
Utopian conservative theory has to come to an end, you people, you need to understand that everything has two sides negative and positive, the perfect on is ONLY THE ALMIGHTY ALLAH, you need to adjust yourself from anthropological concepy and beliefs, the World is not standing still, it always moves and you have to move on, otherwise you will stand still as you are
Umesema ukwel
Inasikitisha kweli Hawa mayahudi tusipokuwa makini watatupoteza
@@NassourBimkubwq kabisa Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab
Mnaacha kufunya mambo ya wanaichi mnatuletaa upuuzi
😄😄😄😄
Eunice kavaa nguo za heshima
😂😂😂😂😂
@@mayaally4068😂 miguu sasa inabidi avaehivyo
Mnapotea njia mkiwa mnaona kabisa mnatuletea aibu
Kwann Lakin mnatufanyie ivi wana nchi MUNGU awape mnacho sitahili😭😭😭😭😭 mnaacha kufanya kaz ya maendelea kwa wana nchi mnafanya ujinga ujinga tu
Aisee JEHOVAH aturehemu Tanzania tunakoelekea sio sahihi kabisaaa.
Mimi n Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine Wala kuitumikia kwakua Mimi Bwana n Mungu mwenye wivu,napatiliza Wana Maovu ya baba zao.tubuni tubuni tubuni Tanzania,msifikiri Mungu amekufa Kama nyie,na mizaha mnayomfanyia hakika mtalipwa,kiburi Cha pesa kisiwadanganye hata shetani alikuaga Lucifer kwaiyo nenda taratiibu Tanzania kubali kuongozwa na Yesu Kristo, Mungu atuhurumie Sana.
Neno latimia, bi siku za mwisho,bible yasema siku za mwisho maarifa ya wanadamu utazidi kufikia kutengeneza mwanadamu ila walishindwa kutoa punzi,.Tukiona mambo hayo hujui Yesu yukaribu, ilaniwale wenye ufahamu wa bibla
Bora umeruona ilo
Kwahy unahisi mwisho wa dunia utakuwa lini man,ili nile vyakwangu mapema😂😂😂
@@samboreeadam4273si muda mrefu sababu yaliyonenwa km ndio dalili za kurudi kwa Yesu yametimia kilichobaki ni njaa haijawahi kutokea, watu watakatazwa kumuabudu Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na Nchi na kuabudu miungu na dhiki kuu
@@samboreeadam4273😂😂😂😂😂😂Tusivunjane mbavu pumbavu zako 😅😅😅😅😅😅 Wataka umalize kila kitu usiache kitu duniani 😅😅😅
Mungu tusaidie Mambo ya ajabu sana!.Tunaacha kuwajali watu tunaangalia vitu vya ajabu ambavyo naona tu mkono unakwenda na kurudi!.
😂😂😂
Adi linatia kichfchfu😂
Si tunachezea sanamu 😂, Yaani wazungu washawapumbaza watoto Kwa masanamu Na SASA tunaletewa watu wazima tuchezee sanamu😂😂😂. Huku viongozi WA kupambania nchi wamedanganywa ati ilo ni roboti 😂😂😂. Wabunge Kama mtu Hana master Bora asipewe nafasi maana naona wanatupumbaza Kwa ujinga walio Nao. VIPI SIE KIMA WA AFRICA TUSITAWALIWE?😂😂😂
MTukuzeni Bwana Mungu Wetu kwa uhumbaji wake hacheni kumkosoa hiyo furaha mnayoionyesha kwa huyo sanamu mungekuwa munaionyesha kwa mnaowahudumia Mungebarikiwa sana na Bwana Yesu.
Ndugu yangu umenena mambo makubwa sana ubarikiwe, ndio siku za mwisho hizi Biblia haijadanganya
Barikiwa sana Dunia hii hipo ukingoni kabisa lakini bado watu wanakimbizana na ulimwengu Badala ya kumtafuta Bwana Yesu
Taifa limepata maafa ya mafuriko wananchi awana makazi wanaleta roboti sasa linatusaidia nn . Alafu wanataka kupigiwa kura
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@@thefinalstand2022akili za hovyo sana hizi,,,je umepata vyote vya muhimu hd kufika huko?
ALLAH NI MKUBWA HAYO MASANAMU HAYAWEZ KUFANANISHWA NA VIUMBE
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
😂@@thefinalstand2022
Acha ujinga. Kama Kuna Mungu basi jua Kila anachoweza kufanya mwanadam kakiruhusu. Kuna vitu ambavyo asili hairuhusu mwanadam kuvifanya kama kusafiri kwa Kasi ya mwanga na kujua muustakabali wa chembe ndogo kama electron.
@@thefinalstand2022
Elewa mada,hapa kinachojadiliwa ni matumizi bora ya pesa ya walipa kodi,siyo kukataa teknolojia. Hapa tulipo tuna madeni lukuki na tunatakiwa kulipa,halafu hiyo pesa unayokopa unaitumia kwenye vitu ambavyo havitazalisha, hapo hapo tuna uhaba wa ajira,vijana wetu wahitimu ni wengi na kazi hamna halafu unaleta robotic- technology? Hizo nchi zenye kutumia robotic- technology kwenye uzalishaji zimeisha jitosheleza kiajira.Kuweni welewa na muangalie maslahi ya nchi kwanza.
Nchi ya ovyo sana hii
Hawa ndio tunawategemea 😅
😂😂😂😂 Yaan
Wengine tumekosa mkopo tunaambiwa hela hamna watu wanakatisha masomo kumbe mnatengeneza robot 😭😭😭😭daah hii nchi ngumu sana
Na Wewe umesoma Nini Hilo Ni sanamu unaamini Ni roboti😂. Wameuziwa mkenge watupumbaze
Yaani wanapigia makofi kweli kazi tunayo
Mwenyezi mungu atawapa adhabu yenu
Wapi.. magufuli mungu akuhifahdi inshallah 😢😢😢😢😢
SHETANI NI MBAYA SANA SASA NINI HIKI
YAANI NI ZAIDI YA UPUMBAVU
Hivi kweli Hawa ndio wabunge wetu kweli tutamkumbuka magufuli hivi ni vichekesho hivi kweli mnachukua Kodi zetu mnaenda kununua upuuzi hiyo sanamu inasaidia nn hapo bungeni naona hamjui Hali ya watanzania maskini mnashiba Hadi mmejisahau ndio maana mnachukua pesa za watanzania mnaenda kununua huo upuuzi hata mungu kakataa kuabudu sanamu Leo sanamu mnaikeka ndani ya bunge mungu anawaona mwisho wake utafika
Bunge tukufu la Tanzania linaheshimika Sana na Wabunge wamebeba dhamana kubwa sana ya kwenda kuwasemea wananchi wao na kuwaletea maendeleo kwenye miji na mitaa yao swali langu jeee robot hili ni kwaajili ya nini kwenye bunge letu tukufu....? Mungu ibariki Tanzania.
Ni ghalama Sana si ajabu
Ni maajabu san hii nchi imefka hapa sasa inchi inapotea . Hyo ni mbinu ya upelelezi ya wazungu wanataka kuitawala ten Tanzania. Maana mambo yote ya nchi yanayojadiliw bungeni uyo robot atayajua je icho si kifaa cha wazungu. Wanaleta robot alafu wanasema inch aina income. Kwel tutamkumbuka magu
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
Alafu wanachekelea to baada ya kuwa saidia wanachi
Dah unaongelea nini?@@thefinalstand2022
Watu ambao tunawategemea nchini hao wametoa pesa mingi Kwa kitu ambacho akina manufa nchini
😢😢😢nchi yangu Tz watu wasomi Awana kazi wapo vijijin baada ya kuwasajili mkatengeneza robot aina ata matako
😂😂😂😂😂😂
Hilo sanamu Ila Kwa kuwa binaadamu mweusi kaanzia kima 😂😂😂, acha tu watupumbaze
MAGUFULIIIIIIIIIIIII😢😢😢😢😢😢 WAPI BABA NJOOOO UONE VIJANA ULIYO WACHA WANACHO KIFANYA HAPA DUNIANI
Wanafanya mambo ya kipumbavu sana, ee Mungu tuanagalie sisi waja wako maana hatujui nchi yetu inaelekea wapi... Magufuli baba amka amka amka uone yanayojiri maana hukuacha upumbavu huu uliacha maendeleo ya nchi kwa asilimi kubwa...😢😢😭
Nafikiri kuna shida sehem
SHIDA SIO NDOGO,, NI KUBWA
Naumia sana karibu ya kupasuka Mungu awape hekima
Kama mungu aliwaazibu wanadamu kwakuaabudu Masanamu vipikuhusuhuu ujingatuno ushadadia ndiomaa mwakahuuMajanga nimengi Tusamehemungu usituazibu kwaujingawawatuwachache
Kabisaa yani wamethamini marobotii kulikoo watu Magu wetu wetu aamkee aonee nchii ilivyotekwaa uwiiiii
Aweeeee
Ndo mjuwe yakuwa sio kila anaefunga tai anaakili timamu. Huu ni ugonjwa wa mwisho na WA juu zaid kutokea karne 21 unasalimia SANAMU
Hili bunge la mchongo ndo wanavoingiza mabomu ya milipuko nchini
Dah sio poa kabisa yani sio poa 💯
It's a good trial, keep it up
Robot limetengenezwa VETA 😂😂
Technology sawa ila upuuzi badala ya kuwawezesha vijana wa Tz wakaboresha katika ubunifu mpo nmashangaa robot
Tunakoelekea ni kubaya sana watanzania hii bajet ingetumika ata kwenye vituo vya mayatima wakasoma hata kwa kodi zetu kuliko huu upuuzi
Wajinga sana nyie munajichekesha km mazuri
S bora hata Mplan kujenga Barbara za chini watu mtaan wamekaaa na vyet Vyao hawana kazi mnatengeza roboti sasa hautaki kuajili watu au 🎉🎉🎉
Upuuzi mtupu Afrika tupo wengi sana hakuna sababu ya kuelekeza pesa za watanzania wanyonge kutengeneza misanamu ya kuwa karibisha hospital madawa hakuna watu wanakufa ya kukosa huduma wazee wanateseka mitaani n.k inatia uchungu sana kuona tunaviongozi wa hovyo namna hii
Kikokotoo😅😅
@@BenjaminAyo-p4i😢😢😢😢😢😢😢
Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!
@@thefinalstand2022 Ukisoma komenti unajua kabisa kama umasikini ni mbaya. Mtu anachukia teknolojia kwa vile yeye hajui. Aisee! Roho mbaya hizi.
Roho mbaya kuliko waajiri vijana hapo Kwa ajili ya mapokezi wanaweka sanamu iwapokee😅😅
Daaa, Kazi tunayo, hili ndo bunge la CCM kununua midori
Kwa nn halijaitwa sami.. na likaitwa Eunice??
Na veep linafaida gani ktk taifa letu?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu
@@nabiilucas8576 usicheke maana kuna vitu vinafikirisha sana
Mungu tuhurumie
Mbona mbaya na kichwa chake kama gongonada
😅😅😅😅
Wabunge hivi kweri mnahakili Mungu ichukue tu tz hata utuwe wote tu...mm naumia malipa kod halafu upuuzi kama huu ndio hununuliwa then mwaka huu first year tumepewa asilimia 18 za ada hivi hii pesa si bora watuongezee
Uongozi sio vyeti tu hekma pia iwepo
Mungu atuhurumie sana mpendwa huku tunakoelekea siko salama kabisa
Binafsi sijaelewa bunge tukufu ni jengo au wabunge ndiyo wamejipa utukufu? Badala ya MUNGU kwa anayefahamu vzr
Kasome historia ya mapunduz ya ulaya ndio utaelewa aya mambo
@@michaelhancy6759non sense!
History aidanganyi mna akuna jipya dunian
Yesu wee mmmh
Yaani watu wanakuga njaa huku mitaani, haya Mungu anaona yote hayo.
Unataka tukuletee chakula au pambana
Wanatutozaa Kodi kibaoo umeme hakuna mara maji hakuna vijijini watu wanakunywa maji pamojaa na ngo,mbe na fisi mara wawafutiee wanchuo bumu afuu ujingaa ndo huoo afuu mtegemee watu waajiliwee heeeeeh heeeh
Which country is this!!??🤔🤔
Upuuzi mtupu hakuna la maana
Bunge la CCM , Bunge la magufuli, ulipaswa kufa mapema sana Baba , wale vilaza uliowakusanya watuwakilishe wanatufanyia haya , nibora hata wao mungu angewaondoa pia , ili ulipo na wao wawepo
Vijana mtaan hatun kaz mnafany mamb yas na maan mnazib rizk za wat mungeniwek mm je ap ingekuaj
Yaan dunia ndio inaenda huko wewe kama huna kazi pambana
Hahahhahha haki ya mungu tanzania sihami mimi naipenda nchiii yangu ❤❤❤❤
Limeukizwa how are u?nalo linasema habar ya asubuh mheshimiwa mbunge,,upuuz mtupu lime karirishwa kwenye hizo spika
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂 Kweli kabisa yani ni ujinga usio na kifani
Sasa hiyo roobt ya kaz gan yan watu wasomi kabis lakn akili kam za watu ambao hawajasoma 😢😢
Wabunge ni wapumbavu kama wapumbavu wengine tu ....na mnaingizwa kwenye kundi la hao walioingilia kazi Allah katika uumbaji kufuru imepewa jina zuri kwamba ni teknolojia ila teknolo kiama itafika ... ALAAH ATUONGOZE KATIKA KUTENDA MEMA NA ATUJAALIE KUWA NA MWISHO MWEMA
Iyo ela ya kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye nchi yetu mnatengenezea ujinga kweli msemo huu watu wangu wanahangamia kwakusosa mahalifa ndoivo
Ndo matumizi ya Kodi zetu😢😢
Hahahahaha
Watu wazima ovyo ndio iyo
😂😂😂 waheshimiwa wanashangaa kitu kilichojengwa na mwanafunzi alieishia la tatu 😂😂😂😂
Kwenye milioni 50 hapo ndo panapo niumiza Tanzania tutaendelea lini? Mbona tunaiibia sana nchi
Soon hii nchi itakuwa skeleton 😢😢
Mungu afanye miujiza liwasemesheni watu wazima kumbe 0 kabisa
hilo dude sh ngapi
M50
Siyo kila kiongoz ana jitambua wengine wa ovyo ebu fikirieni watu maskini Leo munachukua Kodi kwa nguvu
Yaan baada ya kufanya mambo ya maendeleo mnadili na Midori tupeni faida ya iyo lobot😢😢
Litakuwa linafanya operation eti mloganzila😂😂
@@FahymaIsmail-m4qwewe acha utani bac😢😢😢😢😢😢
U@@FahymaIsmail-m4qhuu upuuzi mtupu hii ni kucheza pesa
Kama kweli wao wanaweza waliwekee pumzi liheme ,mana limekakamaa tuuu alihemi wala halijambi acheni mungu aitwe mungu na hamuwrzu kushindana na mungu ata mbong,oe ayo matako yenu mtembee uchi lakini bado hamtaeza
Wabunge wanaongea na maroboti ndio maana hata bungeni wanaongea upuuzi kumbe Wana akili ya kiroboti robot tu Mungu tusamehe sana
😂😂😂😂😂
Yaani upuuzi kweli 😂😂😂
Mungu aturehem
Haieleweki kabisa ni ujingaaa huuu
Which country is this?
Mnacha mambo ya msingi mnatumalizia Kodi zetu kwenye ujingaaa
Ilaa hii nchi ngumu sana dahh... watu wazima na akili zote wanapoteza muda kwauyo mdoli
Yaaaani ina faida gani sasa me sijaelewa na haijavutia
😊😊8i😊😊😊😊😊😊😊😊❤❤❤
Hii sio kweli tuache kupitoshana,, Limesetiwa Kuna watu wanaongea kupitia mfumo maalum mfano km wa cmu
Huu ni mtihan sasa ajira zinaenda Kwa masanamu sasa wakat majumba wasomi wamejaa tele hawana ajira jee kwenye nafasi hii wange waajiri watanazania hata mm naitaka nikaribishe watu na kuwapa mikon ili mwisho wa mwezi nipate chochote 😢😢😢
Kumbe we ushaelewa kama mm.Tunaanza kuzoeshwa mapema.Badae ajira zote zitafanywa na maroboti
Duh!! Ndio unanifungua macho yani Dah!!
@@pulikisia7963 Huko tunakoenda ni kubaya zaidi.Mungu atusaidie Watanzania 😪
Vijana ajira hakuna mnaleta upumbavu huyo kasha beba ajira ya mtu😢😢😢
Upuuzi mtupu 😢yaani akili zao ziko ovyo kabsa kama wehu
Kuanzia leo nimewashusha daraja mnazingua mnatumia vibaya kodi zawatanzania
Aya bana
Tanzania tumefika kwenye Hali mbaya hizi pesa zilizotumika hapo Lau Kama wangepelekewa wahitajia Kuna watu wanalia njaa alafu unafanyika huu upuuzi. Dah. 😢😢😢
Eee mungu muumba halizi na mbili 🙏🙏
Nimegundua huyu roboti ukitikisika tu yeye anakupa mkono😂😂😂❤❤❤
Kazi sana
Changamkeni ×4wakristo na wananchi maana taifa laenda kuanguka maana maovu yetu yamefika mavhoni pa mungu,tuwaomnee wasimamizi wetu rehema maana hatujui wanakotupeleka,mungu turehemu,tusaidie
Jaman naomben m niambie kz ya hyu roboti maana na ushamba wangu sielewi kabisaaaa anachokifanya hapo
Hamna la maana hapa. Matumizi mabaya ya muda na pesa za mlipa kodi
Jaman jaman inaniuma Sana, Vijana tunahangaika mtaani hatuna Ajira, halafu kazi ambayo tungefanya sisi wanapewa Robots! How comes? Kuna maana gani ya kusoma ICT ikiwa Kuna Robot wa kufanya kazi hiyo! Mbona inauma Sana jaman Watanzania?
Tanzania Ina Watu weng na Wenye Elimu ya kuendesha kazi au mifumo mbalimbali bila kutumia Robots, Nchi za Ulaya Zina watu wachache that's why wanatumia Robots as an alternative way..... Kwa Hali hii ya Robots Hakuna haja ya kuendelea Kuongeza Wasomi wa kada mbalimbali, Tuwe na Wasomi wachache tuu kuliko kuwa na Wasomi Maelfu wanaohangaika mtaani😢😢 Eee Mwenyezi Mungu tusaidie kwa hili🙏🙏, tunakoelekea ni kubaya Sana tena Sana! 😢😢😢
#Nchi yangu Tanzania!
Hizi pesa mngezipeleka Mahosptalini kutibu Watoto bure ila Mungu anaona
Eunice ni Mchumba mpya wa Dr janabi😊
😀😀😀😀
😀😀😀😀😀😀😀
Hivi daaaaaah hili li nchiiiii sibora hiyo Hera mtuongezee ada vyuoni yaani asilimia 18 halafu sawa bhana RIP mg
Hivi lkn Kwa nini apewe Jina la mtu Yunis😔😔 Binafsi sijapenda😔
Allah Akbar
Mambo ya kitoto sana
Haki ya Mungu hii nchi yetu sijui wapi inaelekea yaan mnaacha kufanya mambo ya msingi mnatu tengenezea hichi kitu hakina manufaa jamen kweli?????
Serikali yetu bwana! Mnahangaika na vitu visivyo na maana wakati wananchi wanateseka
Wengi naona mnaponda na mna complicate sana. Hii ni technoligia tu na wale waliosoma au wanaotegemea kwenda kusoma Computer Science watakutana na hii course inaitwa *Artificial Intelligence.*
Ni kitu cha kawaida kabisa na wala hamkutakiwa kwenda Far na kuona watu kama wanamtukuza robot, wanamkufuru Mungu au wametumia pesa katika vitu visivyofaa. Tufike mahali tuwe wachunguzi wa mambo bila kuropoka na kuongea vitu msivyovijua
Roboti ni mbadala wa mtu, wenzenu wanatengeneza roboti idadi Yao ni ndogo kufanya Kazi , hakuna sababu ya roboti Tanzania, bunini teknolojia kwenye maeneo mengine siyo kuigaiga tu mnasingizia teknolojia. Halina maana Hilo roboti hapoo
Unatengeneza robot na hakuna hospitali watu wanasafiri umbali mrefu wanafia njiani, hakuna vifaa tiba watu wanafika hospitali na hawapati huduma wanakufa, barabara mbovu ajali kila leo watu wanakufa. Unawekezea kwenye mdoli ambae anasema hajawa trained kwenye kiswahili anaulizwa kwa kiingereza halafu anajibu kwa kiswahili.
Hayo mambo unayosema tuchunguze, haina haja ya kuchunguza kama unashindwa kusolve mambo yaliyohadharani, unahangaika na mambo ambayo hatuhitaji.
Kwahiyo ni hamtaki kuajiri watu ama??Mungu aturehemu jaman na ndo mnategemea kutuomba kura!!!!???😕😕
Mwana siasa natajili ningumu Sana kuona ufalume wamungu
Tanzania Tanzania ,mungu awenasi daima.
Hata mm sijabarikiwa kbs na hiki kitendo
Nchi hii ndo unaweza kuona kuigq kunya kwa tembo. Kagame apewe nchi hii tukombolewe
Ee mungu tuhurumie mana tunakoelekea pagumu Sana !!Kuna cku watu wataabudu roboti
Wabunge lkn akili kama watoto wa chekechea sasa cjui kinachowashangaza ni kitu gani hapo badala ya kufanya Kaz tuliyowatuma jimboni
Hivyo Tanania inaenda wapi
Ila mnafanya kaz kimazoea sana ipo sio sio ujingaa huuu
Mungu naomba niwe na mwisho mwema jaman yaliyo tabiliwa yanatimia.
Hii nchi usenge ndio mwingi yan majitu mazima tumeyapigia kura yanashindwa kupeleka maebdeleo kwenye majimbo yao yamekaalia usenge tu
Daah ndio useme nipige kura mimi😂😂
Alafu nmegundua ktu kumbe kuwa kiongozi Haina maana unaweza kuwa msaada kwa taifa Mungu atusaidie